Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
"Hadi sasa bado najiuliza tuna serikali ya namna gani. Kama miradi ya umeme wa Stiegler's Gorge, na reli ya kisasa SGR ina chukua nusu bajeti ya serikali.
Je miradi mingine kama barabara na maji lini itawafikia wananchi wetu katika majimbo yetu, yani ina niwia ugumu kuitafakari serikali hii."
Charles Kitwanga
Waziri wa zamani na Mbunge wa Misungwi (CCM)
#MwagaPombe2020
Je miradi mingine kama barabara na maji lini itawafikia wananchi wetu katika majimbo yetu, yani ina niwia ugumu kuitafakari serikali hii."
Charles Kitwanga
Waziri wa zamani na Mbunge wa Misungwi (CCM)
#MwagaPombe2020