Kiungo wangu bora wa ' Ukabaji ' nchini Tanzania kwa sasa Jonas Gerald Mkude a.k.a Deco De Souza amuumbua ' Mpuuzi ' Amunike

Sijawahi kumuona Mkude kama Kiungo Mkabaji, ni kwamba anacheza eneo LA ukabaji lakini hajawahi kucheza kama kiungo mkabaji, Mkude ni mzuri sana timu inapokuwa na mpira, hapo utampenda sana, anajua kujiposition na kutoa pasi kwa wenzake, uwezo wake wa kunyang'anya mpira bila kucheza faulo ni mdogo sana
Fact, case closed
 
Ila kiukweli kumlinganisha fei toto na mkude ni kumkosea sana heshima mkude. Fei toto alinganishwe na Ndemla na kwa jicho la kimchezo Ndemla yuko juu.
 
Hivi kikosi hiki TFF wamekitelekeza maana hiki ndiyo kingetupeleka world cup 2026
serengeti_boys_full_squad_h2058_4f5a3.jpeg
 
Mkude yuko vzr kwa viwango vya middle wetu hapa home... hao tunaowataja pia wako vzr ila tuwape muda.
Kuaminiwa kwenye vilabu vi3 vya Azam, Simba na Yanga then Taifa sio kazi ndogo.
 
Sijawahi Kupenda vibovu vibovu hata Siku moja na nilisema kuwa kwa sasa Tanzania bado sijaona Kiungo Mkabaji bora kama Mdogo wangu mwenyewe Jonas Gerald Mkude ila kuna Watu walinipuuza lakini kwa Kazi ya Mkude Uwanjani sasa amewajibu na wamenyamaza.

Ni Kocha ( Mwalimu ) Mpumbavu tu kama si Mpuuzi wa mfano wa yule Kocha ambaye alibahatisha Kutupeleka AFCON 2019 na kwa Msaada mkubwa wa Ujirani mwema wa Uganda na Tanzania lakini pia akatuwekea Rekodi ya pekee huko Misri kwa Tanzania kufanya vibaya mechi zote na kukosa hata Alama moja tu ndiyo hatoona Umuhimu wa Kiungo wangu Kipenzi na Fundi kabisa katika Dimba la Kati ( hasa upande wa Ukabaji ) kama Jonas Gerald Mkude.

Utasemaje Mkude hafai huku karibia Makocha wote wakubwa na mahiri ambao wamewahi Kuifundisha Simba SC na hata Timu ya Taifa walishasema kuwa kwa sasa Tanzania nzima hakuna Mchezaji wa Kiungo hasa cha Ukabaji na anayejua Majukumu yake vyema kama Jonas Gerald Mkude? Na ukiona Kocha anamchukia Mkude jua anamuonea Wivu tu au ana Chuki nae binafsi au ana ' Udalali ' na baadhi ya Wachezaji ili awauze Ulaya na apate 10% yake.

Namwomba aliyekuwa Kocha wa Taifa Stars Emanuel Amunike a.k.a Mpuuzi aje atuombe Radhi haraka Watanzania kwa Kitendo chake cha Kutudanganya juu ya Uwezo wa Kiungo Jonas Gerald Mkude huku akimtangaza vibaya kuwa ni Muhuni ( Mvuta Bangi ) wakati Mimi kama An Eagle nawajua zaidi ya Wachezaji wa Taifa Stars tena ' Waandamizi ' kabisa ambao ni Wavuta Bangi mahiri na wazuri kuliko hata huyu Mwanangu mwenyewe Mkude.

Kwa aina ya Mpira wa Kiwango cha juu ambao anaucheza sasa Mkude nina uhakika huyu Kocha ' Mpuuzi ' Emanuel Amunike huko aliko sasa anaona Aibu na anajisikia vibaya mno kwani ' Dogo ' Mkude anamdhihirishia kuwa alizaliwa kuja kuwa ' Kiungo Mkabaji ' na pia aliye na ' tuvituvitu ' vitamu vitamu Uwanjani huku akiichezesha Timu anavyotaka na akiwapa Likizo / Nafuu Mabeki ' Waandamizi ' wa Stars ambao pia ni Kaka zake Kiumri akina Yondani na Nyoni.

