Kituo cha Polisi Nyakanazi ni genge la uhalifu, Waziri Lugola ingilia kati

costercoster

Member
Dec 2, 2018
66
46
Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya ndani naomba uingilie kwa jicho la tatu matendo maovu yanayofanywa na polisi wa nyakanazi , hawa polisi hawafuati maadili ya kazi ya jeshi la polisi, kwani kwa sisi wakazi wa huku wakigundua tu una pesa either umeuza shamba au mifugo basi jiandae kukamatwa na kubambikizwa kesi zsizo na miguu, unatakiwa utoe chochote ili uachiwe. Sio hayo tu hata wale watumiao usafiri wa magari yao binafsi wamekua wakisumbuliwa sana na hawa askari. mara nyingi tunashuhudia askari hawa wakiwandikia wenye magari makosa hata saba nakutakiwa kuwalipa cash huku wakitishia kumpiga mtu risasi. Wao wanajisifu kwamba kwa maeneo haya ya nyakanazi mtu hawezi kupita na gari lake bila kuacha angalau elfu shirini kwao kwani wao ndio watawala wa eneo hilo na wanaweza kufanya lolote na kwa yeyote.

Kwamfano juzi kati hapa walikua wakijisifu kwamba wamepokea risasi 200 zinatakiwa zitumike na kuisha ndani ya wiki 1, je huu si unyanyasaji kwa raia wasio na hatia? yani ili upoite nyakanazi ni lazima ulipe kwao kodi isiyopungua elfu 20? Polisi hawa baadala ya kua msaada kwa sisi wananchi wao wamekua maadui namba moja kwa uhai wetu na mali zetu. Juzi kati wamemtoza jamaa mmoja faini ya sh 120,000 moja wapo ya makosa ikiwa ni mlio mbaya wa gari.

Tunaomba utusaidie, labda kwa kuwarudisha tena CCP labda hawakuelewa vizuri majukumu yao.
 
Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya ndani naomba uingilie kwa jicho la tatu matendo maovu yanayofanywa na polisi wa nyakanazi , hawa polisi hawafuati maadili ya kazi ya jeshi la polisi, kwani kwa sisi wakazi wa huku wakigundua tu una pesa either umeuza shamba au mifugo basi jiandae kukamatwa na kubambikizwa kesi zsizo na miguu, unatakiwa utoe chochote ili uachiwe. Sio hayo tu hata wale watumiao usafiri wa magari yao binafsi wamekua wakisumbuliwa sana na hawa askari. mara nyingi tunashuhudia askari hawa wakiwandikia wenye magari makosa hata saba nakutakiwa kuwalipa cash huku wakitishia kumpiga mtu risasi. Wao wanajisifu kwamba kwa maeneo haya ya nyakanazi mtu hawezi kupita na gari lake bila kuacha angalau elfu shirini kwao kwani wao ndio watawala wa eneo hilo na wanaweza kufanya lolote na kwa yeyote.

Kwamfano juzi kati hapa walikua wakijisifu kwamba wamepokea risasi 200 zinatakiwa zitumike na kuisha ndani ya wiki 1, je huu si unyanyasaji kwa raia wasio na hatia? yani ili upoite nyakanazi ni lazima ulipe kwao kodi isiyopungua elfu 20? Polisi hawa baadala ya kua msaada kwa sisi wananchi wao wamekua maadui namba moja kwa uhai wetu na mali zetu. Juzi kati wamemtoza jamaa mmoja faini ya sh 120,000 moja wapo ya makosa ikiwa ni mlio mbaya wa gari.

Tunaomba utusaidie, labda kwa kuwarudisha tena CCP labda hawakuelewa vizuri majukumu yao.
A-C-H-A M-A-J-U-N-G-U.
 
Kinachowasumbua polisi ni njaa hakuns watu wana maisha magumu kama hao jamaaa
 
Nyakanazi zamani ilikuwa ni njia panda tu ya kuacha lami na kuanza rough road kwenda Kigoma kupitia Kibondo....na kituo cha Polisi kilijengwa baada ya wakati ule wakimbizi wanarudishwa Burundi kupitia Ngara walikuwa wakifika Nyakanazi magari yanapaki hapo na wakimbizi wanapata kuangaliwa na pia magari kuangaliwa kabla ya kuanza safari kwenye lami baada ya kuliacha vumbi.

Na lengo lilikuwa ni kituo cha Polisi kubadilishana wale wanao escort magari kwenda sehemu mbalimbali za akanda ya ziwa na pia walikuwa wanakabiliana sana na majambazi sasa kama na wao wameanza ujambazi hapo ni shida sana.Wizara iingilie kati.
 
Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya ndani naomba uingilie kwa jicho la tatu matendo maovu yanayofanywa na polisi wa nyakanazi , hawa polisi hawafuati maadili ya kazi ya jeshi la polisi, kwani kwa sisi wakazi wa huku wakigundua tu una pesa either umeuza shamba au mifugo basi jiandae kukamatwa na kubambikizwa kesi zsizo na miguu, unatakiwa utoe chochote ili uachiwe. Sio hayo tu hata wale watumiao usafiri wa magari yao binafsi wamekua wakisumbuliwa sana na hawa askari. mara nyingi tunashuhudia askari hawa wakiwandikia wenye magari makosa hata saba nakutakiwa kuwalipa cash huku wakitishia kumpiga mtu risasi. Wao wanajisifu kwamba kwa maeneo haya ya nyakanazi mtu hawezi kupita na gari lake bila kuacha angalau elfu shirini kwao kwani wao ndio watawala wa eneo hilo na wanaweza kufanya lolote na kwa yeyote.

Kwamfano juzi kati hapa walikua wakijisifu kwamba wamepokea risasi 200 zinatakiwa zitumike na kuisha ndani ya wiki 1, je huu si unyanyasaji kwa raia wasio na hatia? yani ili upoite nyakanazi ni lazima ulipe kwao kodi isiyopungua elfu 20? Polisi hawa baadala ya kua msaada kwa sisi wananchi wao wamekua maadui namba moja kwa uhai wetu na mali zetu. Juzi kati wamemtoza jamaa mmoja faini ya sh 120,000 moja wapo ya makosa ikiwa ni mlio mbaya wa gari.

Tunaomba utusaidie, labda kwa kuwarudisha tena CCP labda hawakuelewa vizuri majukumu yao.
Waziri atalifanyia kazi, naamini wahusika ujumbe huu wameupata na utafanyiwa kazi.
 
Daah na hivi mzee baba anasema yuko nyuma yao anawasapoti,hapo ndio shida zaidi.
 
Hii ni serikali ya maskini na wanyonge.Mnauza vimifugo vyenu Mara vijiaridhi mnakuwa na fedha ambazo zitasababisha mtoke kwenye kundi LA serikali pendwa ya wanyonge.Hivyi tutanyang'anywa kila kitu ikibidi haya uhai.
 
Hii ni serikali ya maskini na wanyonge.Mnauza vimifugo vyenu Mara vijiaridhi mnakuwa na fedha ambazo zitasababisha mtoke kwenye kundi LA serikali pendwa ya wanyonge.Hivyi tutanyang'anywa kila kitu ikibidi haya uhai.
Hahahaha............. hatari sana yani hawa jamaa ni hatari sana ni tofauti kabisa na polisi wa sehemu zingine nilizowahi kupita, yaani hata wale polisi wa zambia wanasemekana wana roho mbaya lakini hawaingii hata robo kwa hawa jamaa, yani hawa jamaa ni kundi la uporaji, yani ni mafia mob.
 
Back
Top Bottom