Mechi zote za nyuma Mkude alikuwa anabebwa na Chama na Kotei wewe hujui mpira kauze samakiHivi kuna Kiungo bora na mahiri yoyote yule duniani asiyecheza Rafu? Halafu leo ukimtuhumu Mkude kuwa ndiye katufungisha dhidi na hao Wamakonde wako mbona Siku ile alipofunga lile Goli lake la ' Muwa / Shuti / Bomba ' dhidi ya Nkana Uwanja wa Mkapa na kuisaidia Kuivusha Simba SC katika Klabu Bingwa sikukuona ukija hapa Kumpongeza? Mnafiki mkubwa Wewe! Na usivyojua Mpira yaani hadi leo hujui na hujajua kuwa Mpira ni Mchezo wa Makosa na ndiyo maana unashangaa kwa Mkude kufanya hilo Kosa. Hebu wapishe Watu wanaojua Mpira ninabadilishane nao Uzoefu hapa na Wewe usiyejua Mpira kaa Kimya ili angalau uweze Kujifunza mawili matatu kwani kwa hii ' Comment ' yako tu hapa umeshaonyesha kuwa hujui Mpira na si ajabu hata Uwanjani kwenyewe huwa huendi vile vile.