Ni Wachezaji Watatu tu kama si Wanne ambao tokea Timu hii Taifa iwe chini ya ' Mtaalam ' Kocha Ndayiragije ndiyo hawakubadilishwa au hata Kupumzishwa katika Mechi ambazo Timu imecheza na huyu ' Mwanangu ' mwenyewe Mkude nae akiwemo na hii inathibitisha kwamba Kocha na jopo lake wakiwemo akina Juma Mgunda na Kocha ambaye ndiyo alimuibua, amemtengeneza na kumpika Mkude hivi Suleiman Abdallah Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia hawana Mashaka nae na wanakikubali kile ambacho anakifanya hasa katika Dimba la Chini ( Kiungo cha Chuma )

Na tokea Mkude arejeshwe Taifa Stars ndiyo nimekuwa na Mapenzi nayo sasa na huenda ndiyo maana inabarikiwa vile vile japo tusifichane wala kupeana Moyo kwa hatua hii ya Makundi ambayo tunaenda Kupangwa sasa ndiyo tukicheza tufanikiwe kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia huko Qatar mwaka 2022 hapa ndiyo mwisho wetu kwani ili tufanikiwe tunahitaji Maandalizi makubwa na kabambe tena mengi ni ya Kiufundi zaidi kitu ambacho sidhani kama kwa sasa Tanzania tutakiweza ila tukianza Maandalizi sasa ya Kombe la Dunia la 2026 nina uhakika tunaweza Kushiriki.

Hongera sana ' Mwanangu ' mwenyewe Jonas Gerald Mkude kwani unalikamata Dimba la Kati kama vile ninavyotaka. Watakukoma!
Gentamycene katika ubora wako
 
Mkude ovyo tu..Mdathir akirudi hana namba Stars..alafu mechi ya CHAN na Kenya na hii ya Burundi sio kipimo..Akutane na waarabu na miwest Africa ya Ulaya ndiio uje hapa kuongea
 
Mkude ni mzuri timu inapokuwa na mpira kwani anaweza sana kuchezesha timu kutokea nyuma kwa pasi fupi fupi. Na uzuri wake ni kwenye pasi fupi fupi tu (square pass).

Udhaifu wa Mkude upo kwenye kwenye kupora mipira kwa adui na hii ndio kazi hasa ya kiungo mkabaji. Uwezo wake wa kupora mipira kwa adui au hata wakati mwingine kuharibu mipango ya adui hapa uwezo wake ni mdogo sana. Pungufu lingine kubwa ni jicho la kupiga pasi za mbali kwa washambuliaji pale timu inapokuwa imezuia shambulizi la adui na kwa haraka inataka kufanya counter attack. Mapungufu yote haya yalikuwa yanafichwa na Kotei na ndio maana sasa toka ligi imeaanza na CL kumekuwa na mijadala mingi magazetini na mitandaoni kuhusu uwezo wa Mkude kuliko kipindi kingine chochote kwa sababu sasa yule Mkude halisi ndio anaonekana alivyo tofauti na yule aliyekuwa anafichiwa baadhi ya mapungufu na Kotei.

Kibongo bongo bado Mkude anaonekana anaweza kwa sababu ya aina ya timu anazopambana nazo hazina wachezaji wa kumpa changamoto. Ila kwenye mechi zote mbili za CL ligi dhidi ya UD Songo Mkude alionekana kabisa mechi zilikuwa kubwa kuliko uwezo wake. Kwa mwenye uwezo wa kupata CD ya zile mechi zote mbili akaangalie taratibu aone jinsi gani wale jamaa walivyokosa umakini na bahati kwani wangeweza kutufunga goli nyingi kwani walimgezuza Mkude ndio njia ya kupita kuelekea golini kwa Simba kadri walivyotaka wao. Timu nyingi huwa zinapita pembeni lakini wao waliona shimo kati kwa Mkude wakawa wanapita hapo hapo.

Mpaka leo sijui ni kwanini Simba wanapotaka kushambulia au kuamua matokeo kwa kutumia counter attack hawamtumii Ndemla ambaye walau ukabaji wake ni wa nguvu kidogo na ana nguvu za miguu na jicho la kupiga pasi za mbali pale timu inaponyang'anya maadui mpira na kutaka kuanza kushambulia kwa ghafla kutokea kwenye zone yao. Any way hayo tuwaachie Kitambi na Ausems ndio wataalamu sisi wengine ni watoa maoni tu.

Jamani huu ni mtizamo tu maana naona hapa watu wana hasira sana kutokana na mpenzi yaliyopitiliza kwa Mkude pasipo kuona mapungufu yake na kumweleza ili aweze kujirekebisha uchezaji wake.
 
Sijawahi Kupenda vibovu vibovu hata Siku moja na nilisema kuwa kwa sasa Tanzania bado sijaona Kiungo Mkabaji bora kama Mdogo wangu mwenyewe Jonas Gerald Mkude ila kuna Watu walinipuuza lakini kwa Kazi ya Mkude Uwanjani sasa amewajibu na wamenyamaza.

