swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
Kwa ukanda wetu naikubali crew ya Churchill show noma sana hata Kama una stress utacheka tu bila kupenda
Pengine ni stress tu za maisha zinanifanya nishindwe ku enjoy vichekesho vya huyu jamaa kwa maana kila kichekesho chake nnachotazama hua sicheki ama kufurahi kabisa naona kama ni vitu vile vile tu vilivyokosa ubunifu,
Au pengine ni sanaa ya bongo hasa hasa kwenye fani hii ya comedy ndio kusema imekosa ubunifu kabisa siku hizi,kwa maana vitu ambavyo wanatuletea tufurahi naona kama ni vitu vya kawaida mno kiasi kwamba labda mtoto mdogo ambae akili bado haijapevuka ndo anaweza vunjika mbavu kwa kucheka,
Ama pengine ndo kusema akili zetu sisi watazamaji ndo zimevurugwa labda ni kutokana na mambo yanayoendelea kwenye nchi hii na ndio kusema hata tukitazama vichekesho siku hizi akili zetu zinakua zishachoshwa na siasa na changamoto nyingine za nchi hii??
Kiukweli nashindwa kupata majibu,Na hii sio kwa msanii huyu tu ni karibia wasanii wote wa sanaa ya uchekeshaji naona hawana ubunifu kabisa sikuhizi.
Sijui kwenu nyie wadau??
Exactly sema trick sanaaaaa, wako vizuri bila kumsahau MC Jessey, na Njoroge, yule Jamaa aneigiza movie na ujambazi lazima uvunjike mbavu kwa kuchekaJaribu Kutazama CHURCHILL SHOW ya Kenya Ni nzuri.Kuna watu Kama MCA TRICKY,PROF HAMMO nk utafurahi Sana.
Exactly sema trick sanaaaaa, wako vizuri bila kumsahau MC Jessey, na Njoroge, yule Jamaa aneigiza movie na ujambazi lazima uvunjike mbavu kwa kucheka
Sio wewe tu. Tena mimi niseme ''wachekeshaji'' wa Tanzania wanaoweza kunifanya nicheke sikui kama wapo. (kwa sasa). Sana sana najikuta nakasirika badala ya kucheka! Kuna watu kama marehemu Mzee Jongo ndio alikuwa comedian wa ukweli kabisa. Hata Mzee Jangala yuko vizuri. Hao mnaosema sijui kina Joti and co kwangu mimi naona ni wakasirishaji na si wachekeshaji.Dah! Yawezekana ni kweli lakini kiukweli ubunifu skuizi umeshuka sana mkuu, Yani hata Joti wa skuizi sio joti yule kipindi kile cha ze komedi,sijui tatizo liko wap.
Hahahaa anamuiga sana msaba?Uganda wana mtu anaitwa Teacher Mpamire ni hatari.
Hii comment, nimecheka mpaka machoziUnatoka kununua sukari kilo 1 sh. 4000/= halafu unaangalia vichekesho utacheka kweli?
Hahaha, kaongea point lakinHii comment, nimecheka mpaka machozi
Ingia Instagram mtafute utamuona anaongea english mbovuu... anatembea kama musevenhuyo sijawah msikia,ila hata yule dada anaitwa kansiime ni anajua sana
asee ntamtafutaIngia Instagram mtafute utamuona anaongea english mbovuu... anatembea kama museven