Lindembwee
Senior Member
- Aug 15, 2018
- 144
- 94
Habari wana jf. Samahani kwa mtu yeyote anafehama, ningeomba anifahamishe kituo kimoja wapo cha kulea watoto yatima maeneo ya BAGAMOYO, au Pwani, ambacho kipo katika hali mbaya zaidi, chenye uhitaji mkubwa, ukiacha hivi ambavyo vipo popular na vinauwezo kiasi.
Lengo, ni kwenda kutoa angalau chochote kwa ndugu zetu hawa wenye uhitaji.. Tupo kama kikundi tume ji organize kwa lengo Hilo, kulitimiza siku ya 25 desember.
Karibuni.
Lengo, ni kwenda kutoa angalau chochote kwa ndugu zetu hawa wenye uhitaji.. Tupo kama kikundi tume ji organize kwa lengo Hilo, kulitimiza siku ya 25 desember.
Karibuni.