johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,864
Nafuatilia shughuli ya mazishi ya mwenda zake Rais mstaafu Moi wa Kenya mubashara kupitia Citizen Tv.
Kiukweli mwendazake Moi alikuwa ni tajiri wa kutosha, sasa nimewaelewa mabepari wa Tanzania Chadema wanaoamini kuwa Umaskini ni laana.
Ila CCM ni Chama cha kistaarabu sana marais na mawaziri wakuu wastaafu wanaishi maisha ya kijamaa kabisa.
Maendeleo hayana vyama!
Kiukweli mwendazake Moi alikuwa ni tajiri wa kutosha, sasa nimewaelewa mabepari wa Tanzania Chadema wanaoamini kuwa Umaskini ni laana.
Ila CCM ni Chama cha kistaarabu sana marais na mawaziri wakuu wastaafu wanaishi maisha ya kijamaa kabisa.
Maendeleo hayana vyama!