Robinhomtoto
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 238
- 244
Vipi UVCCM mbona hamsikiki mkiushangilia uteuzi wa Wapinzani ndani ya Serikali yenu?Baadhi ya Vyama vya Upinzani vimeuponda uteuzi huo lakini UVCCM mko kimya hamuutetei.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewewee!Vipi UVCCM mbona hamsikiki mkiushangilia uteuzi wa Wapinzani ndani ya Serikali yenu?Baadhi ya Vyama vya Upinzani vimeuponda uteuzi huo lakini UVCCM mko kimya hamuutetei.
TENA WALIOKUWA WANAWAPONDA..!!!Lazima wawe kimya maana hawana cha kunena,watu walihangaika na ccm muda wote ila teuzi wanapewa watu wengine kabisa
UVCCM hawakurupuki kama bavichaVipi UVCCM mbona hamsikiki mkiushangilia uteuzi wa Wapinzani ndani ya Serikali yenu?Baadhi ya Vyama vya Upinzani vimeuponda uteuzi huo lakini UVCCM mko kimya hamuutetei.
kwan uwezo wa kukurupuka upo kiongz,, tusiambiane kuwa wao wako makn kuwa wanaweza kulfnya hloUVCCM hawakurupuki kama bavicha
Mbunge si sawa na mkuu wa mkoa au katibu mkuu,Think Big son!Inashangaza namna upinzani mlivyolikomalia utafikiri hii ni mara ya kwanza kwa jambo kama hili kufanyika, Mbatia alipoteuliwa kuwa Mbunge na Kikwete kelele hazikua kubwa hivi, nadhani maumivu makubwa yapo huko Chadema maana walikua wanaona wanastahili kumbe hamnna lolote. Kuna vyama vidogo tu vina watu potential kuliko chadema na lundo la wanasiasa wasio na weledi wala ubunifu zaidi ya kauli za kutisha na kukatisha tamaa.
Aliyeteuliwa ni ccm aliyekuwa askari kanzu actMay be!! But its not the first time kwa Mwenyekiti wa CCM kufanya hivyo.
What do you mean mkuu????Ua exactly right. I is impitching them so much.
Andika kiswahili mkuuUa exactly right. I is impitching them so much.
HII inaitwa umekapa za USO!Mkuu, kuna tofauti kubwa kati ya Mbunge na Mkuu wa Mkoa. Mmoja ni wa Bungeni na mwingine ni wa Serikalini. Fikiri tena.
Lizaboni, Ruttashobolwa, stroke, Mudawote wako wanasikilizia maumivu!!