Kiukweli napenda sana buti: Unavalia suruali nyingi

e1e752ec32de096b5af1be802a85efd6.jpg
i like this, where can i get
Daah hivi vimekaa kijanja sana
 
Kama sikosei ni Arusha. Nilinunua Dodoma kwenye duka la vifaa vya ngozi. Nilinunua hicho kiatu na mkanda wa suruali.
Kiatu nakipigisha mishe balaa, mkanda navaa daily. Mwaka wa sita sasa.
. Mwaka wa 9 huu unaelekea Ndugu, hivyo vifaa mpaka vikusemeshe au vijifiche ndo uvunje navyo mkataba...??.😁😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom