Dah kumbe mimi na wewe hali yetu moja. Tujipe pole kwa nyakati ngumu tunazopitia.Mkuu mimi Man UTD
Dah kumbe mimi na wewe hali yetu moja. Tujipe pole kwa nyakati ngumu tunazopitia.
Kante alibugia nyasi za kutosha kutokana na mshtuko jins dogo alivyoamsha popo
Martinelli ni bora kuliko Neymar pale brazil
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukute pia nyie n yanga, DahDah kumbe mimi na wewe hali yetu moja. Tujipe pole kwa nyakati ngumu tunazopitia.
Mashabiki wengi wa Arsenal hapa Dar, ni mashabiki wa Yanga . Angalau leo Yanga wamejibondea kigwangwala na kufufua matumaini yao ya kushindana na Simba
Ulimgonga? Acha ushabiki maandazi, kaangalie alipotoka na ule mpira ,spid ya hali ya juu, splint ya kiwango cha sgr ,Kuwa mkweli mkuu hata kama siwapendi chelsea lakini hakuna alichofanya yule dogo Kante aliteleza tu kwanza dogo dribbling mpira ulimgongagonga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo ana kas sana na splint ,dribbling ya hali ya juu,Kante alibugia nyasi za kutosha kutokana na mshtuko jins dogo alivyoamsha popo
Martinelli ni bora kuliko Neymar pale brazil
Sent using Jamii Forums mobile app