Kiukweli mwanamke huyu ni jasiri, ana roho ngumu

ww ni mwalimu na nakujua umefungua hako ka biashara na una mke shezi kabisa
 
Sometimes inatubidi kuheshimu maamuzi ya watu hata kama ni kinyume na matamanio na misukumo yetu.Ni kama pesa uliyonayo ndo inakusukuma kujiona unastahili 'kumla' na 'sio kuwa naye'(angalau ingekuwa kuwa naye),na hivyo kumuona jamaa ambaye yupo nae hastahili kwa sababu tu eti 'unauwezo wa kutengeneza mshahara wake ndani ya siku tatu sio'.Ukikubaliwa kwanza utamuumiza mwanamke mwenyew kwa kujiona msaliti na pia jamaa yake zaidi akigundua.

I'm not judging,nimeeleza tu kwa muono tofauti,inawezekana ningefanya the same.So fanya ulionalo sahihi.

Naomba ukipata nafasi,katika uzi mwingine kama hutojali,utupe madini kuhusu biashara ya ujenzi mkuu.
 
Twende straight kidogo, tuokoe mda.

Kiufupi nimemtongoza mfanyakazi wangu wa hapa dukani ninapouza vifaa vya ujenzi, yeye ndio anashughulikia mahesabu ya mauzo baada ya hapo ananiletea mimi nahakiki tuu, kwahiyo faida nnayoingiza na mauzo yote anayajua.

Huyu hajaolewa,lakini ana bwana.

Kanishangaza sana, week ya pili hii namtongoza ananiwekea ngumu, yani mwanamke una maisha ya kawaida unaanzaje kumkataa mwanaume anayeingiza zaidi ya faida 120,000 kwa siku na ugumu huu wa maisha?? Yani umepanga chumba kimoja wewe na bwana ako halafu unamkataa mtu anayeingiza mshahara wa Mwalimu ndani ya siku 4???! Ama hakika, anahitaji apewe tuzo ya ujasiri na uthubutu.

Labda atalainika, time will tell!! Hakuna mkate mgumu mbele ya tea.

Akiendelea hivi namuwekea kile kiwanja changu cha chanika mezani! Sikubaligi kushindwa, bora nimpe kiwanja akajenge na huyo bwanaake mimi nnachotaka ni tunda tuu kiukweli yupo vizuri sana.

Kumbe mda mwingne wanawake ambao hampendi pesa mpo.
Ni mwanamke shujaa anae jitambua na kujielewa ila kwa siku hizi wapo wachache sana wa namna yake
 
Back
Top Bottom