Makavengaaa
Member
- Mar 6, 2019
- 41
- 56
Habari zenu wadau wote wa JF,
Nimepata tatizo ambalo silielewi, kwa muda mrefu nimekuwa nikiona kivuli cha mtu cheusi nikigeuka kinapotea ila hiyo hali haikunipa shida nilidharau halafu ilikuwaga ni home tu, Ila sasa hivi hata nikiwa kwengine.
Sasa kuna kivuli hicho kimenijia kwa mara ya tatu sasa hicho hakipotei kinakaa na huwa kwenye kuta za sitting room taa zikiwa zimezimwa usiku wa manane.
Leo hii ni mara ya tatu, huwa nakiona nikiwa macho yanaangalia pembeni nikigeuka nikiface kinapotea sasa leo nimemwita mama nikamwambia kile kivuli nachokwambia kiko ukutani vipi unakiona huku mimi nikiwa naangalia pembeni lakini nakiona mama akaniambia haoni kitu.
Sasa ndugu zangu wa JF mnisaidie hiki ni kitu gani maana nikiwaambiwa watu wengine wananiona kama nina wasiwasi au nimechanganyikiwa.
Kivuli chenyewe ni dude kubwa hivi halafu naona mkono wenye kucha ndefu ni cheusi.
Hii hali imenishangaza sana, mama ananiambiwa tunakuitia shehe akusomee.
Ila nimebaki na maswali, hiki kivuli kinataka nn kwangu kama kuna wadau wanafaham hali hii wanielezee.
Sitanii ndugu zangu nahitaji mawazo yenu
Nimepata tatizo ambalo silielewi, kwa muda mrefu nimekuwa nikiona kivuli cha mtu cheusi nikigeuka kinapotea ila hiyo hali haikunipa shida nilidharau halafu ilikuwaga ni home tu, Ila sasa hivi hata nikiwa kwengine.
Sasa kuna kivuli hicho kimenijia kwa mara ya tatu sasa hicho hakipotei kinakaa na huwa kwenye kuta za sitting room taa zikiwa zimezimwa usiku wa manane.
Leo hii ni mara ya tatu, huwa nakiona nikiwa macho yanaangalia pembeni nikigeuka nikiface kinapotea sasa leo nimemwita mama nikamwambia kile kivuli nachokwambia kiko ukutani vipi unakiona huku mimi nikiwa naangalia pembeni lakini nakiona mama akaniambia haoni kitu.
Sasa ndugu zangu wa JF mnisaidie hiki ni kitu gani maana nikiwaambiwa watu wengine wananiona kama nina wasiwasi au nimechanganyikiwa.
Kivuli chenyewe ni dude kubwa hivi halafu naona mkono wenye kucha ndefu ni cheusi.
Hii hali imenishangaza sana, mama ananiambiwa tunakuitia shehe akusomee.
Ila nimebaki na maswali, hiki kivuli kinataka nn kwangu kama kuna wadau wanafaham hali hii wanielezee.
Sitanii ndugu zangu nahitaji mawazo yenu