Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Habari Madaktari na Wauguzi,
its serious, ni cku ya 4 leo naumwa kiuno kwa upande wa kushoto, kilianza gafla nikiwa na tembea pasipo sababu yeyote, kinauma kwa ndani kias kwamba hata nikiwa kama na kibinya hakiumi, kilipata nafuu jana ila leo kimeanza tena kama mwanzo, nataka kujua hasa shida ni nini na tiba haswa nini!!
NOTE:
Toa mchango wakitaalamu zaidi na usiweke masihara tafadhali.
its serious, ni cku ya 4 leo naumwa kiuno kwa upande wa kushoto, kilianza gafla nikiwa na tembea pasipo sababu yeyote, kinauma kwa ndani kias kwamba hata nikiwa kama na kibinya hakiumi, kilipata nafuu jana ila leo kimeanza tena kama mwanzo, nataka kujua hasa shida ni nini na tiba haswa nini!!
NOTE:
Toa mchango wakitaalamu zaidi na usiweke masihara tafadhali.