Kiungo wangu bora wa ' Ukabaji ' nchini Tanzania kwa sasa Jonas Gerald Mkude a.k.a Deco De Souza amuumbua ' Mpuuzi ' Amunike

Hivi kuna Kiungo bora na mahiri yoyote yule duniani asiyecheza Rafu? Halafu leo ukimtuhumu Mkude kuwa ndiye katufungisha dhidi na hao Wamakonde wako mbona Siku ile alipofunga lile Goli lake la ' Muwa / Shuti / Bomba ' dhidi ya Nkana Uwanja wa Mkapa na kuisaidia Kuivusha Simba SC katika Klabu Bingwa sikukuona ukija hapa Kumpongeza? Mnafiki mkubwa Wewe! Na usivyojua Mpira yaani hadi leo hujui na hujajua kuwa Mpira ni Mchezo wa Makosa na ndiyo maana unashangaa kwa Mkude kufanya hilo Kosa. Hebu wapishe Watu wanaojua Mpira ninabadilishane nao Uzoefu hapa na Wewe usiyejua Mpira kaa Kimya ili angalau uweze Kujifunza mawili matatu kwani kwa hii ' Comment ' yako tu hapa umeshaonyesha kuwa hujui Mpira na si ajabu hata Uwanjani kwenyewe huwa huendi vile vile.
Mechi zote za nyuma Mkude alikuwa anabebwa na Chama na Kotei wewe hujui mpira kauze samaki
 
Sijawahi Kupenda vibovu vibovu hata Siku moja na nilisema kuwa kwa sasa Tanzania bado sijaona Kiungo Mkabaji bora kama Mdogo wangu mwenyewe Jonas Gerald Mkude ila kuna Watu walinipuuza lakini kwa Kazi ya Mkude Uwanjani sasa amewajibu na wamenyamaza.

Ni Kocha ( Mwalimu ) Mpumbavu tu kama si Mpuuzi wa mfano wa yule Kocha ambaye alibahatisha Kutupeleka AFCON 2019 na kwa Msaada mkubwa wa Ujirani mwema wa Uganda na Tanzania lakini pia akatuwekea Rekodi ya pekee huko Misri kwa Tanzania kufanya vibaya mechi zote na kukosa hata Alama moja tu ndiyo hatoona Umuhimu wa Kiungo wangu Kipenzi na Fundi kabisa katika Dimba la Kati ( hasa upande wa Ukabaji ) kama Jonas Gerald Mkude.

Utasemaje Mkude hafai huku karibia Makocha wote wakubwa na mahiri ambao wamewahi Kuifundisha Simba SC na hata Timu ya Taifa walishasema kuwa kwa sasa Tanzania nzima hakuna Mchezaji wa Kiungo hasa cha Ukabaji na anayejua Majukumu yake vyema kama Jonas Gerald Mkude? Na ukiona Kocha anamchukia Mkude jua anamuonea Wivu tu au ana Chuki nae binafsi au ana ' Udalali ' na baadhi ya Wachezaji ili awauze Ulaya na apate 10% yake.

Namwomba aliyekuwa Kocha wa Taifa Stars Emanuel Amunike a.k.a Mpuuzi aje atuombe Radhi haraka Watanzania kwa Kitendo chake cha Kutudanganya juu ya Uwezo wa Kiungo Jonas Gerald Mkude huku akimtangaza vibaya kuwa ni Muhuni ( Mvuta Bangi ) wakati Mimi kama An Eagle nawajua zaidi ya Wachezaji wa Taifa Stars tena ' Waandamizi ' kabisa ambao ni Wavuta Bangi mahiri na wazuri kuliko hata huyu Mwanangu mwenyewe Mkude.

Kwa aina ya Mpira wa Kiwango cha juu ambao anaucheza sasa Mkude nina uhakika huyu Kocha ' Mpuuzi ' Emanuel Amunike huko aliko sasa anaona Aibu na anajisikia vibaya mno kwani ' Dogo ' Mkude anamdhihirishia kuwa alizaliwa kuja kuwa ' Kiungo Mkabaji ' na pia aliye na ' tuvituvitu ' vitamu vitamu Uwanjani huku akiichezesha Timu anavyotaka na akiwapa Likizo / Nafuu Mabeki ' Waandamizi ' wa Stars ambao pia ni Kaka zake Kiumri akina Yondani na Nyoni.

