Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Licha ya makelele ya washabiki kwa mchemsho huu hakuna aliyejali, inaonekana walikua bize kuchakachua mapato........
View attachment 98220
bango linaoonyesha orodha ya wachezaji wa Ivory Coast likiwa na jina la Morocco....copy and paste? au alisahau ku save?
umenikumbusha jinsi Membe alivyokua natokwa na povu kusema wenzetu hakuna usalamasiwezi kuamini hili na kama ni kweli basi ni dhahiri Tanzania imefikia mwisho wa kufikiri na kutenda na sio ajabu timu zetu zimejitoa Kagame kwa kisingizio cha usalama wakati sisi wenyewe tukilipuana Arusha.
Hii ni mbaya zaidi