Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

Jodeo

JF-Expert Member
Mar 10, 2015
1,286
1,326
garlic.jpg


Men and women generally agree, garlic on the breath isn't pleasant. But according to a new study, men who eat garlic actually smell more pleasant and attractive to the opposite sex—not their breath, but their body odor. And if that finding isn’t counter-intuitive enough, it’s made all the stranger by the fact that only men in the study who consumed a lot of garlic—the equivalent of four bulbs a day—enjoyed the effect.

The study had three phases in which the amount and type (bulbs or capsules) of garlic given to 42 male participants were varied. The researchers collected their body odor with pads worn for 12 hours, which were subsequently sniffed by 82 women who rated their pleasantness, attractiveness and intensity.

In the first phase, the men ate 6 grams of garlic (about two cloves worth) with bread and cheese. The women who sniffed their pads didn’t rate their odor any differently than they rated the odor of men who ate only bread and cheese. In the next phase researchers doubled the amount to 12 grams, or four cloves. In this case the women judged the odor as significantly more pleasant, attractive and less intense than the non-garlic odor. In the final phase the men consumed 12 grams in capsules and the women again rated their odor as more attractive and less intense.
The results suggest that something about garlic in body odor is attractive to the opposite sex, but what and why? While the study doesn’t provide solid answers, the researchers speculate that the health-boosting benefits of eating garlic may be discernable in body odor, producing an olfactory marker of good health for the opposite sex to home in on.

According to study co-author Craig Roberts, Professor of Psychology at the University of Stirling, UK, “From an evolutionary perspective, formation of preferences for diet-associated body odors was possibly shaped by means of sexual selection. Previous research indicates that many animal species use diet-associated cues to select mates in good physical condition.”

Again, this is speculative, but there’s decent evidence linking garlic to a few notable health boosts, and it’s conceivable that one or more of them could be identifiable in human sweat.

Roberts adds, “As the health benefits of garlic consumption include antioxidant, immunostimulant, cardiovascular, bactericidal and anti-cancer effects, it is plausible that human odor preferences have been shaped by sexual selection.”

Or it’s possible that once garlic is digested, it simply produces a chemical reaction evidenced in male sweat that is, for whatever reason, appealing to women. At least some women.

Either way, the results are intriguing and eating more garlic from a health standpoint isn't a bad idea, side benefits notwithstanding.

MICHANGO YA WADAU
FAIDA ZA KITUNGUU SAUMU KWA MWANAUME NA JINSI YA KUTUMIA

Kitunguu saumu kina allicin, kiambato kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi. Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina ya kufanya mapenzi.

Sifa kuu za kitunguu saumu zinazokifanya kuwa na uwezo na faida nyingi mwilini ni kuwa na viasili kadhaa ambavyo vina uwezo tofauti tofauti.
Baadhi ya viasili hivi husaidia kutanuka kwa mishipa ya damu ( vasodilation kwa lugha ya kiingereza) kwa kubadilisha polysulphides zilizo ndani yake kuwa hydrogen sulphides kwenye seli nyekundu za damu.
Pia, kitunguu saumu husaidia kuthibiti kiwango cha kemikali iitwayo homocystine
mwilini na hivyo kupunguza madhara ya kisukari. Kitunguu saumu kina allicin , kiambato ambacho husaidia mwili kuwa na mzinguko mzuri wa damu hadi kwenye viungo vya uzazi.
Kuwa na damu ya kutosha katika uume husababisha hiki kiungo kusimama na hivyo kustaimili tendo la ndoa kwa muda mrefu.

Namna ya kutumia kitunguu swaumu:

1. Chukuwa kitunguu swaumu kimoja

2. Kigawanyishe katika punje punje

3. Chukua punje 6

4. Menya punje moja baada ya nyingine

5. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika 10

6. Meza kama unavyomeza dawa na maji nusu lita kila unapoenda kulala. Namna nyingine nzuri zaidi ni kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha mtindi freshi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku ukipata faida nyingine mhimu zilizomo kwenye mtindi.

