payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 125
Nikitatafakari sana suala la Hamad Seif ( Makamu wa kwanza wa Rais) baada ya kusoma mabadiko yaliyofanywa kwenye katiba, naona kama vile utawala wake utashabihiana sana na utawala wa Malkia Elizabeth wa Uingereza.
Yaani atakuwa yuko pale kwenye cheo chake cha sasa ili kuwaunganisha pamoja na kuwatuliza wapemba wasifanye wamalize tofauti zao. Hata nadiriki kusema kufikiri mbele zaidi na kuona hata malkia wa uingereza ana nguvu/sauti ya kimaamuzi kwenye serikali ya UK kuliko Seif aliyeolewa na CCM A ya Kikwete kuunda CCM B inayopambana na CHADEMA.
Yaani atakuwa yuko pale kwenye cheo chake cha sasa ili kuwaunganisha pamoja na kuwatuliza wapemba wasifanye wamalize tofauti zao. Hata nadiriki kusema kufikiri mbele zaidi na kuona hata malkia wa uingereza ana nguvu/sauti ya kimaamuzi kwenye serikali ya UK kuliko Seif aliyeolewa na CCM A ya Kikwete kuunda CCM B inayopambana na CHADEMA.