Kiukweli Huwa "SICHEKESHWI" na Vichekesho Vya "MKALI WENU (TVE)"

Traveller X

JF-Expert Member
May 2, 2017
271
305

Pengine ni stress tu za maisha zinanifanya nishindwe ku enjoy vichekesho vya huyu jamaa kwa maana kila kichekesho chake nnachotazama hua sicheki ama kufurahi kabisa naona kama ni vitu vile vile tu vilivyokosa ubunifu,

Au pengine ni sanaa ya bongo hasa hasa kwenye fani hii ya comedy ndio kusema imekosa ubunifu kabisa siku hizi,kwa maana vitu ambavyo wanatuletea tufurahi naona kama ni vitu vya kawaida mno kiasi kwamba labda mtoto mdogo ambae akili bado haijapevuka ndo anaweza vunjika mbavu kwa kucheka,

Ama pengine ndo kusema akili zetu sisi watazamaji ndo zimevurugwa labda ni kutokana na mambo yanayoendelea kwenye nchi hii na ndio kusema hata tukitazama vichekesho siku hizi akili zetu zinakua zishachoshwa na siasa na changamoto nyingine za nchi hii??

Kiukweli nashindwa kupata majibu,Na hii sio kwa msanii huyu tu ni karibia wasanii wote wa sanaa ya uchekeshaji naona hawana ubunifu kabisa sikuhizi.

Sijui kwenu nyie wadau??
 
alaf
Mchovu kweli kweli huyo jamaa eti kama Kuna kivideo alicheza anamlazimisha mtu ku do.. Nikamuona Hovyooo kabisa
inaskitisha ndo anapewa kiki kweli kweli,najiuliza tu hamna wakali zaidi yake wakuwaweka pale,kiukweli ni aibu sana
 
Sema clip nyng za mkaliwenu zmejaa lugha ya matusi cjui nmeeleweka hapo, kwan sa ingne inaweza ikatokea clip ambayo kwa kweli km upi na watu wazma unaona aibu, ht ebitoke nae cmuelewi sn.
Wote n wauza sura na watafuta kiki kwa nguvu
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom