Kituko Wizara ya Afya, Blandina Nyoni haivi na Lucy Nkya, Hawasalimiani hata wakikutana kwenye kordo

Kwa baadhi yetu tunaomfahamu vizuri mama Nyoni muda mrefu, anavyosemwa katika jf si sahihi ni kupakwa matope na wasiomtakia mema. Huyu mama ni kiongozi mzuri, anayejua analolifanya na kupenda wafanyakazi waliochini yake. Ana msimamo thabiti kwa jambo analoamini yuko sahihi na huwa na vielelezo kwa kila jambo analofanya. Kwa mtu yeyote ambaye anajua Menejimenti, a professional manager anaweza kuongoza sehemu yoyote ya kazi si lazima awe na taaluma husika. Wale wanaofikiri madaktari ndio wanaweza tu kuwa viongozi wa wizara ya afya ni wazi hawajui menejimenti ni nini. Mama Nyoni ni meneja, ndio maana kama Makatibu wakuu wengine na hata mawaziri si lazima awe wa taaluma husika ya wizara. Ni vyema kumhukumu mtu kwa matendo yake na haki yake apewe.
 
Kuna jamaa yangu wa MOF anasema uyu mama aliwafaa sana alipokuwa uko!
Ingawa ni kawaida mwanamke kwa mwanamke kujengeana bifu hasa mmoja akiwa bosi wa mwengine na inakuwaga mbaya zaidi kama kuna mmoja anakanyagwa na overall bosi.
 
Na huwezi amini, huyo ndiye sababu ya mgomo wa madaktari unaoendelea. Niye aliyelazimisha intern warudishwe wizarani na kuwapangia hosp nyingine na kisha kusababisha mtafaruku tunaouona hivi leo. Kwa maono yangu kama serikali leo itamfukuza kazi Blandina ( Haji na Nkya hao ni watumishi wa Blandina) na hata kama haitakuwa na majibu ya moja kwa moja ya hoja za madokta watarudi kazini kesho yake; huyo mama ni kikwazo kikubwa, Madokta wanasema kama atakuwa bado ni katibu wa wizara ya afya bora wafukuzwe kazi kuliko kurudi kazini.

Madokta kawabania dili zao za wizi kupitia utafiti fake waliokua wanaufanya!, amekaba njia zote za wizi ndio sababu ya kumchukia! We hushangai wanakomaa aondoke?, kwani yeye ndio utaratibu?, wao wafanye kazi zao kwa mujibu wa job description zao na wapewe maslahi yao kwa mujibu wa sheria. NAKUHAKIKISHIA huyu mama angekua ndio bosi wa hii nchi tungekua tumepiga hatua kubwa sana kimaendeleo. yuko serious na kazi na hataki dili dili za kupeana peana. mengi yanayosemwa humu ni majungu tupu. ni kama yale ya kipindi kileee juu ya Sumaye kumiliki trilion 6 nje ya nchi.

Mali asili kama huwezi kucheza rafu kule huwezi kukaa labda rais awe Sokonne!, ndio maana mama Nyoni alitolewa. kamuulize dialo
 
Huyu mama mumewe nyoni atakuwa na taabu sana.hata mama yake aliyekuwa nesi hospital pale iringa anaish uilolesi alikuwa mkorofi akamuacha mumewe alikuwa daktari na kuzaa na mtu mwingine mtoto(mdogo wa blandina) anaitwa pendo wakati yuko na ndoa.ana mdogo wake mwingine alikuwa tumaini university nae staf wanadai ni mkorofi.huyo mdogoe wa tumaini aliolewa na mkenya ndoa iliyodumu mwezi mwanaume kadai anaenda kusalimu kwao kenya hakurudi tena sjui alikutana na nini kwa huyo binti(lily).hawa watu ni noma haswa nawafahamu A-Z
 
Ukijaribu kuongalia kwa makini hapa kuna wabaya wengi wa BN na wanajaribu kutafuta njia zote za kumchafua. Kwa upande wangu huyu Mama ni mtendaji mzuri sana. Anapenda uwajibikaji kwa wale ambao hawajazoea hivyo watamwona ni mbaya, natamani hata engekuwa Waziri wetu wa Afya au PM kabisa. Big up madam BN

Ndenga,
Unasema ukijaribu kuangalia kwa makini hapa kuna wabaya wengi wa BN na wanajaribu kutafuta njia zote za kumchafua. Je huoni kwamba na wewe ni Mmbaya wetu na kwamba kusema hivyo na wewe unajaribu kutuchafua na sisi? Pili unasema kwa upande wako huyo Mama ni mtendaji mzuri sana, Je hujui kwamba tunatofautiana katika kudefine utendaji na ufisadi? Kwa baadhi ya watu Ufisadi wa Mtu unaweza kuwa utendaji Mzuri kwa sababu hawawezi kuukata mkono unaowalisha? Mwisho unasema anapenda uwajibikaji na kwamba kwa wale ambao hawajazoea watamwona ni mbaya, Je kufukuza madaktari huku Watanzania wakifa wodini ndio uwajibikaji? Pole sana! Kajipange vizuri kuja kumtetea huyu Mama. Kwa kifupi Blandina Nyoni ni Janga la Taifa si kwa Wizara ya Afya tu!
 