Fanya hivi kila baada ya siku 1 unapoenda kulala kwa wiki 3 mpaka 4.
Unaweza pia kuendelea kukitumia hata kama unmepona tatizo lako. Ukiona kichwa kizito au kinauma pumzika kutumia kitunguu swaumu kwa siku 3 hivi kisha endelea tena, muhimu usitumie kila siku bali ni kila baada ya siku 1.

Usisahau kufanya mazoezi kegel.


Mawasiliano 0767759147
TUMIA KITUNGUU SWAUMU ILI KUZUA KUWAHI KUFIKA KILELENI MAPEMA

Hivi karibuni kumekuwapo na tatizo la wanaume wengi kuwahi kufika kileleni, huku kitendo hicho kikichangawa na sababu mbalimbali ikiwamo mawazo na sababu nyinginezo. Ikiwa wewe unatatizo la kuwahi kufika kileleni basi inasadikika ya kwamba kitunguu swaumu ni tiba tosha.

Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida nyingi mwilini ni kule kuwa kwake na viasili kadhaa (ingredients) ambavyo vinafanya kazi tofauti tofauti. Uwezo wake wa kiutendaji unatokana na sifa zifuatazo:

Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.

Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na hivyo kupunguza madhara ya kisukari.

Ukivikata vipande vidogo vidogo hivi (chop), vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo kwa kitaalamu kama ‘Allicin’ ambayo ni dawa dhidi ya bakteria, na ‘Phytoncide’ ambayo huua fangasi mbalimbali mwilini.

1. Chukuwa kitunguu swaumu kimoja. Kigawanyishe katika punje punje
2. Chukua punje 6
3. Menya punje moja baada ya nyingine.
4. Kisha vikatekate (chop) vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika 10

Baada ya hapo meza kama unavyomeza dawa na maji nusu lita kila unapoenda kulala. Namna nyingine nzuri zaidi ni kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha mtindi freshi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku ukipata faida nyingine mhimu zilizomo kwenye mtindi.

muungwana blog
VITUNGUU KIBOKO KWA HESHIMA YA NDOA

Kama jibu ni ndiyo, basi shaka hiyo haipaswi kuachwa bila kufanyiwa kazi. Ulaji wa vitunguu wenye kuzingatia maelekezo sahihi ya wataalamu wa lishe ni suluhisho tosha la namna bora ya ‘kunogesha’ ndoa, sababu ikiwa ni uwezo mkubwa wa chakula hicho katika kuupa mwili nguvu ya kushiriki jambo hilo kwa namna iliyo bora zaidi.

Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, ambazo baadhi zinachambuliwa kwa kina katika mitandao yenye habari za mapenzi na lishe kama wa ‘knowyourlove.wordpress’, ni kwamba ulaji wa vitunguu huwaongezea wawili uwezekano wa kufaidi ndoa yao kwa kuwapatia afya bora ya mwili kwa ajili ya mambo ya ndoa.

Inaelezwa kuwa vitunguu ni chanzo cha utitiri wa madini muhimu yanayohitaji mwilini, yakiwamo yale yanayosaidia kurekebisha kiwango cha sukari ambacho hutajwa kuwa chanzo cha kuyumbisha uwezo wa wawili katika kuridhishana pindi kisipodhibitiwa ;
kuimarisha afya ya moyo; kuzuia kansa; kuukinga mwili dhidi ya vidonda vya tumbo na pia kuzuia maambukizi ya vimelea mbalimbali vya magonjwa mwilini.

Kwa mujibu wa madaktari na pia wataalamu wa lishe, inaelezwa kuwa vitunguu ni chakula chenye kiasi kikubwa cha
‘aphrodisiac ‘, ambacho ni kiini lishe muhimu kwa masuala ya unyumba.

“Husaidia pia kuongeza nishati na kuimarisha viungo vya mwili vinavyohusika katika kuzalisha vichocheo vya tendo la ndoa.

Vitunguu pia huongeza mwilini kiwango cha testosterone na kusaidia kuongeza nguvu ya kushiriki tendo la ndoa,” mmoja wa madaktari aliiambia Nipashe kuhusiana na umuhimu wa vitunguu mwilini.

