YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Marekani alienda na akaongea na Raisi wa Tanzania aliyeko marekani balozi wa marekani Wilson Masilingi.Hawakukutana hospitali Bali mitaani Lisu akizurura mitaa ya marekani akila bataKumbe mnajua alienda Amerika na mnajua alienda akitokea wapi na baada ya hapo akarudi wapi!!!!???
Kiukweli Jiwe ndio muasisi wa siasa za chuki na kuuana kwenye taifa hili!