cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Kituo kile kinatakiwa kuondolewa kabisa pale kilipo kinazuia wapita kwa mguu wakati kituo vyenyewe Kiko barabara I.Kuna watu akili zenu ni nyaaa mjue, Kama mazingira ya ile Shell huyajui heri ukae kimia?? Watembea kwa Miguu hawana pa kupita wewe unaleta upimbi wako, Waaache Waliopo Dsm wachangie wewe Uliyepo NAMABENGO au NANJILINJI kaaa kimia.