NAMNA YA KUVITUMIA
Inaelezwa kuwa faida za vitunguu mwilini ni nyingi, lakini zote hupatikana vyema pale mlaji anapozingatia maelekezo sahihi kabla ya kuvijumuisha katika mlo wake.

Miongoni mwa njia zinazoweza kumpa faida mlaji mwenye nia ya kupata ufumbuzi wa tatizo la nguvu za kiume (kwa kina baba), kwa mujibu wa wataalamu wa lishe, ni pamoja na kuvitafuna vikiwa vibichi au mcghanganyiko wake baada ya kupondwa.

“Unaweza kukata kitunguu katika vipande vinne na kuvisaga kwa blenda (blender). Baada ya hapo, kunywa juisi yake ambayo husaidia sana kumuongezea mlaji uwezo wa kushiriki tendo la ndoa,” alisema mtaalamu mwingine kabla ya kuongeza kwa kutoa tahadhari:

“Juisi (ya kitunguu) ni chungu na hivyo unapaswa kunywa polepole ili kutoushitua mfumo wa mwili kwa kuinywa ghafla na kwa haraka.

Kuongeza vitunguu swaumu katika juisi ya vitunguu vya kawaida pia ni jambo zuri na husaidia sana kuongeza nguvu za tendo la ndoa. Mchanganyiko wake unaweza kuitwa dozi ya mapenzi kutokana na faida zake nyingi mwilini kwa ajili ya kufanikisha tendo la ndoa.”

Aidha, inaelezwa kuwa njia nyingine nzuri ya kutumia vitunguu ni kwa kuvikata vipande vidogo vidogo na kuvikaanga kwa jibini, kisha kuvila pamoja na asali kama chakula cha kwanza kuingia mwilini asubuhi.

Mchanganyiko huu unatajwa vilevile kuwa nafaida kubwa za afya ya tendo la ndoa na pia huupa mwili kiasi kikubwa cha kiinilishe cha ‘aphrodisiac’.

Vitunguu husaidia pia kuongeza urembo katika ngozi za walaji wake, hasa kina mama.

Chanzo: Nipashe
KITUNGUU SWAUMU HUTIBU MAGONJWA 30

Thursday, November 17, 2016 Afya
Mungu anaposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hamaanishi maarifa ya kutengeneza au kuendesha ndege, ni maarifa ya kawaida tu katika maisha yetu ya kila siku ambayo yanaweza kubadilisha afya na ustawi wetu. Moja ya mmea ambao umependelewa sana na Mungu kwakuwa na viinilishe vingi na mhimu sana kwa afya ya binadamu ni kitunguu swaumu. Kitunguu swaumu ni dawa karibu kwa kila ugonjwa.

Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum. Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000 iliyopita. Matumizi makuu nyakati hizo yakiwa viungo katika mboga na tiba.

Kitunguu swaumu kimetajwa kwenye vitabu mbalimbali vya dini vikielezea faida zake katika kutibu maradhi mbalimbali yasababishwayo na bakteria, matatizo katika mapafu, matatizo katika mfumo wa umen’genyaji chakula, na matatizo ya kuishiwa nguvu.

Historia inaonesha kuwa, vitunguu swaumu vilianza kutumika China mwaka 510 K.K na pia vilitumiwa na wanajeshi wa Ugiriki na Roma. Aidha wasafiri wa vyombo vya baharini na vijijini pamoja na wakulima barani Afrika walivitumia sana.

Mwaka 1858, mtafiti na mwanasayansi wa nyakati hizo, Louis Pasteur aligundua uwezo wa kitunguu swaumu katika kuua vimelea mbalimbali vinavyosababisha magonjwa, na hivyo vikaanza kutumika kama dawa ya kusafishia vidonda na kuzuia kidonda ndugu hasa zama za vita ya kwanza na pili ya dunia. Isitoshe, mpaka sasa zipo dawa kadhaa zilizotengenewa kwa kutumia jamii hii ya vitunguu swaumu ikiwemo dawa ya kusafisha mdomo (mouth wash).

Huko sokoni tayari nimeviona vitunguu swaumu kutoka China na Afrika kusini ambavyo vyenyewe huwa vina punje kubwa nene na huwa rahisi kuvimenya, hata hivyo ili upate faida hizi zote hapa chini naendelea kukushauri utumie vitunguu swaumu vyetu vinavyolimwa hapa Tanzania kwani hivyo vya kutoka nje pamoja na kuwa ni rahisi kuvimenya lakini ubora wake si kama ule wa vitunguu vyetu.

Hakikisha kila mboga unayopika haikosi kitunguu swaumu ndani yake na ikibidi ukiweke mwishoni mwishoni unapokaribia kuipuwa mboga yako toka katika moto kwamba kisiive sana hata kupoteza viinilishe vyake. Kama una friza au friji ya kawaida unaweza kumenya vitunguu swaumu hata kilo nzima na kuvitwanga kidogo katika kinu, vifunge vizuri katika bakuli au mfuko wa plastiki na uvihifadhi katika friza au friji na hivyo kila unapopika unachukuwa tu na kukitumia ili kuepuka usumbufu wa kukimenya kila siku.

Lakini ili upate faida zaidi za kitunguu swaumu utatakiwa ukimeze katika maji kikiwa kibichi, yaani bila kupitishwa katika moto au kuwa kimepikwa.

Kitunguu swaumu hutibu magonjwa 30
Haya ni baadhi ya magonjwa yanayotibika au kukingika na kitunguu swaumu:



1. Huondoa sumu mwilini

2. Husafisha tumbo

3. Huyeyusha mafuta mwilini (kolestro)

4. Husafisha njia ya mkojo

5. Hutibu amoeba, minyoo na Bakteria

6. Huzuia kuhara damu (Dysentery)

7. Huondoa Gesi tumboni

8. Hutibu msokoto wa tumbo

9. Hutibu Typhoid

10. Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi

11. Hutibu mafua na malaria

12. Hutibu kifua kikuu

13. Hutibu kipindupindu

14. Hutibu upele

15. Huvunjavunja mawe katika figo

16. Hutibu mba kichwani

17. Huupa nguvu ubongo

18. Huzuia meno kung’ooka na kutuliza maumivu

19. Huongeza SANA nguvu za kiume

20. Hutibu maumivu ya kichwa

21. Hutibu kizunguzungu

22. Hutibu shinikizo la juu la damu

23. Huzuia saratani/kansa

24. Hutibu maumivu ya jongo/gout

25. Huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

26. Huongeza hamu ya kula

27. Huzuia damu kuganda

28. Husaidia kutibu kisukari

29. Husaidia kutibu tatizo la kukosa usingizi

30. Huongeza SANA kinga ya mwili

Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida zilizoainishwa hapo juu ni kule kuwa kwake na viasili kadhaa (ingredients) ambavyo vinafanya kazi tofauti tofauti. Uwezo wake wa kiutendaji unatokana na mambo yafuatayo;

Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.
Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na kupunguza madhara ya kisukari.
Iwapo vitapondwa pondwa vizuri, vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo Allicin ambayo ni dawa dhidi ya bateria, na phytoncide ambayo huua fangasi wa aina mbalimbali.
Harufu mbaya ya kitunguuu swaumu hutokana na gesi aina ya hydrogen sulfide ambayo hutolewa baada ya kuvila.

Nini madhara ya vitunguu swaumu?
Ukiacha faida zake, vitunguu swaumu pia vina hasara na madhara mbalimbali kwa mtumiaji. Madhara hayo ni pamoja na;

- Harufu mbaya mdomoni ambayo hutokana na kemikali ya AMS (allyl methyl sulfide). Harufu mbaya hii, hata hivyo, yaweza kupunguzwa kwa kunywa maziwa au kunywa maji mengi.

-Kwa baadhi ya watumiaji, vinaweza kuwaletea mzio au mcharuko mwili (allergies au inflammatory reactions)

-Kichefuchefu, Kutapika na kuharisha.

-Huweza kusababisha hatari ya kuvuja damu, kwa sababu huzuia kazi ya seli sahani (platelets) zenye kusaidia kuganda kwa damu kushindwa kufanya kazi yake vizuri, na hususani kwa mama wajawazito, baada ya upasuaji au mara baada ya kujifungua.

-Huingiliana katika utendaji kazi wake na dawa kadhaa kama vile warfarin, antiplatelets, saquinavir, dawa za shinikizo la damu kwa ujumla hasa calcium channel blockers, na antibiotiki za jamii ya quinolone kama vile ciproflaxacillin.

· Aidha, vinaelezwa pia kuwa na madhara kwa wanyama jamii ya paka na mbwa.


 
Kile kitu kinanuka sana uliwezaje kutafuna?
Mwanzo nilikuwa natafuna punje tatu daily, baadae nikawa nakitwanga kitunguu chote ila sio kilasiku, harufu yake kuiondoa easy, nilikuwa baada ya kutumia nabrush kinywa hasahasa ulimi na upper part, then nakunywa maji kama lita moja au zaidi, then nakunywa maziwa, huwa yanasaidia sana kukata harufu, baadae unaweza kumalizia na matunda au chewing gum. n.k
 
Vyakula vya asili vina play important role katika kujenga na ku stablize miili wengi wanakula junky food sana . afu Hili swala la 6x6. Lifanye huna stress yaani mwenyewe atasimulia sasa wengi mnafanya mkiwa na mawazo mengi huwezi perform vizuri

La sivyo torch lako betri ziko down au charge zimeisha.
 
Kitunguu Swaumu hutibu magonjwa 30
Mungu anaposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hamaanishi maarifa ya kutengeneza au kuendesha ndege, ni maarifa ya kawaida tu katika maisha yetu ya kila siku ambayo yanaweza kubadilisha afya na ustawi wetu. Moja ya mmea ambao umependelewa sana na Mungu kwakuwa na viinilishe vingi na mhimu sana kwa afya ya binadamu ni kitunguu swaumu. Kitunguu swaumu ni dawa karibu kwa kila ugonjwa.

Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum. Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000 iliyopita. Matumizi makuu nyakati hizo yakiwa viungo katika mboga na tiba.

Kitunguu swaumu kimetajwa kwenye vitabu mbalimbali vya dini vikielezea faida zake katika kutibu maradhi mbalimbali yasababishwayo na bakteria, matatizo katika mapafu, matatizo katika mfumo wa umen’genyaji chakula, na matatizo ya kuishiwa nguvu.

Historia inaonesha kuwa, vitunguu swaumu vilianza kutumika China mwaka 510 K.K na pia vilitumiwa na wanajeshi wa Ugiriki na Roma. Aidha wasafiri wa vyombo vya baharini na vijijini pamoja na wakulima barani Afrika walivitumia sana.

Mwaka 1858, mtafiti na mwanasayansi wa nyakati hizo, Louis Pasteur aligundua uwezo wa kitunguu swaumu katika kuua vimelea mbalimbali vinavyosababisha magonjwa, na hivyo vikaanza kutumika kama dawa ya kusafishia vidonda na kuzuia kidonda ndugu hasa zama za vita ya kwanza na pili ya dunia. Isitoshe, mpaka sasa zipo dawa kadhaa zilizotengenewa kwa kutumia jamii hii ya vitunguu swaumu ikiwemo dawa ya kusafisha mdomo (mouth wash).

Huko sokoni tayari nimeviona vitunguu swaumu kutoka China na Afrika kusini ambavyo vyenyewe huwa vina punje kubwa nene na huwa rahisi kuvimenya, hata hivyo ili upate faida hizi zote hapa chini naendelea kukushauri utumie vitunguu swaumu vyetu vinavyolimwa hapa Tanzania kwani hivyo vya kutoka nje pamoja na kuwa ni rahisi kuvimenya lakini ubora wake si kama ule wa vitunguu vyetu.

Hakikisha kila mboga unayopika haikosi kitunguu swaumu ndani yake na ikibidi ukiweke mwishoni mwishoni unapokaribia kuipuwa mboga yako toka katika moto kwamba kisiive sana hata kupoteza viinilishe vyake. Kama una friza au friji ya kawaida unaweza kumenya vitunguu swaumu hata kilo nzima na kuvitwanga kidogo katika kinu, vifunge vizuri katika bakuli au mfuko wa plastiki na uvihifadhi katika friza au friji na hivyo kila unapopika unachukuwa tu na kukitumia ili kuepuka usumbufu wa kukimenya kila siku.

Lakini ili upate faida zaidi za kitunguu swaumu utatakiwa ukimeze katika maji kikiwa kibichi, yaani bila kupitishwa katika moto au kuwa kimepikwa.

Kitunguu swaumu hutibu magonjwa 30
Haya ni baadhi ya magonjwa yanayotibika au kukingika na kitunguu swaumu:


1. Huondoa sumu mwilini
2. Husafisha tumbo
3. Huyeyusha mafuta mwilini (kolestro)
4. Husafisha njia ya mkojo
5. Hutibu amoeba, minyoo na Bakteria
6. Huzuia kuhara damu (Dysentery)
7. Huondoa Gesi tumboni
8. Hutibu msokoto wa tumbo
9. Hutibu Typhoid
10. Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi
11. Hutibu mafua na malaria
12. Hutibu kifua kikuu
13. Hutibu kipindupindu
14. Hutibu upele
15. Huvunjavunja mawe katika figo
16. Hutibu mba kichwani
17. Huupa nguvu ubongo
18. Huzuia meno kung’ooka na kutuliza maumivu
19. Huongeza SANA nguvu za kiume
20. Hutibu maumivu ya kichwa
21. Hutibu kizunguzungu
22. Hutibu shinikizo la juu la damu
23. Huzuia saratani/kansa
24. Hutibu maumivu ya jongo/gout
25. Huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
26. Huongeza hamu ya kula
27. Huzuia damu kuganda
28. Husaidia kutibu kisukari
29. Husaidia kutibu tatizo la kukosa usingizi
30. Huongeza SANA kinga ya mwili

Sifa kuu zinazokifanya kitunguu swaumu kuwa na uwezo na faida zilizoainishwa hapo juu ni kule kuwa kwake na viasili kadhaa (ingredients) ambavyo vinafanya kazi tofauti tofauti. Uwezo wake wa kiutendaji unatokana na mambo yafuatayo;

Vina uwezo wa kusababisha kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation) kwa kubadilisha polysulfides zilizopo ndani yake kuwa hydrogen sulfides kwenye seli nyekundu za damu.

Husaidia uthibiti wa kiwango cha sukari mwilini kwa kushusha kiwango cha kemikali ya homocystine na kupunguza madhara ya kisukari.
Iwapo vitapondwa pondwa vizuri, vitunguu swaumu hutoa kemikali iitwayo Allicin ambayo ni dawa dhidi ya bateria, na phytoncide ambayo huua fangasi wa aina mbalimbali.

Harufu mbaya ya kitunguuu swaumu hutokana na gesi aina ya hydrogen sulfide ambayo hutolewa baada ya kuvila.

Nini madhara ya vitunguu swaumu?
Ukiacha faida zake, vitunguu swaumu pia vina hasara na madhara mbalimbali kwa mtumiaji. Madhara hayo ni pamoja na;

· Harufu mbaya mdomoni ambayo hutokana na kemikali ya AMS (allyl methyl sulfide). Harufu mbaya hii, hata hivyo, yaweza kupunguzwa kwa kunywa maziwa au kunywa maji mengi.

· Kwa baadhi ya watumiaji, vinaweza kuwaletea mzio au mcharuko mwili (allergies au inflammatory reactions)

· Kichefuchefu, Kutapika na kuharisha.

· Huweza kusababisha hatari ya kuvuja damu, kwa sababu huzuia kazi ya seli sahani (platelets) zenye kusaidia kuganda kwa damu kushindwa kufanya kazi yake vizuri, na hususani kwa mama wajawazito, baada ya upasuaji au mara baada ya kujifungua.

· Huingiliana katika utendaji kazi wake na dawa kadhaa kama vile warfarin, antiplatelets, saquinavir, dawa za shinikizo la damu kwa ujumla hasa calcium channel blockers, na antibiotiki za jamii ya quinolone kama vile ciproflaxacillin.

· Aidha, vinaelezwa pia kuwa na madhara kwa wanyama jamii ya paka na mbwa.
 
Back
Top Bottom