Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Nimeona jana Tarehe 9 Julai saa sita Mchana hivi. Watalii walijipiga picha wenyewe.
Baada ya hapo wakafuatwa na jimama mweusi na kijana mweupe kiasi, walilipa 50,000 Tsh kwa kila picha waliojipiga, wageni walijitetea kuwa hawajawapiga Watu wengine, walijibiwa kwa ukali kuwa ni eneo la Jeshi na Ikulu, Watalii walilaani sana japo hawakuwa na ujasiri wa kukubali kushtakiwa.
Watu chomboni walinung'unika kuwa mara kadhaa waliona matukio kama hayo.
Tunashauri mamlaka husika kuliangalia swala hilo.
Baada ya hapo wakafuatwa na jimama mweusi na kijana mweupe kiasi, walilipa 50,000 Tsh kwa kila picha waliojipiga, wageni walijitetea kuwa hawajawapiga Watu wengine, walijibiwa kwa ukali kuwa ni eneo la Jeshi na Ikulu, Watalii walilaani sana japo hawakuwa na ujasiri wa kukubali kushtakiwa.
Watu chomboni walinung'unika kuwa mara kadhaa waliona matukio kama hayo.
Tunashauri mamlaka husika kuliangalia swala hilo.