chugara chalara
Member
- Sep 2, 2014
- 78
- 4
Nicheki WhatsApp utapata 0718840329i like this, where can i get
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nicheki WhatsApp utapata 0718840329i like this, where can i get
Duh!hapo kitakuwa na hatufu kama zoteView attachment 449547. Made in Tanzania. Mwaka wa sita sasa napigia meshe ngumu
HALAFU JAMAA WANA BEI NZURI SANA. NIMEWASAHAU JINA LAO PIAkuna duka moja kariakoo karubu na soko nimelisahau jina aisee lina viatu balaaa
Sio sunderland mkuu mtaa wa Muhonda na congo ule.kuna duka moja kariakoo karubu na soko nimelisahau jina aisee lina viatu balaaa
View attachment 443176
View attachment 443175
Ukipata buti yoyote ya ngozi inadumu,
Kazi yako ni kununua dawa nzuri ya kuvipaka.
Wolverine 1000 mile.Hii ulinunua bei gani? Na wapi kwa hapa dar es salaam mkuu.
Hapo Zipo Teleyes ni sunderland kweli kabisa
Na bei zao za kizazi yaani ziko nzuri ukikurupuka kwengine unapigwa hadi 150k ila jamaa ukiwa muongeaji mzuri 70k unabeba kiatu kikali imezidi 80k hapa ni official zile ngozi yaani kiatu kikali.Hapo Zipo Tele
Wanauza viatu vya ngozi pekee au?kuna duka moja kariakoo karubu na soko nimelisahau jina aisee lina viatu balaaa
Ninaielewa sana hii mizigo!!
Una roho mbayaView attachment 449547. Made in Tanzania. Mwaka wa sita sasa napigia meshe ngumu
Kwanin mangi?Una roho mbaya
View attachment 443176
View attachment 443175
Ukipata buti yoyote ya ngozi inadumu,
Kazi yako ni kununua dawa nzuri ya kuvipaka.
....Siwezi mimi hiyo kiatu, japo unapendeza
huu mzigo ni sh ngapiNapenda sana kuvaa buti,
Yani huwa najisikia huru sana kuliko hata nikivaa Sneakers,
Naweza nikavalia suruali za aina nyingi bila kuleta tatizo lolote, kuanzia jeans hadi kitambaa.
Hivi sehemu gani wanauza Buti za maana kuanzia Chelsea boots, Ankle Boots (Travolta zilizopanda), Desert Boot (Ubuyu), Work Boot ????
View attachment 442635
Hii inaitwa Chukka Boot wengi wetu mtaaani tunaiita Ubuyu, imetengenezwa na Newman.
Yani nataka ninunue buti kubana matumizi kwasababu zinakaa muda sana kuliko sneakers.