Kituo cha Mabasi Magufuli bei ya pango hadi Tsh. 1,200,000/= kwa siku

Hizo sehemu, wanaolalamika ni huku kwenye mitandao tu!
Kuna watu hawajui hii na hata smartphone hawamiliki lakini kwenye hizo frem za kuuzia soda na vinywaji ambapo kodi yake ni 1M+ per day ndio wamezishikilia! Nenda pale uone kama hazina wapangaji wanaouza hivyo vyakula na vinywaji tena kwa bei chee kabisa!
Fanya hesabu ndogo tu, watu wanaoingia stand pale wastani kwa siku ni zaidi ya watu 12,000. Kati yao watu 4000 wakinunua maji kwa bei ya Tsh 500, hiyo ni 2M kiwango cha chini!
Msosi bei ya wastani 1500/= kwa watu 4000 hiyo ni 6M!
Usiseme hao watu 4000 watakaa wapi, au kama wote wataenda sehemu moja maana sehemu zitakuwa nyingi!
Ukweli ni kwamba wenye fedha na uwezo wa kulipa tayari wapo mzigoni, wasio na vibanda hata vya chips ndio wamebaki kulalamika tu, utadhani walienda wakafukuzwa kwa mtutu!
Acha uongo, mimi leo hii nimefika pale, na usiseme kabla hujafanya uchunguzi. Frem za ndani ni frem 2 tu zinafanya kazi tena pale jengo la utawala. Moja ni stationery na nyingine ni kinyozi mbele kabisa. Nyingine zote 198 hazijafanya kazi. Mama na baba ntilie ni wengi sana nje ya uzio wa kituo. Machinga ndio usiseme kwani ni wengi mno ndani na nje. Hizo hesabu zako ni za kufikirika.
 
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
uncle povu la nn? Ndo tumewaachia mapango yenu ya milion kwa mwezi.
Na sisi tumeua maduka yetu tumeweka bidhaa geto tumeajiri machinga wa vtambulisho vya elfu 20 kwa mwaka wanapga kaz kwa kamishen wkt si tupo ktaa tunacheck mambo mengne huku tukchart jf hapa.
 
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
Kwaio kwa akili zako ni sahihi kulipa ml 36 pango kwa mwaka?!!wewe kwenye biashara yako unalipa pango bei gani?!! Au ndio hata biashara ujui maana yake ni nn zaidi ya kusoma biashara kwenye vitabu!!
 
hizo bei kichaa..

hata kituo kiwe na uwezo wa kuingiza watu zaidi ya 100k na machinga wasiwepo ndani ya kituo bado kodi ya pango hailipiki

eneo LA kituo ni dogo kufanya mzunguko pia aina ya biashara zenyewe ni zile za huduma kwa jamii;yaani faida zake ni kiduchu

wanaojikongoja kufanya biashara hapo wanakufa na tai...au bado wako nusu kaputi
 
Acha jazba za kike.

Najadili bei ya pango hapo station ambapo ni tsh.million 36 kwa mwezi.

Huyo marehemu mume wako unayemtaja hapa mimi hata sijamzungumzia ila najua wajane huwa mnachelewa sana kuamini kuwa mmefiwa na mume.

Any way maliza Eda ni siku 40 tu utakaa sawa.

Dah! Wewe kama ni jinsia ya kiume nampa pole Mke wako kama unae,mwanaume gani unajua kuchamba kama kina Mwajuma Ndala ndefu.
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Mbona kwanza imeandikwa kwa Kingereza
 
Sijawahi kuona kituo cha ovyo kama hiki cha magufuli.
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
 
Watu tuliofika ndani ya kituo na kushuhudia ni eneo tofauti sana na Ubungo hasa kwa ufinyu wa nafasi, huyo mwenye biashara ya maji, awe ni yeye peke yake asiwe na mpinzani LABDA ataweza.

Kodi yake ni kubwa kuliko kodi ya benki anakoenda kukopa! Hebu tuone!

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
Kwani hilo jengo linaharibika ndani ya mwaka...
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom