Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Mbu ndiye kiumbe tishio zaidi duniani.
Hii ni kutokana na vifo vinavyotokana na magonjwa anayosambaza, inakadiriwa watu 725000 hadi milioni moja hufa kila mwaka kutokana na kiumbe huyu.
Mbu anayeitwa Anofelesi ndio husababisha vifo Zaidi. Mbu husambaza vimelea wakati wananyonya damu.
Katika vimelea vinavyosambazwa na mbu, vimelea hatarishi kuliko vyote ni plasmodiam ambavyo husababisha malaria
Mbu wako kwenye Kitabu cha Guinness cha mwaka 2019 kama kiumbe hatarishi zaidi duniani.
Hii ni picha mbu akiwa ametoka kufuturu damu
Hii ni kutokana na vifo vinavyotokana na magonjwa anayosambaza, inakadiriwa watu 725000 hadi milioni moja hufa kila mwaka kutokana na kiumbe huyu.
Mbu anayeitwa Anofelesi ndio husababisha vifo Zaidi. Mbu husambaza vimelea wakati wananyonya damu.
Katika vimelea vinavyosambazwa na mbu, vimelea hatarishi kuliko vyote ni plasmodiam ambavyo husababisha malaria
Mbu wako kwenye Kitabu cha Guinness cha mwaka 2019 kama kiumbe hatarishi zaidi duniani.
Hii ni picha mbu akiwa ametoka kufuturu damu