Jamani twende mbele na kurudi nyuma. Huyo Niabu waziri pia anamatatizo sana anaroho mbaya kama huyo katibu. kwani hata huyo dereva wake aliyehama nae kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii hana rahaaa
Ndugu zangu hii taarifa nimeipata kutoka kwa wandani wangu aliopo pale Wizara ya Afya. Kwamba Katibu Mkuu wa Wizara Bi Brandina Nyoni haivi na Naibu Waziri wake, Bi Lucy Nkya. Na inadaiwa kuwa hata wakikutana kwenye kordo huwa hawasalimiani. Kinachowazungumzisha ni Madokezo tu.

Taarifa inasema kwamba ugomvi wao ulitokana na kitendo cha Katibu Mkuu kutaka kumlazimishia kumpa Dereva (Elias Mkumbo) ambae ni Informer wake. Mama Nkya alipotonywa na watumishi wa pale akamkataa huyo Dereva na ali comand alitewe dereva aliyekuwa nae kutoka Wizara aliyokuwepo kabla kama sivyo abadilishiwe. Tangu wakati huo Wakuu hawa wa Wizara wamesusiana (Kama wanavyosema watu wa Pwani).

Brandina Nyoni amekumbwa na matukio mengi ya kususiana na Wakubwa wenzako toka alipokuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo alikuwa haivi na hasalimiani na Waziri wake Bi Shamsi Mwangunga. Alipohamishiwa Afya mwishoni mwa 2008 pia akagombana na Naibu Waziri wa wakati huo Bi Aisha Kigoda na hadi anaondoka Wizarani hapo bado walikuwa hawaivi. Sijui huyu Mama ni Mtu gani? Maana hata watumishi wake kuazia alipokuwa Hazina, Maliasili na Sasa Afya wamekuwa wamkimkataa kutokana na Uongozi wake Mbovu wa kutojali maslahi halali ya watumishi wake mfano malipo ya likizo, uhamisho, extra duty allowances, etc!
 
Kwa tunayemfahamu B.Nyoni...huyu mama ana jeuri ya hali ya juu.....kwanza ni very rich...wanadai mume wake tajiri lakini huyu mama nae personally ni very rich....katika project anazomiliki ni pamoja na catering services.....kila mikutano/makongamano/warsha/semina mikubwa yoyote ya wizara ya afya inapofanyika...basi huyu mama huwa ndie anatoa catering services zooote ....vyakula,vinywaji na huduma zoote zile za catering....mfano wakati wa vikao vya bajeti dodoma wizara zinapohamia kule basi huwa yeye ndie kampuni yake inatoa services kwa wizara ya afya.....hii ni moja ya deal zake...inasikitisha kusikia anawabania wafanyakazi wake wizarani wakati tender zote za catering huwa za kwake...sijui kama viongozi wa umma kama yeye wanaruhusiwa kufanya kazi za biashara wawapo madarakani lakini ukweli kwa huyu katibu wa wizara ndio huu...kwa kifupi hana tofauti na mafisadi wengine katika utawala huu...ila she plays it soo smartly....pia anakula na wakubwa wakubwa zake....just like Jairo....

Blandina Nyoni.....ni yaleyale matunda ya upendeleo wa Luhanjo kwa watu wa kutoka mkoa wake! Ifike mahali professionalism iwe kigezo kwa nafasi za kisiasa. Mhasibu na afya wapi na wapi? Blandina Nyoni ni fisadi aliyepitiliza, ukiona makontena 20 yameingia bandarini haikosi 3-4 ni ya Blandina Nyoni, anakula bila kunawa! Ndio watu anaowataka JK>
 
Wewe punguza spidi tukupe data. Kama taratibu haziruhusu kuhama na madereva mbona yeye Brandina Nyoni alihama na Dereva wake kutoka Hazina hadi Maliasili then kutoka Maliasili hadi Afya? Kuhusu kwamba Mwenye Mariedo ndie anaeiendesha huu ni ushaidi wa ujinga ulionao. Rostam Aziz anamiliki Habari Cooperation na Vodacom kabla hajaizua. Lakini kwenye document za kusajili pamoja na shareholding za hayo makampuni huwezi kuona jina lake. Kuna kitu kinaitwa 'Power of Attoney' kwenye sheria, ndicho Vigogo wanakitumia kujificha kwenye umiliki wa Makampuni!


Inawezekana unajua sana mambo ya hao uliowataja na jinsi walivyotoa hizo POWER OF ATTORNEY; sasa kama ni hivyo utalisaidia sana taifa lako kama utatoa ushahidi kuwa huyu mama ni shareholder wa MARIEDO na POWER of ATTORNEY aliyoitoa ukaibandika hapa. Ukifanya hivyo na kulingana na maelezo yaliyotolewa hapa janvini mama Nyoni atakuwa na conflict of intertest na hatakuwa na credibility kwenye jamii hii. I challenge you for the benefit of this thread to produce that POWER OF ATTORNEY badala ya kubwabwaja na kupika majungu tu!!
 
Inawezekana unajua sana mambo ya hao uliowataja na jinsi walivyotoa hizo POWER OF ATTORNEY; sasa kama ni hivyo utalisaidia sana taifa lako kama utatoa ushahidi kuwa huyu mama ni shareholder wa MARIEDO na POWER of ATTORNEY aliyoitoa ukaibandika hapa. Ukifanya hivyo na kulingana na maelezo yaliyotolewa hapa janvini mama Nyoni atakuwa na conflict of intertest na hatakuwa na credibility kwenye jamii hii. I challenge you for the benefit of this thread to produce that POWER OF ATTORNEY badala ya kubwabwaja na kupika majungu tu!!

Mimi nimetoa mfano wa jinsi mtu anavyoweza kumilika kampuni bila kuwa shareholder. Sasa wewe unaepinga kwamba Blandina Nyoni hana Interest na Mariedo ndio unatakiwa utuletee hizo document zote ambazo zitaonyesha Nyoni hana Interest! Mimi nimetoa hoja bila kuwa na documents sasa mbona na wewe unapinga hoja yangu bila kuwa na documents huku uking'ang'ania Mimi peke yangu nitoe documents kutetea hoja yangu?
 
Huyu mama mumewe nyoni atakuwa na taabu sana.hata mama yake aliyekuwa nesi hospital pale iringa anaish uilolesi alikuwa mkorofi akamuacha mumewe alikuwa daktari na kuzaa na mtu mwingine mtoto(mdogo wa blandina) anaitwa pendo wakati yuko na ndoa.ana mdogo wake mwingine alikuwa tumaini university nae staf wanadai ni mkorofi.huyo mdogoe wa tumaini aliolewa na mkenya ndoa iliyodumu mwezi mwanaume kadai anaenda kusalimu kwao kenya hakurudi tena sjui alikutana na nini kwa huyo binti(lily).hawa watu ni noma haswa nawafahamu A-Z

shusha data mkuu mbona unatuonjesha halafu unatuacha kwenye suspense!
 
Ameolewa?
..Swali la maana sana...Hata kama hajaolewa lakini anahitaji kumpata mwanaume wa kumpa mambo yatakayomfanya akili na mwili vishirikiane hatimaye kuwa mtulivu...mademu wengi wa aina ile huwa single single madai yao hawana time na malavidavi but brain zao zinaathirika...
 
Waive, wawe mbichi... hatuwataki!
Waende kwa Kikwete aliyewaweka awaonje kama wameiva.
 
Kwa baadhi yetu tunaomfahamu vizuri mama Nyoni muda mrefu, anavyosemwa katika jf si sahihi ni kupakwa matope na wasiomtakia mema. Huyu mama ni kiongozi mzuri, anayejua analolifanya na kupenda wafanyakazi waliochini yake. Ana msimamo thabiti kwa jambo analoamini yuko sahihi na huwa na vielelezo kwa kila jambo
analofanya. Kwa mtu yeyote ambaye anajua Menejimenti, a professional manager anaweza kuongoza sehemu yoyote ya kazi si lazima awe na taaluma husika. Wale wanaofikiri madaktari ndio wanaweza tu kuwa viongozi wa wizara ya afya ni wazi hawajui menejimenti ni nini. Mama Nyoni ni meneja, ndio maana kama Makatibu wakuu wengine na hata mawaziri si lazima awe wa taaluma husika ya wizara. Ni vyema kumhukumu mtu kwa matendo yake na haki yake apewe.

Kwa busara ya kawaida kabisa,huyu mama amekwishachafuka mno,tunao watanzania vwengi mno wenye uwezo wa kujaza nafasi hii.hata kama si vema kumhukumu kwa hili ni vema angetumia busara na ku-step down.hii inaweza kusaidia kuujua ukweli halisi ni upi.

Kwanini awe ni Blandina tu mpaka inafikia mtu kuhama mpaka na dereva.kwani yeye alisomea ukatibu mkuu???
 
Imagine kuna makatibu wakuu wangapi kwenye wizara zote halafu jiulize kwa nini watu wamshupalie yeye tu. Huyu Blandina ndiyo chanzo cha mgogoro wote
 
Back
Top Bottom