Hivi wahusika hamwoni kuwa hawa jamaa wanaoegesha taxi zao kwenye njia ya kuelekea RUCO watasababisha ajari ? Inakuwa ni shida sana kwa magari yanayoingia na kutoka chuoni hawa jamaa wanabana njia pande zote mbili lakini hakuna hatua zinazochukuliwa hadi itakapotokea ajari, jamani wahusika amkeni ondoa hawa watu.