Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,040
- 3,286
huyo number moja anaua huku anakupigia kainstrumental muruaš,mbu wanakera sana aiseee
Ahsante mkuuPopo hauwi kwa kung'ata au kuatack labda hapana ila kwa sababu ni mnyama aneyebeba magonjwa mengi ingawa yeye hadhuliki ila Anayasambaza kwa viumbe wengine binadamu akiwemo mfano SARS- CoV.
Aisee usimdharau ng'ombe ni hatari sana na wanaweza kukuua mfano halisi uliza vijana waliowahi kuchunga ng'ombe watakwambia mziki wake.
Hawa ni baadhi ya wanyama na wadudu wanaojulikana zaidi duniani ambao ni hatari na wanaongoza zaidi kwa kusababisha vifo vya watu wengi duniani kwa makadirio ya kila mwaka.
KIUMBE ā VIFO
26. Popo 2
25. Dubu. 3
24. Papa. 4
23. Buibui. 7
22. Mbwa mwitu. 10
21. Ng'ombe. 20
20. Farasi. 20
19. Simba. 22
18. Chui. 29
17. Siafu. 30
16. Nyuki. 53
15. Jellyfish. 110
14. Chui milia. 125
13. Deer. 130
12. Nyati. 200
11. Kiboko. 500
10. Tembo. 500
9. Tapeworm. 700
8. Mamba. 1000
7. Nge. 12000
6. Mbung'o. 20,000
5. Konokono. 20,000
4. Mbwa. 25,000
3. Nyoka. 50,000
2. Binadamu. 435,000
1. Mbu. 725,000
MAPINDUZI
-Popo (2019/20) zaidi ya 200k.
Ni kweli!Actually malaria ndo inaongoza kwa kusababisha vifo vingi kwa binadamu sema haina kelele sana manake wengi wanaokufa ni kutokea nchi maskini duniani