Kituo cha Mabasi Magufuli bei ya pango hadi Tsh. 1,200,000/= kwa siku

Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Jina la Kituo HALINA MVUTO, limeacha majeraha mengi kwa watu wa kimara na mbezi kuvunjiwa bila fidia huku watu kama hao huko mwanza kwao alisema wasivunjiwe.

by the way, makada wa CCM ndio waliopata hivyo viduka wacha wapambane na hali zao.
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Hizi bei walipanga wakiwa TRUMP HOTEL MANHATTAN huko New York, wangezipanga wakiwa halmashauri ya jiji la DAr wangejua hali halisi za watanzania.
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
mmetengeneza nchi ya wanyonge alafu mnaweka bei za mabepari, maajabu hayaishi AFRICA.
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
kwa bei hiyo tuwaachie machinga wafanye biashara tu

kwani kariakoo pango ni bei gani
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Hii ni Magufuli Shopping Mall siyo Stendi.They have planned to fail😂😂😂🙌
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Hii ni Magufuli Shopping Mall siyo Stendi.They have planned to fail😂😂😂🙌
 
Mk
Hivi we mjamaa..kwa akili yAko kubwa unadhani ni biashara Gani itamfanya mtu aweze kulipa hiyo kodi yenu na yeye akabaki na gharama za uendeshaji ikiwemo faida!? Hivi mnavyopanga hizo gharama za tenants mnakuwaga mnafikiria future ya hiyo miradi na lengo lake!? ...hii haijalishi uwepo wa machingas na vendors wengine...

Guys nilichogundua Tanzania hii hatuna watu wa planning kabisa..majitu ambayo yanafanya hizi Kazi kwenye taasisi yanafikirigaa kwa tumbo ..

Mfano wa taaisisi hovyo kwa planning ni hao, na ATCL, Halmashauri za miji na majiji, BANK zote , BANDARI, TRA, TBS, TBC, RITA, TANROADS, almost zote ambazo zinagusa maisha ya mtanzania..majitu huko ofisin hayana mawazo mdala zaidi ya kufikiria kukusanya kwa Raia tu..haya makitu ni maboga
Mkuu kuna uhaba wa Business experts serikalini.Maana angalia teuzi za wakurugenzi hasa mashirika wengi unakuta PhD holders kutoka vyuoni na wengi hawana exposure ya masuala ya Biashara,hii pia ata kwa nafasi zingine wengi ni graduates(mjomba).Inabidi waanze kufanya head hunting kwenye private sector.
 
Naanza kuona kituo kikianza kuwa sehemu ya kusambazia unga mikoani na nje ya nchi , kwa biashara za halali huwezi kulipa kodi hizo
Uko sahihi, kisipokuwa distribution centre ya mirungi, bangi na maunga kwa South Eastern Central Africa, basi kweli nchi hii tutakuwa na wafanyabiashara wa maji na juice.
Tusiseme sana huenda Bakhressa na Watercom wanachukua warehouse spaces.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
kwa nn ufanye investment ghali kiasi hicho huku ukijua hakuna uhasia?, unampata wapi mtu kulipa 1.2 mil kwa biadhara za mbezi mwisho?
60b ni inflated costs
 
Hizo sehemu, wanaolalamika ni huku kwenye mitandao tu!
Kuna watu hawajui hii na hata smartphone hawamiliki lakini kwenye hizo frem za kuuzia soda na vinywaji ambapo kodi yake ni 1M+ per day ndio wamezishikilia! Nenda pale uone kama hazina wapangaji wanaouza hivyo vyakula na vinywaji tena kwa bei chee kabisa!
Fanya hesabu ndogo tu, watu wanaoingia stand pale wastani kwa siku ni zaidi ya watu 12,000. Kati yao watu 4000 wakinunua maji kwa bei ya Tsh 500, hiyo ni 2M kiwango cha chini!
Msosi bei ya wastani 1500/= kwa watu 4000 hiyo ni 6M!
Usiseme hao watu 4000 watakaa wapi, au kama wote wataenda sehemu moja maana sehemu zitakuwa nyingi!
Ukweli ni kwamba wenye fedha na uwezo wa kulipa tayari wapo mzigoni, wasio na vibanda hata vya chips ndio wamebaki kulalamika tu, utadhani walienda wakafukuzwa kwa mtutu!
mkuu fremu moja kuhudumia wateja 4000 sio kitu cha kawaida na haipo, unapopiga hesabu za faida kibiashara usipende kuweka high side .
 
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
Sasa wewe kwa akili yako na kama kweli yalio andikwa hapo ni sahihi unadhani ni wangapi watapangisha hizo frem na kufanya biashara?
Na unafahamu kazi za serikali kwa wananchi kweli wewe?
 
Mk

Mkuu kuna uhaba wa Business experts serikalini.Maana angalia teuzi za wakurugenzi hasa mashirika wengi unakuta PhD holders kutoka vyuoni na wengi hawana exposure ya masuala ya Biashara,hii pia ata kwa nafasi zingine wengi ni graduates(mjomba).Inabidi waanze kufanya head hunting kwenye private sector.
Sure .. Ila hata wakifanya hivyo .wakishaingia Serikali tu wanakuwa uozo mpaka unajiuliza huyu si alikuwa vile na vile akiwa kule ..mbona huku ni kibuyu !? Nilichogundua Serikali hakuna presha ya kutekeleza Mambo, wengi wanaofanya Kazi huko wanafanya kimazoea ndio maana ubunifu hakuna...
 
Ndugu yangu hao watu wa Kimara - Mbezi siyo tu waliumia wengi walikufa kwa idadi kubwa sana na wengine wakabaki maskini wa kutupa. Yaani maisha yaliharibika sana kwa barabara ya meta 15 left na 15 right iliyobomoa meta 130 left na 130 right 20km with no compensation.
Jina la Kituo HALINA MVUTO, limeacha majeraha mengi kwa watu wa kimara na mbezi kuvunjiwa bila fidia huku watu kama hao huko mwanza kwao alisema wasivunjiwe.

by the way, makada wa CCM ndio waliopata hivyo viduka wacha wapambane na hali zao.
 
Endeleeni kuimba pambio

Nimesema mara nyingi hivyo vinavyoitwa miradi ya kimkakati ni upuuzi wa kupoteza kodi zetu

Mamiradi yote ya dizaini hiyo kama mastendi ,masoko nk nk ni liabilities na white elephant

Mambo ya biashara iachiwe sekta binafsi serikali ijenge mambo ya huduma kwa umma na kuwezesha sekta binafsi ijiendeshe wao wachukue kodi tuu
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Kwa kodi kuna watu wanaimudu kweli?
 
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
Kwachukue TU fremu mkuu hupangiwi.

Sema ndo vile, Kuna watu humu mna chuki na wafanyabiashara.

Na asilimia KUBWA watu Kama nyie ata karanga hamjawahi uza.
 
Back
Top Bottom