Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,959
Wakuu,
Ujue hawa viumbe, yaani jinsia ya kike, nmekuja gundua wana utofauti mkubwa sana na sis wanaume, hata wafanyeje..
Kwa asili mwanamke ana huruma (usipomkera lakini) na ndio maana wanatulea miezi 9 na zaidi, kutunyonyesha etc.
Hawa viumbe wanahitaji matunzo, kunyenyekewa etc. Naonaga wazungu wanajitahidi, yaani mzungu anaweza kuwa kama bwege kwa mkewe au dem wake. Mfano, kumfungulia mlango wa gari, kumpikia, kumvalisha viatu, kumpet pet kila mara, kumpa vitu anavyotaka n.k.
Ni vile uchumi tu ila kiukweli mwanamke kaumbwa kutunzwa.
NB: Sasa mkijua haya sio ndio mvuruge sasa. Mtu akuhudumie halafu ukatoe papuchi kwingine!
Ujue hawa viumbe, yaani jinsia ya kike, nmekuja gundua wana utofauti mkubwa sana na sis wanaume, hata wafanyeje..
Kwa asili mwanamke ana huruma (usipomkera lakini) na ndio maana wanatulea miezi 9 na zaidi, kutunyonyesha etc.
Hawa viumbe wanahitaji matunzo, kunyenyekewa etc. Naonaga wazungu wanajitahidi, yaani mzungu anaweza kuwa kama bwege kwa mkewe au dem wake. Mfano, kumfungulia mlango wa gari, kumpikia, kumvalisha viatu, kumpet pet kila mara, kumpa vitu anavyotaka n.k.
Ni vile uchumi tu ila kiukweli mwanamke kaumbwa kutunzwa.
NB: Sasa mkijua haya sio ndio mvuruge sasa. Mtu akuhudumie halafu ukatoe papuchi kwingine!