Jasusi Mbobezi
Senior Member
- May 17, 2020
- 195
- 851
TBC 1 wamefikia hatua ya kuweka matangazo na nyimbo za kuhamasisha chanjo, hawa balance kwa kuweka matangazo na nyimbo za kupinga chanjo, hili ni kosa.
Waziri Gwajima anatuhamasischa tukachanje tena yeye ni kiongozi aliyepewa dhamana ya kuongoza wizara ya Afya.
Askofu Gwajima anatushauri tusichanje yeye ni kiongozi wa kiroho na mwakilishi wa wananchi.
Mh Rais amesema hili jambo ni la hiyari, kila mtu aamue mwenyewe acheni kutushawishi.
Kama mnaruhusu kushawishi basi mkiona mnazidiwa msilielie
NB: Jumapili hii Ufufuo na Uzima (kwa shemeji) hapata tosha.
Waziri Gwajima anatuhamasischa tukachanje tena yeye ni kiongozi aliyepewa dhamana ya kuongoza wizara ya Afya.
Askofu Gwajima anatushauri tusichanje yeye ni kiongozi wa kiroho na mwakilishi wa wananchi.
Mh Rais amesema hili jambo ni la hiyari, kila mtu aamue mwenyewe acheni kutushawishi.
Kama mnaruhusu kushawishi basi mkiona mnazidiwa msilielie
NB: Jumapili hii Ufufuo na Uzima (kwa shemeji) hapata tosha.