Mie mwaka umeanza ndivyo sivyoHahaaa Bora ufanye hvo aisee. Na wewe heri ya mwaka mpya
Mie mwaka umeanza ndivyo sivyoHahaaa Bora ufanye hvo aisee. Na wewe heri ya mwaka mpya
ATM zipo kwa wanunua mafuta si wakimbiza upepo na infantria (wasichana wa hall 3 walikuwa wanatuita infantria wakati tunajaribu bingo)Yaani haiingii akilini eti unaruhusu watu wenye magari wanapaki maeneo yale yale wanajaza mafuta ila kupita kwa miguu eti ni hatari nadhani CRDB na Absa na NBC kama sikosei wanazo ATM zao hapo wanapozuia watu wasipite waingilie kati kuna mtu anawahujumu na hana taarifa za msingi. Juzi nusra nilianzishe na masecurity coz haina mantiki me sijui nani anahusika wapi na nini nachojua hapo sehemu kuna huduma za kifedha na fuel filling
Mimi sio mjuzi wa mambo ya kiusalamaHabari kwenu Wadau!
Sheli ya Total ambayo ipo eneo la Mlimani City imekuwa na utaratibu wa hovyo wa kuwanyanyasa Watembea kwa Miguu kwa muda mrefu!
Utaratibu huo umeanza tangu kipindi cha sherehe za Christmas mpaka leo hii! Ukiwa unatembea kwa Miguu, unaendesha baiskeli au ukiwa Mazoezini hauruhusiwi kupita kwenye eneo la Sheli hiyo!
Wapo Walinzi wa Kampuni (nitaweka Jina soon) wenye Silaha ambao wamejipanga pande zote za Sheli kuzuia watembea kwa Miguu! Utaratibu huo haukuwepo miaka yote! Iweje leo unakuja utaratibu wa ovyo kiasi hiki?
Utaratibu huo wa hovyo umepelekea watu kutengeneza njia mbadala ya kuzunguka Sheli kitendo ambao kimeendeleea kuharibu Mazingira kwa Wananchi kujitengenezea njia zao wenyewe!
Tunataka kujuzwa kama utaratibu huu ni mpya kwa Sheli za Mkoa wa Dar es Salaam na kwingineko Nchini au ni Ubabe wa wenyefedha? Itakumbukwa Sheli hii bado ipo kwenye hifadhi ya Barabara na hivyo kuzuia Service Road inayotokea Mlimani City kuja roundabout ya kuelekea kwa Mama Kamche to Calabash! Kitendo cha kuzuia muendelezo wa service road ndio maana watu wamekuwa wakipita chini ya Paa la Sheli hiyo!
Lakini kwenye Sheli kuna huduma za Kibenki, Supermarket na Biashara ya Vilainishi vya Magari nk.
Tunaomba Mamlaka zinazohusika, ikiwemo Ofisi ya RC Kunenge kuingilia kati unyanyasaji na uzalilishaji unaoendelea kwenye Sheli ya Total pale Mlimani City!
Goodluck Mshana
Pole SanaMie mwaka umeanza ndivyo sivyo
Ni sawa usemayo. Basi habari ziwafikie manispaa sijui tanroads. Kama kweli wamechukua eneo la service road hatua zitachukuliwa. Ila Kama eneo ni la kwao wanayo haki ya kukataza mtu kupita.Kituo kimekula eneo la service road, na kublock wanaotumia barabara kwa miguu sasa hapo kosa ni la kwao kwanini ujenge kituo kwenye service road, na hyo service road wameblock vipi Raia wanaoenda mwenge lufungila na kwingine watumie njia ipi. Wengi mnalaumu mleta nada bila kujua kosa ni la kituo ku block njia ya kutokea hyo service road.
Yes napaelewa ingawa sijapita miaka mingi kwa miguu. Basi huu uzi utawashtua wahusika.Na wakishughulikia hyo Hali ni lazima hcho kituo kiondolewe hapo Mana Kiko njiani kabisa, siku zote tumepita hapo why now wa block, maana uwepo wa hicho kituo kisingewepo iwepo njia rahisi ya kuingilia mlimani city na watu wenye magari yanayoenda chuo kikuu, na makongo.
Bro wanazuia watu kupita ndani ya eneo lao au nje ya eneo?Nilipokuta utaratibu huu kipuuzi Mwezi December nikahoji! Majibu yao yalikuwa ni hayo hayo tu. ”Kuna tukio limetokea” simple as such yani!
Shell ya Total... dadadekiHili halina tofauti na NIDO ya Cowbell
Safi Sana aisee waache kutesa raiaNiwashukuru Wadau na JF kwa ujumla! Baada ya uzi huu naona utaratibu umerudi kama zamani! Jana nimepita kufwatilia na kukuta Watembea kwa Miguu wakipita eneo hilo bila kizuizi! Wale Walinzi wa kampuni wenye silaha nao wamepunguzwa kwa asilimia kubwa! Leo tena nitapita kufwatilia utekelezaji!
Duh nini kimemuuaRest in Peace Ally mmiliki wa Total ya M.city.
Nakumbuka ile Range Rover yako ulikua unaipaki pale kwenye bango.
kipi kimepelekea kifo chake tupe ABC MkuuRest in Peace Ally mmiliki wa Total ya M.city.
Nakumbuka ile Range Rover yako ulikua unaipaki pale kwenye bango.
Daaah ni kifua kimepita na mzee wa range nyeupeRest in Peace Ally mmiliki wa Total ya M.city.
Nakumbuka ile Range Rover yako ulikua unaipaki pale kwenye bango.
Kwahiyo kutumia lugha ya kiingereza ndio nini? Anyway, hiyo Trespass kwenye hifadhi ya barabara inatoka wapi?Unafahamu kitu inaitwa trespass!?