stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,819
- 22,919
Hili silifahamu kwa kweli,ngoja na mimi nisubirie majibu ya wanaojua...Wadau habarini za mida hii,
Leo nilikuwa kwenye mchakato wa kulipia mapato ya biashara yangu TRA ila nilipofika kwenye ofisi zao nikaambiwa napaswa kuhamisha TIN yangu kutoka nilipoikatia (mkoa tofauti na nilipo) kuleta mkoa nilipo ndipo niweze kulipia mapato...Naombeni uzoefu kwa yeyote ambaye alishafanya hii, utaratibu wa kuhamisha ukoje?....
Asanteni