Kiuhalisia Serikali haijahamia Dodoma, Dar es Salaam kuna utamu gani?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Ukifuatilia sana, uhamaji wa serikali kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma ni wa kisiasa na changa la macho tu.

'Operations ' nyingi, vikao vizito vya kimkakati na maamuzi makubwa ya nchi hii yanafanyika (Ikulu ya ) Dar es Salaam na siyo Dodoma.Dar es Salaam ndiko kwenye Central Office (Ofisi Kuu), Dodoma ni Branch (Tawi) tu.

Kila kitu Dar es Salaam, vikao vizito Dar es Salaam, vikao vya kimkakati Dar es Salaam, na hata wala viapo wale wateuliwa wanaapishwa Dar es Salaam.

Dar kuna utamu gani? Nini siri ya Dar es Salaam?
 
Km umewah kuish hiz sehemu utagundua utofaut mkubwa. So hata wao huu utofaut wanaujui
 
Mnaambiwa kila siku huyu jamaa ni MNAFIKI, na MBINAFSI sana, ana penda sifa hata za kijinga. Wenzake walamua na kukubali kuwa ikulu iliyopo jijini pembeni ya bahari ndio inapendeza na wakakubali wanapenda kuishi Dar, yeye mpiga zumari kwa kujiaminisha mzalendo kajinasibu wengine walishindwa yeye kaweza, wapiga mapambio wakaimba na kusifu, thubutu hawezi kuhamia Dodoma kimwili atabaki kule kifikra tu, ,
 
Ndio maana wanasisitiza mipango ya taasisi na ukichukulia huu wa kuhamia Dodoma ni wa nchi kabisa inabidi iwekwe wazi na kuwa documented. Hii inasaidia kwenye check and balance ili kama kuna deviation kwenye mipango ijulikane.
 
Back
Top Bottom