Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Pamoja na udogo wa adhabu bado naamini lile lilikuwa ni funzo tosha kwa mawaziri wetu kutojiingiza kwenye tamaa binafsi. Sasa wakati Mramba na Yona wanafagia hospitali pale palestina, kumbe kule serikalini watu walikuwa wanaendeleza wizi tena kwa mbinu na mtindo ule ule! Hakika japo jela kubaya lakini uwoga wako ndio umaskini wako lakini usisahau kwamba ' tamaa mbaya'...... Ahsante!