Ni Wachezaji Watatu tu kama si Wanne ambao tokea Timu hii Taifa iwe chini ya ' Mtaalam ' Kocha Ndayiragije ndiyo hawakubadilishwa au hata Kupumzishwa katika Mechi ambazo Timu imecheza na huyu ' Mwanangu ' mwenyewe Mkude nae akiwemo na hii inathibitisha kwamba Kocha na jopo lake wakiwemo akina Juma Mgunda na Kocha ambaye ndiyo alimuibua, amemtengeneza na kumpika Mkude hivi Suleiman Abdallah Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia hawana Mashaka nae na wanakikubali kile ambacho anakifanya hasa katika Dimba la Chini ( Kiungo cha Nyuma )

Na tokea Mkude arejeshwe Taifa Stars ndiyo nimekuwa na Mapenzi nayo sasa na huenda ndiyo maana inabarikiwa vile vile japo tusifichane wala kupeana Moyo kwa hatua hii ya Makundi ambayo tunaenda Kupangwa sasa ndiyo tukicheza tufanikiwe kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia huko Qatar mwaka 2022 hapa ndiyo mwisho wetu kwani ili tufanikiwe tunahitaji Maandalizi makubwa na kabambe tena mengi ni ya Kiufundi zaidi kitu ambacho sidhani kama kwa sasa Tanzania tutakiweza ila tukianza Maandalizi sasa ya Kombe la Dunia la 2026 nina uhakika tunaweza Kushiriki.

Hongera sana ' Mwanangu ' mwenyewe Jonas Gerald Mkude kwani unalikamata Dimba la Kati kama vile ninavyotaka. Watakukoma!
ILIVYOKUWA
Amunike sio Mtanzania haishi kwa majungumajungu na ni kocha wa kimataifa.
yule mkude anakunywa sana KONYAGI rudia neno kunywa sana
siku walivyoitwa kambini alienda asubuhi akiwa bwiii bin ziii ananuka pombe mdomoni. kocha alisalimiana na kila mchezaji akakuta jamaa ananuka pombe . akamfukuza kwakuwa watanzania ni mbumbumbu kama wewe mtoa mada mkashabikia kwamba amefukuzwa ati kwakuwa kocha ana mapenzi na yanga.
Kwa tabia za mkude anaweza kucheza mpira Tanzania tyuu tena simba maana ni rafiki binafsi wa mo.
Kocha yeyote anayejua kazi yake mkude atamwacha tu sio kwakuwa hajui mpira kwa tabia ZA ULEVYI WA KUPINDUKIA
 
Tumuite kocha achukue maoni yako kwa kila mchezaji. Unaonekana kuwajua kila mchezaji wa timu ya taifa. Kweli we poyoyo!!
 
Namzungumzia Jonas Gerald Mkude na simzungumzii Juma Kaseja Juma tafadhali. Na bahati nzuri nimemuelezea vyema Kiufundi hasa nikiwa kama Mtu ambaye pia nimeucheza huo Mpira wenyewe japo sikufikia Viwango hivi vya Ligi kutokana na Majukumu mengine ya Kitaaluma na hata Kimaisha ila sijaanza Kumjua na Kumfuatilia Jonas Gerald Mkude leo na ndiyo maana hata hivi ninavyomjadili na kumuelezea hapa najiamini kabisa kwa 100% kuwa namkubali kwani ana 85% ya Sifa zote zote ambazo Kiungo bora na wa Ukabaji wa miaka ya sasa anatakiwa awe nazo japo nakiri kuwa ana Mapungufu yake hasa yaliyotokana na Makuzi yake na pia Tanzania kutokuwa na Mfumo mzuri wa Kuwaibua, Kuwatengeneza na Kuwakuza hawa Wachezaji wetu. Ila kwa sasa Mkude katika Kiungo cha Ukabaji ( Dimba la Chini ) hasa Namba Sita hana Mpinzani na nina Uhakika katika Mechi hizi alizocheza au hizo za Makundi ambazo atacheza na Taifa Stars anaweza Kuonekana na Mawakala wakubwa na hata Kuchukuliwa na Timu kubwa huko Ulaya na Klabu ya Simba ikafaidika nae Kimauzo na Timu yetu ya Taifa nayo ikafaidika nae zaidi kwakuwa atakuwa ameenda daraja lingine ambapo atakutana na Makocha wakubwa na watampika zaidi Kimataifa.

Yule ' Mpuuzi ' wenu Emanuel Amunike atuombe Radhi Watanzania kwa Kumchukia kuliko maelezo Kiungo huyo bora Mkude.
umekuwa na namna flan ya kujitetea kwa jamaa aliyekukosoa, hadi kuipoteza fact nzuri uliyoeleza mwanzo.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom