Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miezi mitatu unaumwa hujaenda hospitali! Tukusaidie nini sasa? kukupeleka hospitali?
madocta toeni ushaur/tiba hata me nijue coz ni muhanga wa hilo tatizo.
Kiongozi hata ukienda hospitali utapewa Analgesic(pain killer) tu tiba nzuri ni mazoezi(physiotherapy) au una umri gani?na mara ya mwisho kunjunja (ina sababisha sometimes) ilikua lini?
Fanya mazoezi
Pia gegedana kwa style tofauti tofauti
Before maumivu hayakuwa makali na ndo maana nikaendelea na mishe zangu ila siku tatu sasa maumivu yamezidi ndo napanga kwenda. Hata dawa zimeandikwa maumivu yakizidi mwone daktari, sio maumivu kidogo safari hospital!
Nina miezi kama mitatu hivi kiuno kinauma sana! Nimetumia dawa aina mbili ikiwemo Indocid lakini maumivu yanazidi. Nisaidieni kabla sijaamua kwenda hospital
Fanya mazoezi
Pia gegedana kwa style tofauti tofauti
umetisha you know?
hii nimeipenda,kumbe style moja nayo ni shidaaaa!Fanya mazoezi
Pia gegedana kwa style tofauti tofauti
Miezi mitatu unaumwa hujaenda hospitali! Tukusaidie nini sasa? kukupeleka hospitali?
Nina miaka 35, ni takribani miez 2 sasa sijafanya hivo ulivosema coz niko mbali na wife