Kiukweli kabisa sioni mantiki ya Bandari Bagamoyo!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Sijaelewa ni kwa nini tunakwenda kutumia fedha nyingi namna hiyo kujenga Bandari mpya Bagamoyo, wakati Dar kuna Bandari, Tanga ipo na Mtwara pia ipo, ni kwa nini hiyo fedha tusingeigawanya kwenye kuboresha hizi Bandari kwanza?

Kwa mfano ilipaswa eneo lote la Kaskazini lihudumiwe na Bandari ya Tanga lkn cha ajabu linahudumiwa na ya Mombasa, au eneo lote la Kusini lilipaswa lihudumiwe na Bandari ya Mtwara.

Hivyo binafsi sijaona logic ya kujenga Bandari kubwa namna hiyo Bagamoyo, ...
 
Kipindi magu anaingia madarakani nakumbuka kitu cha kwanza kusema ni "nanukuu."haiwezekani tujenge bandari magamoyo wakati hii tulionayo ni chafu"
Na kweli shughuli ilisyopishwa ila saa hivi nashangaa ujenzi umeendelea tena wakati hata ile bandari kavu kule msata sijui imeishia wapi.
 
Sijaelewa ni kwa nini tunakwenda kutumia fedha nyingi namna kujenga Bandari mpya Bagamoyo, wakati Dar kuna Bandari, Tanga ipo na Mtwara pia ipo, ni kwa nini hiyo fedha tusingeigawanya kwenye kuboresha hizi Bandari kwanza?

Kwa mfano ilipaswa eneo lote la Kaskazini lihudumiwe na Bandari ya Tanga lkn cha ajabu linahudumiwa na ya Mombasa, au eneo lote la Kusini lilipaswa lihudumiwe na Bandari ya Mtwara.

Hivyo binafsi sijaona logic ya kujenga Bandari kubwa namna hiyo Bagamoyo, ...
Hiyo ya bagamoyo ni bandari ya wachina!
 
Leo Lumumba mnapinga juhudi za mheshimiwa?

Anyways, tunakimbia attention iliyopo kwenye major ports ili tuweze kukwepa kulipa kodi na kupitisha magendo yetu.

Utashangaa bandari ipo ila haitumiwi na wananchi ila bado ipo busy. Ndio hapo utajua kama maharage ni mboga au matunda.
 
Sijaelewa ni kwa nini tunakwenda kutumia fedha nyingi namna hiyo kujenga Bandari mpya Bagamoyo, wakati Dar kuna Bandari, Tanga ipo na Mtwara pia ipo, ni kwa nini hiyo fedha tusingeigawanya kwenye kuboresha hizi Bandari kwanza?

Kwa mfano ilipaswa eneo lote la Kaskazini lihudumiwe na Bandari ya Tanga lkn cha ajabu linahudumiwa na ya Mombasa, au eneo lote la Kusini lilipaswa lihudumiwe na Bandari ya Mtwara.

Hivyo binafsi sijaona logic ya kujenga Bandari kubwa namna hiyo Bagamoyo, ...

Hilo la bandari ya bagomoyo tulihoji sana na uzi wake uko humu humu jukwaani. Wakati ule mchango wako ulikuwa nini? Ama ulikuwa bado hujajua kutumia mitandao?
 
Kipindi magu anaingia madarakani nakumbuka kitu cha kwanza kusema ni "nanukuu."haiwezekani tujenge bandari magamoyo wakati hii tulionayo ni chafu"
Na kweli shughuli ilisyopishwa ila saa hivi nashangaa ujenzi umeendelea tena wakati hata ile bandari kavu kule msata sijui imeishia wapi.
Kaisafisha sana
 
Back
Top Bottom