Habari nilizozipata hivi punde ni kuwa kituo cha matangazo cha televisheni cha ATN kimevamiwa na watu wasiofahamika.
Watu hao wamefanikiwa kuvunja mali zote ikiwemo na kung'oa vifaa vyote vya kurushia matangazo.
radio Iman Mbona yenyewe haivamiwi?
Habari nilizozipata hivi punde ni kuwa kituo cha matangazo cha televisheni cha ATN kimevamiwa na watu wasiofahamika.
Watu hao wamefanikiwa kuvunja mali zote ikiwemo na kung'oa vifaa vyote vya kurushia matangazo.
########<<<<<
MODERATOR:
Taarifa zilizothibitishwa ni kuwa wizi uliotokea umefanywa na majambazi ambapo wameiba kompyuta, vifaa vya kurekodia lakini si mitambo ya kurushia matangazo.
Wizi huo umefanyika usiku wa kuamkia leo (Oktoba 22, 2012)
Vifaa vilivyoibiwa ni Desktop computers 3, Laptop computers 3 na DvD recorders 2