Ni Kocha ( Mwalimu ) Mpumbavu tu kama si Mpuuzi wa mfano wa yule Kocha ambaye alibahatisha Kutupeleka AFCON 2019 na kwa Msaada mkubwa wa Ujirani mwema wa Uganda na Tanzania lakini pia akatuwekea Rekodi ya pekee huko Misri kwa Tanzania kufanya vibaya mechi zote na kukosa hata Alama moja tu ndiyo hatoona Umuhimu wa Kiungo wangu Kipenzi na Fundi kabisa katika Dimba la Kati ( hasa upande wa Ukabaji ) kama Jonas Gerald Mkude.

Utasemaje Mkude hafai huku karibia Makocha wote wakubwa na mahiri ambao wamewahi Kuifundisha Simba SC na hata Timu ya Taifa walishasema kuwa kwa sasa Tanzania nzima hakuna Mchezaji wa Kiungo hasa cha Ukabaji na anayejua Majukumu yake vyema kama Jonas Gerald Mkude? Na ukiona Kocha anamchukia Mkude jua anamuonea Wivu tu au ana Chuki nae binafsi au ana ' Udalali ' na baadhi ya Wachezaji ili awauze Ulaya na apate 10% yake.

Namwomba aliyekuwa Kocha wa Taifa Stars Emanuel Amunike a.k.a Mpuuzi aje atuombe Radhi haraka Watanzania kwa Kitendo chake cha Kutudanganya juu ya Uwezo wa Kiungo Jonas Gerald Mkude huku akimtangaza vibaya kuwa ni Muhuni ( Mvuta Bangi ) wakati Mimi kama An Eagle nawajua zaidi ya Wachezaji wa Taifa Stars tena ' Waandamizi ' kabisa ambao ni Wavuta Bangi mahiri na wazuri kuliko hata huyu Mwanangu mwenyewe Mkude.

Kwa aina ya Mpira wa Kiwango cha juu ambao anaucheza sasa Mkude nina uhakika huyu Kocha ' Mpuuzi ' Emanuel Amunike huko aliko sasa anaona Aibu na anajisikia vibaya mno kwani ' Dogo ' Mkude anamdhihirishia kuwa alizaliwa kuja kuwa ' Kiungo Mkabaji ' na pia aliye na ' tuvituvitu ' vitamu vitamu Uwanjani huku akiichezesha Timu anavyotaka na akiwapa Likizo / Nafuu Mabeki ' Waandamizi ' wa Stars ambao pia ni Kaka zake Kiumri akina Yondani na Nyoni.

Ni Wachezaji Watatu tu kama si Wanne ambao tokea Timu hii Taifa iwe chini ya ' Mtaalam ' Kocha Ndayiragije ndiyo hawakubadilishwa au hata Kupumzishwa katika Mechi ambazo Timu imecheza na huyu ' Mwanangu ' mwenyewe Mkude nae akiwemo na hii inathibitisha kwamba Kocha na jopo lake wakiwemo akina Juma Mgunda na Kocha ambaye ndiyo alimuibua, amemtengeneza na kumpika Mkude hivi Suleiman Abdallah Matola a.k.a Veron a.k.a Mzambia hawana Mashaka nae na wanakikubali kile ambacho anakifanya hasa katika Dimba la Chini ( Kiungo cha Chuma )

Na tokea Mkude arejeshwe Taifa Stars ndiyo nimekuwa na Mapenzi nayo sasa na huenda ndiyo maana inabarikiwa vile vile japo tusifichane wala kupeana Moyo kwa hatua hii ya Makundi ambayo tunaenda Kupangwa sasa ndiyo tukicheza tufanikiwe kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia huko Qatar mwaka 2022 hapa ndiyo mwisho wetu kwani ili tufanikiwe tunahitaji Maandalizi makubwa na kabambe tena mengi ni ya Kiufundi zaidi kitu ambacho sidhani kama kwa sasa Tanzania tutakiweza ila tukianza Maandalizi sasa ya Kombe la Dunia la 2026 nina uhakika tunaweza Kushiriki.

Hongera sana ' Mwanangu ' mwenyewe Jonas Gerald Mkude kwani unalikamata Dimba la Kati kama vile ninavyotaka. Watakukoma!
Kiungo gani hata pass hajui kazi yake kufau sema kwa sasa yule Dogo wa Azam hayupo tu ndio sababu anapata namba timu ya taifa
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom