Kitumbua cha buku

bioto

JF-Expert Member
Oct 1, 2017
1,261
2,095
Kitumbua cha buku sehemu ya kwanza

STORY NA: Mbogo Edgar

Kijana Prosper alikuwa amejilaza kwenye mkeka, askipunga upepo wa na kufaidi kimvuri cha mti wa mwembe dodo mkubwa sana, uliopo pembeni ya kibanda kidogo cha bati,( full suit), ambao kwa kipindi hiki cha mwezi wa kumi na mbili, uwa unadosha sana maembe, hivyo kumfanya awe na tahadhari nyingi sana pale chini ya mwembe dodo, huku ana waza mambo mengi sana juu ya maisha yake ya sasa na ya baadae, “ukweli ujinga siyo kipaji, ujinga nitaaluma ambayo mtu ujivunza kwa juhudi kubwa sana” aliwaza Prosper au Pross kama wenzake walivyo penda kumwita, asa wakati yupo shule, “hakika usiyo yafanya utotoni utakuja kuya fanya ukubwani” aliendelea kuwaza Prosper, huku akitazama juu kwenye mti huu uliostawi na kuzaa maembe mengi sana, ukiwa ni mmoja kati ya miembe kadhaa iliyopo kwenye eneo ili la shamba kubwa sana, lenye mazao mengi sana, ikiwepo minazi ambayo ilikuwa nusu ya shamba, ndizi michungwa mipapai na matunda mengine, pamoja na viazi vitamu na mihogo ambayo Pross aliipanda mwenyewe nje na maataba wa mwenye shamba, yeye akiwa kama mlinzi na mfanyakazi wa shamba ili, ambae nikama aliuzwa au alikabidhiwa kwa mmiliki mpya wa shamba ili ambae ni bwana Shinyangwe, toka kwa mmiliki wa zamani wa shamba ili, alie linunua mwezi mmoja uliopita.

Huyu mmili mpya alikuwa ni bwana Vitus Kipanta, mzee wa miaka hamsini na nane, askari mstaafu wa Jeshi la ulinzi, alie staafu akiwa na cheo cha nyota tatu, ukweli bwana Vitus Kipanta alimkumbusha machungu makubwa sana Prosper, mwenye miaka 22, machungu ambayo yalisababishwa na aba yake ambae alikuwa ni askari mstaafu wa jeshi la polisi, ambae mala baada ya kustaafu, na kulipwa mafao yake akaondoka na kuwaacha wakinaPross, kwenye nyumba ya serikali, (quarters) za polisi maeneo ya Mivinjeni, kipindi Pross akiwa amebakiza miezi mtatu kumaliza kidato cha sita, na bahati mbaya au nzuri, Pross alikuwa anaishi na mama wa kambo, yani wa kufikia, kwahiyo mke alie telekezwa na bwana Feruz, siyo mama mzazi wa Pross, Na ukweli toka baba yao bwana wana Vitus Feruz aiache familia yake ya mke ambae na watoto watatu yani Pross ambae ndie mkubwa, na wadogo zake wawili aliochangia baba, yani watoto wa wili, wa mama huyu, alie mlea Pross, toka Pross akiwa na miaka kumi na tano, yani kidato cha pili, ambo ni wawili tu! mmoja akiwa wakike ambae alikuwa mdogo kabisa, na kwa sasa alikuwa darasa la sita, na kaka yake ambae sasa alikuwa kidato cha tatu, ukiachia watoto wa bwana Feruzi walio telekezwa, pia kulikuwa na mdogo wa mke wa bwana Feruzi, ambae wakina Pross umwita mama mdogo, huyu nae alikuwa na miezi michache hapa nyumbani kwa Feruzi, akitokea kijijini kwao Iringa.

Pross akiwa katika kumbukumbu ya machungu, anakumbuka kuwa baba yake ambae alimtoa kijijini kwa mama yake, alie wai kuwa mpenzi wake, na kumpatia ujauzito ambao alizaliwa yeye, kwa ahadi ya ndoa, iliyo potea, baada ya kukutana na mama huyu mwingine, Pross alikumbuka siku ambayo alikuwa likizo yake ya mwisho kabla ya kwenda kwenye mitihani, ambapo baba yao aliondoka nyumbani akisema anaenda kuangalia kama fedha zake zamafao zimeingia kwenye account yake, na kurudi siku ya pili mida ya saa sita mchana, akionekana wazi kuwa alikuwa amechoka kwa pombe na starehe, lakini Pross na wadogo zake, walifurahi sana, kumwona baba yao, wakijuwa kuwa, ata kuwa amekuja na mambo mazuri, lakini aikuwa hivyo maana baba na mama yao wakajifungia chumbani na kuanza kulumbana, hapo ndipo Pross ambae alikuwa ana umri wa miaka kumi na tisa, ambayo ilitosha kuelewa kinacho endelea, aka ng’amua mapema sana kuwa kulikuwa na ugomvi mkubwa sana, kati ya baba yake na mama yake wakambo, na akaja kuli thibitisha ilo, jioni ambapo baba yake aliondoka kama vile anaenda kutembea, na akurudi tena, ata wiki ilikatika, huku maisha yao yakianza kuwa magumu, maana awakuwa na kipato kingine zaidi ya kumtegemea baba yao, na walikuwa awakopesheki , sababu kila mwenye duka aliamini kuwa aadda ya kulipwa mafao yake bwana Feruzi, angeondoka muda wowote toka pale kwenye nyumba za Polisi, za Mivinjeni, na kupisha askari wengine katika nyumba ile, ya serikali, lakini mwokozi wao akawa mama mdogo, ambae alikuwa ana pewa ela na mwanaume mmoja ambae alikuwa ni askari pale line polisi, lakini pia alikuwa mume wa mtu. Maisha yakazidi kuwa magumu kwa upande wa familia hii, huku wakimsikia mama yao akilalamika kuwa, kuna habari nyingi mtaani, kuwa baba yao anaonekana mitaa ya Kigamomboni huko Tuamoyo, akishinda na kura raha na mschana mmoja, ambae mwanzo mama yake akuwa anamjuwa, lakini japo akuwa na wasi wasi juu ya mama huyu wakambo ambae alimwonyesha upendo kama vile mwanae, ila Pross akaamua kwenda kigamboni kumtafuta baba yake, alitoka asubuhi na mapema, na kuanza kumsaka baba yake.

Kwa hakiri za kitoto, Pross alisaka kwenye mitaa akizunguka Tuamoyo nzima, mpaka uwanja wa swala kiiukia PCOL, na kufwata barabara ya mikadi, na alipoona ame kosea akarudi tena uwanja wa maputok akinyoosha mpaka karibu na kambi ya Jeshi, kisha akaruditena Tuamoyo kwa kutumia chochoro za mitaa, huku akinunu amaji, na vitafunwa kama karanga, na vinginevyo, kiasi kwamba mpaka saa kumi jioni, Prosper alikuwa amejikuta maeneo ya CCM, ajuwi la kufanya na akuwa ata na nauri ya kurudia kwao Mivinjeni, “nitafanya nini” alijiuliza Pross, huku akitazama maduka na bar ndogo ndogo, zilizopo pembezoni mwa ukumbi wa CCM, ungesema anatazama kama ange mwona mtu ambae anaweza kuwa anamfahamu akamwombe nauri. Kwahakika kama unge mwona Prosper kwa wakati huo, unge gundua mala moja kuwa kijana huyu alikuwa amechoka sana, kwa mwendo wa kutwa nzima, tena kwenye juwa kali, maana uso ulimpauka huyu kijana ambae urefu wake wa wastani, na mpata kidogo, alionekana kubonyea mgongo, kama vile anakibiongo, kwa jinsi alivyochoka, na miguu yake ambayo alikuwa amevaa viatu vya chini, vya mikanda, yani sendo, ilikuwa imechafuka vumi, kama ingekuwa kule kusini kwa wamwela, tungesema ametoka kucheza ngoma za wakati wa unyago.

Kijana akuwa na lakufanya, akaamua kuanza kutembea taratibu, kuelekea kivukoni, huku akiwaza atatoa wapi shilingi mia ya kuvukia, kwenye pantone, maana aliamini kitu ambacho akiwezi ni kuogelea tena kwa umbali mrefu kama ule wa kutoka kigamboni mpaka magogoni, lakini kama atafanikiwa kuvuka, anauwezo wa kutembea kwa mguu mpaka Mivinjeni, ata kama akifika kesho hiyo isinge sumbua, cha msingi ni kwamba avuke kwanza. Bahati ilikuwa upande wa Prosper, nasema Bahati sababu alifanikisha lengo la safari yake, maana wakati Pross ana maliza kulivuka jengo la ukimbi wa CCM, akaiona bar moja ndogo, ambayo ilikuwa na watu wachache sana, na watu hao kwa mtazamo wa haraka walikuwa katika meza mbili, kama wateja, na ukiondoa wahudumu na mchoma chips, kulikuwa na mwanaume mmoja na wanawake sita, waliokaa kwenye meza mbili zilizo ungwa pamoja, na kuonekana kama meza moja ndefu, wakiwa wamevalia vinguo ambazo ziliwatamulisha kuwa ni wanawake wa aina gani, maana kama iyo fupi, basin i nyepesi na iliyo ana, na kuchora maungo yao.

Meza zile zilikuwa zime tapakaa vinywaji, navyo vikiwa ni pombe tupu, ambazo kwa haraka Pross akujuwa harama ya pombe zile, lakini kwa mimi kama mwandishi na kwa maelezo ya Pross kichwa cha bei ya chini ilikuwa ni win flani ya box, iliyo kuwa inauzwa shilingi elfu saba kwa mwaka ule wa 2009, vingine vilionekana kuwa vya gharama ya juu zaidi, pamoja na sahani zilizo nona kwa vyakula tena akukuwa na nyama ya ng’ombe, ni ndizi choma kwa nyama ya kuku. Mwanzo Prosper akumwona kwa sura yule mwanaume, sababu alikuwa amemgeuzia mgongo, kwa ukaaji wake, lakini aliweza kuziona sura za wanawake walio mzunguka, ambao walikuwa wana kunywa na kula, wakicheka kwa furaha, huku mmoja wa wachana wale, muda wote akimfanyia michezo ya kimahaba, bila kujari kuwa
ilikuwa saa kumi jioni, na ile sehemu na arabarani, ukweli Prosper alihisi kengere ya tahadhari ikigonga kichwani mwake asa baada ya kugundua kuwa wale waschana anao waona mbele yake anawafahamu, tena walikuwa wanatoka maeneo ya karibu na makazi ya askari
wa jeshi la polisi, ni wadada flani ambao sifa zao siyo nzuri sana, pale mtaani, ni wadada ambao mala nyingi akiwa anarudi toka shule uwa anawaona kwenye vibar vya mtaani kwao wakiwa wanakunywa pombe na wanaume tofauti tofauti, sijuwi kwanin aliingiwa na wasi wasi mkuwa kwa kuwaona wale wanawake, lakini akapata wazo la kwenda kuwaomba wamsaidie nauri ya kufikia Mivinjeni,
maana akuwa na njia nyingine, na aliamini kuwa uwepo wa wanawake wale ambao kwamwonekano siyo wanawake wa mchezo mchezo, ambao wakikutia mkononi, lazima uuze mpaka nguo ya ndani.

Prosper alipiga moyo konde na kusogea pale kwenye bar, “shikamo” alisalimia Prosper, mala baada ya kuifikia sehemu lengwa, wote saba wakamtazama Prosper ambae alikuwa amemkazia macho mmoja wa wanawake wale, lakini alishangaa kuona sura za wana wake awa zikibadirika toka kwenyevicheko na kukunja midomo kama vile wamemwona hasidi, au fisadi, “we! Pross, ume fwata nini huku?” alikuwa ni sauti ya kiume iliyo jaa mshangao wa kilevi, Prosper alie itambua ile sauti mala moja kuwa, akamtazama yule mzee, na alipo hakikisha kuwa ni baba yake kweli, kama alivyo isikia ile sauti yake, Pross akatabasamu,…………

Sehemu ya pili

STORY NA: Mbogo Edgar

Ilipoishia sehemu ya kwanza:

Prosper alipiga moyo konde na kusogea pale kwenye bar, “shikamo” alisalimia Prosper, mala baada ya kuifikia sehemu lengwa, wote saba wakamtazama Prosper ambae alikuwa amemkazia macho mmoja wa wanawake wale, lakini alishangaa kuona sura za wana wake awa zikibadirika toka kwenye vicheko na kukunja midomo kama vile wamemwona hasidi, au fisadi, “we! Pross, ume fwata nini huku?” alikuwa ni sauti ya kiume iliyo jaa mshangao wa kilevi, Prosper alie itambua ile sauti mala moja kuwa, akamtazama yule mzee, na alipo hakikisha kuwa ni baba yake kweli, kama alivyo isikia ile sauti yake, Pross akatabasamu,…

ENDELEA……
Akijuwa kuwa amesha mpata baba yake na safari ya nyumbani itaanza, ikiwa ni mwanzo wa kumaliza shida zao, “inamaana mama yako amekutuma uni fwatilie?” aliuliza mzee Feruz, kwa sauti ile ile ya mshangao wakilevi, “hapana baba, mimi mwenyewe ndio nilikuwa na kutafuta” alisema Prosper, kwa sauti ya furaha, “ulikuwa unanitafuta, kwani mimi nime potea, aya rudi nyumbani nitakuja huko huko” alisema bwana Vitus Feruz, yani baba yake Pross, huku wale waschana wakiwa wametulia kimya wakimkazia macho Pross, na kumkunjia midomo, kwa kum’beza. Licha ya kuambiwa hivyo lakini Pross akaonekana kuganda pale pale, huku akimtazama baba yake kama vile anatamani kumweleza kitu, “wewe si umeamiwa uende, kwani umeona hii ndio sehemu ya kuongea na baba yako?” alisema yule mschana alie kaa karibu na bwana Feruzi, ambae Pross mwenyewe alishawai kummwona mala nyingi akiwa na wanaume tofauti, kule mivinjeni, “sina nauri” alisema Pross kwa sauti ya chini iliyo jaa aibu flani, “hooo! kumbe, sasa usinge niona unge rudije nyumbani?” aliuliza bwana Feruzi, huku anaingiza mkono kwenye mfuko wa nyuma wa suruali yake, na kutoa noti ya shirini elfu kumi, kisha akanyoosha mkono kumpatia Pross, lakini yule mschana alie kaa karibu na Feruzi akaidaka, “yani beby una wafundisha watoto vibaya, ela yote hii ya nauri?” alsema yule mschana kwa sauti ya kudeka, huku anachukuwa pochi yake na kuifungua, kisha akaiweka ile noti ya elfu kumi, na kuanza kuchambua chambua kwenye ile pochi, huku zikisikika sauti za cheke cheke zikigongana, “yani baby ukiendelea hivi, sijuwi kama utatamalizia kununua vifaa vya saloon” alisema yule mwanamke, ambae kiukweli ni kama wenzake tu! walionekana wazi kuwa ni wanawake ambao, awakuwa na huruma na fedha yay a mzee Feruzi yani baba yake Pross, kutokana na vitu vilivyo agizwa palemezani, mwisho yule mwanamke, akaibuka na chekecheke (coin) nne, tatu zikiwa za mia mbili mia mbili, na
moja ya shilingi mia, kisha akampatia Pross,jumla yake zikiwa ni mia saba, “aya tangulia nyumbani, baba atakuja” alisema yule mwanamke mala baada ya kumpatia Pross shilingi mia saba mkononi mwake, “usimwambie mama yako ulicho kiona huku” alisisitiza bwana Vitus Feruz, kwa sauti ya kilevi, hapo Pross akaondoka zake kinyonge huku anazitazama zile fedha kwa uzuni kubwa, kwa mbali akisikia wale wanawake wakimsimanga baba yake, “yani we shemeji unavyo mwogopa huyo mkeo, kwani akiskia kuna nini, Didah siyupo” inamaana walimaanisha kuwa Didah ndio huyu alie mpatia Pross shilingi mia saba, “nani amwogope yeye mwenyewe ananijuwa, akizingiwa tu ndio kama hivi, anioni tena” Pross aliweza kumsikia vizuri baba yake, lakini yeye akujari akaendelea kutembea huku akiitazama ile mia saba, kwa uzuni.

Siyo kwamba zile ela azikutosha nauri, ya kufika Mivinjeni, hapana, zile fedha zilitosha nauri na chenji ingebakia kana mia tatu, lakini kilicho mfanya akose raha, ni kile anacho kifanya baba yake, maana wakati wao kule nyumbani wanateseka, yeye anaweza kukaa bar na kuwa nunulia wanawake wale, pombe na kuku, huku akisikia kuwa kuna saloon inafunguliwa, wanawake ambao walisha poteza thamani yao katika mtaa waliokuwa wanakaa, lakini kilicho mpa moyo ni kwamba baba yake alisema kuwa ata rudi nyumbani, kitu ambacho Pross alijaribu kujiuliza, ni kwamba kama wale wote ambao anafahamu fika kuwa wame toka kule Mvinjeni na kuja huku kigamboni, sasa mida kama hii ya jioni bado wanakunywa pombe nyingi kiasi kile, je watarudi Mivinjeni au watalala huko
huko.

Saa mbili usiku ndio mida ambayo Pross alifika nyumbani kwao, na kukuta wenzake wamesha maliza kula, japo chakula aliwekewa ila kilikuwa ni kidogo, siyo kwamba walimfanyia makusudi, ila ukweli ni kwamba ata wenzake walikuwala moja tu, asubhi ilipita kavu, mchana ikapita kavu, usiku walikuwala tena chakula kidogo cha kunyang’anyana, kilicho mfanya Pross ajuwe kuwa wadogo zake awakushiba, ni pale alipowekewa chakula chake, akawaona wadogo zake bado wana kimendea, “vipi mwanangu baba yako umekutana nae, “aliuliza mama yake wakambo Pross, ambae kikawaida aliishi na Pross kama mwanae wa kumzaa, hapo Pross akawaza na kuwazua, kwamba akimficha na ikaja kugundulika kuwa alikutana nae, itamfanya atengeneze uadui na mama yake huyu, ambae amemlea kwa upendo mkubwa sana kuliko ata mama yake mzazi kule kijijini, “nime kutana nae, amesema nitangulie nyumbani
atakuja” alisema Pross, ambae baada ya kuona wadogo zake wanamendea sahani yake, akawakaribisha wale kwapamoja, japo ilikuwa ni mikono miwili sahani nyeupe, “umemkuta anafanya nini?” aliuliza mama Pross, “nime mkuta anakunywa pombe, ila amesema atakuja” ilo Pross akujiuliza kabla ya kujibu, alilifyetua kama lilivyo, “mh! hapa tujipange, maana sidhani kama atarudi” alisema mama huyu ambae sasa alizidi kuwa mnyonge, na kupungua mwili kwamateso ya maisha, maana alivumilia kipindi mumewake anasubiri mfao yake, lakini ameyapata ndio kwanza yana mkuta aya yakukikimbiwa.

Nikweli ilikuwa kukimbiwa, maana ilikatika week nyingine bila bwana Vitus Feruz kurudi nyumbani kwake, ambako aliacha mke na watoto wa tatu, na shemeji yake wa kike, huku akijuwa fika kuwa muda wowote familia yake itatolewa pale balax, na wasinge kuwa na sehemu ya kwenda, maana akuwa amejenga nyumba yoyote, katika kipindi chake cha utumishi wamiaka zaidi ya therasini, akiwa ndani ya jeshi la polisi. Ikaongezeka week ya pili, huku familia ya bwana Feruz ikiishi kwa kumtegemea mama mdogo, ambae sasa alilazimika
kuongeza idadi ya wanaume, ili familia ya dada yake iweze kuishi na yeye kupata maitajio yake muhimu, pamoja na nauri za wakina Pross wakati wa kwenda shule, mana tayari shule zilifunguliwa na bwana Feruz akuwa ameonekana tena, ata simu yake aikupatikana
tena hewani, maana alisha izima, akutaka mazowea na familia yake.

Naam siku chache kabla uongozi w jeshi la polisi, auja wataka kuhama kwenye ile nyumba, na kupisha askari wengine, ilikuwa jumamoss siku ambayo Pross uwa anaitumia kujisomea kwaajili ya mihatini yake ya mwisho, mama akamwambia Pross aende tena Kigamboni, kumsaka baba yake, maana alisha anza kusikia tetesi za kuondolewa pale kwenye makazi ya askari, sababu mume wake akuwa tena askari wa jeshi la polisi, hivyo waliitaji msaada wake. Ukweli ni kwamba siku hiyo Pross aliangaika kigamboni nzima, safari hii akiulizia kwenye mabar na gorocer mana alikumbuka siku ya mwisho alimwona kwenye Bar, tena alianzia pale pale alipo mkuta, mala ya mwisho, ukweli nikwmaba kwa muda mfupi tu! baba yake alifahamika sana pale Kigamboni, maana kuna wakati ilibidi auliziae kwa wahudumu, wa bar, “yule mzee tupa tupa, ana kunywa na mademu flani hivi, mala ya mwisho alikuwa bar ya pale, kwenye kona” ndivyo alivyo jibiwa Prosper, mala kwa mala, na akila alipoenda sehemu aliyo elekezwa, aliambiwa, “huyu jamaa sija mwona kwa siku kadhaa” yani mpaka mida ya saa mbili Pross akuwa amemwona baba yake, hivyo akaamua kuondoka zake kurudi nyumbani,
ambako alifika saa nne usiku, na kutoa report kwa mama yake, juu ya kukosekana kwa baba yake.

Na siku yapili Pross akaenda mtaa wa karibu, ambako mala nyingi alikuwa anamwona sana yule mwanamke anae itwa Didah, ambae ndie kama mpenzi wa baba yake, lakini licha ya kusaka kila kona na kuulizia kwa baaadhi ya watu akaambiwa kuwa mwanamke huyu na wenzake awakuwepo hapo mtaani kwa siku kadhaa, mala moja moja uonekana akileta vifaa vya saloon yake na kuondoka tena , “wale mademu inaonekana wameliotea jamaa wanalikamua kinoma” kuna mmoja aliongea kauri hiyo ambayo ilimuumiza sana Propss, sababu huyo jamaa anae kamuliwa ni baba yake, na wakati wao wanateseka.

Jumatatu ndio siku ambayo wakina Pross walitakiwa kuhama pale nyumbani, sababu jioni wakati wanatoka shule na kufika pale nyumbani, wakakuta tayari vitu vyao vipo nje, na wanatakiwa waondoke, wakina Pross awakumkuta mama yao mdogo, ambapo mama yao aliwaambia kuwa wanamsubiri yeye ili wajuwe wanaenda kuishi wapi, maana yeye ndie alikuwa kama mkombozi wao kwa siku
hizi za karibu. Saa tatu usiku ndio muda ambao mama mdogo wao alipokuja na gari dogo la mizigo, wengi wanaita kilikoou, tukaanza kupakiza mizigo, ambayo ilienea kwenye gari lile, na tukapata nafasi ya kukaa na sisi, hakika usinge weza kuamini, kwa mtu alie fanya kazi kwa mika therathini, vyombo vyake vya ndani yani feniture zake zote, zikae kwenye kigari kidogo kama hiki, na zinatosha vizuri, na nafasi nyingine ibakia. Safar ikaanza kuelekea sehemu ambayo mwanzo awakuwa wanaielewa zaidi ya mama yao mdogo pekee, walikamata barabara ya mandela kabla ya kukata kushoto baada ya kufika tazara kiisha wakaelekea ukonga, na hapa majumba sita wakakata kulia kueleka tabata, mpaka kinyelezi, alafu waka ifwata ile barabara ya maealamba mawili, na kwenda kutokea mbezi, alafu
wakaifwata barabara ya morogoro, mwisho wake wakaishia Kibamba hospital, na kuingia upande wa kushoto, ambako walienda kama kilomita nne hivi, ndipo safari yao ikaishia mbele ya kijumba kimoja cha mabati, kilicho jengwa pembezoni mwa eneo la Hospital ya muhimbili (MUHAS) ikiwa ni kwenye mpaka baina ya makazi ya wananchi na eneo la serikali. …..

Sehemu ya tatu

STORY NA: Mbogo Edgar

Ilipoishia sehemu ya pili:

Safari ikaanza kuelekea sehemu ambayo mwanzo awakuwa wanaielewa zaidi ya mama yao mdogo pekee, walikamata barabara ya mandela kabla ya kukata kushoto baada ya kufika tazara kiisha wakaelekea ukonga, na hapa majumba sita wakakata kulia kueleka tabata, mpaka kinyelezi, alafu waka ifwata ile barabara ya maealamba mawili, na kwenda kutokea mbezi, alafu wakaifwata barabara ya morogoro, mwisho wake wakaishia Kibamba hospital, na kuingia upande wa kushoto, ambako walienda kama kilomita nne hivi, ndipo safari yao ikaishia mbele ya kijumba kimoja cha mabati, kilicho jengwa pembezoni mwa eneo la Hospital ya muhimbili (MUHAS) ikiwa ni kwenye mpaka baina ya makazi ya wananchi na eneo la serikali. ….. endelea………….

“dada nazani wakati unamtafuta shemeji tuishi kwanza hapa” alisema mama mdogo, na hapo ndipo wakina Pross walipoanza kuelewa nini kinaendelea, katika maisha yao mapya, nadani ya kijumba hiki ambacho mama yao mdogo alikabidhwa na mtu mmoja, alie hama baada ya kupata sehemu nyingine.*******

Iliwalazimu wakina Pross kuzowea maisha yale, maana awakuwa na jinsi, kijumba kile ambacho kilikuwa na chumba kimoja na kijiukumbi kidogo, ikiwalazimu mama na mama mdogo kulala chumbani, huku Pross na wadogo zake wakilala pale sebuleni, huku akitumia siku za week end kulima lima nje ya kile kibanda chao, na kufanikiwa kupanda mboga mboga, ambazo mwanzo zilianza kuwasaidia wao wenyewe, na baadae wakawa wanakuja watu wengine kununua, na kuwa saidia wao kupata fedha ndogo ndogo za kununua chumvi sukari na mafuta ya kupikia, pia sabauni na nauri ya kuendea shuleni ambako kwa sasa nikama walikuwa wanasoma mbali sana, japo miezi michache baadae wakahama, na kuhamia shule za karibu.

Kwa upande wa Pross alifanikiwa kumaliza shule, yani kidato cha sita, huku matokeo yake yakija mabaya sana, maana yake alifeli, na kushindwa kuendelea, na masomo zaidi, sasa alishinda nyumbani, akianza kufanya kazi ndogo ndogo za kusaidia kwenye ujenzi, maana mtaa ule mpya ulikuwa na kazi nyingi za ujenzi, ukweli alisaidia sana pale nyummbani, sasa yeye na mama mdogo walikuwa wanategemewa, wote wawili, pia licha ya kujiusisha na kusaidia mafundi, lakini akuacha kulima mboga mboga, ambazo zilimpa ajira mama yake wakambo, ambae alikuwa anatembeza kwenye baadhi ya nyumba za wakazi wapale, ambao wengi wao walikuwa ni watu wenye uwezo kifedha, maana ata ukiyaona majumba yao unge juwa tu, kuwa watu wa huku siyo wa mchezo mchezo, majumba makubwa, nje magari kama siyo mawili basi matatu na kuendelea.******

ilipita miezi miezi sita, toka familia ya bwana Vitus Feruz ikimbiwe na baba yao, na miezi mitatu toka Pross amalize Shule, maisha yalizidi kusonga, yeye Pross akiendelea na vibarua, mama aliuza mboga, na mama mdogo alikuwa akijitaidi kutoka mida ya jioni, pengine ange rudi asubuhi, au usiku sana, akiwa amelewa, wakati mwingne alirudishwana gari au boda boda, ugomvi aukupungua, pale mtaani, wanawake wengine walimshutumu anawaibia waume zao, ndipo Pross alipoanza kuhisi utofauti kwenye hakiri na mwili wake, nikama alianza kuichukia tabia ya mama yake mdogo, ambae kila siku ata tabia yake ya kujiheshimu nikama ilianza kupungua, na kuanza kufanana na wale wanawake ambao, mala ya mwisho Pross aliwaona na baba yake kule kigamboni, ukiachilia shutuma za kuiba waume wawatu pia ata uvaaji wake, ulisha badirika sana, japo Pross asingeweza kumtamani mama yake mdogo, lakini ilifikia wakati alianza kumpa shida, kwa vinguo vyake vifupi, na tatizo kubwa lilikuja kipindi ambacho mama mdogo, alikuwa ana jiachia sana asa akiwa ndani ya kibanda kile, cha mabati, pasipo kuwaza au kuona yupo na kijana mkubwa kama Pross, ambae tayari alisha barehe, na kuanza kutamani vitu vya wakubwa.

Pross anakumbuka siku moja usiku akiwa amelala na wadogo zake, alirudi mama mdogo akiwa amelewa sana, yeye ndie alie mfungulia mlango, sababu nikama ilikuwa ndio moja ya jukumu lake, ila ukweli mama mdogo akuwa mgomvi wala mkolofi hicho ndicho ambacho Pross kilimfanya amvumile sana mama mdogo, ila tukio ilo la usiku huo, lilimfanya Pross agundue kuwa hii nyumba ni ndogo, maana alipo mfungulia mama yake mdogo, alimsubiri aingie ndani na yeye akafunga mlango na kulala, huku mama mdogo, akipita kwa kupepesuka, akapapasa na kuingia chumbani alikokuwa analala na mama yao wakina Pross yani dada yake.

Lakini Kabla ata Pross ajapitiwa na usingizi, akamwona mama mdogo anatoka mle chumbani, huku akipepesuka kwa ulevi, na kuelekea nje kabisa ya kibanda kile, japo mle ndani kulikuwa na giza, kutokana na kibanda kile kukosa umeme, lakini aliweza kuona kuwa mama mdogo alikuwa amevalia kanga, na ukweli mama mdogo licha ya kupenda kujiachia achia, lakini mwili wake ulikuwa umeumbika vyema, na kuweza kumtamanisha ata huyu mtoto wa shemeji yake, Pross akatulia kusubiri mama mdogo aingie tena ndani iliafunge mlango, maana aliofia pengine angeacha mlango wazi kutokana na ulevi, sekunde chache baada ya mama mdogo kutoka nje, Pross akasikia sauti ya kumwagika kwa haja ndogo, kwenye eneo la mbele ya nyumba, akushangaa sana sababu ni kawaida ya mam mdogo huyu asa akiwa amelewa, uwa anadai anaogopa kuzinguka chooni ata bakwa, au kuzulika na wadudu.

Baada ya kukoma kwa mchuluziko wa mkojo, Pross akamwona mama mdogo anaingia ndani na kufunga mlango, lakini ile anamaliza kufunga mlango na kutaka kuondoka, mala nguo yake ikanaza kwenye bati la kingo ya mlango, na katika harakati za kuinasua, niakama aliyumba kidogo, kwa kuzidiwa na ulevi, hivyo akawai kukaa kwenye kitanda cha wakina Pross, na pasipo kujari kanga yake iliyo nasia kwenye bati na kumtoka mwilini, hapo Pross aliweza kuona tashiwila ya mwili mtupu wa mama mdogo, na dudu ambayo wakati mwingine uwa unasahau undugu, ika anza kututumka, na kusimama na ukizingatia kijana huyu, mwenye miaka kumi na Tisa (kwa kipindi hicho) akuwai kuonja kitumbua, nambaya zaidi ulala na buka tupu, akuwaga na nguo za ndani yani boxer.

Naam ili kuhepusha shari na dhahama, Pross akafumba macho na kujifanya amelala, maana kuna vyakula ukivitazama ndipo unapoanza kujisikia njaa, lakini aikusaidia kitu, ndio kwanza akamwona mama mdogo anajilaza juu ya kitanda kile, huku mwili wake mtupu ukimgusa Pross, alie lala upande wa mwanzo wa kitanda, akitanguliwa na mama mdogo, alie mgeuzia mgongo, na kumgusa na msambwana wake, huku wadogo zake wawili wakilala ukutani, yani yule wakike na yule wakiume, walisha zowea kulala hivyo, lakini hii ya mama mdogo ndio ilimpa shida, maana kila muda ulizidi kwenda mbele, ndivyo vituko vilivyo zidi, maana kuna wakati mam mdogo aligeuka upande wa Pross alie kuwa amelala chali, akikosa usingizi kabisa, na kupandisha paja lake juu ya usawa wa dudu ya mtoto wa dada yake, wakati mwingine alilala kabisa juu ya Pross, huku kifuachake kilicho kuwa wazi, na kusababisha maziwa ya mwanamke huyu ambae kiukweli sikuwatajiaumri wake wa mika ishirini na tano, akiwa mbele kwa miaka sita, uogamkubwa ulimshika Pross kutokana na mambo makubwa mawili, moja akuwa kulaliwa na mwanamke kama hivi, kwa hiyo ilikuwa ni mala yake yakwanza, pili huyu ni mama yake mdogo, mdogo wa mama yake wa kambo, ambae siku zote amekuwa akimchukulia kama mwanae wa damu, sasa itakuwaje pale mama yake atapo kuta mama mdogo ame mlaliz hivi, japo kwa kiasi flani Pross alisisimuliwa na jambo lile na kufanya dudu yake izidi kututumka na kusimama, kwanguvu ikikandamizwa na paja la mama mdogo, ambalo joto lake lilikuwa tamu lenye kuamsha walio lala.

Ilikuwa saa nane za usiku, ndipo Pross akapata wazo la kujiondoa pale kitandani, hapo ndipo alipoanza kundoa paja la mama mdogo juu yake, lakini ndio kama alikuwa anamweka vizuri, maana akashtuka kuona mama mdogo akipeleka mkono kwenye dudu yake na kuaikamata dudu, “baby mbona ume vaa nguo” aliongea mamadogo kwa sauti ya kilevi iliyo changanyika na usingizi, huku anaikamata pindo ya juu ya bukata yap ross na kuishusha kidogo, kiasi cha dudu kuchomoka ndani ya bukta, kisha aka ishika dudu na kuanza kuichezea taratibu, Pross alitamani kumshika mkono mama yake mdogo, ili amzuwie, lakini alishindwa kutokana na msisimko mtamu uloimpata, “baby unajoto” alisikika mama mdogo, kwa sauti ile ile ya kilevi, huku akiendelea kuichezea dudu ya Pross, na wakati mwingine akizidi kupandisha paja lake kwenye usawa wa dudu ya kijana huyu mdogo, na kumfanya ahisi mikwaluzo ya vinyweleo vya eneo la kitumbua, vya mama mdogo, vikimkwaluza kwaluza, kwenye paja lake, karibu na kinena chake, nakumfanya Pross azidi kusimisha mnaz

Sehemu ya nne

STORY NA: Mbogo Edgar

Ilipoishia sehemu ya tatu

Aliongea mamadogo kwa sauti ya kilevi iliyo changanyika na usingizi, huku anaikamata pindo ya juu ya bukata yap ross na kuishusha kidogo, kiasi cha dudu kuchomoka ndani ya bukta, kisha aka ishika dudu na kuanza kuichezea taratibu, Pross alitamani kumshika mkono mama yake mdogo, ili amzuwie, lakini alishindwa kutokana na msisimko mtamu uloimpata, “baby unajoto” alisikika mama mdogo, kwa sauti ile ile ya kilevi, huku akiendelea kuichezea dudu ya Pross, na wakati mwingine akizidi kupandisha paja lake kwenye usawa wa dudu ya kijana huyu mdogo, na kumfanya ahisi mikwaluzo ya vinyweleo vya eneo la kitumbua, vya mama mdogo, vikimkwaluza kwaluza, kwenye paja lake, karibu na kinena chake, nakumfanya Pross azidi kusimisha mnazi. ….. endelea ………….
lakini Pross aligundua kuwa mama mdogo akuwa anajuwa anacho kifanya, hivyo akajuwa kuwa anaitaji kufanya juhudi za haraka kujitoa pale kitandani.

Pross alifanikiwa kutoka kitandani akanasua ile kanga pale mlangoni na kumfunika mama yake mdogo, kisha akafungua mlango na kutoka nje kabisa, akaenda kwenye jiko lao ambalo ni lakuni na kuukusanya mto uliokuwepo pale aka ongezea na kuni chache kisha akatulia akiota moto, huku kichwani mwake ikimjia picha ya tukio la mama yake mdogo, muda mfupi uliopita, na kumfanya azidi kutamani kuonja kitumbua haraka iwezekanavyo, lakini swali likaja ata mpata nani, wa kupatia kitumbua.

Siyo kwamba akuwa na mvuto wa kupata mwanamke, au angeshinwa kabisa kupata mwanamke, hapana, alikuwa na uhakika akuwa na kasoro ya kushindwa kukubaliwa na mwanamke atakae mtongoza, sababu ata kule shuleni kuna baadhi ya wanawake walikuwa wana mshobokea, sema yeye kuna kitu kimoja uwa kina mfanya ashindwe kuwa na mwanamke, kitu chenyewe ni fedha, sikuzote aliamini kuwa mwanamke yoyote, umpenda wanaume mala baada ya kugundua anafedha, zaidi ya hapo utaishia kumtazama kwa macho.
“sijuwi nirudi nika mfanye?” aliwaza Pross ambae bado dudu yake ilikuwa inasumbuliwa na kumbukumbu ya mama mdogo, “lakini akijuwa kama nimemfanya si atanisingizia nime mbaka” aliwaza Pross, ambae toka anafika na kujiunga na familia hii, amekuwa makini sana, asiwakorofishe wanafamilia, sababu mama yake alimweleza mambo mengi sana kuhusu mama wakambo, ukiwa pamoja na kukosa upendo kabisa, japo ilikuwa tofauti kabisa naalivyo ambaiwa, lakini alijitaidi kuishi bila kufanya makosa.

Pross alikaa pale nje akiota moto, huku akipambana na mbu, mpaka alipoanza kusikia sauti za majogoo, yakiwika, ikimaanisha kuwa tayari lisaa limoja limesha katika, inamaana ni saa tisa za usiku, sasa alikuwa akisakamwa na usingizi, na kuofia kulala pale nje, maana wao walipakana na msitu wa eneo la MUHAS, japo ilifikia wakati Pross akajikuta anasinzia mpaka alipo stuliwa na michakato ya kandambili, ile anageuka akamwona mama yake wakambo, akiwa amesha mkaribia, “Pross kumbe hupo huku, pole mwanangu, aya nenda kalale nimesha mtoa” hapo Pross akahisi aibu flani mana alisha juwa kuwa mama yake huyu ameelezwa kilicho msibu usiku huu, kwa hiyo mama alipo shtuka na kuona mama mdogo hayupo kitandani ndipo alipotoka na kwenda kumtazama nje ndpo alipo mkuta kitandani kwa watoto, na kumpeleka chumbani kwao.******

Kuanzia usiku mpaka kulipokucha Pross alikuwa katika wakati mgumu sana, akiwaza jinsi ambayo mama yake ange mchukulia kwa hali ambayo mama yake mdogo amekutwa nayo kitandani kwao, ukweli mpaka hapo Pross alisha ona kuwa kuna umuhumu wa kuongeza nyumba au kuwa na sehemu yake ya kuishi, maana ile nyumba ilikuwa ni ndogo sana, ukiachia udogo wenyewe pia liwaza jinsi atakavyo weza kutazamana usoni na mama yake mdogo, ambae alifikia hatua ya kumchezea dudu yake.

Jambo alilowaza Pross ni kumtafuta baba yake, ili aweze kuja kuokoa jahadhi, ikiwezekana akawapigie nyumba wakina mama, ili yeye weae abakie pale peke yake wakati anasoma ramani nyingine, na ata kulipokucha baada ya wadogo zake kuelekea shuleni, ndipo alipoaga kwa mama yake kuwa anaenda Mivinjeni, kumtafuta baba yake, ili aweze kutoa msaada kwao, “japo mama yake alikubaliana nae lakini alionyesha wazi kutilia shaka uhamuzi ule wa mwanae wa kumlea, au wakufikia kama wengi wanavyosema.

Mpaka Pross anaondoka mida ya saa mbili za asubihi, bado akumwona mama mdogo, ambae akuwa ametoka chumbani, mwanzo alijuwa kuwa bado amelala, lakini alijuwa baadae kuwa alikuwa amesha hamka, ila anaona aibu kutoka nje, kutokana na tukio la jana usiku, ni baada ya Pross kusikia mama yake akimgombeza mama mdogo, “unataka kumtia lahana mtoto wawatu, we unazani ange kuwa anahakiri mbovu na kuamua kukufanya inge kuwaje” aliskika mama akimgonbeza mdogowake, “lakini dada sikujuwa kinachonitokea” alijitetea mama mdogo, walau kwa sauti ya kunyenyekea, “inabidi uwe makini, unazani yule mtoto sasa atakuwa kati hali gani, ona mpaka ameamua kwenda kumtafuta baba yake, ujuwe hapa nyumbani anapaona pachungu” alisema mama yao wakina Pross, huku Pross akizidi kutokomea, upande wa barabara kuu, kwenda kupanda gari.******

Safari ya Pross ili fika mwisho saa tano za asubihi, moja kwa moja alienda mtaa wa Mivinjeni, mtaa wa karibu kabisa, na kambi la polisi, walilo wai kuishi kwa miaka mingi, Pross aliwatafuta baadhi ya watu aliokuwa anawafahamu, wengi wao wakiwa ni vijana wenzake, aliokuwa anawafahamu toka zamani, ukweli alichelewa kidogo kuwapata rafiki zake, maana wengi walikuwa wanajishughulisha na kazi ndogo ndogo, na wengi wao wakiwa ni madereva wa bida boda, na lipo gundua hivyo, akaenda moja kwa moja kwenye kijiwe cha bida bida, na kumpata mmoja alie kuwa amanafahamu, ambae alimweleza kuhusu baba yake, “baba yako uwa namwonaga na Khadija, yule demu mwenye saloon hapo mtaa wa nyuma, japo nina kama wekee kadhaa sija wmona nae” alieleza yule kijana, na kumshauri Pross aende saloon kwa Khadija, pengine anaweza kupata habari za baba yake, ila Pross heee, fanya makeke mdingi achomoke kwayule demu siyo inshu wala nini, mshuwa anapoteza ujuwe” alshauri kijana yule wakati Pross anataka kuondoka, nikweli Pross alikuwa anajisikia vibaya sana, juu ya tabia aliyo ifanya baba yake, lakini je, ataanzia wapi kumtoa baba yake kwa yule mwanamke, ambae alithubuti, kumanyang’anya fedha aliyopewa na baba yake na, bila baba mwenyewe kusema lolote poa kaka ngoja nikamcheki alafu nitajuwa la kufanya”.

Pross akaelekea mpaka alipoelekezwa, yani saloon kwa Khadija ambae kiukweli akumkuta, pale saloon, zaidi aliwakuta waschana wengine tu, mmoja wao alikuwa ni kati ya wale waschana ambao Pross aliwakuta na baba yake kule Kigamboni, mala ya mwisho kumwona baba yake, “sahamani nilikuwa na mwulizia dada Khadija” aliongea Pross kwa sauti ya upole sana, mala baada ya kusalimia, huku aikionyesha kuwa yule mwanamke akuwa ana mkumbuka, aka mweleza Pross kuwa Khadija alikuwa nyumbani kwake, hivyo anaweza kwenda kama alikuwa na shida muhimu, “ilakama auna shida ya muhimu unaweza kuja baadae” alisema yule mwanamke, na Pross akasema kuwa alikuwa na shida muhimu, hivyo wakamwelekeza nyumbani kwa Khadija, nae akaenda.

Ulikuwa ni mwendo wa nusu saa mpaka kwa Khadija, ambako alikuwa amepanga vyumba viwili, mlangoni aliona viatu vya kume na sendo za kike, akajipa moyo kuwa vile viatu ni vya baba yake, lakini kabla ajapiga hodi aka sikia sauti ya mwanamke anae ugulia utamu wa ngono, hapo ika mjia picha ya jana usiku, lakini akajitaidi kuondoa mawazo yale, na kugonga mlango, huku akiomba atakae kuja kufungua mlango awe baba yake, lakini ikawa kimya huku akiendelea kusikia sauti ya ile miguno ya wanamke anaefanya mapenzi, kwa wazo la haraka akajuwa kuwa kuna mtu, kama siyo watu wanatazama video ya ngono humo ndani, aka gonga tena na tena, mala akaona zile sauti zina koma, akajuwa wamepunguza sauti, baada ya kusikia hodi, hivyo Pross akagonga tena, “nani weweeee” ilikuwa sauti ya kali ya kike iliyo jaa liyojaa hasira, “samahani nina shida ya kukuona” aljibu Pross kwa sauti ya unyeyekevu, huku akigundua kuwa, ile sauti ya mwanamke ndio iliyokuwa ina toa sauti ya kuugulia utamu wa dudu, sekunde chache zilizopita, “nenda kamsikilize” ilisikika sauti nzito ya kiume, na hapo ikapita dakika nzima ndipo, mlango ulifunguliwa, akatokea yulemwanamke anae itwa Khadija, akiwa amejifunga tauro, fupi kuanzia kifuani, likiacha mapaja wazi, huku nywele zime mtimka, jasho lime tapakaa kifuani, asa eneo la chini ya shingo na kuelekea kweny maziwa yake ambayo yalionekana kuchoka choka.

Kwanza kabisa Khadija alipo mwona Pross nikama alishtuka kidogo, “unashida gani?” aliuliza Khadija, kwa sauti kavu, kama vile ya ugomvi, “samahani nimekuja kumwulizia baba” aljibu Pross na hapo Pross akamwona Khadija akibetua midomo kwa Dharau, “kwani alikuambia anakaa hapa, mi mwenyewe sija mwona nina mwezi sasa” alisema Khadija, kwa sauti ambayo kwaharaka haraka, ungesema ni mtu ambae asiekuwa na ukaribu nae, na kumfanya Pross ashikwe na mshangao, akibakia ameduwaa kwa dakika nzima, asijuwe aulize nini, wala aongee nini, “samaha sijuwi unaweza kujuwa yupo wapi kwa sasa?”, aliuliza Pross kwa sauti ya kunyenyekea maana aliofia kumkela mwanamke huyu, “we mtoto umetumwa?, unazani mimi naweza kufwatilia mtu ambae analolote la maana, kama wewe mwenye baba umeshindwa, kujuwa yupo wapi, ndio nitajuwa mimi?, ebu ondoka unanichilewesha, nina mambo ya kufanya” …………………..



Sehemu ya tano

STORY NA: Mbogo Edgar

Ilipoishia sehemu ya nne :

“Kwani alikuambia anakaa hapa, mi mwenyewe sija mwona nina mwezi sasa” alisema Khadija, kwa sauti ambayo kwaharaka
haraka, ungesema ni mtu ambae asiekuwa na ukaribu nae, na kumfanya Pross ashikwe na mshangao, akibakia ameduwaa kwa dakika nzima, asijuwe aulize nini, wala aongee nini, “samaha sijuwi unaweza kujuwa yupo wapi kwa sasa?”, aliuliza Pross kwa sauti ya kunyenyekea maana aliofia kumkela mwanamke huyu, “we mtoto umetumwa?, unazani mimi naweza kufwatilia mtu ambae analolote la maana, kama wewe mwenye baba umeshindwa, kujuwa yupo wapi, ndio nitajuwa mimi?, ebu ondoka unanichilewesha, nina mambo ya kufanya”…….. endelea…. Alisema Khadija kwa sauti ya chini, lakini iliyo jaa chuki, na hapo ndipo alipo ona Khadija anafunga mlango na kupotelea ndani, akimwacha Pross amekodoa macho pale mlangoni, maana hii ndio ilikuwa sehemu ambayo ni tegemeo lake, “vipi alikuwa anataka nini?” ilisikika sauti ya kiume, ikiuliza, “alikuwa anamwulizia dada mmoja hivi nime mwambia aende salooni” alijibu Khadija, kabla ajaongezea, “tumalize basi niwai saloon, maana wale nilio waacha siwaamini kabisa” baada ya hapo azikupita ata sekunde kumi, Pross akasikia sauti ya Khadija ikiugulia utamu wa dudu, hapo Pross akajitoa pale nje ya mlango na kuanza kuitafuta njia ya kuelekea kwenye makazi ya askari, pengine ange pata habari zozote za baba yake.

Prosper alitembea taratibu huku njiani akiwaza majibu ya Khadija, ambae alionyesha wazi kuwa ameachana na baba yake sababu akuwa na faida nae, inamaana kuna uwezekanao baba yake amesha ishiwa fedha, ndio maana ata huyu mwanamke akuwa na mpango
nae. Nikweli ata Pross alipofika kule Balax, akaambiwa kuwa sikuchache zilizo pita bwana Vitus Feruz, alikuja pale kwenye makzi ya askari na kuulizia familia yake, ambayo akuna alie juwa kuwa imeamia wapi, “ila mwonekano wake nikama alikuwa amesha ishiwa fedha na alikuwa anaitaji sehemu ya kukaa” alisema mmoja kati ya watu waliomwona Feruz siku za hivi karibuni, japo kwa sasa akuna alie fahamu sehemu alipokuwepo.******

Pross alifikisha ujumbe nyumbani, japo kwa mama yake nikama alishakubari kushindwa, ila aliamini kuwa hiposiku mumewake ata rudi, lakini kwa mama mdogo na Pross walikuwa na hali ngumu sana, kutokana na kushi kwa kukwepana, walishindwa kutazamana usoni, ata siku moja mama mdogo aliposikua kuna jirani yao anaitaji mtu wa kumlindia shambalake huko Kisalawe, pembezoni mwa eneo la viwanda barabara ya manelomango, akaona hii ndio nafasi ya pekee kumwondoa Pross ili aweze kuishi kwa amani. Pross nae aliokea kwa mikono miwili jambo lile, maana licha elfu hamsini atakayokuwa analipwa kwa mwenzi, pia lilimweka huru, kutoka kwenye aibu ya
mama mdogo, Pross alikuja kuchukuliwa na bwana Lwezaula, ambae ndie mmilikiwa washamba ilo kubwa, nae akaingia kwenye gari akiwa na vitu vyake muhimu ambavyo aliamini kuwa vita msaidia katika maisha ya kule shambani, ambako alifikia kwenye kibanda kidogo, cha mabati, akianza kwa kulala kwenye mkeka, na baadae akabuni njia mbali mbali za kujitafutia fedha kwaajili yake na familia yao, ukiachia kulima miogo na viazi vitamu ambavyo vinge chukuwa miezi kadhaa kustawi, ndani ya shambalile ambalo jukumu lake lilikuwa ni kulinda minazi miembe na michungwa, kwa liksa ya bwana Lwezaula, Paross alilima mazao hayo ndani ya samba lake, na wakati akiendelea kusubiri mazao yake pia alilima mboga mboga ambazo utumiamwezi kustawi na kuliwa, ambazo licha ya kuletewa vitu kama sukari chumvi, unga mchele na mafuta na maharege, kila boss wake alipo tembelewa na boss wake au mke wa boss wake, au pindi wanapokuja pamoja na familia yake, pia Pross alianza mladi wa kuchoma mkaa, ambao mala nyingi ulikuwa una nunuliwa na boss wake, au alienda kuuweka barabarani, na kuwauzia wapitaji wenye magari wanao elekea kibaha au mjini kisalawe mpaka Dar salaam, na kujipatia fedha za matumizi na kuwasaidia ndugu zake, yani mama na wadogo zake na mama mdogo, ambae alisha pata habari kuwa siku za hivi karibu alipunguza kwa kiasi kikubwa kulewa na kutafuta wanaume.

Kwafupi maisha yalianza kwenda vizuri, alifanya kazi kwa juhidi na kumfanya boss wale a familia ya boss wake imkubari sana, kiasi cha kumnunulia simu kwaajili ya mawasiliano, na yeye akutaka kupoteza nafasi ya kukubalikakwa watu awa, akafanya kilakitu ili kuahakikisha ana endelea kukubarika mbele ya familia ya boss wake, maana ilifikia kipindi Pross alikuwa ana andaa kabisa baadhi ya zawadi za wanafamilia hao, pamoja na zile za nyumbani kwao, kama vile mkaa na mazao aliyo yalima yeye mwenyewe, na ata kipindi ambacho mihogo na viazi vilipo kuwa vimesha komaa, alikuwa ana waandalia kabisa, pamoja na mboga mboga, kwa mafungu mawili ya
boss wake na yanyumbani kwao, hiyo ilikuw andiyo taratibu yake, na ata anapopata mshara wake wa elefu amsini alikuwa anawapelekea elfu alobain, na yeye kubakia na elfu kumi tu!, na kingine kilicho fanya maisha yawe mazuri ni ujirani wa boss wake na
familia ya boss wake, ambao walikuwa wanawasaidia shida ndogo ndogo wakina mama Pross, ambao kwa sasa walisha fungua genge karibu na pale alipokuwa wanaishi, huku Pross mwenyewe akiwa amesha tengeneza kitanda kizuri cha nne kwa sita, na kununua godoro zuri, sasa alikuwa analala shemu nzuri, nasiyo kwenye mkeka kama iilivyo kuwa mwanzo, huku akisiliza music kwenye kiredio chake kidogo alicho jinunulia, kwa kifupi maisha yalianza kuwa matamu, japo ni kwa jasho jingi.******

Miaka mitatu ilipita maisha yakiwa mazuri kabisa, huku wakiwa wamesha sahau kuhusu baba yao, ambae akuku na habari yoyote kumuhusu, biashara ya genge ilishamili, huku Pross akipeleka bidhaa nyingi za shambani, sasa ilifikia kipindi ambachop Pross alikuwa analima na kuuza mihogo na viazi vingi sana, kiasi cha kugiza gari kuja kuchukuwa mazao yake kisha kwenda kuya uza kwa bei ya jumla na leja leja. Naam kipindi hicho ndicho mambo yalipo mbadirikia, japo siyo sana, lakini ili mweka katika wakati mgumu na kufikilia kuacha kazi, ya ulkinzi wa shamba hili, ni baada ya bwana Lweza ula kuhamishiwa kikazi kwenda Kagera, na kumlazimu auze nyumba yake na lile shambalake, japo aliwaachia vitu vingi sana wakina Pross kule nyumbani, vikiwa vyombo vya ndani, lakini tatizo lilikuwa ni boss mpya ambae nae alimchukuwa Pross kama mlinzi wa shamba lake, huku akiaaidi fedha ya mshahara wa Pross wa mwezi ule, wa kumi na moja, kuwa ayailipa yeye, japo mwezi ulisha fika karibu na mwisho yani walibakiza week moja tu, kumaliza mwezi huo.

Huyu alikuwa ni bwana Titus Kipanta, mwenyeji wa mkoa wa mwanza, ambae alikuwa ana mkadilio wa miaka kama hamasini na sita hivi, akiwa ni mwanajeshi mstaafu, alie staafu, akiwa na Cheo cha nyota tatu, tayari alisha pata malipo ya fedha zake za kustaafia,
na ata shamba ili la bwana Lwezaula, alilinunua kwa fedha hizo za kustaafia. Kiukweli Pross alimsifu sana bwana Kipanta, siku aliyo kuwa anajitambulisha kwake, “unaweza kuniita captain” ndivyo kinavyoitwa cheo alicho staafia bwana Kipanta ambae licha ya kuishi Dar es salaam kwa miaka therasini, na mbili, lakini akuwai kupoteza rafudhi yake ya kisukuma, Pross alimsifu sana bwana Kipanta kwa
uhamuzi wa kuwekeza kwenye shamba ili kubwa sana, tena lenye minazi mingi na michungwa, ambayo inge msaidia kupata fedha pale anapo kuwa amekwama, kwa mawazo ya haraka, aliwaza kuwa familia ya bwana Kipanta isinge pata shinda, ya fedha ndogo ndogo, ata baba yao akiwa amekosa fedha, maana wange weza kuuza machungwa na nazi, na kujipatia fedha ya kuendesha maisha.

Naam bwana Kipanta baada ya kukabidhiwa shamba lake, mbele ya mashaidi ma wajumbe wa serikali za mtaa huu, ambalo aliandika jina moja hivi, la kike, ambalo kwa kumbu kumbu za Pross binti huyo ambae akuwa amemwona mwanzo, alikuwa anaitwana Rosemary, Kipanta aliondoka akiwa na gari lake aina ya Toyota IST, ambalo kimtazamo lilionekana kuwa lina miaka kama asiyo mitano basi sita,
maana lilikuwa lime choka kweli kweli. Naam, zilipita siku tatu tu!, bwana Kipanta alikuja tena shambani, akiwa na gari jingine aina ya Toyota Alphad, jipya kabisa tena ata namba zake zilionekana kuwa limesajiliwa siku za hivi karibuni, lakini akuwa anaendesha yeye, ili alikuwa anaendesha mschana moja mdogo mdogo hivi, kwa mkadilio alikuwa na miaka kama ishilini na tano au nasita, tena ni mzuri wa sura, kama alivyoonekana kwenye gari kabla ya kushuka, toka ndani ya gari, ambae anaonyesha maisha yake, yalikuwa ya kifahari, ata ungewatazama kwa haraka haraka usinge weza kuwa fananisha na bwana kipanta, kuwa ndie baba wa mschana huyu, yani Rose, ambae moja kwa moja Pross alihisi kuwa ndie mtoto wa bwana Kipanta, kutokana na mwonekano wao kuwa tofauti, yani baba alionekana kupauka kidogo, japo leo bwana Kipanta alionekana kuvaa tishet na jinsi kama wafanyavyo vijana, wa lika la Pross, lakini kwa mtazamo, unge zania ni mtu ambae Rose amemkuta njiani na kumpa rift au ana kuja kumwonyesha kazi ya kufanya.

Ata waliposhuka Pross aliweza kumwona Rose jinsi alivyo mzuri, yani alikuwa mzuri wa kila kitu, kuanzia sura kimo na umbo lake ambalo, licha ya kuvaa gauni pana lakini bado kuna vitu vilishindwa kujificha, na kuonekana wazi wazi, jinsi livyo umbika, mfano hips zake pana, makalio makubwa ya duara, kifua chake kilicho beba matiti yenye ukubwa wastani, na tumbo lake dogo, ungesema ameshikwa na njaa ya siku kadhaa. “Karibu boss, karibu sana shikamoo” alisema Pross kwa sauti iliyo jaa uchangamfu, akitegemea kuwa boss wake amekuja na mazaga zaga kwaajili ya yeye kutumia, kama vile unga sukari na vitu vingine muhimu, yani kama
alivyo kuwa anafanya bwana Lwezahula, “marahaba bwana Pross, nime mleta boss wako, aje aone shamba lake” alisema Bwana Kipanta kwa sauti yake ile ile, iliyo jaa rafudhi ya Kisukuma, hapo Pross akamtazama yule mschana, amba alikuwa anamsogelea bwana Kipanta, na ata macho yao yalipo kutana, Rose akuonyesha kumjari Pross, na moja kwa moja akamsogelea Kipanta, “karibumsana Boss” alisema Pross, ambaem akushangazwa na ilo, sababu alisha sikia ata sikuile bwana Kipanta alipokuwaanakabidhiwa shamba alisema ni labinti yake, “baby huyu mlinzi wako anadharau, yani ameshindwa kuniamkia” alisikika yule mwanamke akiongea kwa sauti flani tamu kinyama, nyololo, alafu laini, huku anazungusha mkono wake wa kulia kwenye kiuno cha bwana Kipanta, huku ana jiegemeza kichwa chake, kwenye bega la kushoto la bwana Kipanta, ambae alimtazama Pross kwa jicho kali sana, “kijana kwanini unashindwa kumsalimia mama yako mdogo, au unamwona ni mtoto mwenzio?” aliuliza bwana Kipanta kwa ghazab kubwa, hapo Pross akashikwa na mshangao mkubwa sana, huku akiwatazama kwa zamu bwana Kipanta mala Rose, kiasi cha wao kumshangaa pia, kwanini
alikuwa anawatazama vile, hapo Pross akamwona yule mschana mbae kwa mkadilio amemzidi miaka kama miwili tu!… …..……


Sehemu ya sita

STORY NA: Mbogo Edgar

Ilipoishia sehemu ya tano

: “baby huyu mlinzi wako anadharau, yani ameshindwa kuniamkia” alisikika yule mwanamke akiongea kwa sauti flani tamu kinyama, nyololo, alafu laini, huku anazungusha mkono wake wa kulia kwenye kiuno cha bwana Kipanta, huku ana jiegemeza kichwa chake, kwenye bega la kushoto la bwana Kipanta, ambae alimtazama Pross kwa jicho kali sana, “kijana kwanini unashindwa kumsalimia mama yako mdogo, au unamwona ni mtoto mwenzio?” aliuliza bwana Kipanta kwa ghazab kubwa, hapo Pross akashikwa na mshangao mkubwa sana, huku akiwatazama kwa zamu bwana Kipanta mala Rose, kiasi cha wao kumshangaa pia, kwanini alikuwa anawatazama vile, hapo Pross akamwona yule mschana mbae kwa mkadilio amemzidi miaka kama miwili tu!…..…… endelea…….

Akimkata jicho la hasira, “baby si unaona, yani ana dharau, ebu ona anavyo tutazama” alisema Rose, kwa sauti yake nyololo na laini, iliyo jaa mideko, huku ana zidi kujiegemeza kwa mzee Kipanta, ukweli ni kwamba Pross alishangazwa sana na kitendo cha huyu mschana mdogo mwenye sura ya upole inayo ashiria kuwa ni mtoto mdogo mdogo kwaw mzee huyu, ambae yeye Prosper alizania kuwa ni mtoto wa bwana Kipanta, akimwita baby, mala nyingi jina iliuitana watu waliopo ndani ya mapenzi mazito, tena yale mapenzi ya kupeana Kitumbua, na siyo mapenzi ya baba kwa mwanae, “samahani, shikamoo boss” alisalimia Pross kama vile alikuwa amekulupuka toka kwenye usingizi, lakini salamu ile aikuitikiwa na mschana yule mdogo, zaidi aliguna na kubinua midomo ya kubeza, “yani mpaka alazimishwe” alisema yule binti, kwa sauti ya majivuno kweli kweli, “Pross unaweza kupoteza kazi sasa hivi, we leta ujinga tu!” alisema mzee Kipanta, ambae kwa mwonekano amezidiana kidogo na bwana Feruz, yani baba yao wakina Pross, huku mzee huyu, na mschana huyu, ambaesiyo mwanae ila ni mpenzi wake wakianza kutembea kuingia ndani ya shamba, “tufwate huku” alisema Kipanta kwa sauti kavu na iliyoonyesha kuchukizwa, Pross akaanza kuwafwata nyuma, “mpenzi ili ndilishamba ambalo nimekununulia, hii minazi michungwa na migomba yote yakwako” alisema Kipata kwa sauti tulivu ya kubembeleza, huku akiendelea kutembea taratibu, akiwa ameshikana mkikono na Rose, “hooo! baby kumbe kuna viazi vitamu na mihogo, mbona huku niambia, jamani” alisema Rose kwa sauti ya kudeka, huku akimwachia mkono bwana Feruzi, na kusogea kwenye moja ya tuta la viazi na kutaka kuchimba kimoja, “Rose ebu subiri kidogo, utakiwi kuchafuka” alisema Feruz kisha akamgeukia Pross, “ebu chukuwa mfuko alafu iweke vazi, mama yako anataka kubeba nyumbani” alisema Kipanta kwa sauti ya kuamrisha, Pross aka ondoka haraka kwenda kuchukuwa mfuko kule kwenye kibanda ancho kaa, kwenda kuchukuwa mfuko, huku akiwaacha mzee Kipanta, na huyu mschana, ambae kiukweli ukiwatazama ungesema ni mwanae tena kama siyo wa pili basi wa tatu, “hooo!tena kuna mihogo pia” aliwezza kusikia Pross akiwa kule ndani anatafuta mfuko, “usijari mpenzi, yani wewe beba tani yako” alisema bwana Kipanta, na kumfanya Pros ashangae kidogo, maana ukweli ni kwamba, alikuwa anajuwa kabisa kuwa miogo na zile viazi na mazao yote ya muda mfupi, ni vya Pross, lakini Pross akajuwa kuwa anaweza kujipatia fedha kidogo ya matumizi, maana akuwa na kitu chochote mfukoni, na tarehe za kupewa fedha yake ambayo ni kama mshahara wa mwezi huu, ilikuwa bado.

Pross alitoka na mfuko mkubwa ile ya kuwekea unga, ambayo ina uwezo wa kuchukuwa kilo ishilini na tano, na jembe mkononi, “sasa mbona mfuko wenyewe mdogo, nitaweka viazi na mihogo kweli?” aliuliza yule mschana Rose, kwa sauti ya kulalamika, “we kijana ebu kachukuwe mifuko mingine bwana, mbona unakuwa mzito hivyo?” aliamlisha bwana Kipanta, na hapo Pross alie tegemea kujipatia fedha, akakimbilia tena ndani ya banda lake, na kuja na mifuko mingine miwili, kama ile ile, “yani baby, vimifuko vyenyewe vidogo, ebu ona” alilalamika yule mschana, kiasi cha kuanza kumkela ata Pross, “samahani boss, mifuko mikubwa nimewekea mkaa, nah ii midogo, ndiyo hipo mingi uwa boss Lwezaula alikuwa ananileteaga unga” alijibu Pross na hapo nikama alikuwa ametoa mchongo mwingine kwa mschana huyu, “baby kumbe uwa ana chomaga mkaa?” aliuliza Rose kwa sauti ya kudeka, “yani Rose nilivyo kuambia kuwa huku ni kuzuri ulizania kuna maghorofa, hii ndio maana yake tena kule chini kuna mboga mboga za kumwaga” alisema bwana Kipanta, kama vile kalmia yeye, ila kwa upande wa Pross yeye aliwaza kuwa siku ile ange jipatia fedha nyingi sana.

Ukweli masaa mawili waliyo kaa hapa wakina Kipanta, na huyu mschana Rose, yalikuwa magumu kwa Pross, maana alifanya kazi nyingi sana, ikiwa nikuchuma machungwa kuangua nazi, kazi ambayo yeye aliiona ngumu sana, kwasababu akuwa na uwezo mkubwa wa kupanda kwenye minazi, pia alichimba mihogo na viazi, na kuchuma mboga za majani na vitu kama pili pili hoo mbuzi, na vitu vingine ambavyo mwanamke huyu aliviitaji, huku muda wote Prosper au Popa, alikishuhudia mahaba mazito kwa wawili awa ambao mala kwa mala walikuwa waki shikana mikono na kukumbatiana, “kweli fedha ndio kila kitu, yani zee kama ili lina miliki mschana mrembo kama huyu, alafu lina mkumbatia kila mala, eti baby baby” aliwaza Pross, wakati ana bebelea mizigo kuingiza kwenye gari “alafu kademu knyewe ni kazuri” aliwaza Pross, ambae kiukweli mschana yule aliweza kumfanya ahamshe hisia za kuwa na mwanamke, mana ukweli nikwamba akuwai kupata kitumbua ata siku moja, ukiachia ile siku ambayo mama yake mdogo, alimchezea dudu, na kutaka kumpa kitumbua, akuwai kukaribiana na kitumbua.

Lakini Prosper alishikwa na mshangao muda wa kuondoka, ambapo licha ya mschana mrembo Rose, kukumbusha mkaa, ambapo aliitaji viroba viwili vya mkaa, kati ya vitano vilivyo kuwepo, kwaajili ya kuuzwa, lakini waliingia kwenye gari, na kuondoka zao, bila kuacha kitu chochote, yani siyo fedha wala chakula kama alivyo kuwa anafanya bwana Lwezaula, boss wake wazamani, na kutokana na ukari wa bwana Kipanta, ukweli Pross alishindwa kuomba fedha yake japo ya ule makaa pekee, hivyo akalisindikiza gari kwa macho mpaka linatokomea, “hivi huyu mzee, huyu ndie mke wake, au na yeye anafanya kama alivyo fanya baba?” alijiuliza Pross huku anaingia kwenye kibanda chake na kuchukuwa kiredio chake, kidogo, na kutoka nacho nje akafunga na kuelekea barabara kuu ambako ndiko kulikuwa na vijana wenzake wengi sana, na ndiko alikokuwa anashindaga kila siku mida ya jioni, na wakati mwingine alikuwa anawekaga mkaa wake ili kuwauzia wapiti njia wanao elekea mjini dar es salaam au kibaha.******

ulipita mwenzi mzima, pasipo kuonekana bwana Kipanta wala Rose, ambae ndie boss wake, hali ya maiasha kwa Kijana Pross ilikuwa ngumu kidogo, japo kuwa alisaidiwa na fedha za mkaa, mboga mboga, na wakati mwingine mapassion na embe dodo, ambazo sasa zilikuwa katika msimu wake, ambazo alikuwa anazipanga barabarani na kuuza kwa moja moja au ndoo nzima, maana akulipwa mshara wake, wa mwezi uliopita, na mwezi huu unaoisha, ila alijipa moyo kuwa ata pewa laki moja nzima, na kufanyia jambo la msingi.
Siku hiyo Pross alikuwa amejipunzisha chini ya mwembe dodo, maana kulikuwa na kajuwa flani, alijilaza na kutulia kwa muda mrefu kidogo, ambapo licha ya kuchoka sana kutokana na kulima toka asubihi mpaka saa tano, kwaajili ya kulima maindi na kupanda mihogo, na viazi, kwa sababu mwezi huu wa kumi na mbili, ulikuwa na mvua flani hivi za kupandia, mihogo na viazi, lakini kijana huyu pale chini ya mwembe dodo ambao alikuwa nao makini siangikiwe na mahembe, akuweza kupata usingizi, japo kwa dakika tano, maana muda wote alikuwa anawaza juu ya baba yake, ambae ni mwaka wa tatu sasa ajamwona wala kupata habari zake, roho ilimuuma, sana, maana mala ya mwisho aliweza kuona dalili za kuwa baba yake alikuwa na maisha magumu sana, maana ukiachilia maneno ya watu wa pale mivinjeni line polisi, pia majibu ya Khadija, yalionyesha wazi kuwa baba yake akuwa na kitu chochote, na kuonekana kuwa siyo lolote kwa mwanamke yule ambae kitumbua chake ni moja ya biashara zake, ambae alikuwa ameonelea ajipumzishe kidogo, kisha apeleke mkaa barabarani, aliendelea kuwaza juu ya maisha yake na jinsi atakavyo wasaidia wadogo zake kwa kulipia masomo yao, na kuwanunulia nguo nzuri.

Wakati Pross anaendelea kuwaza hayo, mala akasikia muungurumo wa gari, ukiingia pale shambani, akainua uso na kutazama kule linakotokea gari, akaliona Toyota Alpahad ambalo bado lilionekana kuwa jipya sana, na kwamba mtumiaji alikuwa anamatumuzi mazuri sana na gari lake, gari uli lilikuwa ni lile lile la mschana Rose, ambalo alikuja nalo mala ya mwisho akiwa na bwana Kipanta, japo leo nikama Kipanta akuwepo ndani ya gari ilo, maana walionekana waschana wengone wawili wakiwa ndani ya gari ilo, mmoja alikaa seat ya abilia ya mbele, na mwingine alikaa seat ya nyuma, huku Rose akiendesha gari ilo, Pross akatabasamu kwa matumaini ya kuwa leo ameletewa mshara wake.

Pross aliinuka mala moja pale juu ya mkeka, na kujiweka tayari kumpokea boss wake, ambae alikuwa amekuja na watu wengine, ambao yeye kama yeye akuwa na inshu nao, zaidi ya kuwaza laki moja yake, ambayo ni mishahara ya miezi miwili, “waaahoooo, Rose ilishamba lote la kwako?” aliuliza mmoja kati ya wale waschana wawili aliokuja nao Rose, huku wanashuka toka kwenye gari, “ujaona kule nyuma kuna kila kitu, yani mpaka natamani nimwambie babu anijengee kijumba cha kupumzikia week end, alisema Rose kwa sauti yake ile ile tamu, na kumfanya Pross akubari kuwa hii nisauti harisi ya Rose na siyo sauti ya kumdanganya bwana Kipanta, ambae akiwa mbali Rose umwita babu, “tena m’bane mapema kabla ajaishiwa, au mke wake kumbana” alisema mmoja wa rafiki zake, huku wakiwa wamesha shuka tooka kwenye gari, huku Pross akiwaona wote walikuwa wame valia sale za wafanya kazi wa National Miclofinancial Bank, yani NMB, kwahiyo Pross aligundua kuwa Rose licha ya kuishi kwa kumtegemea bwana Kipanta, kama peni wake, pia mwanamke huyu alikuwa mfanyakazi wa benki hiyo ya serikali, na ukwelli yeye na rafiki zake nikama walichaguana, maana walikuwa wazuri kuliko kweli kweli, japo awa wawili awakumfikia Rose, japo kuna mmoja alionekana kuwa na umri mdogo kuliko Rose, na huyu mwingine kama walikuwa wanalingana tu!.

“jamani Rose, utamuuwa babu wawatu, unajuwa ile nyumba ya mjini, siyo ndogo, ebu mwachie akumbuke na familia yake jamani” alisema mmoja wawale waschana kwa sauti ya kulalamika…
 
Sehemu ya Saba

STORY NA: Mbogo Edgar

Ilipoishia sehemu ya sita:

Yani NMB, kwahiyo Pross aligundua kuwa Rose licha ya kuishi kwa kumtegemea bwana Kipanta, kama peni wake, pia mwanamke huyu alikuwa mfanyakazi wa benki hiyo ya serikali, na ukwelli yeye na rafiki zake nikama walichaguana, maana walikuwa wazuri kuliko kweli kweli, japo awa wawili awakumfikia Rose, japo kuna mmoja alionekana kuwa na umri mdogo kuliko Rose, na huyu mwingine kama walikuwa wanalingana tu!, “jamani Rose, utamuuwa babu wawatu, unajuwa ile nyumba ya mjini, siyo ndogo, ebu mwachie akumbuke na familia yake jamani” alisema mmoja wawale waschana kwa sauti ya kulalamika… ENDELEA…………….

Lakini ikionyesha ina utani ndani yake, “lazima alipie, yeye si alikula vya watu” alisema Rose japo kwa sauti nyololo lakini Pross aliiona kuwa imeaa ukatili sababu alijuwa fika kuwa kina chi mkuta bwana Kipanta ndio kile kilich mkuta baba yake miaka mitatu iliyopita, “hivi we mlinzi unajuwa hii tabia yako siipendi, yani toka tumefika wewe unatuangalia, au tuna vutu vya hajabu kwenye miili yetu?” aliongea Rose kwa sauti ile ile nyololo, lakini iliyo jaa ukari, “samahani boss nilikuwa na subiri mmalize kuongea, ndio niwasalimie” alisema Pross kwa sauti ya upole na ya kunyenyekea, huku wenzake na rose waki mtazama Pross kwa macho flani ya huruma, “maongezi yetu aya kuhusu, ata hivyo, umeowea uwezi kusalimia mpaka yule babu yako akuambie, sababu ndie anaekulipa mshahara” alisema Rose huku anaanza kutembea kuelekea nyuma ya kibanda ambako ndiko kwenye shamba kubwa, “samahani sito rudia tena, boss shikamoni” aliamkia Pross na kuwafanya wale waschana wawili waliokuwa wanamfata Rose,wasimame na kumtazama Pross, kwa mshangao mkubwa, “maarahaba ebu chukuwa mifuko kwenye gari, niwekee machungwa mihogo nazi na viazi, alafu pakiza mkaa viloba vitatu kwenye gari” hiyo aikuwa ombi ila ilikuwa amri, toka kwa boss wake, hapo Pross akakumbuka mala ya mwisho alipokuja
Rose na bwana Kipanta, maana walichukuwa vitu vyake vingi na awakumlipa ata shilingi ya mkoloni, “Rose mbona huyu kijana mkubwa
kabisa ana kuamkia” Pross alisikia sauti ya yule mschana ambae ana umri sawa na Rose, akiuliza hivyo wakati yeye akiwa ndani anaelekea kwenye gari kuchukuwa mifuko kama alivyo elezwa, “alafu kijana mwenyewe hand same” alisema yule mdogo mdogo, na
kumfanya Pross ajitazame kidogo, huku anatabasamu, maana kuambiwa handsome na waschana kama wale, inabidi uwe mzuri kweli, Rose akujibu lolote zaidi ya kuendelea kuwatembeza wenzake kwenye lile shamba lake.

Pross akuwa na lakufanya, zaidi ya kufanya kama alivyo ambiwa na boss wake Rose, na ata wakati wa kuondoka pia akupewa chochote, ila mmoja wawale waschana alimwuliza, “eti kaka, umeishia darasa la ngapi?” kwa swali lile walimaanisha shule ya msingi, “form six” alijibu Pross kwa sauti ya kinyonge, uliosababishwa na kugundua kuwa na leo bidhaa zake zime chukuliwa bila malipo yoyote, na akukuwa na dalili ya pewa mshahara wake, jibu lile llilionyesha kumshangaza ata Rose mwenyewe, maana akutegemea kuwa kijana huyu ametumia muda mwingi kusoma, lakini akuongea chochote, mpaka wanaondoka eneo lile.****** Ukweli Pross aliumia sana, moni
mwake, na kujikuta anaanza kumchukia boss wake, ambae alionyesha kila dalili ya kukosa utu, ata safari nyingi alipokuja alikuja na wenzake awa na akiongozana na bwana Kipanta, ambapo mambo yalikuwa zaidi ya siku ile, “hivi kwanini umelima sehemu ndogo, na kule chini una mwachia nani?” aliuliza Rose kwa hasira, huku akimtazama Pross, ukweli Pross alishindwa kumwelewa biss wake huyu,
sababu yeye analima kwa faida yake, na siyo kwaajili ya boss huyu, na isitoshe awakuwa na mkataba wa kulima, maana yeye uwepo pale kama mlinzi tu! kama kuna swala la kulima au kuvuna, ilimpasa yeye akodi mtu au watu wafanye hivyo na kuwalipa, “usijari mpenzi, ata lima tu, na mfahamu huyu kijana anajituma sana” alijibu bwana Kipanta.

Naam siku ile mambo yalikuwa ni yale yale, Pross alilazimika kuvuna mazao yake na nazi kwaajili ya boss Rose, na kupakiza kwenye gari, huku bwana Kipanta, akiongozana na wale waschana watatu akiwepo Rose, wakionyeshana eneo ambalo bwana Kipanta alitakiwa kujenge nyumba, kuna wakati Pross aliona kitu ambacho akikuwa cha kawaida, nikama alimwona bwana Kipanta akiwa ana mtazama yule mschana alien a umrimdogo kuliko Rose na kumkonyeza pale macho yao yalipokutana, na yule mschana kuishia kutabasaamu, na kutazama chini kwa aibu, “tena wajenzi wata kaa kwenye kile kibanda, atuta kuwa na haja ya mlinzi, mi naona tuna poteza fedha nyingi sana” Pross aliweza kusikia kwambali Rose akiongea ka sauti ya kudeka, “ni wewe tu mpenzi, unavyoona inafaa, basi nita kuhamishia fedha kwenye account yako, ili uanze ujenzi” alijibu bwana Kipanta ambae ukweli nikama alianza kudhoofika, kama siyo kwaajili ya pombe basi mawazo, ndicho nacho kupendea baby, lakini hii ni kwa faida yetu wote” alijibu Rose kwa sauti ya kudeka, na kuzidi kumfanya Pross amchukie.

Na ata wakati wa kuondoka ulipowadia, Pross alipiga moyo konde na kuomba kuongea na bwana Kipanta, maana aliona kuwa akizubaa anaweza kufanya kazi bila malipo, na vile vile mazao yake yana kwenda bule, “samahani mzee naona kila boss akija anachukuwa tu mihogo viazi mkaa, alafu anipi ata ela yangu, alafu mshahara wangu ni mwezi wa pili sasa, sijapata, siunajuwa kule nyumbani wanategemea mshahara wangu niwatumie” alisema Pross kwa sauti ya kunyenyekea, hapo Kipanta akamtazama Rose, ambae alikuwa anaingia kwenye gari pamoja na wenzake, kisha akamtazama Pross, “ok! usiwe na wasi wasi, utalipwa zote kwenye mshahara wako, cha kufanya kaachini piga mahesabu, alafu nikija utaniambia ni kihasi gani, unadai” alisema boss Kipanta, ambae Pross akuwa na namba zake za simu, “nashukuru ana boss, nitapiga mahesabu bahati nzuri nakumbuka vizuri?” alisema Pross akijuwa kuwa muda siyo mrefu atalipwa fedha ndefu sana.

Ukweli siku ile akuwai ata kwenda kutembea, maana alikaa chini na kuandika kitu kimoja baada ya kingine, alicho wai kumpatia Rose, kuanzia mikaa na mboga mboga, na kugundua kuwa ni zaidi ya shilingi Elfu tisini, ikiwa pamoja na punguzo la elfu nne kwa kila kiloba cha mkaa, na kuongeza elfu ishilini za mihogo, aliyo chukuwa malazote, inakuwa lakimoja na elfu kumi, ongeza viazi laki moja na ishilini hivyo basi ilikuwa ni laki mbili na ishilini akiongeza na mshahara wake wa miezi miwili.****** Naam ilikuwa tofauti na matarajio ya Kijana Pross, kuwa angepata fedha nyingi siku za hivi karibuni, maana zilipita week mbili pasipo kuonekana Rose wala Kipanta, akawaza kuwa watu wapo busy na sikukuu za chrissmas na mwaka mpya hivyo lilikuwa ni jukumi lake kumkumbusha, sasa ata mkumbushaje wakati akuwa na namba ya Kipanata wala Rose, lakini wakati mwingine kuwaza kwingi ndio kupata jibu sahihi, maana alipata wazo la kipiga simu kwa boss wake wazamani, bwana Lwezaula, na kumwomba namba za boss wake mpya yani bwana
Kipanta.

Prosper alifanikiwa kupata namba ya Kipanta toka kwa Lwezaula ambae alionekana kufurahi sana, mala baada ya kupokea simu toka kwa kijana Pross, ambae baada ya kupewa namba za simu, akampigia bwana Kipanta, n kumkumbusha juu ya malipo yake, akimtajia kiasi cha fedha cha laki mbili na therasini alichokuwa anadai, “sikia dogo, vuta subira kidogo, siunajuwa kuwa unazungumia fedha hapo, na fedha zina tafutwa, hivyo kuwa mpole kidogo” jibu ili lilianza kukatisha tamaha kijana Pross, ambae alianza kuona malengo yake ya kuwasomesha wadogo zake, maana boss alisha onekana kuwa ni mtu wa sound. Hivyo Pross akaaamua kufanya kazi kwa juhusi ili aweze kufanikisha japo nusu ya malengo yake, hivyo akaingia msituni kukata kuni kwaajili ya kuchoma mkaa, ambao alimini akiuuza ata jipatia fedha ambayo ita punguza baadhi ya mambo nyumbani kwao. *******

Zilikuwa sime bakia siku tatu kabla ya sikukuu ya chrissmass, saa kumi jioni, ndio siku ambayo Pros alikuwa anabebelea mkaa toka toka kwenye tanuli lake kubwa ambalo alikuwa amelichoma kwaajili ya kujipatia fedha za kuwasaidia mama yake mama mdogo, na wadongo zake wapate fedha za siku kuu, akiupeleka pale kwenye kibanda chake, na wakati anamalizia kupakia mkaa kwenye viroba, mala akaliona gari aina ya Toyota Vitz rangi ya silver likiingia pale shambani, mwanzo Pross alizania kuwa ni gari jingine la bwana Kipanta, maana ata siku ile ya kwanza alikuja na dari dogo sana aina ya Toyota Ist, tofauti na ili Toyota vitz nikwamba ili lilikuwa lime choka choka kidogo, tofauti na lile IST, na alipolitazama vizuri akagundua kuwa gari lile lilikuwa linaendeshwa na mwanamke, tena asie mfahamu kabisa, japo kwamwonekano wa mwanamke huyu, akiwa bado kwenye gari, usoni alikuwa ni mzuri, usowake kama vile msomari au mnyarwanda, ila watu kama awa kwa hapa nchini, wanapatikana upande wa kaskazini, hivyo Pross alishindwa kumtambua
kama ni mwanamaam au mwana dada.

Gari lile lilikuja na kusimama mbele ya kibanda kile cha bati, na kisha wakashuka watu watatu, wakianza wawili, yani mschana mmoja mwenye makamo ya Pross ila yeye nikama alikuwa na miaka kati ya kumi na tisa, mpaka ishilini na moja, ambae kimtazamo alikuwa amefanana sura na yule mama alie kuwa anaendesha gari, ilakwa umbo alikuwa na umbo flani
ambalo, moja kwa moja linge kutoa mate kama wewe ni mwanaume unae penda waschana wadogo, maana alikuwa na umbo flani lililo tanuka kuanzia kiunoni, mapaja na makalio, yaliyoonekana vyema kwenye suruali yake ya jinsi, pia alikuwa mrefu kiasi, alafu kifua chake cha wastani kilicho beba maziwa mazuri yaliyo simama vyema, kama yalivyoonekana kwenye kijinguo chake cha juu wenyewe wanaita kitop, ukwli Pross alijikuta ana kweesha macho, kumtazama abiria wapili, maana aliona akimshangaa sana, ata wachukiza kama alivyo mchukiza boss wake Rose, Pros akaona anashuka kijana wa kiume ambae licha ya kufanana sura na dada yake, pia alikuwa mwembamba na mrefu, ungesema ni mmasai au msomali, huyu kwa mkadilio alikuwa na umri wa miaka kati ya kumi na tano au mpaka kumi na saba, hiyo ukimtazama usoni, lakini kwa mtazamo wa haraka, alifaa kuongozana na kuwa lika moja na Pross kutokana na kimo chake, kwakifupi watoto awa wawili walionekana wazi kuwa wametoka katika maisha ambayo ayakuwa na shida, japo sura zao zilionekana kujawa na simanzi flani, “mambo vipi?” alisalimia yule kijana wa kiume, huku ana msogelea Pross, alie kuwa amesimama ana watazama, huku amechafuka mkaa kweli kweli, “poa niaje” alijibu Pross, huku ana geuka kutazama kwenye gari, ambako sasa
alikuwa anashuka dereva wa gari ili, ambaw alionekana kuchelewa kushuka kutokana na kupekuwa pekuwa kwenye mkoba wake, ambamo aliibuka na kitenge, na baada ya kushuka akaonekana akijifunga, Pross akuweza kuona vizuri sababu mama huyu alizuiliwa na mlango wa gari ili, “dada kumbe shamba kubwa” alisema yule kijana wakiume huku wote wawili wakitazama tazama, kila upande kuangalia lile shamba, la mwana dada Rose, nika juwa kuwa awa kama siyo wamekuja kutafuta ,ashamba ya kununua, basi bwana Kipanta, anataka kuuza ilishamba, kwa upende flani Pross aliombea iwe hivyo, pengine maboss wapya wangerudisha maisha yake, na familia yao, “kwani umeambiwa ndio hili?” aliuliza yule mschana, huku na yeye akitzama kushoto na kulia, ukweli Pross yeye akuwa anafwatilia maongezi yao, zaidi alitazama jinsi mtoto huyu alivyo umbika.

“Ujambo Kijana?” Prosper alishtuliwa na sauti nzuri iliyo jaa upole toka kwa mama wa watoto awa, “sijambo shikamoo mama” alisalimia Pross ambae neno mama yeye kwake lilikuwa ni kwa kila mwanamke mtu mzima, huku anageuka kumtazama yule mama, “marahaba” aliitikia yule mama ambae ukweli Pross alibakia memkodolea macho kwa jinsi mwonekano wa yule mama ulivyo, ukiachia kuwa sura nzuri kama ilivyo kwa mwanae, pia alikuwa ana umbo ambalo, ukilitazama, bila kuuliza unajuwa kuwa huyu mwanae amerithi toka kwake, maana ukiambiwa hips hips kweli, ukitazama kalio, kalio kweli yani japo alikuwa amejifunga kitenge, lakini nikama kilionekana
kidogo, sababu kiliacha sehemu ya mbele wazi kidogo, na kufanya Pross agundue kuwa mama huyu ambae umri wake nikama miaka therasini na nane hivi, alikuwa amevalia suluari kwandani, na alifunga kitenge ili kuficha utamu wake, ambao ungeonakana jinsi ulivyo jichora kwenye suruali yake. “samahani kijana, hapa ndio shambani kwa bwana Kipanta?” aliuliza yule mama, mala baada ya kumfikia Pross, ambae bado alikuwa ana mtazama huyu mwana mama na kusanifu umbo lake, ambalo, lisinge mwacha salama mwanaume yoyote lijari………

Sehemu ya nane

STORY NA: Mbogo Edgar

Ilipoishia sehemu ya saba:

Maana ukiambiwa hips hips kweli, ukitazama kalio, kalio kweli yani japo alikuwa amejifunga kitenge, lakini nikama kilionekana kidogo, sababu kiliacha sehemu ya mbele wazi kidogo, na kufanya Pross agundue kuwa mama huyu ambae umri wake nikama miaka therasini na nane hivi, alikuwa amevalia suluari kwandani, na alifunga kitenge ili kuficha utamu wake, ambao ungeonakana jinsi ulivyo jichora kwenye suruali yake.“samahani kijana, hapa ndio shambani kwa bwana Kipanta?” aliuliza yule mama, mala baada ya kumfikia Pross, ambae bado alikuwa ana mtazama huyu mwana mama na kusanifu umbo lake, ambalo, lisinge mwacha salama mwanaume yoyote lijari……… endele

Huku watoto wa mama huyu wakisubiri jibu toka kwa Pross, ambae alikuwa kimya kwa sekunde kadhaa, lakini awakugundua kuwa Pross alikuwa ana mshangaa mama yao, ila mama mwenyewe alishagundua, kuwa kijana huyu, amesha changanyikiwa kwa umbo lake, ambalo uwa lina wachanganya wanaume wengi sana, “we kaka mama siamekuuliza kama hapa ni shambani kwa mzee Kipanta?” safari hii Pross alishtuliwa na sauti ya yule binti, hapo Pross akagundua kuwa anaonyesha udhaifi mkubwa sana mbele ya wageni awa, kwa kuwashangaa maumbile yao, “ilishamba siyo la Kipanta, japo yeye ndie alie kuja kununua, ilishamba ni la dada mmoja anaitwa Rose” alijibu Pross, huku akishindwa kuzuwia macho yake kutazama maumbo matamu ya mama na mtoto, hapo Pross aliweza kuwaona wanafamilia awa wakitazamana katika hali tofauti, wakati watoto wakionyesha tabasamu, mama alionekana kubadirika usoni,kwa
kukosa amani, alitulia kidogo kizungusha uso wake pande zote, kutazama lile shamba kwa, ungesema kuwa alikuwa anaitaji kulinunua, kisha akamtazama Pross, huku bado uso wake ukiwa ume nyongea, “samahani kijana unaweza kunionyesha kidogo mipaka na madhingira ya shamba lote” alisema yule mama kwa sauti ya upole iliyo nyongea, “akuna tatizo mama na weza kuwatembeza” alijibu Pros, na hapo wale watoto wawili wa huyu mama kwaka tabasamu kwa furaha.

Naam huku akihisi kuwa ni wateja wamekuja kuangalia shamba pengine wana miadi na bwana Kipanta, Pross aliwatembeza kwenye kila kona ya shamba, huku akikabiliana na usumbufu wa hapa na pale, ambao san asana ulitoka kwa watoto awa wawili, maana wakiume akiomba achumiwe chungwa, wakike aliomba dafu, wakiume akiommba hiki wakike anaomba kile, “nyie mbona mnamsumbua anko” ilifikia kipindi mama yao aliwaambia hivyo japo katika hali ya utani na maongezi, “acha tu mama, najuwa mjini vitu hivi ni gharama sana” alijibu Pross, huku anacheka cheka, sijuwi kwanini alitokea furahia sana familia hii, ambayo mpaka sasa akuwa anawajuwa ni wakina nani na wametokea wapi, na lengo la kuja pale ni lipi, “nakweli mle kabisa madafu na msinisumbue njiani sijuwi tunataka madafu sijuwi embe, nazani mmeziona wenyewe” alisema mama huyu ambae alionyesha kupendezwa na jinsi Pross alivyo wapokea, “kwahiyo na hizi mboga mboga, viazi na miogo wame lima wao au umelima wewe kwaajili ya maitaji yako?” aliuliza yule mama, wakati wanapita kwenye eneo ambalo Pross alikuwa amelima mboga za majani kama vile mchicha chines kabeg, spinach nyanya, pili pili na nyinginezo, “hizi ni kwaajili yangu, pamoja na ile mihogo, na viazi” alijibu Pross kwa uchangamfu pasipo kujuwa huyu mama ni nani.*****

Naam huyu mama ni mwalimu wa shule ya msingi Luguruni anaitwa Stellah, ni mama wa watoto wawili, mwny umri wa miaka thelathini na nane, uzuri wa umbo na sura yake ndivyo vilivyo mfanya bwana Kipanta avutiwe nae na kuanzisha mausiano miaka ishilini iliyopita, wakati huo Stelah alikuwa anamaliza kidato cha nne tabora girls secondary, huku bwana Kipanta akiwa ni askari anafanyia kazi kwenye kambi la jeshi la mirambo, na kabla Stelah aja anza masomo kwenye chuo cha ualimu, akajikuta tayari mjamzito, ambao alijifungua mtoto wa kike, akiwa ndie mtoto wa kwanza wa bwana Kipanta, ilikuwa kama bahati kwa bwana Kipanta, pale alipo lazimishwa kuishi na mschana mrembo stellah, na wa zazi wa wanamke huyu, ata askari wenzake walimwita mwenye bahati, maana stela alikuwa ni mmoja kati ya waschana wazuri, walio utikisa mji wa tabora. Maisha ayakuishia hapo, mausino na wazazi wa Stelah yakafanyika, na Stelah akakubaliwa kukaa nyumbani kwa wazazi wake, huku akilea mtoto wake wa kike, ambae baada ya kutimiza mwaka mmoja, Stelah akaenda chuo , ambako ali soma kwa miaka miwili na alipotoka tu, akajikuta anabeba mimba ya pili, ya mtoto wake wa kiume, na hapo ndipo alipo hamia kwa bwana Kipanta, amba miezi michache baadae alipata uhamisho na kuamia kambi moja la jeshi, huko kibaha mkoani pwani, na mke wake yani stelah kupata kazi ya kufundisha shule ya msingi Luguruni, huku wao wakiishi kwnye nyumba ya kupanga maneo ya Mbezi kwa Yusufu, na baadae wakajenga Kibamba Hospital, ambako wanaishi mpaka sasa.

Licha ya kupata usumbufu mwingi toka kwa naume mbali mbali, asa wenye wenye fedha nyingi, wakiitaji penzi la mwalimu Stelah, au mwalimu wowo kama alivyo itwa na wanafunzi wasio na nidhamu, au vijana wa mtaani asa boda boda, lakini mwalimu Stelah akuwa tayari kumsaliti mpenzi wake Kipanta, ambae bahati ili mtembelea, na kuweza kwenda kusomea nyota, huko Monduli mkoani Arusha, na kupata nyota moja, ambayo alidumu nayo kwa mwaka mmoja, na kupata nyota ya pili, ambayo alidumu nayo kwa miaka mingi kidogo, na kupata nyita ya tatu, ambayo amstaafu nayo.

Kwakifupi maisha yao ya ndio kuna wakati yaliingia kwenye mogogolo mikubwa mikubwa iliyo sababishwa na bwana Kipanta mwenyewe, kama siyo wivu kwa mke wake, basi ni yeye mwenyewe kutoka nje ya ndoa, ikifikia hatua ya kuto kuchangia huduma muhimu kwa watoto, na kumwachia jukumu ilo mke wake, ambae alizidi kuvulia klo za mume wake, kama vile kuchelewa kurudi nyumbani, tena akirudi amlewa, na wakati mwingine kulala huko huko, kupigiwa simu au kutumiwa jumbe za mapenzi toka kwa wanawake wengine, kama aitoshi alisha mfumania mala kadhaa, akifanya mapenzi na waschana wao wakazi, kiasi cha mama huyu kuamua kuto leta mfanyakazi pale nyumbani.*******

Naam lakini licha hayo yote kutokea, wawili awa waliendelea kuwa katika ndoa, kuna wakati walijisuluhisha wenyewe na kuendelea na maisha yao, huku wakipeana mapenzi moto moto, lakini aikumaanisha kuwa Kipanta amebadirika, wanasemaga kichaa uwa
akiponi, uwa kinatulia, tabia yake ili jiibuwa upya, baada ya kununua gari aina ya Toyota Vits, ambalo lilinunuliwa na mk wake, yani mwalimu Stellah, au Stelah wowo, ambae alichukuwa mkopo, kwaajili ya marekebisho ya nyumbao, na bwana Kipanta kumlubuni,
wa nunue gari, akidai kuwa lita saidia kwa shughuri za pale nyumbani. Lakini kwa tabia ya bwana Kipanta, ili mfanya Stellah, ajilahumu kukubari kununua gari ilo, ambalo lilitumika sana kwenye starehe kuliko shuguri muhimu za pale nyumbani, lilibeba sana vimada kuliko familia, huku liki pata hajari ndogo ndogo, za hapa na pale na kulifanya lichoke haraka sana, ukweli siyo kwamba Stellah akujuwa matendo ya mume wake, aliyajuwa sana, ndiyo matendo yaliyo pelekea mama huyu, mwenye umbo la kuvutia, aanze kijiliwaza kwa kunywa wine, kila alipoona yame mzidia, maana alikuwa anajifungia ndani mwake, na kujiwekea music, huku anapata wine, ambayo
ndiyo ilikuwa mkombozi wake.

Kituko ni mwaka mmoja kabla ya kustaafu, bwana Kipanta alinunua gari jinginge, safari hii ni kwa fedha yake mwenyewe, ambayo aliipata, baada ya kwenda safari ya kikazi, ya ulinzi wa amani huko nchini sudani, ukiachia kununua gari na nguo chache kwa watoto na mke wake, lakini fedha nyingine yote ambayo zaidi ya million alobain, aikujulikana imeenda wapi, zaidi ya kumwona bwana Kipanta
akipata safari nyingi za kikazi, ns dharula za nyingi za kulala kazini, mpaka mke wake alipo baini kuwa akuwa anasafari, zaidi ya kuwa alikuwa anaishi na kimada ambae mwanzo akuwa amemfahamu, kimadahuyo alie itwa Rosemary, ambae alisha jengewa nyumba mitaa ya Kibamba njia panda ya shule, tena siyo nyumba ndogo, ni zinga la nyumba, ikiwa pamoja na kufunguliwa biashara kadhaa, yakiwa maduka mawili makubwa ya jumla na saloon kubwa ya kike. Stelah alikuja kulifahamu ilo baada ya kuelezwa na rafiki wa kimada huyo, yani Rose, ambae alikuwa anafanya nae kazi kwenye Benki ya NMB, anaitwa Joyce, ambae ni kama aliionea huruma familia hii, lakini aikusaidia maana ilizidisha ugomvi, ndani ya familia ya Stellah na Kipanta, ugomvi uliopungua baada ya bwana Kipanta kuishiwa fedha nakutulia nyumbani kwake.

Angalau sasa Kipanta akatulia, na maisha yakarudi kuwa ya amani, huku stella, akijitaidi kusimamia familia, ukweli kama unge weza kumwona Stellah, ungseshangaa kwanini Kipanta alikuwa anatoka nje ya ndoa, maana Stellah alikuwa ni mzuri kweli kweli, na
alikuwa na sifa zote ambazo mwanaume yoyote alie barehe, ange mtamani mwana mama huyu, pasipo kujari umri wake, ukweli Stellah alipitia usumbufu mkubwa sana kwa wanaume lakini, akujari matendo ya mume wake, yeye alitulia na ndoa yake, akutaka
kumsaliti mume wake. Kama nilivyo sema mwanzo, kichaa uwa akiponi, ila kinatulia kwa muda, au waenga wanasema akuna mlevi mple, ukiona kimya ujuwe kafulia, mambo yalianza kuwa mazito kwenye familia ya kipanta baada ya bwana Kipanta, kustaafu na kupokea fedha za mafao yake, ambazo katika million zaidi ya themanini, mke wake akuona ata shilingi moja, zaidi ya kuona mume wake akiingia nyumbni saa saba za usiku, na kutoka saa nne za asubihi, hiyo ni kwa siku chache ambazo alifanikiwa kulala nyumbani, zaidi ya hapo, ange kaa huko ata siku nne au week, akidai kuwa ana safari kufanya utafiti wa biashara gani afanye, toka mwezi wa sita maisha yalikuwa hivyo, bwana Kipanta alikuwa busy na mambo yake, akukumbuka ata kula kitumbua cha mke wake, ambae alikuwa anakiu ya dudu, kwa muda mrefu, japo ata siku za nyuma alikuwa akimbania sana kumpa dudu, na akimpa uwa anatumia
muda mfupi na kulala, akidai amechoka na kazi……….

Sehemu ya Tisa

STORY NA: Mbogo Edgar

Ilipoishia sehemu ya nane :

Hiyo ni kwa siku chache ambazo alifanikiwa kulala nyumbani, zaidi ya hapo, ange kaa huko ata siku nne au week, akidai kuwa ana safari kufanya utafiti wa biashara gani afanye, toka mwezi wa sita maisha yalikuwa hivyo, bwana Kipanta alikuwa busy na mambo yake, akukumbuka ata kula kitumbua cha mke wake, ambae alikuwa anakiu ya dudu, kwa muda mrefu, japo ata siku za nyuma alikuwa akimbania sana kumpa dudu, na akimpa uwa anatumia muda mfupi na kulala, akidai amechoka na kazi………. endelea ………..

Lakini Stelah alivimilia na kuto kukubaliana na vishawishi vya wanaume ambao wengi wao walikuwa ni walimu na wanaume wa pale mtaani ambao wanafedha zao, Naam ilikuwa likizo ya mwezi wa Kumi na mbili, na maana kwa watoto na mama yao, yani Stellah mwenyewe, ndipo siku moja bwana Kipanta aliondoka pale nyumani na gari lake, kama vile anaenda na kurudi, lakini ikawa kimya kabisa, mpaka ika pita week nzima, siyo kwamba mke wake akumpata hewani, aliwasiliana nae vizurio tu! lakini alimweleza kuwa alikuwa ameenda mtwara kuangalia uwezekano wa kununua korosho, ikiwa ndio biashara aliyo ichagua, lakini jibu la mke wake alikumwingia hakirini, kwanaza uondokaji wake, pili million themaninisiyo fedha ya kutosha kwenda mkoani kununua korosho, na kuzisafirisha mpaka Dar es salaam, maana ulikuwa mtaji mdogo sana, ukizingatia lazima fedha hiyo itakuwa imepungua, kutokana na starehe alizokuwa anazifanya bwana Kipanta, laiki Stella, akuwa na la kufanya, akaendelea kuishi na watoto wake, ambao licha ya kugundua mgogoro wa familia yao, lakini waliona maisha ni mazuri sababu mama yao alikuwa na kazi yake na maisha yalikuwa yanaenda vyema, sasa basi week moja iliyo pita mwalimu Stelah alienda benk, ya NMB tawi la kibaha, ndipo akakutana na Joyce, ambae baada ya kumwona tu, japo yeye akumfahamu lakini Joyce alimfahamu, “samahani dada unaweza kunipatia namba yako ya simu, nina inshu muimu sana kwako” alisema yule Joyce na mwalimu Stelah, ambae alisha kutana na watu watu wengi kiasi cha
kuto kuwakumbuka wote, akampatia namba ya simu na kisha akamaliza huduma yake, na kuondoka zake, ndipo jioni ya siku hiyo, mwalimu Stellah akasikia simu yake inaita, ilikuwa namba ngeni, akaipokea, lakini akakutana na sauti flani ya music ikionyesha mpigaji alikuwa bar, “habari za jioni” alisalimia mwalimu Stellah “nzuri tu dada yangu, samahani nazani unani kumbuka tulikutana pale benk, sikia dada yangu, kwakweli nime amua kukusaidia, kwasababu ya watoto nawao waonje matunda ya baba yao, mume wako yupo hapa Full dose pub, mbezi, fanya haraka, usionyeshe dalili kama nilikupigia simu, fanya haraka” alisema yule mpigaji wa simu ambae
Stelah alimkumbuka kuwa alimpatia namba ya simu kule NMB.

Hapo mwana mama, au mwana dad Stelah, mwana dada mwenye shep yake, aliingia kwenye gari na kuelekea mbezi, huku njiani akiwasiliana na Joyce, wa sms, na kumwelekeza sehemu walipo na nini kina endelea.******

Nikwamba, upande wapili kule Full dose, bar iliyo kuwa imechangamka mida hii, watu walikuwa wengi sana, wakati huo, kwenye kona mja iliyo jifichkweli kweli, bwana Kipanta, alikuwa amekaa meza moja na waschana watatu, warembo kweli kweli, nao ni Rosemary, mschana Joyce, na Matrida, wakiwa wameizunguka meza iliyo chafukwa kwa viunywaji, yani pombe za gharama, na mapochopocho, kama wasisi kutoka vijijini tunge sema walikuwa wanakula mboga, yani ulikuwa ni mwendo wa mbuzi na kuku wakuchoma, huku ndizi za kuchoma zikiwa chache kabisa, “hivi baby, unakumbuka ulisema Chrismass, tuinaenda Zanzibar?” aliuliza Rose, kwasauti ya kudeka, huku akijiegemeza begani kwa Kipanta, “nakumbuka sana, ila nikama ulisema na bagamoyo pia” alijibu Kipanta, ambae kiukweli uvaaji wake aukuwa wakupendeza, japo alivaa mivao ya vijana, yan tisht na jinsi, “nikweli lakini mi sijawai kwenda Zanzibar” alisema Joyce, kwa sauti ile ile ya kudeka, ambae kiukweli kwa uzuri wa sura na mwili, aliwashinda wenzake wakina Joyce.

Naam pale walipo kaa, kuna mambo yalikuwa yanaendelea, maana wakati Rose, akiwa anawaza namna ya kuhakikisha ana maliza fedha zote za Kipanta, na kumwacha akidharirika, huku nako Joyce alikuwa anaendelea kuchezea simu yake akiwasiliana na Stelah, yani mke wa bwana Kipanta, ni baada ya kuamua kumpa msaada mwanamke mwenzie, ambae ni sawa na mama yake, akiona kuwa anacho fanyiwa mume wake siyo kizuri, maana ukiachia jinsi Rose mary alivyo kuwa ana mumia vizuri, pia Matrida, nae alionyesha dalili zote za kuwa, kama siyo wana viaziana na bwana Kipanta, basi tayari wapo kwenye mapenzi” maana jambo lililo kuwa linaendelea
pale mezani, ni mwasiliano ya macho kati ya Matrida na Kipanta, na licha ya hivyo, siku hizi mbili tayari Joyce ameshaoa dalili za Matrida kuwa na vijiela vya ziada, ambavyo Joyce akujuwa chanzo chake, ni kipi. “wala usiwe na shaka, tutaenda alafu tukirudi, tuanze ujenzi wa kule shambani kwako, ili week end tuwe tuna beba vinywaji vyetu, na kwenda kupumzika kule shambani toka ijumaa mpaka jumapili jioni” alisema Kipanta, kwa majigambo, kama unge msikia, unge sema kuwa huyu ndie mwaume bora, “yani baby ndio maana na kupenda sana, ata kama ukilewa unakumbuka kila kitu” alisema Rose huku ana chukuwa Glass ya bia, aliyo kuwa anatumia Kipanta, na kumnyweshmpenzi wake huyu, ambae nikama alivimba kichwa akaidaka nakujigugumilisha.

Lakini kabla ata Glass aija shuka, toka mdomoni, mala wakastuka kuona kuna mtu amesimama mbele yao, mwanzo walizania kuwa ni mhudumu, lakini walipo mtazama vizuri waligundua kuwa akuwa mhudumu, na bahati nzuri akuna ambae akumfahamu yule alie
wasimamia, alikuwa ni mwana mama , ambae uwezi kumwita mwana mama sababu kwa mwonekano wake ungeweza kusema zinga la dada, maana nazani nilisha waeleza mwanzo. Kipanta alishtuka vibaya sana, na kuondoa ile Glass mdomoni mwake, ambayo ilikuwa imeshikwa na Rose, huku anamtazama mke wake kwa mstuko mkubwa sana, huku kitu kama
haisira kikianza kujaa kifuani kwake, “umefwata nini huku we mwanamke, au kuna mwanaume ulikuwa nae ndio maana hupo hapa?” aliuliza Kipanta, kwa sauti ya jazba iliyo changanyika na hasira na mashangao, huku amemkazia macho mke wake, ambae alikuwamesimama anamtazama kwa macho flani ya upole, yaliyo anza kung’aa kwa machozi, “nazani unanifahamu vizuri mume wangu, sija wai kukusaliti, mimi nime kuja kukutazama kama huo salama, ili kesho na keshokutwa niweze kujibu maswali magumu, ya walimwengu, siyo kwamba nawaambia hupo mtwara, kumbe hupo mbezi, wataniona wa hajabu” alisema Stelah, na hapo nikama alikuwa amemchokoza mume wake ambae aliinuka kwa fujo zote na kumvamia mke wake kwa kofi moja zito lililo tuwa mgongoni, “mshenzi wewe una nikosea adab, kwa hiyo mimi ni muhongo?” alisema Kipanta huku akiendelea kushusha kipigo, mfululizo kwenye mgongo wa mke wake, ambae alikuwa ameficha uso, na kuachia mgongo ubutuliwe, huku wakina Rose wakishuudia kipigo hicho, “samahanimume wangu” alisema Stellah, ambaealikuwa ana ugulia kipigo kimya kimya, akutaka kulia kwa sauti mbele za watu walio jaa pale bar, japo kipigo akikuwa na siri, kutokana na kelele za kilevi za bwana Kipanta, “mpuuzi wewe, kukuifadhi pale nyumbani kwangu ndio iwe sababu ya kunifwata fwata, kwanza wazazi wako walinilazimisha kukuowa, baada yaw ewe kunitegeshea ujauzito”ilikuwa kauri ya Kipanta, ambayo kama wenzake aliokuwanao kipindi kile wangeisikia hakika wangesema huyu bwana anawazimu, maana kila mmoja alikuwa anatamani kuwa stellah, kwa kipindi kile, na ata yeye alijiona kuw mwenye bahati, mala baada ya kuambiwa aishi na Stellah, ikiwa kama ni salama yake ya kuto kupelekwa mahakamani.

Wakwanza kuinuka na kujaribu kuamria ugomvi ule, alikuwa ni Joyce, ambae aliamka na kwenda kujaribu kumzuwia bwana Kipanta, “shemeji kwani tatizo nini, mbona una mpiga huyu mama?” aliuliza Joyce huku ana jaribu kumzuwia Kipanta, lakini alionekana kuzidiwa, hapo wakaja baadhi ya watu ambmao ni wahudumu, na wateja wachache, ambao walihamlia, kipigo kile na kuanza kumtoa nje Stellah, ambae licha ya kipigo chote kile akuwa ametoa sauti ya kilio ata moja, “kha! unawezaje kumpiga mwanamke mzuri kama huyu, kama ume mchoka si utuachie mwenzio” Kipanta alimsikia mlevi mmoja kati ya ale waliokuwa wanamtoa nje Stellah, akisema kwa sauti ya kilevi, “yani mwanamke mzuri kama huyu, mimi ninge mrudishia mpaka mahari yake, alafu aniachie hule mzigo”
alisema mwingine ambae alikuwa anarudi kukaa kwenye meza yake, hapo ikaja hali flani kama ya wivu, moyoni kwa Kipanta, na kuinuka ghafla, ana kuelekea nje, kuona hivyo, Rose nae akainuka, na kumfwata, “baby, unaenda wapi bwana, eburudi, acha nae huyu”
alisema Rose huku ana mfwata Kipanta, “lakini Kipanta akiwa amejifanya ajasikia mwito wa Rose, alitoka moja kwa moja nje, ambako aliweza kuliona gari la mke wake likiondoka, na kupotelea upande wa kibamba, huku wale viwachache wakilalamika kwa kumlahumu= Stellah, kwakuto wasikiliza, “baby, kwa hiyo unataka kumfwata mkeo?” aliuliza Rose, kwa sauti ya kujifanya ana lalamika kwa kudeka, mala baada ya kumfikia Kipanta alie kuwa amesimama kwenye eneo la mbele la Full doze, “nimfwate wanini yule mjinga, tena ana bahati ninge mtandika kweli kweli” alisema Kipanta, baada yakuona mke wake amesha ondoka, mana hofu yake ilikuwa kubebwa na walevi, “kama ume mchoka nipe namba yake yasimu nikapige show” ilisikika sauti ya kilevi, toka kwa yule mteja alie saidia kuhamlia ugomvi, Kipanta akageuka kwa hasira, na kumtazama yule mlevi, ambae alikuwa anakuja usawa wake, huku anatoa simu mfukoni, tayari kuchukuwa namba yasimu YA Stellah wowowo……

Sehemu ya kumi

STORY NA: Mbogo Edgar

Ilipoishia sehemu ya tisa

“Nimfwate wanini yule mjinga, tena ana bahati ninge mtandika kweli kweli” alisema Kipanta, baada yakuona mke wake amesha ondoka, mana hofu yake ilikuwa kubebwa na walevi, “kama ume mchoka nipe namba yake yasimu nikapige show” ilisikika sauti ya kilevi, toka kwa yule mteja alie saidia kuhamulia ugomvi, Kipanta akageuka kwa hasira, na kumtazama yule mlevi, ambae alikuwa anakuja usawa wake, huku anatoa simu mfukoni, tayari kuchukuwa namba yasimu ya Stellah wowowo…… endelea ……….. “sifuri sita ngapi…” aliuliza yule mlevi, lakini kabla ajamalizia, alishtukia ngumi nzito ikituwa usawa wa mdomo wake, na kutupwa hatua kasha nyuma, akijibwaga kwanguvu kwenye aridhi, y pale bar, na kujaribu kuinuka haraka, lakini alichelewa tayari bwana Kipanta alisja mfikia, na kuanza kumshushia ngumi za uso, na makeke ya mbavu, mpaka watu walipokuja na kumtoa bwana Kipanta, ambae alimwacha yule
melevi akionekana anavuja damu nyingi usoni, pia licha ya kunywa pombe nyingi lakini bado alionekana kuwa anasikia maumivu makali ya mbavu, “jamani hee! mshikilieni huyo apelekewe polisi, mbona anajifanya mbabe sana” alisema mmoja kati ya wahudumu wa ile bar,
ambae ni maume, huku anamfwata Kipanta na kutaka kumshika, lakini alikutana na kichwa cha uswa wa pua, ambacho kilimfanya yule mhudumu aanza kupepesuka kama vile mlevi, akionekana kuvulugwa na kile kichwa, yani kilimpa tia kiwewe, hapo wakina rose wakaona huu ni msala, hivyo Joyce na Matrida waka Kipanta, ambae alikuwa anataka kumfwata yule mhudumu iliakamwongezee kipigo, na kuanza kumkokota kuelekea kwenye gari, huku Rose mary, akiwai kwenye gari lake aina ya Alphad na kufungua
mlango mkubwa wa nyuma, ambapo walimpakiza Kipanta,na kuondoka zao kwa kasi ya hajabu, pasipo kujari pombe walizokunywa, kwamba zinge weza kuwasababishia hajari.

Huku nyuma, yani pale full dose wakiacha mtafaluku, kwanza awa kulipia bill ya vyakula na vinywaji, pia waliacha watu wakaribu wa yule mlevi alie pigwa na Kipanta, akipelekwa hospital kwa doctor Stellah, (siyo mke wa Kipanta, ni yule shangazi yake Jayden) ambako walikataliwa kupewa matibabu, bila ya Polisi File namba tatu (PF 3) hivyo wakaenda kituo cha polisi, mbezi kwa Yusuph, ambako nikama mambo yaliongezeka, maana licha ya kupatikana kwa PF 3, pia ilibainika kuwa licha ya kumshambulia huyu mlevi mwenzie, ambae anafahamika kwa jina Ngaga, pia bwana Kipanta alikimbia na deni la shilingi elfu sabini za kitanzania, hivyo ikaandikwa RB,
maana popote atakapo onekana bwana Kipanta, akamatwe, na kufikishwa kwenye kituo cha polisi cha jilani.******* Ukweli Tukio lilimuumiza sana Stellah, ambae alienda nyumbani kwake na kujifungia chumbani, akitililisha kilio cha kimya kimya, ili watoto ambao walikuwa likizo, wasisikie kama alikuwa analia, maana akutaka watoto wajuwe kinacho endelea, aliamini ita wa vuluga kwenye masomo yao, lakini Stellah alimini kuwa pengine mume wake angerudi, kama siyo usiku ule ule, basi ata siku inayo fwata, atakama angekuja kumpiga, roho yake inge lidhika, kwa kumwona anarudi nyumbani, maana angeona kuwa yeye bado ni mke wa bwana Kipanta.

Zilipita siku nne toka siku ya tukio, la Stellah kumfumania mume wake, na kupigwa mbele za watu, na vimada, Stellah akuwai kumwona mumewake, akija nyumbani, zilikuwa zime bakia siku tano kufikia suku ya Chrissmas ambayo ilisha karibia, siku ambayo mwalimu Stellah alienda benk kuchukuwa mshahara wake, maana tayari ulisha toka, na kama kawaida alienda tawi la Kibaha, ambako akutaka
ata kuonana na Joyce, ukweli mwalimu Stellah aliona aibu, kwa tukio lililo mtokea sikuile full dose pub, lakini licha
ya kucjulkuwa fedha kwenye mashine ya ATM iliyopo nje ya Benk hiyo, na kutaka kuondoka zake, lakini sijuwi tuseme bahati mbaya au nzuri, Stellah akastuka akikutana uso kwa uso mschana mdogo Joyce, ambae alikuwaamevalia sale za wafanyakazi wa baki ile ya NMB, “hooo! dada habari za siku” ukweli Stelah alitamani kukimbia, lakini ilibidi ajitabasamulishe tu!, “hooo nzuri yani nilisha sahau ata kukutafuta, maana toka nyumbani nilipanga nikifika hapa nikutafute ili nikusalimie” maneno ayo ya Stelah, yakuwa ni yauongo, lakini kwa jinsi alivyo yatamka usinge juwa kuwa alikuwa anadanganya, “siyo wewetu! dada ata mimi nilipanga nikutafute, eu tusogee pembeni kabla awaja niona awa washenzi” alisema yule mschana mrembo anae julikana kwa jina la Joyce ambae ni rafiki
mkubwa wa Rosemary na Matrida, ambao aliwataja kama washenzi. Wawili awa walisogea pembeni, na kusimama sehemu ambayo wanayo amini kuwa ni salama kwao, “dada ukweli roho inaniuma, japo Rosemary ni rafiki yangu, na mala nyingi tuna kuwa wotena mumeo, lakini ukweli anakoelekea mumeo sasa ni kubaya, siyo kwamba nataka nikuumize roho,
hapana nataka nikujulishe ili uweze kufanya juhudi za kumwokoa mume wako, ili na wanao wafaidike na jasho la baba yao” alisema Jiyce kwa sauti ya upole, iliyo jaa hisia kali, hapo Stellah akatega sikio, “ukweli mumeo amesahau kuwa ile fedha aliyo ipata ndio ya mwisho katika utumishi wake, maana anatumia ovyo sana, na mbaya zaidi kwenye vitu ambavyo avina faida na familia yake, eu fikilia, mwaka jana amemjengea nyumba, mwaka huu tena amesha mnunulia shamba na anataka kumjengea nyumba nyingine, amesha mnunulia gari, amemwongezea mtaji wa biashara, sasa unazani wewe na watoto mtaambulia nini, dada japo sijawai kuolewa, lakini naujuwa uchungu wa mume” alisema Yoyce, na hapo wakatumia dakika ishilini nzima, kuongea ili na lile, huku Joyce aki mwelezea Stellah kuhusu, shamba na sehemu lilipo, “wame mweka kijana mmoja anaitwa nani sijuwi, ndie analina lile shamba, na wanampango kujenga huko, ila mbaya zaidi, mumeo hana chake, kwenye vitu vyote anavyo mfanyia Rose, kwa hivyo akisha ishiwa ana timuliwa, na kiu kingine mumeo amaesha anza kutoka na yule mwanamke mwingine ambmae ulitukuta nae pale mbezi” mpaka hapo Stellah alichoka na roho yake.

Siku ile ilikuwa nzito sana kwake, maana aliiona ime kuwa ndefu sana, kutokana na simulizi ya Joyce, siyo kwamba aliona wivu kwa mume wake kutumia fedha na wanawake wengine, sababu na yeye alikuwa na mshahala wake, mzuri tu, na ulisha msaidia kufanya mambo mengi sana, ikiwa na kujenga nyumba na kununua gari ambal mpaka sasa lilikuwa linamsaidia kwenye mizuguko midogo midogo, japo mume wake huyo alisha libongonyoa kwa kiasi kikubwa, kilicho muumiza roho ni aina ya mwanaume alie nae, mwanaume ambae yeye anamchukulia kama mume na baba wa watoto wake, lakini huko mtaani wanamwona kama mtu ambae ajielewi, kiasi cha kwamba ata watu wanao tumia fedha hizo, kwa fujo bila kuzitolea jasho wanafikia hatua wanaumia kwa matumizi mabaya, hivi
ulisha wai kuona ilo?, mwana mke analionea huruma buzi, ukweli Stella, alijiona kama amevuliwa nguo hadharani, akuna kitu mwanamke hapendi, ni kuona mwanaume wake ana dharaulika.*******

Siku iliyofwata ndio siku ambayo Stellah, aliamua kwenda huko shambani kuliona ilo shamba ambalo mume wake amelinunua, na mbaya zaidi licha yay eye kuto wai kununua ata kijieneo cha kulima matembele, zaidi ya mke wake alinunua eneo la kujengea nyumba, kwa mkopo, lakini eti anaambiwa mume wake amenunua shamba, kwaajili ya mwanamke.********* Stellah, au mke wa bwana Kipanta, pamoja na familia yake, waliunguka sana ndani ya shamba lile kubwa, huku wakaipata maelekezo na msaada wa kupatiwa vitu mbali mbali, wanavyo viitaji, toka mle shambani, “kwani mama unataka kununua ilishamba” aliuliza Pross ambae bado akuwa anaelewa zumuni la ujio wa familia ile pale shambani, hapo Stelah, akageuka kuwa tazama wanae, akawaona wapo mbai kidogo, kisha akamtazama Pross, na kulazimisha tabasamu, “hapana, ila namfahamu sana mwenye ili shamba, ni jilani yangu, hivyo nikaona nipitie kutazama” alisema Stellah, na hapo Pross akamtazama kwa mshangao wa furaha yule mama au mdada kama alivyoonekana, “afadhari, kumbe unakae nae jilani, basi naomba ukimwona mweleze kuwa nina shida nae kubwa sana, aje au amtume yule.

Mwanamke wake” alisema Pross kwa msisitizo, “mh! sidhani kama nita weza, maana sina maelewano nae mazuri” alisema Stellah, kwa sauti ya upole, hapo akamwona huyu kijana Pross, ana nyongea kidogo, “kwani vipi ajakulip msharaha, au?” aliuliza Stella, baada ya kuona kijana amenyingea ghafla. Hapo Pross pasipo kujuwa kuwa huyu ndie mke wa bwana Kipanta, akamwelezea kila kitu, kuanzia, Kipanta alipokuja kununua shambma akiwadanganya wenzake kuwa ana mnunulia binti yake, na mwisho kuja na mwanamke waliokuwa wanaonyesha kuwa ni wapenzi, “tokea hapo wamekuwa nachukuwa madhao yangu, mikaa na kila kitu, na awanilipi, na mbaya zaidi toka wamenunua ilishamba, awajawai kunilipa mshahara” alisimulia Pross, ambae alienda mbali zaidi, “kwani yule mzee, huko mtaani kwenu, anaishi na mke?” aliuliza PPross na swali lile lilimstua sana Stellah, ambae nikama akutaka kabisa kuendelea kusikiliza simulizi yoyote inayo muhusu mume wake, “hapana aishi na mke” alisema Stellah, “kama ni hivyo afadhari, maana inatia uchungu sana, kwajinsi wale waschana wanavyo mfanyia” alisema Pross, na hapo Stellah akaamua kubadili maongezi, “kijana nimeona unabeba ule mkaa, ni bei gani, kiroba?” aliuliza Stellah, “vipo vya elfu kumi na tano, na vya elfu saba na mia tano” alisjibu Pross ambae shida yake kubwa ilikuwa ni fedha ya siku kuu, “”sija tembea na ela ya kutosha ninge chukuwa maana nimeshiwa kabisa” alisema Stellah, “wala usiwe na wasi wasi mama unaweza kuchukuwa ila nitakuomba ukipata fedha peleka kwa mama yangu anaishi pale pale
kibamba” alisema Pross, na kukubaliana hivyo, huku Pross akimwelekeza Stellah, sehemu ambayo anaweza kumpata mama yake, lakini muda wote wa maongezi, Pross alijikuta akivutiwa kutazama, umbo la mama huyu, lilivyo amasisha kwa peana dudu, ambae watoto wake ni sawa na umri wake, na kujukuta taratibu akianza kumtamani mama wawatu, Ilikuwa nifuraha kwa Pross, ambae aliongea na kufanya mambo mengi sana na ile familia kule shambani, pasipo kujuwa kuwa hii ni familia ya boss wake Kipanta, watoto awa wawili
walionekana kumzowea kwa haraka sana, sijuwi ni kuzoweana tu, au ni kwaajili ya kujikuta ana mtamani mama yao, japo umri wake ni mdogo, Pross alijikuta ana wa fungashia mzigo mingi sana kiwa ni nzani viazi na mihogo, ambayo licha ya kuwapa wao, pia aliomba bahadhi wapeleke nyumbani kwao, pia alichukuwa na mkaa viroba viwili vidogo, familia hii ilionyesha wazi kujawa na furaha, siyo kwa watoto pekee ata mama yao, ambao alimtazama kwa macho yapekee kijana huyu, ambae maisha yake yalitaka kufanana na maisha ya watoto wake.

“Hivi kijana uliishia darasa la ngapi?” aliuliza mwalimu Stellah, ambae alishangaza na upendo wa Pross kwa watoto wake, na yeye mwenyewe kwa ujumla, maana aliwafungashia vitu vingi sana, “nimemaliza form six, lakini matokeo aya kuwa mazuri” alijibu Pross, na kumfanya yule mama ashangae kisogo, japo akushangaa sana kutoka na mwonekano wa Pross akuonyesha kuwa mtu alie paswa
kufanya kazi ya ulinzi wa shamba na ukulima, hapo akamwuliza baadhi ya maswali ikiwa pamoja na shule aliyo maliza. Stellah, alifanikiwa kufika nyumba ni kwa kina Pross, na kuacha kila alicho takiwa kuacha, kama walivyo kubaliana na Pross, mama huyu, alikutana na mama Pross, ambae alimpa sifa kadhaa juu ya mwanae, na kuaahidi kuwa ata watembelea siku nyingine.********

Naam Kipanta aliendelea na starehe zake, pasipo kujuwa kuwa alikuwa anasakwa na polisi, mpaka siku ya jumanne, ambapo zilikuwa zime bakia siku mbili ili ifikie siku ya Chrissmas, saa mbili usiku, Kipanta akiwa mnaeneo ya njiapanda ya shule, mita mia tano toka kibamba ccm, kwenye bar ambayo inajulikana kwa jina la Njia panda, kama kawaida yake, Kipanta, alikuwa amezungwa na waschana watatu, yani mpenzi wake Rosemary, pamoja rafiki zake yani, ambapo kesho yake walikuwa wamepanga wa safari kwenye kisiwani Zanzibar, yani yeye na mpenzi wake Rose, ndio siku ambayo polisi wali mwotea na kumkamata, na kupelekwa Kituo cha polisi wilaya, ya Ubungo, kilichopo Kiluvya, “Rose we tulia tu nakuja sasa hivi?” alijitapa bwana Kipanta, huku akifungua wallet yake na kutoa kitita chafedha kama million moja hivi, na kumkabidhi mpenzi wake, akidai kule polisi siyo salama sana kwa vitu kama hivi, pia alitaka, mpenzi wake uyu na rafiki zake, waendelee, kunywa pombe, wakati wanamsubiri, maana aliaminikuwa anarnda kutoka mala moja, ambae baada ya kufika kituoni aliambiwa makosa yake, kuwa moja ni kumpiga bwana Ngaga, na kosa la pili ni kuondo kabila kulipia huduma za vinywaji na vya kula alivyo kula pale full dose, na mbaya zaidi bili aliyo ikuta ilimchanganya, japo kutokana na ulevi akuweza kukumbuka bei sahihi, ila alishangaa kuona deni ni shilingi laki moja nanusu, huku akiambiwa kuwa anatakiwa kulipia Laki moja kwa matibabu ya Ngaga, ambae aliamua kumaliza kwa mtindo huo.

Lakini aikuwa tatizo, kwake, maana aliamini kuwa fedha alikuwa nayo, “sawa niachieni basi nika chukuwe fedha, ili niwalipe” alisema Kipanta kwa tambo za kilevi, “kama uliweza kukimbia deni pale bar, utawezaje kurudi kuleta ela mwenyewe, kama vipi piga simu kwa mtu wako wa karibu akuletee, ulipe ili uondoke” alisema polisi alie pewa dhamana ya kuhakikisha Kipanta analipa hizo fedha. Kipanta akaomba simu yake ambayo tayari ilikuwa mikononi mwa polisi, na kumpigia Rose amletee laki mbili na nusu, ili atoke pale kituo cha polisi, lakini ukweli simu aikupokelewa kabisa, akarudia mala mbili aikupokelewa, na aliporuia ya tatu, ikasema aipatikani, akajuwa ni mtandao akapiga tena, ikawa aipatikani, ukweli ulikuwa mstuko kidogo kwa Kipanta, ambae alikosa la kufanya, mpaka polisi yule alipo amua kumfungia bwana Kipanta kwenye mahabusu, na kumtaka amtafute mtu ambae anaweza kumsaidia kulipia zile fedha, “we ume amua kumpatia elea yule demu, wakati unakoenda hukujuwi, alisimanga yule polisi, wakati ana mfungia bwana Kipanta ambae alikuwa aachi kulalamika, akiombaachiwe na wamba ata rudi kesho kuleta hizo lakimbili na hamsini, “jamani mimi mwanajeshi mwenzenu, msinifanyie hivyo” alilalamika Kipanta, na hapo yule polisi aka onkana kuvutiwa na ile kauri yake, “unakitamburisho ?” aliuliza yule
polisi, ambae tayari alisha mfungia ndani bwana Kipanta, “nio bwana sema kitamburisho nime kiacha nyumbani” alisema Kipanta ambae siyo kwamba akuwa na kitamburisho pale alipokuwepo, alikuwa nacho sana, tatizo ni cha askari mtaafu, na akuna kitu ataki kueleza ukweli ni kama kuwa amesha staafu.

Unauthibitisho wowote kuwa wewe ni mwanajeshi?” aliuliza yule polisi, “kwakweli sina uthibitisho, maana kwenye wallet kuna card ya benk tu!,naomba uniamini” alisema Kipanta, na hapo yule askari aliwaza kwa dakika kadhaa, kisha akamweleza, “sikia bro, ukweli ni kwamba ile bar ni ya mtu mkubwa sana, na ameagiza usiachiwe mpaka umelipa fedha yake, na ile ya mteja wao, sasa wewe tafuta mtu
ambae anaweza akakuletea fedha, mimi nita kupa simu yako uwasiliane nae” alisema Polisi, na hapo Kipanta akaanza kusaka namba za watu ambao aliamini kuwa wanaweza kumsaidia, alipiga tena simu kwa Rose ambayo bado aikupatikana, nakuzidi kumchanganya bwana Kipanta, ambae alipiga simu kwa watu kadhaa, ambao walimweleza kuwa fedha zao zilikuwa matumizi mengine, asa ukichukulia ulikuwa msimu wa kulipia ada za watoto.

Kipanta aliiona namba ya mke wake, lakini akuweza kumpigia kutokana na mambo aliyo mfanyia, na kuamua akomae na roho yake, ata siku yapili ambapo pombe zilikuwa zime mwisha, alipata wazo la kuomba simu na umpigia tena Rose, ambae licha ya simu kuita lakini ilikatwa na kuzimwa kabisa, aka hisi kuwa atakuwa kazini, hivyo asingeweza kupokea simu, lakini wakati huo huo Kipanta akawaza jambo, kwanini Rose licha ya kuona kuwa ameshindwa kutoka polisi ameshindwa kuja kumtazama, na kwanini jana alimzimia simu, hivyo kipanta akapata wazo la kupiga simu kwa Matrida, ambae licha ya kuwa alishamweka sawa kuwa anaitaji kula kitumbua chake, na Matrida kukubari, lakini walikuwa awaja pata nafasi ya kufanya hivyo, kutokana na muda wote kuwa karibu na Rose. Kipanta akampigia simu Matrida ambae alipokea mala moja, na kumweleza kula kitu, “sasa baby tutafanyaje maana mimi sina ata ela, na Rose ameenda shambani” alisema Matrida ambae baada ya kujadili kwa muda mfupi, akapata wazo la kuomba msaada kwa Joyce, “ngoja niongee na Joyce akuazime, ila ukitoka tuna enda kulala wote, usimwambie Rose” alisema Matrida na kukubariana na bwana Kipanta.

Lakini ukweli msaada walio utegemea aukupatikana kwa Joyce, ambae alisema kuwa akuwa na fedha kwa wakati huo, lakini Joyce akuishia hapo, akampigia simu Stellah, “dada huu ndio wakati wa kumchukuwa mumeo” alianza kuongea Joyce ambasiyo kwamba akuwa na fedha waliyoomba wakina Kipanta, ila alifanyahivyo ili kumpa nafasi mwana dada Stellah, kumrudisha mume wake nyumbani kwa kumwonyesha upendo wa hali ya juu, asa wa kumtoa polisi. ******* Siku hiyo ni kweli Rose alienda shambani kwake, ambako alimkuta Pross anaendelea na shuguli zake za shamba, ukweli siku ile Rose alionekana kuwa mwenye sura ya upole iliyo jawa na mawazo mengi sana, akionekana wazi kuwa alikuwa anamawazo mazito, “ulimaliza kulima pale nilipo kuambia?” aliuliza Rose mala baada ya kusalimiwa na Pross, huku akielekea kwenye ile sehemu ambayo Pross alikuwa analima mazao yake, ya mihogo na mboga
mboga, “bado” alijibu Pross, ambae alitegemea maswali na lawama zaidi, “bado” alisema Rose akiigiza maneno ya Pross, huku akibana pua, “unakiburi sana wekijana, unazani zani fedha unazolipwa zinaokotwa, sijuwi ata huyu babu alikuokota wapi” alisema Rose kwa sauti iliyo jaa hasira, na pasipo kumpa nafasi Pross akaendelea, nasema hivi kama, nikija tena nikute umesha lima hapa pote” alisema Rose, na hapo Pross aka wai kuongea, “samahani boss, kweli mimi sielewi jinsi mambo yanavyo enda” alisema Pross, na kumfanya Rose ashtuke kidogo, “kwahiyo unaona unaonewa siyo?, basi acha kazi nenda zako” alisema Rose ambae alionekana wazi leo ayupo vizuri, asa kimawazo, “Boss, ata hivyo umeniwai tu, nilitaka nikuambie kuwa lengo lango nimalize huu mwezi, ili niondoke zangu” hapo Rose akasimama kabisa na kumtazama Pross, ambae aliona kama vile leo amejawa na kiburi, yani tofauti na siku zote ambapo akimweleza jambo, uitikia kwa heshima, “haaa! kuna mtu anakudanganya siyo, unazani kuna mtu ata kulipa laki moja kwa mwezi, we shauli yako, na utaondoka, tena ukitaka ata sasa hivi, we ondoka tu, nitakulipa mshahara wa mwezi mzima” alisema Rose kwa sauti kari iliyo jaa hasira, na kumfanya Pross ashangae, “lakini moja, nani amesema mnanilipa laki moja kwa mwezi, wakati toka mmechukuwa ilishamba hamja nilipa ata shilingi, tena ni elfu hamsini, alafu unasema laki itoke wapi, mnachukuwa mihogo viazi, na mikaa yangi kila siku amnilipipi ata seti tano, alafu una sema eti nalipwa laki moja, kwa mwezi, unazani mimi ni mjinga mpaka nidanganywe ndio niondoke hapa, mimi nacho taka unilipe ela yangu, kisha nisepe zangu, siwezi kufanya kazi yabule na masimango juu” alisema Pross safari hii kwa sauti ya
juu, kama vile walikuwa wanabishana.

Rose akaduwaa, “usiniambie huo ujinga, unataka kunifanya mimi mjinga, kwahiyo babu akulipi mshahara?” aliuliza Rose akionyesha wazi anahisi kuwa Pross anadananya, “na yeye anasema wewe ndie mwenyeshamba ndio utanilipa” alisema Pross, nakuzidi kumshangaza Rose, ambae alionekana kufahamu kivingine kabisa, “mimi aliniambia anakulipa laki moja kwa mwezi, na kwamba hii mihogo na viazi nivyakwangu, ata mikaa aunayo choma, ni yeye anakuagiza” alisema Rose ambae nikama aliingia simanzi ya ghafla, asa Pross alipo mweleza kuwa ukweli amaishi maisha ya tabi sana, yeye nafamilia yake, ambayo inaishi kwa kutegemea mshahara wake, “kwahiyo sikuzote ulizokuwa unatupatia mkaa mihogo, nikama nilikuwa na kudhurumu, na akati ata mshahara wako sikupi?” aliuliza Rose akionekana kuingiwa na huruma ya ghafla juu ya kijana Pross, “ndio tena juzi nilipiga simu kwa mzee, nikamweleza akasema wewe ndio unakuja na fedha zangu” alisema Pross, hapo Rose akatulia kidogo, kama anawaza jambo, kisha akasema, “mimi naenda kumwuliza huyu babu kwanini ananidanganya kama mtoto, ila kama unanidanganya we kijana, sijuwi nitakufanya nini” alisema Rose ambae akupata hamu ya kuelndelea kukaa eneo lile, akaingia kwenye gari na kuondoka zake, akipanga aende moja kwa moja kituo cha polisi, kumsimanga Kipanta, kama kweli ajamlipa kijana wawatu fedha zake, na kwanini alimdanya kuwa yale madhao ni yakwake.********

Wakati huo mambo yalikuwa hivi, Stellah alipopigiwa simu nakuelezwa juu ya mume wake kuwepo kituo cha polisi, na zinatakiwa laki mbili na hamsini kumtoa, mama huyu alifurahi sana, akijuwa kuwa mkesha wa sikukuu ya Chrissmass ata jiachia na mume wake, hivyo, alichukuwa fedha haraka na kuondoka kuelekea polisi, akukuwa na wakumuaga pale nyumbani, sababu watoto wake walielekea bagamoyo, na kukundi cha vijana wenzao wakanisani, kwenye sherehe za siku kuu ya Chrissmas, kituo cha kwanza alisimama kwenye duka la vinywaji vya jumla, akanunua wine chupa nne, kwaajili ya kushrehekea na mume wake, kisha akaendelea na safari. Akiwa mwenye imani kuwa leo anaenda kumchukuwa mume wake, Stellah aliendesha gari mpaka kituo cha polisi Kiluvya, ambapo alifika na kumkuta mume wake akiwa chini ya ulinzi wa polisi, moyo wa Stellah, ulichanua kwa furaha, akiamini mkesha huu wa Chrissmass, atajiachia na mume wake nyumbani, japo aliona huruma sana kwa hali aliyo kuwa nayo mume wake. Baada ya kumaliza taratibu za kulipia zile fedha mume wake akaitwa na kukabidhiwa vitu vyake pamoja na simu yake, hapo ndipo mambo yalipo haribika, maana ile kutoka tu nje ya kituo cha polisi, “shikamoo mume wangu, pole kwa matatizo” alisalimia Stellah kwa heshima na tahadhima,
huku akipiga nusu goti, lakini uwezi amini, bwana Kipantya alipiga kimya, zaidi ya hapo alitoa simu yake na kupiga namba flani…………

SEHEMU YA KUMI
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA TISA :
“nimfwate wanini yule mjinga, tena ana
bahati ninge mtandika kweli kweli”
alisema Kipanta, baada yakuona mke
wake amesha ondoka, mana hofu yake
ilikuwa kubebwa na walevi, “kama ume
mchoka nipe namba yake yasimu
nikapige show” ilisikika sauti ya kilevi,
toka kwa yule mteja alie saidia
kuhamulia ugomvi, Kipanta akageuka
kwa hasira, na kumtazama yule mlevi,
ambae alikuwa anakuja usawa wake,
huku anatoa simu mfukoni, tayari
kuchukuwa namba yasimu ya Stellah
wowowo…… endelea ………..
“sifuri sita ngapi…” aliuliza yule mlevi,
lakini kabla ajamalizia, alishtukia ngumi
nzito ikituwa usawa wa mdomo wake,
na kutupwa hatua kasha nyuma,
akijibwaga kwanguvu kwenye aridhi, y
pale bar, na kujaribu kuinuka haraka,
lakini alichelewa tayari bwana Kipanta
alisja mfikia, na kuanza kumshushia
ngumi za uso, na makeke ya mbavu,
mpaka watu walipokuja na kumtoa
bwana Kipanta, ambae alimwacha yule
melevi akionekana anavuja damu nyingi
usoni, pia licha ya kunywa pombe nyingi
lakini bado alionekana kuwa anasikia
maumivu makali ya mbavu, “jamani
hee! mshikilieni huyo apelekewe polisi,
mbona anajifanya mbabe sana” alisema
mmoja kati ya wahudumu wa ile bar,
ambae ni maume, huku anamfwata
Kipanta na kutaka kumshika, lakini
alikutana na kichwa cha uswa wa pua,
ambacho kilimfanya yule mhudumu
aanza kupepesuka kama vile mlevi,
akionekana kuvulugwa na kile kichwa,
yani kilimpa tia kiwewe, hapo wakina
rose wakaona huu ni msala, hivyo Joyce
na Matrida waka Kipanta, ambae
alikuwa anataka kumfwata yule
mhudumu iliakamwongezee kipigo, na
kuanza kumkokota kuelekea kwenye
gari, huku Rose mary, akiwai kwenye
gari lake aina ya Alphad na kufungua
mlango mkubwa wa nyuma, ambapo
walimpakiza Kipanta,na kuondoka zao
kwa kasi ya hajabu, pasipo kujari
pombe walizokunywa, kwamba zinge
weza kuwasababishia hajari.
Huku nyuma, yani pale full dose
wakiacha mtafaluku, kwanza awa
kulipia bill ya vyakula na vinywaji, pia
waliacha watu wakaribu wa yule mlevi
alie pigwa na Kipanta, akipelekwa
hospital kwa doctor Stellah, (siyo mke
wa Kipanta, ni yule shangazi yake
Jayden) ambako walikataliwa kupewa
matibabu, bila ya Polisi File namba tatu
(PF 3) hivyo wakaenda kituo cha polisi,
mbezi kwa Yusuph, ambako nikama
mambo yaliongezeka, maana licha ya
kupatikana kwa PF 3, pia ilibainika
kuwa licha ya kumshambulia huyu
mlevi mwenzie, ambae anafahamika
kwa jina Ngaga, pia bwana Kipanta
alikimbia na deni la shilingi elfu sabini
za kitanzania, hivyo ikaandikwa RB,
maana popote atakapo onekana bwana
Kipanta, akamatwe, na kufikishwa
kwenye kituo cha polisi cha jilani.*******
Ukweli Tukio lilimuumiza sana Stellah,
ambae alienda nyumbani kwake na
kujifungia chumbani, akitililisha kilio cha
kimya kimya, ili watoto ambao walikuwa
likizo, wasisikie kama alikuwa analia,
maana akutaka watoto wajuwe kinacho
endelea, aliamini ita wa vuluga kwenye
masomo yao, lakini Stellah alimini kuwa
pengine mume wake angerudi, kama
siyo usiku ule ule, basi ata siku inayo
fwata, atakama angekuja kumpiga, roho
yake inge lidhika, kwa kumwona anarudi
nyumbani, maana angeona kuwa yeye
bado ni mke wa bwana Kipanta.
Zilipita siku nne toka siku ya tukio, la
Stellah kumfumania mume wake, na
kupigwa mbele za watu, na vimada,
Stellah akuwai kumwona mumewake,
akija nyumbani, zilikuwa zime bakia
siku tano kufikia suku ya Chrissmas
ambayo ilisha karibia, siku ambayo
mwalimu Stellah alienda benk
kuchukuwa mshahara wake, maana
tayari ulisha toka, na kama kawaida
alienda tawi la Kibaha, ambako akutaka
ata kuonana na Joyce, ukweli mwalimu
Stellah aliona aibu, kwa tukio lililo
mtokea sikuile full dose pub, lakini licha
ya kucjulkuwa fedha kwenye mashine ya
ATM iliyopo nje ya Benk hiyo, na kutaka
kuondoka zake, lakini sijuwi tuseme
bahati mbaya au nzuri, Stellah akastuka
akikutana uso kwa uso mschana
mdogo Joyce, ambae alikuwaamevalia
sale za wafanyakazi wa baki ile ya NMB,
“hooo! dada habari za siku” ukweli
Stelah alitamani kukimbia, lakini ilibidi
ajitabasamulishe tu!, “hooo nzuri yani
nilisha sahau ata kukutafuta, maana
toka nyumbani nilipanga nikifika hapa
nikutafute ili nikusalimie” maneno ayo
ya Stelah, yakuwa ni yauongo, lakini
kwa jinsi alivyo yatamka usinge juwa
kuwa alikuwa anadanganya, “siyo
wewetu! dada ata mimi nilipanga
nikutafute, eu tusogee pembeni kabla
awaja niona awa washenzi” alisema
yule mschana mrembo anae julikana
kwa jina la Joyce ambae ni rafiki
mkubwa wa Rosemary na Matrida,
ambao aliwataja kama washenzi.
Wawili awa walisogea pembeni, na
kusimama sehemu ambayo wanayo
amini kuwa ni salama kwao, “dada
ukweli roho inaniuma, japo Rosemary ni
rafiki yangu, na mala nyingi tuna kuwa
wotena mumeo, lakini ukweli
anakoelekea mumeo sasa ni kubaya,
siyo kwamba nataka nikuumize roho,
hapana nataka nikujulishe ili uweze
kufanya juhudi za kumwokoa mume
wako, ili na wanao wafaidike na jasho la
baba yao” alisema Jiyce kwa sauti ya
upole, iliyo jaa hisia kali, hapo Stellah
akatega sikio, “ukweli mumeo
amesahau kuwa ile fedha aliyo ipata
ndio ya mwisho katika utumishi wake,
maana anatumia ovyo sana, na mbaya
zaidi kwenye vitu ambavyo avina faida
na familia yake, eu fikilia, mwaka jana
amemjengea nyumba, mwaka huu tena
amesha mnunulia shamba na anataka
kumjengea nyumba nyingine, amesha
mnunulia gari, amemwongezea mtaji wa
biashara, sasa unazani wewe na watoto
mtaambulia nini, dada japo sijawai
kuolewa, lakini naujuwa uchungu wa
mume” alisema Yoyce, na hapo
wakatumia dakika ishilini nzima,
kuongea ili na lile, huku Joyce aki
mwelezea Stellah kuhusu, shamba na
sehemu lilipo, “wame mweka kijana
mmoja anaitwa nani sijuwi, ndie analina
lile shamba, na wanampango wa
kujenga huko, ila mbaya zaidi, mumeo
hana chake, kwenye vitu vyote anavyo
mfanyia Rose, kwa hivyo akisha ishiwa
ana timuliwa, na kiu kingine mumeo
amaesha anza kutoka na yule
mwanamke mwingine ambmae
ulitukuta nae pale mbezi” mpaka hapo
Stellah alichoka na roho yake.
Siku ile ilikuwa nzito sana kwake,
maana aliiona ime kuwa ndefu sana,
kutokana na simulizi ya Joyce, siyo
kwamba aliona wivu kwa mume wake
kutumia fedha na wanawake wengine,
sababu na yeye alikuwa na mshahala
wake, mzuri tu, na ulisha msaidia
kufanya mambo mengi sana, ikiwa na
kujenga nyumba na kununua gari ambal
mpaka sasa lilikuwa linamsaidia kwenye
mizuguko midogo midogo, japo mume
wake huyo alisha libongonyoa kwa kiasi
kikubwa, kilicho muumiza roho ni aina
ya mwanaume alie nae, mwanaume
ambae yeye anamchukulia kama mume
na baba wa watoto wake, lakini huko
mtaani wanamwona kama mtu ambae
ajielewi, kiasi cha kwamba ata watu
wanao tumia fedha hizo, kwa fujo bila
kuzitolea jasho wanafikia hatua
wanaumia kwa matumizi mabaya, hivi
ulisha wai kuona ilo?, mwana mke
analionea huruma buzi, ukweli Stella,
alijiona kama amevuliwa nguo
hadharani, akuna kitu mwanamke
hapendi, ni kuona mwanaume wake ana
dharaulika.*******
Siku iliyofwata ndio siku ambayo Stellah,
aliamua kwenda huko shambani kuliona
ilo shamba ambalo mume wake
amelinunua, na mbaya zaidi licha yay
eye kuto wai kununua ata kijieneo cha
kulima matembele, zaidi ya mke wake
alinunua eneo la kujengea nyumba, kwa
mkopo, lakini eti anaambiwa mume
wake amenunua shamba, kwaajili ya
mwanamke.*********
Stellah, au mke wa bwana Kipanta,
pamoja na familia yake, waliunguka
sana ndani ya shamba lile kubwa, huku
wakaipata maelekezo na msaada wa
kupatiwa vitu mbali mbali, wanavyo
viitaji, toka mle shambani, “kwani
mama unataka kununua ilishamba”
aliuliza Pross ambae bado akuwa
anaelewa zumuni la ujio wa familia ile
pale shambani, hapo Stelah, akageuka
kuwa tazama wanae, akawaona wapo
mbai kidogo, kisha akamtazama Pross,
na kulazimisha tabasamu, “hapana, ila
namfahamu sana mwenye ili shamba,
ni jilani yangu, hivyo nikaona nipitie
kutazama” alisema Stellah, na hapo
Pross akamtazama kwa mshangao wa
furaha yule mama au mdada kama
alivyoonekana, “afadhari, kumbe
unakae nae jilani, basi naomba
ukimwona mweleze kuwa nina shida
nae kubwa sana, aje au amtume yule
mwanamke wake” alisema Pross kwa
msisitizo, “mh! sidhani kama nita weza,
maana sina maelewano nae mazuri”
alisema Stellah, kwa sauti ya upole,
hapo akamwona huyu kijana Pross, ana
nyongea kidogo, “kwani vipi ajakulipa
msharaha, au?” aliuliza Stella, baada ya
kuona kijana amenyingea ghafla.
Hapo Pross pasipo kujuwa kuwa huyu
ndie mke wa bwana Kipanta,
akamwelezea kila kitu, kuanzia, Kipanta
alipokuja kununua shambma
akiwadanganya wenzake kuwa ana
mnunulia binti yake, na mwisho kuja na
mwanamke waliokuwa wanaonyesha
kuwa ni wapenzi, “tokea hapo
wamekuwa nachukuwa madhao yangu,
mikaa na kila kitu, na awanilipi, na
mbaya zaidi toka wamenunua
ilishamba, awajawai kunilipa mshahara”
alisimulia Pross, ambae alienda mbali
zaidi, “kwani yule mzee, huko mtaani
kwenu, anaishi na mke?” aliuliza PPross
na swali lile lilimstua sana Stellah,
ambae nikama akutaka kabisa
kuendelea kusikiliza simulizi yoyote
inayo muhusu mume wake, “hapana
aishi na mke” alisema Stellah, “kama ni
hivyo afadhari, maana inatia uchungu
sana, kwajinsi wale waschana wanavyo
mfanyia” alisema Pross, na hapo Stellah
akaamua kubadili maongezi, “kijana
nimeona unabeba ule mkaa, ni bei gani,
kiroba?” aliuliza Stellah, “vipo vya elfu
kumi na tano, na vya elfu saba na mia
tano” alisjibu Pross ambae shida yake
kubwa ilikuwa ni fedha ya siku kuu,
“”sija tembea na ela ya kutosha ninge
chukuwa maana nimeshiwa kabisa”
alisema Stellah, “wala usiwe na wasi
wasi mama unaweza kuchukuwa ila
nitakuomba ukipata fedha peleka kwa
mama yangu anaishi pale pale
kibamba” alisema Pross, na
kukubaliana hivyo, huku Pross
akimwelekeza Stellah, sehemu ambayo
anaweza kumpata mama yake, lakini
muda wote wa maongezi, Pross alijikuta
akivutiwa kutazama, umbo la mama
huyu, lilivyo amasisha kwa peana dudu,
ambae watoto wake ni sawa na umri
wake, na kujukuta taratibu akianza
kumtamani mama wawatu,
Ilikuwa nifuraha kwa Pross, ambae
aliongea na kufanya mambo mengi
sana na ile familia kule shambani,
pasipo kujuwa kuwa hii ni familia ya
boss wake Kipanta, watoto awa wawili
walionekana kumzowea kwa haraka
sana, sijuwi ni kuzoweana tu, au ni
kwaajili ya kujikuta ana mtamani mama
yao, japo umri wake ni mdogo, Pross
alijikuta ana wa fungashia mzigo mingi
sana kiwa ni nzani viazi na mihogo,
ambayo licha ya kuwapa wao, pia
aliomba bahadhi wapeleke nyumbani
kwao, pia alichukuwa na mkaa viroba
viwili vidogo, familia hii ilionyesha wazi
kujawa na furaha, siyo kwa watoto
pekee ata mama yao, ambao
alimtazama kwa macho yapekee kijana
huyu, ambae maisha yake yalitaka
kufanana na maisha ya watoto wake,
“hivi kijana uliishia darasa la ngapi?”
aliuliza mwalimu Stellah, ambae
alishangaza na upendo wa Pross kwa
watoto wake, na yeye mwenyewe kwa
ujumla, maana aliwafungashia vitu vingi
sana, “nimemaliza form six, lakini
matokeo aya kuwa mazuri” alijibu
Pross, na kumfanya yule mama
ashangae kisogo, japo akushangaa
sana kutoka na mwonekano wa Pross
akuonyesha kuwa mtu alie paswa
kufanya kazi ya ulinzi wa shamba na
ukulima, hapo akamwuliza baadhi ya
maswali ikiwa pamoja na shule aliyo
maliza.
Stellah, alifanikiwa kufika nyumba ni
kwa kina Pross, na kuacha kila alicho
takiwa kuacha, kama walivyo kubaliana
na Pross, mama huyu, alikutana na
mama Pross, ambae alimpa sifa
kadhaa juu ya mwanae, na kuaahidi
kuwa ata watembelea siku
nyingine.********
Naam Kipanta aliendelea na starehe
zake, pasipo kujuwa kuwa alikuwa
anasakwa na polisi, mpaka siku ya
jumanne, ambapo zilikuwa zime bakia
siku mbili ili ifikie siku ya Chrissmas,
saa mbili usiku, Kipanta akiwa mnaeneo
ya njiapanda ya shule, mita mia tano
toka kibamba ccm, kwenye bar ambayo
inajulikana kwa jina la Njia panda, kama
kawaida yake, Kipanta, alikuwa
amezungwa na waschana watatu, yani
mpenzi wake Rosemary, pamoja rafiki
zake yani, ambapo kesho yake walikuwa
wamepanga wa safari kwenye kisiwani
Zanzibar, yani yeye na mpenzi wake
Rose, ndio siku ambayo polisi wali
mwotea na kumkamata, na kupelekwa
Kituo cha polisi wilaya, ya Ubungo,
kilichopo Kiluvya, “Rose we tulia tu
nakuja sasa hivi?” alijitapa bwana
Kipanta, huku akifungua wallet yake na
kutoa kitita chafedha kama million moja
hivi, na kumkabidhi mpenzi wake, akidai
kule polisi siyo salama sana kwa vitu
kama hivi, pia alitaka, mpenzi wake uyu
na rafiki zake, waendelee, kunywa
pombe, wakati wanamsubiri, maana
aliaminikuwa anarnda kutoka mala
moja, ambae baada ya kufika kituoni
aliambiwa makosa yake, kuwa moja ni
kumpiga bwana Ngaga, na kosa la pili
ni kuondo kabila kulipia huduma za
vinywaji na vya kula alivyo kula pale full
dose, na mbaya zaidi bili aliyo ikuta
ilimchanganya, japo kutokana na ulevi
akuweza kukumbuka bei sahihi, ila
alishangaa kuona deni ni shilingi laki
moja nanusu, huku akiambiwa kuwa
anatakiwa kulipia Laki moja kwa
matibabu ya Ngaga, ambae aliamua
kumaliza kwa mtindo huo.
Lakini aikuwa tatizo, kwake, maana
aliamini kuwa fedha alikuwa nayo,
“sawa niachieni basi nika chukuwe
fedha, ili niwalipe” alisema Kipanta kwa
tambo za kilevi, “kama uliweza kukimbia
deni pale bar, utawezaje kurudi kuleta
ela mwenyewe, kama vipi piga simu
kwa mtu wako wa karibu akuletee, ulipe
ili uondoke” alisema polisi alie pewa
dhamana ya kuhakikisha Kipanta
analipa hizo fedha.
Kipanta akaomba simu yake ambayo
tayari ilikuwa mikononi mwa polisi, na
kumpigia Rose amletee laki mbili na
nusu, ili atoke pale kituo cha polisi,
lakini ukweli simu aikupokelewa kabisa,
akarudia mala mbili aikupokelewa, na
aliporuia ya tatu, ikasema aipatikani,
akajuwa ni mtandao akapiga tena,
ikawa aipatikani, ukweli ulikuwa mstuko
kidogo kwa Kipanta, ambae alikosa la
kufanya, mpaka polisi yule alipo amua
kumfungia bwana Kipanta kwenye
mahabusu, na kumtaka amtafute mtu
ambae anaweza kumsaidia kulipia zile
fedha, “we ume amua kumpatia elea
yule demu, wakati unakoenda hukujuwi,
alisimanga yule polisi, wakati ana
mfungia bwana Kipanta ambae alikuwa
aachi kulalamika, akiombaachiwe na
kwamba ata rudi kesho kuleta hizo
lakimbili na hamsini, “jamani mimi
mwanajeshi mwenzenu, msinifanyie
hivyo” alilalamika Kipanta, na hapo yule
polisi aka onkana kuvutiwa na ile kauri
yake, “unakitamburisho ?” aliuliza yule
polisi, ambae tayari alisha mfungia
ndani bwana Kipanta, “nio bwana sema
kitamburisho nime kiacha nyumbani”
alisema Kipanta ambae siyo kwamba
akuwa na kitamburisho pale
alipokuwepo, alikuwa nacho sana, tatizo
ni cha askari mtaafu, na akuna kitu
ataki kueleza ukweli ni kama kuwa
amesha staafu.
Unauthibitisho wowote kuwa wewe ni
mwanajeshi?” aliuliza yule polisi,
“kwakweli sina uthibitisho, maana
kwenye wallet kuna card ya benk
tu!,naomba uniamini” alisema Kipanta,
na hapo yule askari aliwaza kwa dakika
kadhaa, kisha akamweleza, “sikia bro,
ukweli ni kwamba ile bar ni ya mtu
mkubwa sana, na ameagiza usiachiwe
mpaka umelipa fedha yake, na ile ya
mteja wao, sasa wewe tafuta mtu
ambae anaweza akakuletea fedha, mimi
nita kupa simu yako uwasiliane nae”
alisema Polisi, na hapo Kipanta
akaanza kusaka namba za watu ambao
aliamini kuwa wanaweza kumsaidia,
alipiga tena simu kwa Rose ambayo
bado aikupatikana, nakuzidi
kumchanganya bwana Kipanta, ambae
alipiga simu kwa watu kadhaa, ambao
walimweleza kuwa fedha zao zilikuwa
matumizi mengine, asa ukichukulia
ulikuwa msimu wa kulipia ada za
watoto.
Kipanta aliiona namba ya mke wake,
lakini akuweza kumpigia kutokana na
mambo aliyo mfanyia, na kuamua
akomae na roho yake, ata siku yapili
ambapo pombe zilikuwa zime mwisha,
alipata wazo la kuomba simu na
umpigia tena Rose, ambae licha ya
simu kuita lakini ilikatwa na kuzimwa
kabisa, aka hisi kuwa atakuwa kazini,
hivyo asingeweza kupokea simu, lakini
wakati huo huo Kipanta akawaza jambo,
kwanini Rose licha ya kuona kuwa
ameshindwa kutoka polisi ameshindwa
kuja kumtazama, na kwanini jana
alimzimia simu, hivyo kipanta akapata
wazo la kupiga simu kwa Matrida,
ambae licha ya kuwa alishamweka
sawa kuwa anaitaji kula kitumbua
chake, na Matrida kukubari, lakini
walikuwa awaja pata nafasi ya kufanya
hivyo, kutokana na muda wote kuwa
karibu na Rose.
Kipanta akampigia simu Matrida ambae
alipokea mala moja, na kumweleza kula
kitu, “sasa baby tutafanyaje maana
mimi sina ata ela, na Rose ameenda
shambani” alisema Matrida ambae
baada ya kujadili kwa muda mfupi,
akapata wazo la kuomba msaada kwa
Joyce, “ngoja niongee na Joyce
akuazime, ila ukitoka tuna enda kulala
wote, usimwambie Rose” alisema
Matrida na kukubariana na bwana
Kipanta.
Lakini ukweli msaada walio utegemea
aukupatikana kwa Joyce, ambae
alisema kuwa akuwa na fedha kwa
wakati huo, lakini Joyce akuishia hapo,
akampigia simu Stellah, “dada huu ndio
wakati wa kumchukuwa mumeo”
alianza kuongea Joyce ambasiyo
kwamba akuwa na fedha waliyoomba
wakina Kipanta, ila alifanyahivyo ili
kumpa nafasi mwana dada Stellah,
kumrudisha mume wake nyumbani kwa
kumwonyesha upendo wa hali ya juu,
asa wa kumtoa polisi. *******
Siku hiyo ni kweli Rose alienda
shambani kwake, ambako alimkuta
Pross anaendelea na shuguli zake za
shamba, ukweli siku ile Rose alionekana
kuwa mwenye sura ya upole iliyo jawa
na mawazo mengi sana, akionekana
wazi kuwa alikuwa anamawazo mazito,
“ulimaliza kulima pale nilipo kuambia?”
aliuliza Rose mala baada ya kusalimiwa
na Pross, huku akielekea kwenye ile
sehemu ambayo Pross alikuwa analima
mazao yake, ya mihogo na mboga
mboga, “bado” alijibu Pross, ambae
alitegemea maswali na lawama zaidi,
“bado” alisema Rose akiigiza maneno
ya Pross, huku akibana pua, “unakiburi
sana wekijana, unazani zani fedha
unazolipwa zinaokotwa, sijuwi ata huyu
babu alikuokota wapi” alisema Rose
kwa sauti iliyo jaa hasira, na pasipo
kumpa nafasi Pross akaendelea,
nasema hivi kama, nikija tena nikute
umesha lima hapa pote” alisema Rose,
na hapo Pross aka wai kuongea,
“samahani boss, kweli mimi sielewi jinsi
mambo yanavyo enda” alisema Pross,
na kumfanya Rose ashtuke kidogo,
“kwahiyo unaona unaonewa siyo?, basi
acha kazi nenda zako” alisema Rose
ambae alionekana wazi leo ayupo vizuri,
asa kimawazo, “Boss, ata hivyo
umeniwai tu, nilitaka nikuambie kuwa
lengo lango nimalize huu mwezi, ili
niondoke zangu” hapo Rose akasimama
kabisa na kumtazama Pross, ambae
aliona kama vile leo amejawa na kiburi,
yani tofauti na siku zote ambapo
akimweleza jambo, uitikia kwa heshima,
“haaa! kuna mtu anakudanganya siyo,
unazani kuna mtu ata kulipa laki moja
kwa mwezi, we shauli yako, na
utaondoka, tena ukitaka ata sasa hivi,
we ondoka tu, nitakulipa mshahara wa
mwezi mzima” alisema Rose kwa sauti
kari iliyo jaa hasira, na kumfanya Pross
ashangae, “lakini moja, nani amesema
mnanilipa laki moja kwa mwezi, wakati
toka mmechukuwa ilishamba hamja
nilipa ata shilingi, tena ni elfu hamsini,
alafu unasema laki itoke wapi,
mnachukuwa mihogo viazi, na mikaa
yangi kila siku amnilipipi ata seti tano,
alafu una sema eti nalipwa laki moja,
kwa mwezi, unazani mimi ni mjinga
mpaka nidanganywe ndio niondoke
hapa, mimi nacho taka unilipe ela
yangu, kisha nisepe zangu, siwezi
kufanya kazi yabule na masimango juu”
alisema Pross safari hii kwa sauti ya
juu, kama vile walikuwa wanabishana,
Rose akaduwaa, “usiniambie huo
ujinga, unataka kunifanya mimi mjinga,
kwahiyo babu akulipi mshahara?”
aliuliza Rose akionyesha wazi anahisi
kuwa Pross anadananya, “na yeye
anasema wewe ndie mwenyeshamba
ndio utanilipa” alisema Pross, nakuzidi
kumshangaza Rose, ambae alionekana
kufahamu kivingine kabisa, “mimi
aliniambia anakulipa laki moja kwa
mwezi, na kwamba hii mihogo na viazi
nivyakwangu, ata mikaa aunayo choma,
ni yeye anakuagiza” alisema Rose
ambae nikama aliingia simanzi ya
ghafla, asa Pross alipo mweleza kuwa
ukweli amaishi maisha ya tabi sana,
yeye nafamilia yake, ambayo inaishi kwa
kutegemea mshahara wake, “kwahiyo
sikuzote ulizokuwa unatupatia mkaa
mihogo, nikama nilikuwa na kudhurumu,
na akati ata mshahara wako sikupi?”
aliuliza Rose akionekana kuingiwa na
huruma ya ghafla juu ya kijana Pross,
“ndio tena juzi nilipiga simu kwa mzee,
nikamweleza akasema wewe ndio
unakuja na fedha zangu” alisema Pross,
hapo Rose akatulia kidogo, kama
anawaza jambo, kisha akasema, “mimi
naenda kumwuliza huyu babu kwanini
ananidanganya kama mtoto, ila kama
unanidanganya we kijana, sijuwi
nitakufanya nini” alisema Rose ambae
akupata hamu ya kuelndelea kukaa
eneo lile, akaingia kwenye gari na
kuondoka zake, akipanga aende moja
kwa moja kituo cha polisi, kumsimanga
Kipanta, kama kweli ajamlipa kijana
wawatu fedha zake, na kwanini
alimdanya kuwa yale madhao ni
yakwake.********
Wakati huo mambo yalikuwa hivi,
Stellah alipopigiwa simu nakuelezwa juu
ya mume wake kuwepo kituo cha polisi,
na zinatakiwa laki mbili na hamsini
kumtoa, mama huyu alifurahi sana,
akijuwa kuwa mkesha wa sikukuu ya
Chrissmass ata jiachia na mume wake,
hivyo, alichukuwa fedha haraka na
kuondoka kuelekea polisi, akukuwa na
wakumuaga pale nyumbani, sababu
watoto wake walielekea bagamoyo, na
kukundi cha vijana wenzao wakanisani,
kwenye sherehe za siku kuu ya
Chrissmas, kituo cha kwanza alisimama
kwenye duka la vinywaji vya jumla,
akanunua wine chupa nne, kwaajili ya
kushrehekea na mume wake, kisha
akaendelea na safari.
Akiwa mwenye imani kuwa leo anaenda
kumchukuwa mume wake, Stellah
aliendesha gari mpaka kituo cha polisi
Kiluvya, ambapo alifika na kumkuta
mume wake akiwa chini ya ulinzi wa
polisi, moyo wa Stellah, ulichanua kwa
furaha, akiamini mkesha huu wa
Chrissmass, atajiachia na mume wake
nyumbani, japo aliona huruma sana kwa
hali aliyo kuwa nayo mume wake.
Baada ya kumaliza taratibu za kulipia
zile fedha mume wake akaitwa na
kukabidhiwa vitu vyake pamoja na simu
yake, hapo ndipo mambo yalipo
haribika, maana ile kutoka tu nje ya
kituo cha polisi, “shikamoo mume
wangu, pole kwa matatizo” alisalimia
Stellah kwa heshima na tahadhima,
huku akipiga nusu goti, lakini uwezi
amini, bwana Kipantya alipiga kimya,
zaidi ya hapo alitoa simu yake na
kupiga namba flani…………
SEHEMU YA KUMI NA MOJA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI : Baada
ya kumaliza taratibu za kulipia zile fedha
mume wake akaitwa na kukabidhiwa
vitu vyake pamoja na simu yake, hapo
ndipo mambo yalipo haribika, maana ile
kutoka tu nje ya kituo cha polisi,
“shikamoo mume wangu, pole kwa
matatizo” alisalimia Stellah kwa
heshima na tahadhima, huku akipiga
nusu goti, lakini uwezi amini, bwana
Kipanta alipiga kimya, zaidi ya hapo
alitoa simu yake na kupiga namba
flani…. endelea…..
Huku mke wake akiwa amesimama
pembeni anamsubiria mume wake,
amalize kuongea na simu, sekunde
chache baadae, Kipanta akaanza
kuongea na simu, huku mke wake
akiwa asikii upande wapili, “hupo
wapi….... ok! fanya hivi, chukuwa taxi,
alafu nifwate hapa Kiluvya polisi”
alisema Kipanta na kuwa amemaliza
maongezi, na kukata simu, kisha
akamyazama mke wake, kama vile
anamshangaa, “weunasubiri nini hapa?”
aliuliza Kipanta kwa mshangao,
ungesema ndio, kwanza anamwona,
kwanza Stellah akatazama kushoto na
kulia, kama kulikuwa na mtu
anawatazama, akaona kila mmoja yupo
busy, hapo akamtazama mume wake
kwa macho ya upole na huruma,
“nakusubiri mume wangu nikupeleke
nyumbani ukaoge” alijibu Stellah kwa
sauti ya upole, hapo Stellah ikaiona
sura ya mume wake ikibadirika na
kukunjika kwa hasira, “we! nenda
nyumbani” alisema Kipanta kisha
akatulia, akitazama upande mwingine,
“samahani mume wangu, naomba
twende nyumbani kwanza ukapumzike,
alafu baadae utaenda kuchukuwa gari”
alisema Stellah kwa sauti ya upole iliyo
jaa nidhamu ya hali ya juu, huku
akimtazama mume wake kwa macho ya
huruma, “hivi unajuwa kama aya yote
ulisababisha wewe mwenyewe, umme
nisababishia matatizo makubwa, mpaka
nime lala mahabusu, alafu una
nikorofisha tena, unataka nikutandike
makofi, nirudishwe tena mahabusu”
alisema Kipanta kwa hasira, hapo
Stellah akuwa na lakujibu, zaidi ya
kujishika mikono na kuchezea vidole
vyake, akibakia ana mtazama mume
wake kwa macho ya huruma,
akitegemea kuwa mume wake ange
badiri mawazo.
Lakini akikuwa hivyo zilipita dakika
kumi, wakiwa nje ya kituo cha polisi,
Stellah akitamani kumweleza mume
wake kubwa ana omba waende
nyumbani, lakini akuweza, maana
aliona wazi kuwa mume wake amejawa
na hasira, hivyo kumweleza jambo lolote
ni sawa na kumchokoza, ikabidi abakie
kimtazama mume wake, adi lilipo ingia
gari aina ya Toyota Spacio, jeupe, lenye
mistari wa kijani, lenye vioo vyagiza,
vilivyo zuwia kuonekana kwa watu
wandani, ambalo lilisimama karibu yao,
huku Kipanta akitabasamu, ikionyesha
kuwa alisha tambuwa kuwa, ni gari
ambalo limembeba mtu alie toka
kuongea nae na simu, kioo cha upande
wa dereva kikashushwa, akaonekana
dereva wa lile gari, “samahani mzee,
unaitwa” alisema yule dereva, na hapo
Kipanta akalisogelea gari na
kuchungulia ndani, alafu akatabasamu,
huku anafungua mlango, wa habiria
wambele, “kummbe una mambo ya
kizungu” alisikika Kipanta, huku akiingia
kwenye gari, “nime wai asije
kukuchukuwa mtu wako” Stellah
aliweza kusikia sauti ya kike, ikitokea
ndani ya gari, ikidindikizwa na vkicheko
laini vya kivivu toka kwa mume wake na
huyo mschana alieko ndani ya gari,
ambae aikuwa lahisi kumwona
kutokana na vioo hivi vya giza (tinted)
ukweli moyo wa Stellah ulishtuka, na
kushikwa na uchungu mkubwa, macho
yake yali shindwa kuzuwia machozi,
yaliyo tililika taratibu, na kulowesha
mashavu yake, akasimama akilitazama
gari lile aina ya spacio, likiondoka eneo
lile la polisi, na kutokomea barabara kuu
iendayo morogoro, lenyewe likielekea
kibamba, yani upande wa Dar es
salaam.
Stella alisimama kwa dakika kadhaa
kama mtu alie gandishwa na barafu,
mpaka alipo rudiwa na hakiri yake kuwa
yupo kituo cha polisi, na alie mfwata
ameshaondoka, ndipo yeye aka ingia
kwenye gari lake na kuondoka kuelekea
nyumbani kwake, njiani akitokwa
machozi kwa uchungu mkubwa.*******
Kipanta yeye alipo toka pale kituo cha
polisi, pamoja na Matrida, wakitumia lile
gari la kukodi, walienda moja kwa moja
mpaka Kibamba wilayani, ambako
Kipanta alienda kwenye ATM machine
akatoa million moja pasipo kujuwa
kuwa zinapotoka azirudi tena, kisha
akarudi kwenye gari na kuelekea
nyumbani kwa Matrida, ambako awa
kukaa sana wakaondoka na lile taxi,
wakaelekea mbezi, kwenye makuti bar
ynte guest house, huku wakiongea ili na
lile, pamoja na kupania kuifaidi
chrissmas wao wawili, pia Matrida
alikuwa akimpondea sana, Rose kwa
kitendo chake cha kuto kupokea simu
ya Kipanta, wala kwenda kumsaidia
kutoka jela.*******
Rosemary akiwa na hasira kali sana, ya
kudanganywa na Kipanta juu ya malipo
mazao ya kijana Pross, alienda moja
kwa moja mpaka Kituo cha polisi,
ambako aliambiwa kuwa mahabusu
anae muulizia, amesha tolewa na mke
wake, na wamesha ondoka, inamaana
polisi huyu akujuwa kilicho endelea
bada ya wanandoa wale kutoka nje,
ukweli Rose alijikuta kama kuna kitu
mfano wa wivu ukimchoma moyoni
mwake, “mshnzi anajifanya kumfwata
huyu kahaba wake wakiume, sasa leo
hii anakuja kwangu” alisema Rose kwa
hasira, Rose uku anaondoka pale
kituoni, na kuelekea nyumbani kwake,
akipanga kumpigia Kipanta mala
atakapofika nyumbani kwake.
Nikweli alifanya hivyo, mala tu baada
yakifika nyumbani kwake na kuegesha
gari lake pembeni ya gari la bwana
Kipanta, Toyota ist, aka akaingia ndani
na kuanza kupiga simu kwa Kipanta,
ukweli ni kwamba simu aikupokelewa,
alirudia zaidi ya mala tano lakini
aikupokelewa, na alipojaribu mala ya
sita, simu ilikuwa imesha zimwa, “huyu
mshenzi nikizubaa ata niponyoka wakati
bado sijamaliza kazi yangu” aliwaza
Rose mschana mrembo, huku ana isaka
namba ya rafiki yake Joyce, alipoipata
akaipiga, hii akuchelewa, ikapokelewa,
“hallow Rose, niambie” alisikika Joyce
mala baada ya kupokea simu, “hupo
wapi Joy” aliuliza Rose, kwa sauti
ambayo ilionyesha wazi kuwa anakitu
kinachoitaji msaada wa haraka, “nipo
nyumbani vipi kuna inshu?” aliuliza
Joyce ambae kiukweli ni kwamba,
alihisihisi kuwa ni swala la lile lile la
mume wake, ambae yeye mwenyewe,
alimstua mama huyu akamchukuwe
mume wake kule kituoni, “babu anataka
kuniponyoka, ebu fanya haraka njoo
tupange vita” alisema Rose, na
wakakubaliana na Joyce aende kwa
Rose, na baada ya kukata simu Rose
akapiga simu kwa Matrida, na simu iliita
mpaka inakatika bila kupokelewa,
“unafanya nini Mat, bwana ebu pokea
simu” alijisemea Rosehuku anarudia
tena kupiga simu.********
Ukweli nikwamba Matirida aliiona simu
ilipokuwa ina ita, alishindwa kuipokea,
siyo kwa sababu alikuwa amekaa
kwenyemeza moja na Kipanta wana
kunywa pombe, hapana, sababu moyo
wake ulishtuka baada ya kuona ni Rose
ndie anapiga simu, “baby Rose huyooo
anapiga simu” alisema Matrida alie
kuwa amekaa karibu kabisa na Kipanta
wanafanyiana michezo ya kimahaba,
“achana nae ata tuvurugia starehe zetu”
alisema Kipanta, huku anaendelea
kumfanyia michezo ya kimahaba
mschana huyu, ambae sikunyingi alisha
tamani kumla kitumbua, na keo amesha
pata nafasi, hiyo hadhimu.
Matirda aliitazama simu mpaka
ilipokatika “acha niizime, kuepuka
usumbufu” alisema Matirida huku
anaichukuwa simu mezani, na ile
anataka kuitoa lock, na ndio wakati
Rose anapiga kwa mala ya pili, hivyo
Matrida akajikuta anaipokea simu, hapo
hapo aka mwonyesha Kipanta ishara ya
kuwa akae kimya, “hallow my niambie”
aliongea Matrida mala baada ya kuweka
loud speeker, “hupo wapi Mat, mwenzio
majanga huku” Kipanta na Matrida
walimsikia Rose akiongea,
wakatazamana kwa mshangao,
“naenda kigamboni kusherehekea
Chrissmas, kwani kuna nini tena My?”
aliuliza Matirda akijifanya kushangaa,
huku Kipanta akijizuwia kucheka,
“mwenzangu babu si ametolewa na
mke wake,hinavyo kuambia, nimeenda
kituoni hayupo n anime ambiwa
ametolewa na mke wake, nim mpigia
amenizimia simu, hapa nataka niende
nikamchomoe kwake” alisikika Rise, na
hapo nusu Kipanta acheke kwa sauti,
lakini aliwai kujiziba mdomo, “weeee!
unasema kweli, yani ninge kuwepo
tungeenda wote, yani sasa nipo
manzese, naenda Kigamboni” alisema
Matirda huku anang’ong’a, “namsubiri
Joyce tunaenda nyumbani kwake
kumchukuwa” alisema Rose, na hapo
wakina Matrida wakajiziba midomo ili
vicheko vya visisikike, “poa mwaya,
utanipa status” alisema Matrida, na
kukata simu, haraka, maana tayari
Kipanta alianza kuachia kicheko cha
wazi.******
Ukweli nikwamba mala baada ya
kupigiwa simu na Rose, Joyce kabla
ajaenda kwa Rose akampigia simu
Stellah, ili ampe hongera, na kumweleza
kuwa awe makini zaidi, “hallow hongera
sana,” alisema Joyce mala baada ya
simu kupokelewa, na Stellah, lakini
Joyce sli temea kusikia sauti ya furaha
akashangaa kusikia sauti ya upole na
unyonge, “ndugu yangu we! najilahumu
ata kwenda huko polisi, kwa mambo
yaliyo nitokea” alisema Stellah, kwa
sauti ya unyonge, “kwanini tena dada
yangu?” aliuliza Joyce kwa mshangao,
maana alichojuwa yeye nikwamba
Kipanta atakuwa nyumbani kwake.
Hapo Stellah alimsimulia jinsi ilivyo
kuwa ata maneno ya mwisho kabla
awajaondoka , “nime kuwai asije
kukuwai mtu wako” mpaka mwisho wa
simulizi hii tayari Joyce alisha juwa
kuna mchezo unaendelea baina ya
Matrida na Kipanta, maana ukachia
kuwa Matrida ndie aliejuwa mausiano
ya Kipanta na Rose, pia alisha ona dalili
za Matrida kumnyapia Kipanta, “dada
usiwe na wasi wasi utasikia majibu
muda siyo mrefu” alisema Joyce ambae
alikuwa njiani kuelekea kwa Rose,
ambae anakaa mtaa wapili toka kwake,
tofauti nikwamba Rose alikuwa anaka
kwake……
SEHEMU YA KUMI NA MBILI
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA MOJA
: Hapo Stellah alimsimulia jinsi ilivyo
kuwa ata maneno ya mwisho kabla
awajaondoka , “nime kuwai asije
kukuwai mtu wako” mpaka mwisho wa
simulizi hii tayari Joyce alisha juwa
kuna mchezo unaendelea baina ya
Matrida na Kipanta, maana ukachia
kuwa Matrida ndie aliejuwa mausiano
ya Kipanta na Rose, pia alisha ona dalili
za Matrida kumnyapia Kipanta, “dada
usiwe na wasi wasi utasikia majibu
muda siyo mrefu” alisema Joyce ambae
alikuwa njiani kuelekea kwa Rose,
ambae anakaa mtaa wapili toka kwake,
tofauti nikwamba Rose alikuwa anakaa
kwake…… endelea…….…..
Na Joyce yeye alikuwa anaishi
kwenyumba ya kupanga, “inamaana
Matrida amemuwai babu, ata aibu
hana?” aliwaza Joyce huku ana ana
endelea kutembea haraka kuelekea kwa
Rose, hapana sito kubari mpaka
kieleweke, awawezi kumfanyia hivi
mzee wawatu” aliwaza Joyce
akiendelea kutembea.*******
Lakini taalifa ile ukweli ilizidisha
machungu kwa mwana mama Stellah,
ambae alichukuwa chupa moja ya wine
na kuiingia nayo chumbani kwake, kisha
akapembua nguo zake zote, na
kusimama mbele ya kioo chake,
akajitazama kwa muda mrefu akitumia
kama dakika tano nzima, huku machozi
yaki mtililika, “mbona sina kasolo
yoyote, au amenichoka tu!” alijiuliza
Stellah, ambae loho ilikuwa ima muuma
sana, “najuwa akiishiwa ata rusi, lakini
kwanini ananifanyia hivi?” aliendeleea
kuwaza Stellah, ambae sasa alifungua
chupa yake ya wine na kuanza
kuigugumia taratibu, “mwezi wa sita
sasa ajanigusa, utazani mimi nidada
yake” aliwaza Stellah,
ambaealikumbuka mambo yote aliyo
yafanya mbele ya Kipanta
kumwonyesha kuwa anampenda.
Nusu saa baadae stela akiwa bado
chumbani kwake bado kama alivyo
zaliwa, pombe ilicha anza kumchukuwa,
nyumba aliiona chungu, akapna bola
atoke kidogo akatembee, hivyo aka vaa
ki tait flani chepesina kitop , alafu
akajifunga kitenge, akachukuwa fedha
kidogo, na chupa zake za wine, akaingia
kwenye gari lake, na kutokomea kusiko
julikana.******
Kumbe wakati Stella anatoka nyumbani,
mume wake alikuwa anaendelea kula
bata na Matrida, rafiki wa kimada wake,
akujuwa watoto wapo wapi na
wanaishije, akutaka kujuwa habari za
rose, alie mwacha anaozea mahabusu
ya polisi, “mpenzi kula maisha, usiwe
na wasi wasi, wala usimwazie mtu
yoyote” aliema Kipanta alie kuwa
ameanza kulewa, “yani babay mi
nakushangaa, ujuwe Rose ata akupendi,
maana awezi kukuacha unatesema
Jela, alafu yeye ana kula laha” alisema
Matrida na kwa sauti ya kudeka huku
wakifanyiana michezo ya
kimahaba.*******
Wakati huo huo, wakina Joyce na Rose
ndio walikuwa wanaingia nyumbani kwa
Stellah, ambako awakuona dalili ya
uwepo wa mtu ndani yake, ata walipo
uliza kwa majilani, wakaambiwa kuwa
mwenyenyumba ametoka muda mfupi
uliopita, na watoto wake awapo tok siku
iliyopita, “vipi kuhusu mume wake,
ametoka nae” aliuliza Rose, “mume
wake anamuda mrefu ajaonekana.
“wengine wanasema amesafiri
kibiashara, ila wengine wanasema
anaonekana mtaani akiwa na waschana
wa hovyo hovyo” alisema mmoja wa
majilani, na kumfanya Rose apatwe na
kitu kama aibu hivi, “aya asante, wacha
sie tuende” alisema Joyce ambae
alikuwa anafahamu kila kitu juu ya
sehemu alipo bwana Kipanta.
Wawili awa waliondoka zao na walipo
fika mita kama mia moja, toka
nyumbani kwa Stellah, hapo Rose
akasimamisha gari, “hivi Joy, unajuwa
kuna kitu sikielewi, kama babu ayupo
na mke wake ata kuwa wapi, na
kwanini hapokei sumu yangu?” aliuliza
Rose, na hapo Joyce aka tabasamu
kidogo, kiisha akamtazama Rose,
“unzani ata kuwa na mwanamke
mwingine?” aliuliza Joyce, “nazani
atakuwa na mwanamke mwingine tena,
ameamua kufanya hivyo sababu
nilikataa kupokea simu yake” alisema
Rose, na hapo Joyce akacheka kicheko
chamguno, “ebu sikia, naomba upige
simu kwa Matrida mwulize yupo wapi
na umwambie kuwa na sisi tupo karibu
na hapo, tuna itaji kuungana nae, alafu
msikilize anachosema” alisema Joyce,
“unamaana gani, yeye ndie anae
mchukuwa babu?” aliuliza Rose kwa
jazba, “hapana mimi nime kuambia
hivyo we fanya hivyo alafu tutajuwa,
maana yeye ni mmoja wawatu ambao
walinipigia simu kuwa babu anaitaji ela
za kutokea jela” alisema Joyce ambae
alipania kuhakikisha wawili awa
wanamwachia mzee Kipanta arudi kwa
mkewake, “ebu ngoja kwanza” alisema
Rose huku anapiga simu, kwa Matrida
akiwa ameweka loud speeker ili na
Joyce asikie maongezi yao, nayo ikaita,
na akikuchelewa kupokelewa, “hallow,
Rose vipi, mlifanikiwa kumpata
shemeji?” aliuliza Matrida, kwa sauti
iliyo ashilia kuwa amelewa na wapo bar,
maana kuna kasauti flani ka music
kalikuwa kana sikika kwa mbali,
“nimeamua ni mache tu apumzike na
mke wake, sasa wewe hupo wapi?”
aliuliza Rose, huku ana mtazama Joyce,
“si nilikuambia kuwa naenda kigamboni,
nipo hapa kwenye kivuko naelekea
kigamboni” alisema Matrida, wakati
Rose alikuwa anasikia sauti na kelele za
watu, zikiashilia kuwa yupo bar, “hooo
kumbe umechelewa sana, nipo na Joy
ndio tunaingia kivukoni, tusubiri
ng’ambo, tuna kukuta hapo” alisema
Rose na akijaribu kuonyesha kuwa
katika hali ya kawaida, “haaaa! hallow,
hallow unasema?” aliuliza Matrida,
kama vile akuwa anamsikia vizuri,
“Hallow Matt, nasema…..” hapo hapo
simu ilikatika, “unaona huyu mshnzi
alivyo amekata simu, eti anasema yupo
kivukoni, wakati yupo bar” alisema Rose
huku anapiga tena simu kwa Matrida,
ambayo sasa ilisema aipatikani, “si
unaona Joy, nilweli huyu mshenzi
anatoka babu, kwani ulikuwa unalijuwa
hili toka lini?” aliuliza Rose kwa sauti ya
mshangao na hasira, “sijasema
wanatoka, ila nilisema nahisi, sababu
yeye ndie alie kuwa anatafuta fedha ya
kumtoababu.*******
Naam ebu turudi shambani kwa rose,
ambako kuna lindwa na kijana Prosper,
ambae leo alikuwa ametulia
pemmbezoni mwa barabara,
anasimamia biashara ya mkaa, ambao
sasa alikuwa amebakiza roba mbili tu,
mala akaliona gari moja dogo, aina ya
Toyota Vits lililo chakaa kweli kweli,
likipita na kwenda kusimama mbele
kidogo, kisha lika rudi nyuma nyuma
mpaka usawa wake, yeye akajuwa
kuwa ata kuwa ni mteja wa mkaa, lakini
dereva wa gari ili aliliehegesha gari la
kushuka toka kwenye gari, hapo ndipo
Pross alipo shuhudia kitu ambacho
alisha anza kukisahau, huku alikuwa ni
mwana mama Stellah ambae
alikuwa………………

SEHEMU YA KUMI NA TATU
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA MBILI
: Naam ebu turudi shambani kwa rose,
ambako kuna lindwa na kijana Prosper,
ambae leo alikuwa ametulia pembezoni
mwa barabara, anasimamia biashara ya
mkaa, ambao sasa alikuwa amebakiza
roba mbili tu, mala akaliona gari moja
dogo, aina ya Toyota Vits lililo chakaa
kweli kweli, likipita na kwenda
kusimama mbele kidogo, kisha lika rudi
nyuma nyuma mpaka usawa wake,
yeye akajuwa kuwa ata kuwa ni mteja
wa mkaa, lakini dereva wa gari ili
aliliehegesha gari la kushuka toka
kwenye gari, hapo ndipo Pross alipo
shuhudia kitu ambacho alisha anza
kukisahau, huku alikuwa ni mwana
mama Stellah ambae alikuwa……
endelea …..
Anatembea taratibu kuja pale
alipokuwepo Pross, huku anamtazama,
kwamacho yaliyo jaa tabasamu, “huyu
mama nimzuri” aliwaza Pross, huku nae
anatabasamu, “karibu mama” alisema
Pross huku anatabasamu, “asante
mwanangu, kumbe umenikumbuka?”
alisema Stellah huku ameachia
tabasamu pana usoni mwake,
tabasamu ambalo lilimfanya Pross,
ajihisi kama amepewa na safasi flani
yapekee na yule mama, akionyesha
kumchukilia kama vile kijana wake, au
mtu wakaribu, “nakukumbuka mama,
shikamoo” alisalimia Pross, wakati mke
wa bwana Kipanta akiwa amesha
mfikia, na kusimama karibu na viroba
vya mkaa, “marahaba mwanangu,
naona unachakalika na biashara”
alisema Stella, huku anainama kidogo,
na kugusa gusa kidogo, moja ya roba la
mkaa, huku msambwanda wake,
akiuacha unaonekana vyema kwa
nyuma, na kumfanya Prosper ashindwe
kujizuwia kuyatazama makalio ya
mama wa mwenzake, “ndio mama
siunajuwa tena kesho siku kuu, nataka
niwapelekee nyumbani ela ya mboga”
alisema Pross, huku akijichekesha
kidogo, “ok! aya maroba mimi nita
chukuwa, utanifanyia bei gani?” aliuliza
Stellah, huku ana mtazama Pross na
tabasamu ameliachia, hapo kidogo
ilimpa wakati mgumu Pross, ambae
alianza kwa kucheka cheka, “uwa nauza
elfu nane moja, lakini wewe nipe elfu
kumi na mbili kwa yote miwili” kauri
hiyo ya Pross, ilimfanya Stellah, acheke
kwanza, “heee jamani mwanangu, sasa
unapunguza hivyo, utawatumia nini
nyumbani?” aliuliza stellah, kwa sauti
flani ambayo wamama wengi, utumia
kuongea na watoto wadogo,
“itawatosha tu! si elfu kumi na mbili”
alisema Pross huku anacheka cheka,
“aya kwakuwa unawapelekea nyumbani
basi nitawatumia moka kwa moja elfu
ishilini, nawawekea ya kutolea, lakini
utanitungulia na nazi” alisema Stellah,
na hapo wakakubaliana hiwe hivyo.
Hivyo mala moja wakapakiza mkaa
kwenye gari, la Stellah, na kisha
wakaingia kwenyegari na kuelekea
shambani, ambakjo nikama mita mia
mbili tu! toka barabarani, wawkienda
kutungua nazi kama Stellah alivyo
sema.*********
Upande wapili mambo yalikuwa ni
mshike mshike, maana baada ya
kukatiwa simu na kuzimiwa kabisa,
Rose akamshawishi Joyce waende
nyumbani kwa Matrida, na sasa,
walikuwa wanaingia, nyumbani kwa
Matrida, karibu na high way ya zamani,
ambako walikuta kimya kabisa, ata
walipo liza kwa majilani, wakaambiwa
kunwa, “huyu dada alie panga kwenye
kile chumba, ametoka muda kidogo,
nikama lisaa limepita, alikuja na gari la
kukodi, aliongpozana na mzee mmoja
hivi” alisema mmoja wa majilani wa
Matrida, “huyo mzee yupoje?” aliuliza
Rose, kwa sauti iliyo jaliwa na utulivu
wa kulazimisha, maana aliona dalili za
wazi kabisa, za kuwa Matrida yupo na
bwana Kipanta, “mhhhh! ni mtu mzima
hivi” alisema huyo, jilani, na kuanza
kuelezea jinsi mwanaume aliekuwa na
Matrida alivyo, maelezo ambayo
yalimfanya Rose azidi kuamini kuwa
mwanaume huyo, ni Kipanta, asa baada
ya kusikia maelezo ya mwisho, “ alafu ni
mzukuma yule mzee, rafudhi yake ni
msikuma mtupu” alimaliza Jilani alie
kuwa anaelezea jinsi mgeni wa Matrida
alivyo, “unasema waliondoka na gari
gani?” aliuliza Rosemary, kwa sauti ile
ile ya utulivu wa kulazimisha, “walikuja
na kitaxi, kwa mwonekano wao,
watakuwa wameenda kamasiyo maili
moja basi, watakuwa wameenda Mbezi”
alisema yule jilani ambae ni kijana flani
alie shindwa kujizuwia kuelekeza watu
asio wajuwa, kutokana na kumkodolea
macho mschana huyu, mrembo,
“asante sana kaka yangu” alisema Rose
kabla ya kuondoka zao, wakiwa na
Toyota alphad.
“Unajuwa nini Joyce?, huyu Matrida
tamaha ita mponza, kweli kabisa na
kwambia, yeye ajuwi mimi nafanya hivi
kwanini” alisema Ros, akonyesha
kuchukizwa “lakini bado uja thibitisha,
kuwa yupo na babu” alisema Joyce,
kwa sauti yenye uzito mkubwa wa
busara, “kwanini anatuficha, huyo mtu
alie nae, alafu Joy, siyo kwamba mimi
nina mzuwia kuwa na Kipanta, mwenzie
nimesha sahau mala ya mwisho yeye
kuugusa uchi wangu, “alisema Rose
kwa hasira, na hapo Joyce akatamani
kucheka kwanguvu, lakini akajizuwia,
maana aliona ni kama maneno ya
mkosaji, “lakini pia kama faida umesha
pata, we achana nae tu! asije aka kufia”
alisema Joyce, nikama alikuwa anataka
kumchota hakili, rafiki yake, “kumwacha
hiyo ndio aiwezekani, yani mpaka
nihakikishe nime maliza el azote,
sababu najuwa yule mke wake na
watoto wake awato angaika, wata
saidiwa na mama yao, lakini yeye ata
zalilika” alisema kwa sauti iliyo jaa
hasira, huku anaendesha gari, na sasa
walikuwa wanaikamata barabara ya
morogoro, na kuelekea upande wa maili
moja, ndiko alikoamua kuanza nako,
“kwanini sasa da rose, uoni kama
unafanya kitu kibaya, maana mtu
amekufungulia salon, amekujengea
nyumba amekununulia shamba, kwanini
unataka umfilisi?” aliuliza Joyce ambae
sasa alianza kuona salili za wazi kuwa
anacho sema Rose ni cha kweli, na
amedhamilia, “kama unataka kujuwa ni
kwanini, nitakusimulia mwisho wa
mchezo” alisema Rose, akionyesha kuto
taka yale maongezi yaendelee, hapo
kikapita kimya, huku safari hikiendelea
gari likiyoyoma kuelekea kibaha maili
moja.*******
Naam baada ya kufika shambani,
pamoja Stellah kutuma fedha kwa
mama Pross, pia walifanya mambo
mengi sana kule shambani, ikiwa na
kuvuna nazi chache na mazao na
matunda, kwaajili ya Stellah
kuondokanayo, huku wanaongea mengi
sana, muda wote Stellah alikuwa
anakunywa wine yake taratibu, na
mwisho wa siku wakajikuta wame kaa
chini ya mwembe, Stellah amekaa
kwenye mkeka, anaendelea kunywa
wine yake, Pross amekaa kwenye
kibenchi kidogo, pembeni chini kidogo
pale chini ya mwembe, palikuwa na jiko
la kuni, ambalo lilikuwa limebandi kwa
sufuria lenye kambale wakavu, “Pross
ulisha wai kutumia hii” aliuliza Stellah
huku anamwonyesha Pross ile chupa ya
wine, “hapana sijawai kutumia” alijibu
Pross, huku anacheka cheka, “lakini hii
ni tamu, unaweza kujaribu kidogo,
kalete kikombe nikuwekee kidogo”
alisema Stellah, Pross akainuka na
kwenda kuchukuwa kikombe huku
anacheka cheka, “nisije kulewa mpaka
nika zima kabisa” alisema Pross, na
kumfanya Stellah acheke kidogo,
“wanaume unaogopa kitu kidogo
ambacho kipo kwenye chupa” alitania
mama huyu ambae nazani alicho
kifanya mida hii, ni kwa mwongozo wa
pombe.
Pross aliingia ndani na kutoka na
kikombe, kisha akamkabidhi stellah alie
kuwa amekaa kwenye mkeka chini ya
mwembe, “hivi Pross, sikuile mama
yako aliniambia kuwa ni wewe ndie
unae saidia familia, kwani baba yako
yupo wapi?” aliuliza stellah huku
anamimina wine kwenye kikombe, hapo
Pross aliinamisha kichwa chini kwa
uzuni kubwa, sababu ni mwaka wa tatu
sasa ajamwona baba yake, wala kusikia
habari zake………………
 
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA MBILI
: Naam ebu turudi shambani kwa rose,
ambako kuna lindwa na kijana Prosper,
ambae leo alikuwa ametulia pembezoni
mwa barabara, anasimamia biashara ya
mkaa, ambao sasa alikuwa amebakiza
roba mbili tu, mala akaliona gari moja
dogo, aina ya Toyota Vits lililo chakaa
kweli kweli, likipita na kwenda
kusimama mbele kidogo, kisha lika rudi
nyuma nyuma mpaka usawa wake,
yeye akajuwa kuwa ata kuwa ni mteja
wa mkaa, lakini dereva wa gari ili
aliliehegesha gari la kushuka toka
kwenye gari, hapo ndipo Pross alipo
shuhudia kitu ambacho alisha anza
kukisahau, huku alikuwa ni mwana
mama Stellah ambae alikuwa……
endelea …..
Anatembea taratibu kuja pale
alipokuwepo Pross, huku anamtazama,
kwamacho yaliyo jaa tabasamu, “huyu
mama nimzuri” aliwaza Pross, huku nae
anatabasamu, “karibu mama” alisema
Pross huku anatabasamu, “asante
mwanangu, kumbe umenikumbuka?”
alisema Stellah huku ameachia
tabasamu pana usoni mwake,
tabasamu ambalo lilimfanya Pross,
ajihisi kama amepewa na safasi flani
yapekee na yule mama, akionyesha
kumchukilia kama vile kijana wake, au
mtu wakaribu, “nakukumbuka mama,
shikamoo” alisalimia Pross, wakati mke
wa bwana Kipanta akiwa amesha
mfikia, na kusimama karibu na viroba
vya mkaa, “marahaba mwanangu,
naona unachakalika na biashara”
alisema Stella, huku anainama kidogo,
na kugusa gusa kidogo, moja ya roba la
mkaa, huku msambwanda wake,
akiuacha unaonekana vyema kwa
nyuma, na kumfanya Prosper ashindwe
kujizuwia kuyatazama makalio ya
mama wa mwenzake, “ndio mama
siunajuwa tena kesho siku kuu, nataka
niwapelekee nyumbani ela ya mboga”
alisema Pross, huku akijichekesha
kidogo, “ok! aya maroba mimi nita
chukuwa, utanifanyia bei gani?” aliuliza
Stellah, huku ana mtazama Pross na
tabasamu ameliachia, hapo kidogo
ilimpa wakati mgumu Pross, ambae
alianza kwa kucheka cheka, “uwa nauza
elfu nane moja, lakini wewe nipe elfu
kumi na mbili kwa yote miwili” kauri
hiyo ya Pross, ilimfanya Stellah, acheke
kwanza, “heee jamani mwanangu, sasa
unapunguza hivyo, utawatumia nini
nyumbani?” aliuliza stellah, kwa sauti
flani ambayo wamama wengi, utumia
kuongea na watoto wadogo,
“itawatosha tu! si elfu kumi na mbili”
alisema Pross huku anacheka cheka,
“aya kwakuwa unawapelekea nyumbani
basi nitawatumia moka kwa moja elfu
ishilini, nawawekea ya kutolea, lakini
utanitungulia na nazi” alisema Stellah,
na hapo wakakubaliana hiwe hivyo.
Hivyo mala moja wakapakiza mkaa
kwenye gari, la Stellah, na kisha
wakaingia kwenyegari na kuelekea
shambani, ambakjo nikama mita mia
mbili tu! toka barabarani, wawkienda
kutungua nazi kama Stellah alivyo
sema.*********
Upande wapili mambo yalikuwa ni
mshike mshike, maana baada ya
kukatiwa simu na kuzimiwa kabisa,
Rose akamshawishi Joyce waende
nyumbani kwa Matrida, na sasa,
walikuwa wanaingia, nyumbani kwa
Matrida, karibu na high way ya zamani,
ambako walikuta kimya kabisa, ata
walipo liza kwa majilani, wakaambiwa
kunwa, “huyu dada alie panga kwenye
kile chumba, ametoka muda kidogo,
nikama lisaa limepita, alikuja na gari la
kukodi, aliongpozana na mzee mmoja
hivi” alisema mmoja wa majilani wa
Matrida, “huyo mzee yupoje?” aliuliza
Rose, kwa sauti iliyo jaliwa na utulivu
wa kulazimisha, maana aliona dalili za
wazi kabisa, za kuwa Matrida yupo na
bwana Kipanta, “mhhhh! ni mtu mzima
hivi” alisema huyo, jilani, na kuanza
kuelezea jinsi mwanaume aliekuwa na
Matrida alivyo, maelezo ambayo
yalimfanya Rose azidi kuamini kuwa
mwanaume huyo, ni Kipanta, asa baada
ya kusikia maelezo ya mwisho, “ alafu ni
mzukuma yule mzee, rafudhi yake ni
msikuma mtupu” alimaliza Jilani alie
kuwa anaelezea jinsi mgeni wa Matrida
alivyo, “unasema waliondoka na gari
gani?” aliuliza Rosemary, kwa sauti ile
ile ya utulivu wa kulazimisha, “walikuja
na kitaxi, kwa mwonekano wao,
watakuwa wameenda kamasiyo maili
moja basi, watakuwa wameenda Mbezi”
alisema yule jilani ambae ni kijana flani
alie shindwa kujizuwia kuelekeza watu
asio wajuwa, kutokana na kumkodolea
macho mschana huyu, mrembo,
“asante sana kaka yangu” alisema Rose
kabla ya kuondoka zao, wakiwa na
Toyota alphad.
“Unajuwa nini Joyce?, huyu Matrida
tamaha ita mponza, kweli kabisa na
kwambia, yeye ajuwi mimi nafanya hivi
kwanini” alisema Ros, akonyesha
kuchukizwa “lakini bado uja thibitisha,
kuwa yupo na babu” alisema Joyce,
kwa sauti yenye uzito mkubwa wa
busara, “kwanini anatuficha, huyo mtu
alie nae, alafu Joy, siyo kwamba mimi
nina mzuwia kuwa na Kipanta, mwenzie
nimesha sahau mala ya mwisho yeye
kuugusa uchi wangu, “alisema Rose
kwa hasira, na hapo Joyce akatamani
kucheka kwanguvu, lakini akajizuwia,
maana aliona ni kama maneno ya
mkosaji, “lakini pia kama faida umesha
pata, we achana nae tu! asije aka kufia”
alisema Joyce, nikama alikuwa anataka
kumchota hakili, rafiki yake, “kumwacha
hiyo ndio aiwezekani, yani mpaka
nihakikishe nime maliza el azote,
sababu najuwa yule mke wake na
watoto wake awato angaika, wata
saidiwa na mama yao, lakini yeye ata
zalilika” alisema kwa sauti iliyo jaa
hasira, huku anaendesha gari, na sasa
walikuwa wanaikamata barabara ya
morogoro, na kuelekea upande wa maili
moja, ndiko alikoamua kuanza nako,
“kwanini sasa da rose, uoni kama
unafanya kitu kibaya, maana mtu
amekufungulia salon, amekujengea
nyumba amekununulia shamba, kwanini
unataka umfilisi?” aliuliza Joyce ambae
sasa alianza kuona salili za wazi kuwa
anacho sema Rose ni cha kweli, na
amedhamilia, “kama unataka kujuwa ni
kwanini, nitakusimulia mwisho wa
mchezo” alisema Rose, akionyesha kuto
taka yale maongezi yaendelee, hapo
kikapita kimya, huku safari hikiendelea
gari likiyoyoma kuelekea kibaha maili
moja.*******
Naam baada ya kufika shambani,
pamoja Stellah kutuma fedha kwa
mama Pross, pia walifanya mambo
mengi sana kule shambani, ikiwa na
kuvuna nazi chache na mazao na
matunda, kwaajili ya Stellah
kuondokanayo, huku wanaongea mengi
sana, muda wote Stellah alikuwa
anakunywa wine yake taratibu, na
mwisho wa siku wakajikuta wame kaa
chini ya mwembe, Stellah amekaa
kwenye mkeka, anaendelea kunywa
wine yake, Pross amekaa kwenye
kibenchi kidogo, pembeni chini kidogo
pale chini ya mwembe, palikuwa na jiko
la kuni, ambalo lilikuwa limebandi kwa
sufuria lenye kambale wakavu, “Pross
ulisha wai kutumia hii” aliuliza Stellah
huku anamwonyesha Pross ile chupa ya
wine, “hapana sijawai kutumia” alijibu
Pross, huku anacheka cheka, “lakini hii
ni tamu, unaweza kujaribu kidogo,
kalete kikombe nikuwekee kidogo”
alisema Stellah, Pross akainuka na
kwenda kuchukuwa kikombe huku
anacheka cheka, “nisije kulewa mpaka
nika zima kabisa” alisema Pross, na
kumfanya Stellah acheke kidogo,
“wanaume unaogopa kitu kidogo
ambacho kipo kwenye chupa” alitania
mama huyu ambae nazani alicho
kifanya mida hii, ni kwa mwongozo wa
pombe.
Pross aliingia ndani na kutoka na
kikombe, kisha akamkabidhi stellah alie
kuwa amekaa kwenye mkeka chini ya
mwembe, “hivi Pross, sikuile mama
yako aliniambia kuwa ni wewe ndie
unae saidia familia, kwani baba yako
yupo wapi?” aliuliza stellah huku
anamimina wine kwenye kikombe, hapo
Pross aliinamisha kichwa chini kwa
uzuni kubwa, sababu ni mwaka wa tatu
sasa ajamwona baba yake, wala kusikia
habari zake………………
 
SEHEMU YA KUMI NA NNE
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA TATU
: Pross aliingia ndani na kutoka na
kikombe, kisha akamkabidhi stellah alie
kuwa amekaa kwenye mkeka chini ya
mwembe, “hivi Pross, sikuile mama
yako aliniambia kuwa ni wewe ndie
unae saidia familia, kwani baba yako
yupo wapi?” aliuliza stellah huku
anamimina wine kwenye kikombe, hapo
Pross aliinamisha kichwa chini kwa
uzuni kubwa, sababu ni mwaka wa tatu
sasa ajamwona baba yake, wala kusikia
habari zake……………… endelea …..
Kikapita kimya kidogo, pasipo Prosper
kuongea neno, ukimya huo ukamstua
kidogo mwanamama Stellah, “vipi,
,bona unaonekana umenyongea ghafla,
au baba alisha fariki?” aliuliza Stellah,
huku anampatia Pross, kikambe kilicho
jaa wine, “ukweli tujuwi, kama yupo hai,
au amekufa, sababu ni mwaka watatu
sasa, atujapata habari zake” alisema
Pross kwa sauti ya upole na tulivu, na
kuzidi kumfanya Stellah ahisi kuwa,
kuwa nyuma ya maisha duni, aliyo
yakuta pale kwa mama Pross, kuna
“kwanini unasema hivyo?” aliuliza
Stellah kwa sauti ya mshangao, iliyo jaa
tahadhari, hapo Pross akaanza
kumsimulia story nzima ya baba yake
mzee Feruzi, kuanzia kipindilike alipo,
ondoka anaenda kufawatilia mafao
yake na kuamua kutoweka moja kwa
moja, na yeye kumkuta kigamboni
akiwa na wanawake anakunywa nao
pombe.
Sulizi hiyo iliypenda sambasamba na
unywaji wa wine, ambazo zilikuwa
nyingi, zilizo andaliwa na Stellah kwaajili
ya kunywa na mume ake mpendwa
bwana Kipanta, ilionekana kumsisimua
sana Stellah ambae alitulia na kusikiliza
kwa umakini sana, pasipo kukijari
kitenge chake kilicho jifungua na
kuacha ile taiti aliyoivaa ndani
ikionekana jinsi ilivyo shika mwiliwake
asa sehemu hii ya paja nene la
mwanamama huyu.********
Naam Rose na Joyce walienda mpaka
kibaha, maili moja, ambako
walizunguka kila kona kumsaka,
Kipanta, ambae waliamini atakuwa na
Matrida, lakini awakufanikiwa kumpata,
ndipo walipoamua kusogea mbele zaidi,
wakipita kila chochoro yenye gues au
bar, walienda mpaka kongowe, bila
mafanikio yoyote, na mwisho
wakaonelea warudu tena, upande
wakibamba, waanze kusaka bar za
karibu, ikiwezekana wakavizie nyumbani
wa Matrida, “yani Matrida mshenzi
sana, anawezaje kutembea na
mwanaume ambae rafiki yake amesha
tembea nae” alilalamika Joyce muda
wote, wakiwa njiani, wanarudi upande
wa Kibamba, wakianzia kuwasaka, toka
kiluvya kwa madukani mpaka gogoni,
bila mafanikio yoyote, ndipo walipo kata
shauri watafute sehemu ya kutulia
karibu na nyumba ya Matirida wamvizie
ataka porudi, ili waone kama ata kuja
na Kipanta, hivyo waka tulia kwenye
kigrocer flani na kuanza kuagiza bia,
bahati nzuri wote ni wanywaji.*******
Stellah na Pross wakiwa wameshaanza
kulewa, waliendelea na simulizi ya
bwana Feruzi, iliyo chukuwa zaidi ya
lisaa limoja, ili muuzunisha sana
Stellah, ambae sasa kuna mambo
alikuwa anayafanya bila kujuwa kuwa
anamweka kijana wawatu katika wakati
mgumu, maana wakati simulizi hii
inaendelea, kuna wakati Stellah,
aliomba Pross asimamishe kwanza
simulizi, “mkojo umenibana ngoja nika
upunguze kidogo” alisema Stellah huku
anasimama toka kwenye mkeka, na
kujifunga vizuri kitenge chake, huku
Pross ana tazama jinsi mama huyu
alivyo jaliwa, mapaja na maklio manene,
kumbuka ndani alivaa kiji taiti, kilirefu
licho ishia magotini, “choo kipo wapi?”
aliuliza Stellah na kumwondoa Pross
kwenye bumbuwazi, “nihicho kibanda
hapo nyuma” alisema Pross, na hapo
akamwona Stellah anaelekea huko
alikomwonyesha, huku makalio manene
ya mwana mama huyu yakitikisika kwa
fujo,
Dakika kama tano baadae Stellah alirudi
na simulizi ikaendelea, na baada ya
nusu saa, stela akaomba tena simulizi
isimamishwe tena, “jamani wanaume
nyie mnatutesa, ebu subiri kwanza nika
jisaidie” alisema Stellah, ambae safari
hii aliinuka bila kuulizia chooni, na
kuelekea huko, huku Pross
akimsindikiza kwa macho, akishangaa
jinsi msambwanda, ulivyo kuwa
unafanya fujo, na ata alipo rudi na
kukaa, pale kwenye mkeka, sasa
akukaa kama alivyo kaa mwanzo, sasa
alikuwa anajiachia kama yupo nyumbani
kwake, kichwani Pross, alishangaa
kitendo cha mama huyu, kumjumulisha,
na wanaume wote, wakati yeye alijiona
kuwa ni mtoto, ambae akuhusika na
uovu wa baba yake.
Simulizi iliendelea, huku wakinywa wine
yao, na kushushia kambale, na kila
dakika zilivyoenda, ndivyo mama huyu,
alivyo zidi kujiachia, na ilifikia wakati
ata kile kitenge kili toka mwilini mwa
mama huyu, na yeye akukijali kabisa, na
baraha likaja wakati anaenda kujisaidia,
“hiv huku kuna watu wana pitaga?”
aliuliza Stellah huju anainuka toka
kwenye mkeka, kile kitenge kikibakia
mkekani, na kumpa nafasi Pross ya
kutazama moja kwa moja jinsi mama
huyu, alivyo umbika, “hapana yani huku
inaweza kupita mwazi mzima, usione
mtu anapita” alijibu Pross, ambae
pombme ilisha mchukuwa kihasi chake,
na ukizingatia kuwa ilikuwa ni mala
yake ya kwanza, “afadhari, maana iki
kitenge, naona kina nikela tu!” alisema
Stellah ambae aliondoka bila kitenge, na
kumpa Pross nafasi ya kuona makalio
ambayo yalipambwa na ilea lama ya
mlipo katiza pindo za chupi, kwa
makadilio, kama inge kuwa inaweza
kuganywa, zinge tokea chupi nne za
wakina Pross, “mh! wakubwa
wanafaidi” alisema Pross, akimini kuwa
ameongea kwa sauti ya chini, ambayo
Stellah, asinge iskia, lakini aiku hivyo,
maana Stella, ambae safari hii akuingia
chooni kukojoa, ila alikojoa kwenye
upenu wa kibanda cha Pross, aliporudi
na kukaa kwenye mkeka, akamtazama
Pross kwa uso wa tabasamu,
“umesema wakubwa nafaidi nini?”
aliuliza Stellah, kwasauti flani ya
kulegea, huku ana tabasamu……………
endelea …
 
SEHEMU YA KUMI NA TANO
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA NNE :
“mh! wakubwa wanafaidi” alisema
Pross, akimini kuwa ameongea kwa
sauti ya chini, ambayo Stellah, asinge
iskia, lakini aiku hivyo, maana Stella,
ambae safari hii akuingia chooni
kukojoa, ila alikojoa kwenye upenu wa
kibanda cha Pross, aliporudi na kukaa
kwenye mkeka, akamtazama Pross kwa
uso wa tabasamu, “umesema wakubwa
nafaidi nini?” aliuliza Stellah, kwasauti
flani ya kulegea, huku ana
tabasamu…………… endelea …..
Hapo macho ya kulegea ya huyu mama
ambayo kwa haraka ungeshindwa
kujuwa ni kwaajili ya pombe au kitugani,
yalimfanya Pross ashindwe kumtazama
Stellah usoni, na kutazama chini huku
nafsi yake ikijisuta na kuhisi kuwa
amesha haribu,”sija sema kitu” alisema
Pross kwa sauti ya chini, iliyojaa aibu,
“mhhhh! Pross, bwana nimekusikia kwa
masikio yangu, unasema wakubwa
wanafaidi, kwani mimi mzuri sana?”
aliuliza Stellah, kwa sauti flani, ya
kubembeleza iliyojaa utani mwingi, japo
alifahamu kuwa utani kama huu siyo
mzuri kwa kijana mdogo kama huyu,
japo kwa mwonekano yari alisha kuwa
na uwezo wa kula kitumbua.
Pross akaitikia kwa kikichwa kukubari,
kuwa Stellah ni mzuri, hapo Stellah
akacheka kidogo, “we Pross bwana,
yani unaweza kuuona uzuri wa mwana
mama mzee kama mimi?” alisema
Stellah, japo akuwa na umei wa kujiita
mzee, Pross nae akacheka kidogo,
“lakini mzuri, kwani wewe ni mzee
sana?” aliuliza Pross, ambae alionekana
kugundua kuwa mama huyu, alikuwa ni
mcheshi mbele yake, “ndio mimi
mkubwa, siuliwaona watoto wangu,
walivyo wakubwa, kwani wewe
unamiaka mingapi?” aliuliza stellah,
huku akimtazama Pross, ambae mala
kwa mala alikuwa anatazama mipaja ya
yule mama, ambayo sasa ilikuwa
inanekana vizuri kabisa imeifadhiwa na
Taght, “namiaka ishilini na mbili” alijibu
Stella, huku akijiweka sawa, na kuzidi
kukaa vizuri kwa upande wa awa wawili,
lakini ni vibaya kwa jamii, sababu,
aliikunja miguu, na kukaa kama
amekunja nne, mfano wake, ni vile
wanaume wanakaa, kwenye mkeka,
wanapojiandaa kula au wanapokula
chakula, na hivyo kusababisha, macho
ya Pross, yaweze kuona mtuno wa
kitumbua cha mama huyu, ambacho
kilivimba kweli kweli, kama siyo ule
mchoro wa kitumbua harisi wenye
mapsuo kati kati, basi ungezeza
kusema mama huyu alikuwa amevaa
Pad, “mh! ilibakia miaka sita tu, tuwe
nusu kwa nusu” alisema Stellah, na
wakaendelea kuongea mawili matatu,
kabla stellah aja badiri mazungumzo,
“ok! ebu nimalizie story ya baba yako”
alisema stellah, na hapo Pross
akaendelea kusimulia mkasa wa baba
yake, japo sasa mambo yalikuwa
magumu kidogo, maana pombe ongeza
kuona mapaja na kitumbua kile kikubwa
kilichotuna, yalimfanya wakati
mwingine Pross ajikuta anarudia rudia
maneno, kitu ambacho ata Stellah
alikiona, na mwanzo alijuwa kuwa ni
pombe pekee ndiyo ambayo ilikuwa ina
mchanganya kijana huyu.********
Naam masaa yalizidi kwenda, Kipanta
na Matrida, wakiwa pale Nyumbani
Lodge, waliendelea kunywa na kula kwa
fujo, huku wakifanyiana michezo ya
kimahaba, Kipanta mzee wakisukuma,
akionekana kuzidi kupagawa mbele ya
mschana huyu, waki Nyasa, “lakini
Baby, unampendelea sana Rose, wakati
akupendi sana, kama mimi” kuna
wakati Matrida alimwambia Kipanta
kwa sauti ya kudeka, huku akipenyeza
mkono wake chini ya meza na kuulaza,
juu ya dudu yam zee huyu, ambae kwa
haraka ungesema ndio kwa nza
anabalehe, “nampendelea nini, mshenzi
yule, tena sitaki ata kusikia jina lake,”
alisema Kipanta huku anausikilizia
mkono wa Matirida, uliokuwa una minya
minya dudu yake taratibu, “kwanini
sasa, wakati ni mpenzi wako ume
mnunulia shamba, nyumba na gari zuri”
alisema Matrida kwa sauti ya
kujidekeza, iliyo ashilia kukasirika, huku
ana jiegemeza kifuani kwa Kipanta, na
mkono wake wakushoto bado
unapapasa shemu ya dudu, ambayo
sasa ilisha tutumka, na kujivimbisha
ndani ya suluari, “we! unawasi wasi
gani, wakati fedha hipo?, tena ngoja
nikuhamishie fedha kidogo, ya shoping”
alisema Kipanta ambae kiukweli aliona
wazi kuwa michezo anayo fanyiwa na
Matrida, ni mitamu sana, kuliko
anapokuwa Rose, muda wote ukaa, bila
kugusana gusana, na ukizingatia pia,
ana muda mrefu akuwai kula kitumbua
cha mschana huyo, yani mpenzi wake
Rose, kutokana na sababu mbali ambali
ambazo uwa zinatolewa wakati mchezo
unapoitajika kuanza.
Matrida aliweza kumwona Kipanta
akitoa simu yake na kuanza kuibofya
bofya, “si unaikumbuka account namba
yako ya NMB,?” aliuliza bwana Kipanta,
huku akiendelea kubofya bofya simu
yake, “nisiikumbuke tena, wakati
yakwangu” alisema Mtrida, huku
akitabasamu, na kumng’ong’a Kipanta
alie kuwa busy anabofya simu, “aya
nitajie, namba yako” alisema Kipanta,
“baby ebu niingize mwenyewe, maana
unawea kukosea, alafu tukapata
hasara” alisema Matrida huku
anatoamkono wake kwenye dudu ya
Kipanta, na kuchukuwa simu, kisha
akaanza kuingiza namba account yake
ya benk, alipomaliza akamrudishia
mwenyewe, ambae alimalizia kwa
kubofya ok! “aya tazama salio lako
sasa” alisema Kipanta, “baby simu nime
zima, siunajuwa yule mtu wako alivyo
msumbufu” alisema Matrida huku ana
rudisha mkono wake kwenye usawa wa
dudu ya Kipanta, na kuendelea kuibinya
binya, “yani ukiwa na shida yoyote we
niambie tu!” alisema Kipanta, huku
akijiweka vizuri ili Matirda aweze
kuichezea dudu vizuri, huku wingu zito
likionekana kutanda angani, likiashilia
kuwa mvua itaanza kunywehs muda
siyo mrefu.******
Wakati wakina Kipanta wanaendelea
kula Bata, zao kule Nyumbani Lodge,
Rosemmary na Joyce bado walikuwa
kwenye ki grocer kimoja, hatua chache
toka kwenye nyumba aliyo kuwa
amepanga Matrida, muda wote
wakiitazama nyumba hiyo, kuhakikisha
wanamwona Matrida akiwa anarudi
nyumbani hapo, na lengo ni kumtambua
mwanaume alie kuwa nae, ambae
waliamini kuwa ni bwana Kipanta, “yani
huyu, mshenzi anaanza kunichezea
hakiri” alisema Rose kwa sauti ambayo
ilishaanza kujawa na hasira iliyo
changanyika na ulevi, “lakini Rose we
shida yako nini, mimi naona kama yule
mzee anakuwekea kauzibe tu! kwanini
usiachane nae ukaanza maisha yako,
kama ni nyumba unayo, gari ili hapa zuri
kabisa, shamba kubwaaaa, lina
kungoja, sasa nini tena, zaidi ya
kupakazwa shombo na kile kibabu,
alafu mvua isije kutukutia hapa, naona
kama wingu linatanda” alisema Joyce,
huku wakiendelea kunywa pombe, Rose
akatazama wingu, akaona kweli lilikuwa
lina tanda, lakini hakujari, si wanagari
bwana, “we! Joy nilisha kuambia kuwa
ujuwi kitu, na mambo niliyo yajuwa leo
huko shambani ndio yame nitia hasira
kinyama, kumbe mshara wa yule kaka
wa kule shambani, siyo laki moja kama
alivyo niambia, ni elfu hamsini, na
ajawai kumlipa ata siku moja” alisema
Rose akionekana kuwa na uchungu
wakweli, ata wewe ungeshangaa, kama
alivyo shangaa Joyce, maana aliwao
kuona jinsi Rose, alivyo kuwa ana
mnyanyasa kijana wawatu, alafu leo
aonekane kuumizwa na jambo ili, kabla
Joyce ajaongea lolote, Rose
akaendelea, “ebu ona, ile mihogo,
mboga viazi, na mikaa, kumbe ni vya
yule kijana, siyo vyangu, yule kijana uwa
anaviuza kwaajili ya kuwatumia wazazi
wake fedha” aliongea Rose kwa
machungu ya hali ya juu, na hapo ndipo
Joyce aliposhtuka na kuona kwanini
Rose, amechukia juu ya swala la Pross,
“inamaana tulikuwa tuna mzurumu
kijana wawatu?” aliuliza Joyce kwa
sauti ya mshangao, uliojawa na kila
dalidali ya huruma kwa Prosper, “ndio
maana yake, ebu fikilia sasa, huyu babu
ni mtu wa aina gani, kama siyo shetani,
na kama nikikusimulia aliyo yafanya
huko nyuma, kwanza ungenishangaa
kukubari kuwa na mshenzi kama huyu”
alisema Rose kwa sauti iliyo jaa
uchungu, “sasa kwanini ulimkubari?”
aliuliza Joyce, kwa sauti ya mshangao,
“ninamaana yangu hipo siku utajuwa
tu!” alisema Rose, na mjadala ukaishia
hapo, wakaendelea kunywa , huku wana
subiria watu wao waje ili wawafumanie,
awakujuwa kuwa wenzao leo
wamehama nyumba, na kujifanya
wageni kwenye nyumba ya
wageni.*******
Naam tukirudi shamba nako, simulizi
ndio ilikuwa inafikia mwisho, huku hali
ya wingu ikionekana kutanda hangani,
lakini stellah akuonekana kulijari, nazani
sababu alikuwa na usafiri binafsi,
“kwahiyo baba yenu ajawatafuta tena,
na nyie amja mtafuta tena?” aliuliza
Stellah, mwisho wa simulizi hii aliyo
simulia Pross, inayo mhusu bwana
Victor Feruz, ambae ni baba yake,
“sijuwi ata nitaanzaje kumtafuta”
alisema Pross ambae sasa alisha
changamka na wine, huku akiendelea
kupata burudani ya kutazama mtuno wa
kitumbua cha Stellah, “poleni sana,
lakini wanaume sijuwi wanapatwa na
nini?” alisema Stellah, huku akiinuka
safari kwa shida kidogo, kutokana na
kuzidiwa na kinywaji, kisha akazunguka
nyuma ya nyuma, safari hii akiwa
ajaenda mbali sana, maana ata
mcuruziko wa mkojo uliweza kusikika
masikioni kwa Pross, na ata aliporudi,
na kukaa alikaa vile vile kama alivyo
kuwa amekaa mwanzo, na kusabisha
mtu wakitumbua chake, uzidi
kuonekana na kumpendeza Pross,
ambae sasa ata dudu yake ilisha anza
kututumka na kuvimba kweli kweli,
ikonyesha wazi inatamani kitumbua cha
mama huyu.
Upande wa Stellah alie onekana
kupunguza mawazo kwa kihasi flani,
alifurahia sana mazingira aya, ya
shamba, na kujiona alifanya maamuzi
mazuri sana, kuja hukushamba kwa
kijana huyu, ambae sasa alianza kuona
badiliko flani flani kwake, maana licha
ya kumwona mala kwa mala akitazama
kwenye uswa wa kitumbua chake, usoni
na kifuani, pia walipo kutanisha macho,
aliona wazi macho ya kijana huyu
yalikuwa yame legea, lakini siyo kwa
pombe, ila kwa matamanio ya ngono,
na ile kutazama chini na
kujitabasamulia, ilizidi kumchanganya
Stellah, na kumfanya ahisi hali aliyo
kuwa nayo kijana huyu, “mh! mbona
kama kana niangalia kimatamanio,
jamani watoto wasikuhizi” aliwaza
Stellah, ambae aliona ili kuepusha aya
yote, ni kuaga na kuondoka zake,
maana uwepo wake eneo lile ungezidi
kumtia maumivu kijana wawatu, na
ukizingatia mawingi yalikuwa yanazidi
kutanda, ikiashilia kuwa mvua itanyesha
muda wowote.
Lakini Kabla ajasema lolote, mala
Stellah akamwona Pross ana angaika
kusimama, “unaenda wapi Pross?”
aliuliuza Stellah, huku akiinuka na kuwai
kumsaidia kijana huyu kusimama,
“naenda kukojoa” alijibu Pross huku
akijichekesha, huo ndio wakati Stellah
alipo tazama mbele ya suruali ya Pross,
na alicho kiona kilichangaza, maana
aliona sehemu hiyo ime tuna kweli
kweli, ikionyesha wazi kuwa dudu ya
kijana huyu, ilikuwa imesimama kweli
kweli, “waooo! ina… inamaaana mkojo
umekubana sana?” aliuliza Stellah
akiwa ametoa macho ya mshangao,
kutazama dudu ya kijana huyu, “ndio…
ndio.. sijakojoa toka nianze kunywa
pombe” alisema Pross huku
anajikongoja kuzunguka nyumba yake,
na kumwacha Stellah, anakaa tena
kwenye mkeka, “mh! mtoto anabalaha
huyu, sasa kunisimamishia dudu lake
namna hii ili iweje?” alijiuliza Stellah
huku anatabasamu, “mh! angejuwa
kuwa mwenzie nina nusu mwaka sija
iona hii kitu, wala asinge nifanyia hivi”
alijisemea Stellah, huku anatazama kule
alikoelekea Pross, ambae bado akuwa
amerudi, “au ndio kamesha tamani vya
wakubwa?” alijisemea Stellah, ambae
safari hii alicheka kabisa, “mh! lakini
itakuwa ni sababu ya kubanwa na
mkojo, ebu nione akirudi itakuwaje”
alisema Stella, na kutulia kumsubiri
Pross arudi, huku akihisi kuna vitu vina
tekenya kwenye kitumbua chake.
Naam dakika tano, baadae Stella,
akamwona Pross anarudi kwa mwendo
wa taratibu, ulio ashilia kipimo cha
ulewaji wa kijana huyu, ambae leo ni
mala yake ya kwanza kunywa pombe,
moja kwa moja Stellah akaelekeza
macho yake kwenye eneo la mbele la
Suluari, ya Pross, akaona bado dudu
ime simama vile vile, “mh! kijana ana
hatari huyu” alijisemea Stellah, huku
ana inuka na kumshika mkono Pross
alie kuwa amesha fika pale chini ya
mwembe, kisha akamkalisha kwenye
mkeka, siyo kwenye gogo, kama alivyo
kaa mwanzo, “ebu kaa kwenye mkeka,
nikuulize kitu Pross,” alisema Stellah,
huku ana kaa pembeni ya Pross, na
macho ameyaelekeza kwenye dudu ya
kijana huyu, ambae alionekana kulewa
kiasi chake, “eti Pross, unaniona mimi ni
mzuri sana?” aliuliza Stellah, huku
akiwa anainua mkono wake na
kuuweka juu ya kiichwa cha
Pross……………
 
  • Thanks
Reactions: ADK
SEHEMU YA KUMI NA SITA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA TANO
: “basi ngoja nimalizie kukuandalia vitu
vya kuondoka navyo, maji ya kunawa
yapo ndani kwenye zile ndoo” alisema
Pross huku anaondoka na kuelekea
shambani, “maskini mtoto wawatu
namtesa” hakika moyo wa Stellah,
ulijikuta ukiingiwa na huruma ya hali ya
juu, “ebuo ona kanavyo nijari, utazania
kananijuwa mimi ninani” aliwaza
Stellah, huku mawazo yake yakirudi
kwenye dudu ya kijana huyu, na kuivutia
picha ikiwa nje ya suruali, “sasa
katasimamisha mpaka saa ngapi,
mwishoe kata umiza misuri ya
churuchuru yake” aliwaza Stellah huku
anaingia ndani ya kibanda kile, cha
kijana Pross………. endelea …..
Aambako alichota maji na kutoka nayo
nje kwenda kunawa, huku anaendelea
kuwaza juu ya kijana huyu mdogo,
ambae ame mpa adhabu
kwakusimmamisha dudu, usiku kucha,
na licha yayote, bado anaendelea
kumfanyia mambo ambayo kiukweli ni
zaidi ya kuwa rafiki au ndugu, maana
alimkusanyia mazaga zaga kibao, kisha
aka mpakizia kwenye gari, na yeye
kuondoka zake akiahidi kumtembelea
siku nyingine akipata nafasi,
Njia nzima Stella aliwaza juu ya kijana
huyu, hivi ingekuwaje kama asingelala
mapema, si angenifanya yule mtoto,
lakini kadudu kake kana tosha” aliwaza
Stellah, ambae alipita barabara yay a
kisalawe kutokea kiluvya madukani,
“siku nyingine, nikienda inabidi niwe
makini, maana lazima niende tu! si
unaona nilivyo enjoy” aliwaza Stellah,
akipanga kubeba vitu vingi ikiwa wine
na vyakula, ili kubolesha mapumziko
yake.*******
Naam siku hiyo ndiyo ilikuwa ni siku ya
Chriss mass, siku ambayo kipanta
ilimkutia guest yupo na Matrida, ambao
walikuwa wamechoshwa na ulevi,
ambao uliwasahaulisha kupeana dudu
usiku, baada ya kupitiwa na usingizi,
alie toka nje wakwanza alikuwa ni
Matirda ambae ambae aliamka saa nne
nanusu, alienda kutafuta duka la jilani
akanunue nguo ya ndani, maana ile
aliyo ivaa alishinda nayo kutwa nzima
ya jana, Matrida alie mwacha Kipanta
bado amelala ajitambui kwa usingizi wa
pombe za jana.
Sasa basi wakati Matrida ana tembea
pembezoni mwa barabara kulifwata
duka, akakutana na mschana mmoja
anaeitwa ziada, ambae ni mteja
mkubwa wa saloon kwa Rose
wakasalimiana na kupishana, Matrida
akielekea dukani na Ziada akaelekea
alikotokea Matrida, kitu ambacho
Matrida akukijuwa ni kwamba Ziada
alikuwa anaelekea pale pale alipotoka
yeye, yani makuti bar, ambako Ziada
alikuwa ameaidiana na mwanaume
mmoja, wakutane pale, kwaajili ya
kusherehekea Chriss mass.
Ziada ali fika Makuti na kumkuta mtu
wake aliekuwa amekaa kwenye meza
moja iliyo jificha vizuri kabisa, aka
karibishwa na kujiunga mezani, na
kuagiza alicho itaji akijuwa kuna kazi
iliyo mleta pale, ambayo itafanyika
baadae chumbani, na pengine usiku
kucha.
Naam Ziada akiwa anaendelea kunywa
na kuongea na mpenzi wake mpya,
mala aka mwona Matrida mdada alie
mfahamu saloon kwa Rose, sababu ya
ukaribu mkubwa na urafiki, wa
kushibana walionao, yani Rose na
Matrida, akija pale bar na kuingia
kwenye jengo kubwa la nyumba ya
kulala wageni, akujari sana akajuwa
kuwa ni haki yake kuwepo sehemu
kama zile sababu akuwa ameolewa, na
isitoshe maali pale kila mmoja anakuja
na lakwake.*******
Rose alichelewa kidogo kuhamka,
kutokana na pombe za jana usiku, na
alipo hamka akaingia bafuni kuoga,
huku akiwaza njia ya kumnasa mwizi
wa hawala yake, ambae alikuwa na
uhakika kuwa ni Matrida, “mshenzi
sana, awezi kunizidi hakili, lazima
nihakikishe nimesha mfanyia nilicho
kipanga, na anajutiamakosa yake ndio
namwachia” alisema Rose ambae
kiukweli ata mimi nilichelewa kujuwa
alikuwa ana maanisha nini.********
Upande wa Pross ilikuwa shida kwa
siku ile maana alishinda ana waza sana
juu ya mwanamama yule ambae ghafla
tu! ametokea kuwa karibu yake sana,
kiasi cha kulala kwenye kibanda chake,
wakai anaonekana ni mama mwenye
heshima zake, ilo siyo tatizo, tatizo, ni
hali aliyo kuwa nayo yule mama usiku
wa siku iliyopita, na mbaya zaidi ni
kinguo alicho kivaa, ambacho mpaka
sasa Pross alipo kikumbuka na jinsi ule
mtuno wa kitumbua ulivyo vimba,
alijikuta dudu ina msimama kama vile
ameficha kitu ndani yake, kila alipo
kikumuka, “dah! wakubwa wanafaidi”
alijisemea Prossambae alikuwa ana
jiandaa kwenda kutembea mjini
kisalawe kwaajili ya sikukuu, hapo
baadae.********
Saa saba mchana ndio muda ambao,
Ziada akiwa bado yupo pale bar, na
mwanaume wake , alimwona bwana
Kipanta, ana toka kwenye jengo la
kulala wageni na kwenda kukaa kwenye
moja ya meza kati ya nyingi zilizopo
pale bar, na “mh! baby unamwona yule
mzee, ametelekeza familia yake kwaajili
ya mschana mmoja mmoja hivi”
alisema Ziada kwa kunong’ona, “haa!
unasema kweli?” aluliza yule jamaa,
kwa mshangao, “kweli tena, alafu huyu
mschana mwenyewe amae mjengea
nyumba, ame mnunulia gari, ame
memfungulia saloon na maduka”
alisema Ziada na wakati huo huo,
akamwona Matrida nae anakuja,
akitokea kwenye vyumba nakwenda
kukaa pale pale, alipokaa Kipanta, “ndo
yule au alafu mbona mzee mwenyewe
afanani na mambo unayo yasema,
anaonekana mshamba flani” aliuliza
yule jamaa kwa mshangao, “we! subiri
tu utamwona yule ni rafiki yake” alisema
Ziada.
Nikweli mwanzo Ziada alizania kuwa
Matira yupo pale kama kawaida yao,
maana uwa wote kila mala, lakini kila
dakika zilivyoenda ndivyo, Ziada alivyo
anza kupata picha harisi ya tukio
linaloendelea, maana aliona dakika zina
zidi kusonga bila kuonekana Rose wala
rafiki yao Joyce, na mbaya zaidi aliweza
kuona michezo ya kimahaba kati ya
Kipanta na Matrida, “mh! hapa kuna
mchezo unaendelea” aliwaza Ziada,
ambae aliona pengine hii ianaweza
ikawa nafdasi yake ya kutengeneza
urafiki na Rose, mschana mrembo mzuri
na mwenye fedha, “baby nakuja”
alisema Ziada akiokota simu yake
mezani na kuelekea nayo chooni,………..
 
SEHEMU YA KUMI NA SABA
STORY NA: Mbogo Edgar
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA SITA :
Nikweli mwanzo Ziada alizania kuwa
Matira yupo pale kama kawaida yao,
maana uwa wote kila mala, lakini kila
dakika zilivyoenda ndivyo, Ziada alivyo
anza kupata picha harisi ya tukio
linaloendelea, maana aliona dakika zina
zidi kusonga bila kuonekana Rose wala
rafiki yao Joyce, na mbaya zaidi aliweza
kuona michezo ya kimahaba kati ya
Kipanta na Matrida, “mh! hapa kuna
mchezo unaendelea” aliwaza Ziada,
ambae aliona pengine hii ianaweza
ikawa nafdasi yake ya kutengeneza
urafiki na Rose, mschana mrembo mzuri
na mwenye fedha, “baby nakuja”
alisema Ziada akiokota simu yake
mezani na kuelekea nayo chooni,………..
endelea …..
Naam mimi na wewe hatujuwialicho
kifanya Ziada,ila ukweli ni kwamba, ata
mala baada ya kurudi toka chooni,
Ziada alionekana ana chati mala
kwamala, kwa muda mrefu kama lisaa
lizima hivi, ilibakia kidogo agombane na
yule jamaa alie kuwa nae, akizania
kuwa anachati na mwanaume
mwingine, mpaka alipo mwonyesha ya
sms alizo kuwa anatuma na kupokea,
“vipi bado wapo?” ilisomeka sms
aliyotumiwa ziada, toka kwenye namba
iliyo ifadhiwa kwa jina la Rose wa
Saloon, “ukiingia tu moja kwa moja
tazama upande wa kushoto, nyuma ya
hapo walipo park magari” ndivyo ilivyo
jibiwa sms hiyo na Ziada, “sasa wewe
yana kuhusu nini?” aliuliza yule jamaa,
huku ana mrudishia simu yake, “yani
baby unge juwa, ungeenda kumshahuru
yule mzee, yani unaamibiwa amestaafu
sasa ela yote kazi kuwaninilia
manawake mala majumba mala magari,
naona nahuyu ameamua kuimfirisi
mzee wa watu” alisema Ziada
akitazama kule walikokaa, wakina
Matrida na Kipanta, “kumbe ni elaya
kustaafia?” aliuliza yule jamaa kwa
mshangao, huku anageuka na
kutazama upande, na wakati huo
huo,wote wawili wakamwona mwana
dada mmoja matata sana anaingia
eneo lile, kwa mguu, alikuwa peke yake,
kwa uzuri wa mschana huyu, ata huyu
jamaa alie kuwa amekaa karibu na
Ziada akajikuta imemchomoka bila
kutegemea, “duh! ebwanaeeee” japo
ilimkela sana Ziada lakini akuijari,
kutokana na kwamba ana ufahamu
uzuri wa mshana huyu, “huyu ndie
Rose” alisema Ziada huku
wakimtazama yumschana mrembo alie
timia,ambae sio wao peke yao tu!
waliokuwa wana mtazama, nikaribu
watu wote waliokuwepo eneo, lile
waligeuza shingo zao kumtazama Rose,
kiasi cha wanaume wengine
kugombana na wanawake walio
kuwanao pale bar, kwa lengo la
kusherehekea chriss mass.
Idado luwa ya watu ili mshuhudia
mschana huyu, alie valia suruali ya jinsi
na tishe la kubana, na chini alivaa viatu
vya kudumbukiza, vya chini, yani visivyo
na visigizo,wenyewe wanaita simple,
(simpo) mavazi ambayo yali wafanya
watu waone jinsi umbo mwanana la
mschana huyu mwenye kujaliwa sura
nzuri lionekane vyema kabisa.
Na kwa upande wa Kipanta na Matrida
ilikuwa ni jambo la kushtukiza kwao,
maana walishangaa kuona
watuwanaangalia sana kule waliko wao,
na walipo geuka kutazama watu wana
shangaa nini, ndipo walipo mwona
Rose, ana wasogela huku ame kunja
sura kwa hasira, ukweli walishindwa ata
kunyanyuka na kukimbia, kutokana na
kuishiwa nguvu za miguu, na kubakia
wakimtazama Rose akiwa fikia pale
walipo na kukaa kwenye kiti kilicho
kuwa wazi, “aya we Matridandio nini
kuamua kutembea na huyu mzee wakati
unajuwa nipo nae?” aliuliza Rose mary
kwa sauti iliyo jaa hasira, hapo Matira
akuweza kujibu kitu, akabakia ame
inamisha kichwa chini, kwa aibu,
“Matrida unamfahamu huyu mtu, mpaka
una amua kujiingiza?” aliuza tena Rose,
swali ambalo ata Kipantamwenyewe
alilichukulia kama ni maumivu ya
mapenzi, na kutaka kuvuruga penzi lake
jipya ambalo ata jana akulifaidi
kutokana na kuzidiwa ulevi, “sikia Rose
naomba unisamehe, tuka yaongelee
nyumbani, aliongea Kipanta kwa sauti
ya kubembeleza, “hapana Kipanta,
inatosha, inaonyesha nyie mme
anzasiku nyingi kuwa wapenzi, sasa
unataka tuka yaongee manini?” aliuliza
Rose kwa sauti ya juu, huku watu
wotewaliokuwepo eneo lile wakiskia na
kuzidi kutege masikio, wengine wakitoa
simu zao na kuanza kuchukuwa video
za tukio lile, “lakini ni wewe
mwenyewendie ulie sababisha, “
aliongea kwa kupiga kelele Kipanta na
kuzidi kuwa vutia watu, Roseaka tulia
kwa ukweli huo, “ulinizimia simu, na
kuniacha mimi nateseka mahabusu”
alisema Kipanta, na hapo nikama Rose
alipata cha kuongea, “kwani huyu
malaya ndie alie kutoa, alie kutoa
umempa thamani gani, zaidi ya kuzidi
kumwumiza moyo wake?” aliuliza Rose
ambae sasa alisimama kabisa, “hayo
haya kuhusu, ni mambo ya nyumbani
kwangu, we tangulia nyumbani mimi
nakuja huko huko” alisema Kipanta, na
hapo Rose aka tazama watu
waliokuwepo eneo lile , ambao karibia
wote, walikuwa wanawatazama, na
bahadhi yao walikuwa wanachukuwa
picha za video, hapo Rose akaona kuwa
tukio hili ni sawa na kujidharirisha hivyo
akaona bola aondoke zake.
pasipo kusema neno lolote Rose
akaondoka zake, na kuwaacha wapenzi
awa wanamsindikiza kwa macho, na
alipotoweka, kwenye upeo wa macho ya
watu waliokuwepo pale bar, Matrida
akamshauri Kipanta wahame eneo lile,
japo mwanzo Kipanta alikuwa mbishi
kidogo, lakini badae akakubaliana na
Matridakuwa waondoke na kuhamia
sehemu nyingine, pasipo kujari kuwa
walikuwa wamesha lipia chumba
kwenye ile nyumba ya kulala wageni.
Hivyo moja kwa moja walielekea
Luguruni, na kutafuta sehemu nzuri
yenye bar na Guest, kisha waka
chukuwa chumba na kuendelea na ulevi
wao, huku mala kwa mala wakiongelea
tukio la Rose, kuwa fumania, “wala
usiwe na wasi wasi ameyataka
mwenyewe” alisema Kipantakwa
kijitapa, alijiona kuwa ni bingwa,
akujuwa kinacho fwata, “baby najuwa tu
ukirudi kwa rose utani sahau” alisema
Matrida kwa sauti ya kudeka, ambayo
ilimlegeza zaidi Kipanta, ambae siyo
kutabasamu peke yake, alicheka cheka
kama lofa, “wala siwezikuanya ujinga
kama huo, tena anza kuulizia gari zuri
na nyumba ndogo ndogo, ili
nikununulie” alisema Kipanta, nazani ni
kwaajili ya pombe zilizo mzidi, maana
hakiba yake ilikuwa ndogo sana kule
Benk, na wala hilo alikuwa analijuwa
Rose na Kipanta mwenyewe, “whooo!
baby kweli” alisema Matrida huku
anainuka na kumkumbatia Kipantakwa
nyuma, na kubusu shingoni,tena je ebu
ngoja nikurushie tena fedha nyingine,
kwwenye account yako” alisema
Kipanta huku ana toa simu yake na
kuanza kufanya hamisho la fedha kama
aliyo fanya jana, “yani baby leo utafurahi
mwenye, nita kupa chochote
unachotaka” alisema Marida
akimaanisha kuwa amezamilia.******
Baada ya kutoka pale makuti Bar, Rose
alielekea nyumbani kwake, ambako
alikaa sebuleni kwake, huku akiwa na
machungu mengi moyoni, aka chukuwa
chupa ya wine na kumimi na kwenye
glass, na kuanza kunywa huku ana
pekua pekuwa simu yake sababu ndio
kitu cha pekee alicho kuwa nacho kinge
weza kumliwaza, zaidi ya hapo ange
kuwepo Joyce ambae leo alikuwa ana
mwaliko wake, na mwanaume wake,
ambae anafanya akazi Mbeya, ame kuja
kwaajili ya kushrehekea nae Chrismass.
Sasa basi wakati ana peluzi kwenye
simu yake huku ana kunywa wine yake
ndipoalipoona ujumbe wa whatsaap
unaingia kwenye simu yake, toka kwa
Joyce, “hupo wapi?” uliuliza ule
ujumbe……………
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom