Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Haiwezekani hali ilivyongumu alafu watu wanachukulia mzaa maisha ya watanzania.
Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.
Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.
Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!
Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?
Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.
Taifa lina rasilimali lukuki lakini umaskini umetamalaki kila kona ya Tanzania. Watu wanaishi maisha ya kubangaiza kula kwa tabu, kuvaa kwa tabu hata kulala kwa tabu.
Leo hii ni siasa za unafiki zinaendelea tu na maneno maneno tu lakini serikali haina msaada wa namna yoyote kwa wananchi.
Halafu watu wanaconspire kipuuzi na kuwaona raia wajinga na mafala!
Kwa nini hakuna jitihada za kuwaondoa hawa wanaodharau wananchi?
Hivi vyama vyote vilivyopo havifai. Tupate chama chenye nia thabiti kuwakomboa watanzania.