Kiuhalisia Waziri wa Mambo ya Ndani, Simbachawene kazi imemshinda basi tu ni kubebana

Ukijumlisha na malori inakuwa hatari tupu
Yes mkuu ila sipendi tuonekane tuna mabishano makubwa,ila yakihusisha FACTS itakua vema,malori unayoyazungumzia sio idadi kubwa sana,angalia T1 malori ni ya kawaida mno,kuna kipande cha barabara from kapiri mposhi to copperbelts in Zambia malori ni mengi mno na yenye kubeba mizigo mikubwa na ajali ni za kawaida ,tatizo kubwa letu ni BARABARA zetu ni mbovu karibu zote,kuna N3 from jhb to Durban malori ni mengi mengi mno but ajali zinazotokea sio sawa na hizi za kwetu.
 
Yes mkuu ila sipendi tuonekane tuna mabishano makubwa,ila yakihusisha FACTS itakua vema,malori unayoyazungumzia sio idadi kubwa sana,angalia T1 malori ni ya kawaida mno,kuna kipande cha barabara from kapiri mposhi to copperbelts in Zambia malori ni mengi mno na yenye kubeba mizigo mikubwa na ajali ni za kawaida ,tatizo kubwa letu ni BARABARA zetu ni mbovu karibu zote,kuna N3 from jhb to Durban malori ni mengi mengi mno but ajali zinazotokea sio sawa na hizi za kwetu.

Mkuu tatizo si malori kama malori. Tatizo ni madereva wa malori. Hasa hasa wa Burundi na Rwanda hapa nchini.

Madereva hao, mfano wa Rwanda kwao wanaufyata ila hapa kwetu ni faulo kwa kwenda mbele.

Nadhani hapo nimekuondoa Zambia na SA.

Fuatilia kuona ajali zinazohusisha madereva wa malori wa nchi hizo mbili hapa nchini.
 
Nashangaa sana, waziri simbachawene anafanya kazi zipi? au hata majukumu yake baadhi hayajui.

Nitazungumzia swala la ajali za barabarani kwa sasa naona ndio janga lililopo.

Nadhani ndani ya mwezi wa tisa ni ajali zaidi ya ishirini zimetokea na kuondoa watu, mwezi huu tena wa kumi wembe ni ule ule tangu tarehe moja ni ajali.

Una vitu vingine lazima tu tuwe na akili ya kujihoji kwanini kipindi cha awamu ya tano ajali zilipungua kwa kiasi kikubwa?

Kwanini sasaivi kuna mlolongo wa ajari kila week watu wanakufa na ajali nyingi zinahusisha mabasi tatizo nini? Sasahivi hadi kuna ligi za mabasi watu wanabeti na inajulikana kabisa iko wazi, lakini mhusika hata kutoa tu tamko kashindwa?

Waziri yupo tu anazurula zurula inamaana ameridhika na ajari hizi?

Imekua Tanzania ya ajali sasahivi. Kiukweli Waziri Simbachawene sasaivi tuambiane ukweli tu hiyo nafasi hauiwezi imekushindwa swala la ajali barabarani limekushindwa huna mbinu, umezidiwa hadi na Kangi Lugola,


Utoke tu hapo utupishe,

inaumiza sana na inatia hasira
Hivi mbeleko bado zipo kwasana
 
Kuna roba jingine la kinyesi hapo Madini... yaani utadhani hana kichwa... ni kuwaza wizi, utajiri na madaraka. Full pangua panga..KM ndio Mastermind... na hivi msaidizi wake ni yule msabato wetu hana anachoweza kuongea. Mfano halisi Tume ya madini yaani inatifuliwa mpaka aibu.
 
Kuna roba jingine la kinyesi hapo Madini... yaani utadhani hana kichwa... ni kuwaza wizi, utajiri na madaraka. Full pangua panga... na hivi msaidizi ni yule msabato wetu hana anachoweza kuongea. Mfano halisi Tume ya madini mpaka aibu.
mawaziri mizigo
 
Nashangaa sana, waziri simbachawene anafanya kazi zipi? Au hata majukumu yake baadhi hayajui.

Nitazungumzia swala la ajali za barabarani kwa sasa naona ndio janga lililopo.

Nadhani ndani ya mwezi wa tisa ni ajali zaidi ya ishirini zimetokea na kuondoa watu, mwezi huu tena wa kumi wembe ni ule ule tangu tarehe moja ni ajali.

kuna vitu vingine lazima tu tuwe na akili ya kujihoji kwanini kipindi cha kangi Lugola ajali zilipungua kwa kiasi kikubwa?

Kwanini sasa hivi kuna mlolongo wa ajari kila week watu wanakufa na ajali nyingi zinahusisha mabasi tatizo nini? Sasa hivi hadi kuna ligi za mabasi watu wanabeti na inajulikana kabisa iko wazi, lakini mhusika hata kutoa tu tamko kashindwa?

Waziri yupo tu anazurula zurula inamaana ameridhika na ajari hizi?

Imekua Tanzania ya ajali sasa hivi. Kiukweli Waziri Simbachawene sasa hivi tuambiane ukweli tu hiyo nafasi hauiwezi imekushindwa swala la ajali barabarani limekushindwa huna mbinu, umezidiwa hadi na Kangi Lugola.

Utoke tu hapo utupishe.

Inaumiza sana na inatia hasira.
😅😅😅
 
Back
Top Bottom