britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Nimewahi kukitumia kivuko cha Mv Alina, Mv kigamboni na Mv magogoni,
Nimeshangaa kabisa maboya ya kujiokolea yako store yamefungiwa ndani ya kivuko kwa kufuli kubwa,
Nimerudi Tanzania mwezi wa 11 nimekuta hali ni Ile ile,
Maboya yamefungiwa mpaka kufuli lina kutu,
Tunaandaa nini??
Nimeshangaa kabisa maboya ya kujiokolea yako store yamefungiwa ndani ya kivuko kwa kufuli kubwa,
Nimerudi Tanzania mwezi wa 11 nimekuta hali ni Ile ile,
Maboya yamefungiwa mpaka kufuli lina kutu,
Tunaandaa nini??