Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaruhusiwa hata huku aliingia wa ChademaMimi nimeshuhudia kabisa Mgombea udiwani wa CCM akiingia ndani ya chumba cha kupigia kura na hakuna waliomzuia na Askari alikuwepo
Je hii ni Haki? Ni Halali?
Si ukitaje basi tujue...Ama sivyo unatutia pressure tu as if umetumwa.Nitakitaja ikihitajika.
Hiv ni visingizio tu,,ngojeni hii dawa iingie vzriWakurugenzi sehemu kubwa wameondoa majina ya mawakala wa Chadema jana usiku na kupachika majina wanayoyajua wao, jimbo la Kawe ni mfano mmojawapo.
Hawa wakurugenzi ingetafutwa namna washughulikiwe.
Acha propaganda, wewe ni mtu wa CCM unataka kuwakatisha watu tamaa. Hanithi weweKituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Hiyo ndiyo sifa ya kum-disqualify Lissu kama presidential material; anatokana na organization ambayo iko disorganized! Ata-disorganize tena nchi yetu ambayo sasa hivi iko kwenye njia iliyonyooka!Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Wizi gani tena kamanda wa ufipa? Mlipoambiwa SIASA NI SAYANSI mlipaswa muelewe ona sasa mihemko yenu na uhalisia haviendani.Unashabikia wizi..utachomwa moto peupe...ni vzr ashinde kwa haki sio ujanja ujanja
Kwahiyo mmekinukisha?Mawakala wa upinzani wamenyimwa barua zakuwa wakala, hata Mimi nilipo piga kura hamna wakala, nchi hii upumbavu mwingi wallah
Kitaje ili tupate data zakeNitakitaja ikihitajika.
Si mlisema watakinukisha?Na akikosa Lissu utabaki na hiyo imani mkuu?
Teknolojia imekua ndugu hicho kituo Ni miongon mwa vituo vinavyolindwa kidigital.Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Lisu akiwaambia kama kituo hakina wakala wenu kura msipige. Ni aibu Lisu anapuuzwa hata na wafuasi wakeWakurugenzi sehemu kubwa wameondoa majina ya mawakala wa Chadema jana usiku na kupachika majina wanayoyajua wao, jimbo la Kawe ni mfano mmojawapo.
Hawa wakurugenzi ingetafutwa namna washughulikiwe.
Mimi nilipopigia mawakala wapo wa vyama vyote
Mwongo wewe umejuaje kuwa hao ni mawakala wa vyama Hivyo, mbona hawana utambulisho wowote ktk vituo vingi?Kituo kama icho kipo hapa nilipopigia kura mimi,Mbagala kata ya kimbangulile,kituo cha mlimani B,na A akuna wakala wa Chadema wala ACT.kuna wakala wa CUF,CCM,ADC na Chauma Ubwabwa.View attachment 1614467