King klax
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 4,241
- 2,678
Katikati ya nchi ni Singida mkuuMimi nishaacha kuwaza. Nahisi Dodoma kuna kitu amegundua aliingia chaka. Sasa ili tuone kama yuko Dodoma anaipotezea na Chato. Ila kiuhalisia Dar hapakwepeki. Hata Heche alisema bungeni kuwa walikurupuka. Hata wataalamu wa afya wanajua kuwa Dodoma ni katikati ila walishauri ni mkondo mbaya sana wa majanga asili. Ushahidi ni lele vumbi la Dodoma la mwezi wa tisa.
Hao ni nyumbu Mkuu. Sifa kubwa ni kuropoka. Leo hawamshangai Makamu Mwenyekiti wa Chadema kwamba tangu achaguliwe hajawahi kuingia ofisini wala kufanya kazi yoyote ya chama. Akili zote kwa JPM anayechapa kazi usiku na mchana. Kwani Chato si Tanzania? Dodoma si Tanzania? Ajabu angekaa tu Dar bado wangelalamika. Ndio maana Mzee Mkapa aliwaita "Wajinga na Wapumbavu"!
Kwa hiki ulichoandika hata wewe matusi ya Che Nkapa yanakuhusu!Hao ni nyumbu Mkuu. Sifa kubwa ni kuropoka. Leo hawamshangai Makamu Mwenyekiti wa Chadema kwamba tangu achaguliwe hajawahi kuingia ofisini wala kufanya kazi yoyote ya chama. Akili zote kwa JPM anayechapa kazi usiku na mchana. Kwani Chato si Tanzania? Dodoma si Tanzania? Ajabu angekaa tu Dar bado wangelalamika. Ndio maana Mzee Mkapa aliwaita "Wajinga na Wapumbavu"!
Chato kule kuna hoteli yetu nzuri tunaweza tukawalaza wote kwenye entourage ya Mh. kwa gharama cheap (100000-250000) tena za state, tuna presidential suites, tuna benki ya CRDB, tuna traffic lights, tuna airport, national park ya Rubondo, na pia tunajenga referral hospital. Usilalamike hakuna shughuli ya kitataifa imewahi kusimamia kwa ajili ya kufanya kazi Dodoma, Dar au nyumbani Chato. Huu utakuwa tu wivu wa kike. Pia tuna ndege za kwenda dar faster kama kuna dharura. Kwa shida iko wapi?Maana akikaa Dodoma wiki anaenda Chato anakaa mwezi anakuja Dar kuapisha mabalozi anakaa wiki 3.
Hivi pesa za walipa kodi kiasi gani zinapotea kwa huu uzembe wa kuishi ikulu tatu kwa wakati mmoja?
Watanzania waambiwe ukweli kama pia Ikulu ya Dodoma haikaliki maana huu ni kama utapeli na usanii.
Imagine toka mwaka jana Mheshimiwa hajakaa kabisa Dodoma,
Labda Ikulu hazikaliki kama kweli umehamia Dodoma kwanini usiwaite watu kuwaapisha kule?
ngoja nitunze hakiba tu nisije nyea debe nahivi ala za vidole nishatoa mweeeMaana akikaa Dodoma wiki anaenda Chato anakaa mwezi anakuja Dar kuapisha mabalozi anakaa wiki 3.
Hivi pesa za walipa kodi kiasi gani zinapotea kwa huu uzembe wa kuishi ikulu tatu kwa wakati mmoja?
Watanzania waambiwe ukweli kama pia Ikulu ya Dodoma haikaliki maana huu ni kama utapeli na usanii.
Imagine toka mwaka jana Mheshimiwa hajakaa kabisa Dodoma,
Labda Ikulu hazikaliki kama kweli umehamia Dodoma kwanini usiwaite watu kuwaapisha kule?