Kituko kuhusu teja

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Palikuwa na teja ambaye alitoka mbio uchi mpaka maskani kwa mateja wenzake. Alipofika, akawauliza wale wenzake' oya hili suti mwaiyonaje' wale wenzake wakamjibu 'hiyo suti iko poa lakini mbona iyo tai umeifunga chini?'
 
Kipofu aliingia
restaurant moja ya
mtaani. Kufika hapo
mhudumu ambaye ndiyo
alikuwa mmiliki akafika
kumsikiliza huku akimpa
menu asome... Jamaa
ikabidi amwambie kuwa
yeye ni kipofu hivyo ili
ajue atakula nini
angefurahi sana kama
angemletea kijiko
kilichotumiwa na mtu
yoyote wa mwisho
kulia... Mwenye hoteli
akaenda jikoni na
kumletea jamaa kijiko
kichafu kama
alivyoomba... Kumpa tu
jamaa akakinusa then
akamwambia, "Ooooh
yeeeah, hiki ndo
ntakula... naomba niletee
wali, nyama ya kuku,
maharage kidogo na
kachumbari kama
alivyokula huyu
aliyetumia kijiko hiki...."
Jamaa mwenye hoteli
akabaki hoi kaduwaa bila
kuamini kwani yeye ndo
alikuwa kakitumia na
kweli alikula hivyo.
Akaenda ndani na
kumwambia mpishi
ambaye ni mke wake
aandae hivyo baada ya
hapo akampelekea
jamaa huku bado
akiwaza jamaa
amenusaje na kuhisi
kweli...
Baada ya siku nyingi,
yule kipofu akaenda
tena kwenye
restaurant ile. Kwa
bahati mbaya yule
mwenye hoteli akawa
amemsahau kabisa.
Akamletea tena menu...
Jamaa akamuuliza... "Vipi
ndugu yangu??
Umenisahau tayari??
Mimi ni yule kipofu..."
Basi yule mwenye
restaurant akamjibu,
"Oooh, samahani, ngoja
nkakuletee kijiko.."
Kufika jikoni
akamwambia mkewe,
yule jamaa kaja tena,
ngoja leo tumpime
tuone kama anajua
harufu kweli au
alituzingua tu.
Akachukua kijiko,
akakiosha fresh na
sabuni, akamwambia
mkewe ajisugue nacho
sehemu zake za siri
mbele na nyuma ili
akamkomoe...
Basi jamaa
akampelekea kile kijiko...
Kama kawaida yule
kipofu akakinusa na
baada ya kukinusa tu
kwa mshangao
akauliza... "Hee?? Sikujua
bwana, kumbe Maria
anafanya kazi hapa??!"
Jamaa akabaki hoi
kaduwaa coz ndo jina la
mkewe(yule mpishi).... lol
 
me hicho kituko cha pili kidogo nivunje mbavu zangu.
leta ingine..
 
Bibi kizee moja alijulikana bingwa wa kupinga mtaani,yaani kama unabisha mnawekeana dau,siku moja alienda benki alipofika reception akasema nataka niweke hela kwenye account yangu,pale reception akaambiwa lete hela yako tukuwekee,bibi alikataa na kudai manager mkuu wa benki ndo anafaa kumwekea na bila hivo hataweka hela yake a/c.Reception walipoona hivo wakampeleka bibi kwa manager ili amwekee hela,alipofika manager alishangaa sana,akamwambia we bibi hii milioni 10 umetoa wapi mbona jinsi unavyoonekana mtu kama wewe hana uwezo kuwa na hela kama hiyo?Bibi akajibu,nilipinga na mtu na kuwekeana dau ya kila mmoja kuweka milioni 5,kwahiyo nikashinda ndo nikapata milioni 10.Manager akamwuliza,kwani kupinga ni kazi sana?Bibi akajibu,usijali,tunaweza tukapinga mi na wewe ila tuwekeane dau ya miloni 10 kila mtu,ukishinda nakupa milioni 10 na mimi nikishinda unanipa milioni 10,Manager alishawishika na kumwambia bibi aseme watakuwa wanapinga nini?Bibi akamwambia ''kesho mda kama huu saa kumi jioni hutaziona sehemu zako za siri''Manager alibisha kweli na kusema haya tutaona na hiyo milioni 10 yako lazima nichukue mana lazima nitakuwa na nyeti zangu''wakaagana,kesho yake bibi akamjia manager ofisini mda ule ule akiwa na mtu mwingine.Manager akawakaribisha ofisini kwake vizuri,akaenda chooni ili aangalie sehemu zake za siri kama zipo,alipofika chooni akawa anafurahi sana kuziona sehemu zake bado zipo,akarudi ofisi kwa furaha na kumwambia bibi,haya nipe milioni zangu 10 mana nina nyeti zangu bado,Bibi akamwambia mpaka nihakikishe na kuzishikashika kwa mkono ili nijue kama ipo,manager ikabidi afungue zipu lake na bibi akaanza kuzipapasa kwa mkono wake,wakati bibi anapapasa nyeti za manager yule mtu aliyekuja naye akaanza kujipigiza ukutani kwa nguvu,Manager akamwuliza bibi,kwanini huyu mtu uliyekuja naye anajipigiza hivo???Bibi akajibu ''We tulia nikupapase,huyu mtu ameshaliwa hela ndo mana anajipigiza kwa presha,nilimwambia nina uwezo wa kuzipapasa nyeti za manager wa benki kuu ila akabisha ikabidi tuwekeane dau ya miloni 40 kila mtu,kwa hiyo ameshaliwa.,cha msingi ye anipe milioni zangu ili we uchukue milioni zako 10 kutoka kwangu.
 
Kipofu aliingia<br />
restaurant moja ya<br />
mtaani. Kufika hapo<br />
mhudumu ambaye ndiyo<br />
alikuwa mmiliki akafika<br />
kumsikiliza huku akimpa<br />
menu asome... Jamaa<br />
ikabidi amwambie kuwa<br />
yeye ni kipofu hivyo ili<br />
ajue atakula nini<br />
angefurahi sana kama<br />
angemletea kijiko<br />
kilichotumiwa na mtu<br />
yoyote wa mwisho<br />
kulia... Mwenye hoteli<br />
akaenda jikoni na<br />
kumletea jamaa kijiko<br />
kichafu kama<br />
alivyoomba... Kumpa tu<br />
jamaa akakinusa then<br />
akamwambia, &quot;Ooooh<br />
yeeeah, hiki ndo<br />
ntakula... naomba niletee<br />
wali, nyama ya kuku,<br />
maharage kidogo na<br />
kachumbari kama<br />
alivyokula huyu<br />
aliyetumia kijiko hiki....&quot;<br />
Jamaa mwenye hoteli<br />
akabaki hoi kaduwaa bila<br />
kuamini kwani yeye ndo<br />
alikuwa kakitumia na<br />
kweli alikula hivyo.<br />
Akaenda ndani na<br />
kumwambia mpishi<br />
ambaye ni mke wake<br />
aandae hivyo baada ya<br />
hapo akampelekea<br />
jamaa huku bado<br />
akiwaza jamaa<br />
amenusaje na kuhisi<br />
kweli...<br />
Baada ya siku nyingi,<br />
yule kipofu akaenda<br />
tena kwenye<br />
restaurant ile. Kwa<br />
bahati mbaya yule<br />
mwenye hoteli akawa<br />
amemsahau kabisa.<br />
Akamletea tena menu...<br />
Jamaa akamuuliza... &quot;Vipi<br />
ndugu yangu??<br />
Umenisahau tayari??<br />
Mimi ni yule kipofu...&quot;<br />
Basi yule mwenye<br />
restaurant akamjibu,<br />
&quot;Oooh, samahani, ngoja<br />
nkakuletee kijiko..&quot;<br />
Kufika jikoni<br />
akamwambia mkewe,<br />
yule jamaa kaja tena,<br />
ngoja leo tumpime<br />
tuone kama anajua<br />
harufu kweli au<br />
alituzingua tu.<br />
Akachukua kijiko,<br />
akakiosha fresh na<br />
sabuni, akamwambia<br />
mkewe ajisugue nacho<br />
sehemu zake za siri<br />
mbele na nyuma ili<br />
akamkomoe...<br />
Basi jamaa<br />
akampelekea kile kijiko...<br />
Kama kawaida yule<br />
kipofu akakinusa na<br />
baada ya kukinusa tu<br />
kwa mshangao<br />
akauliza... &quot;Hee?? Sikujua<br />
bwana, kumbe Maria<br />
anafanya kazi hapa??!&quot;<br />
Jamaa akabaki hoi<br />
kaduwaa coz ndo jina la<br />
mkewe(yule mpishi).... lol
<br />
<br />
Kwahiyo kipofu atakua ashapita kwa mke wajamaa
 
Kipofu aliingia<br />
restaurant moja ya<br />
mtaani. Kufika hapo<br />
mhudumu ambaye ndiyo<br />
alikuwa mmiliki akafika<br />
kumsikiliza huku akimpa<br />
menu asome... Jamaa<br />
ikabidi amwambie kuwa<br />
yeye ni kipofu hivyo ili<br />
ajue atakula nini<br />
angefurahi sana kama<br />
angemletea kijiko<br />
kilichotumiwa na mtu<br />
yoyote wa mwisho<br />
kulia... Mwenye hoteli<br />
akaenda jikoni na<br />
kumletea jamaa kijiko<br />
kichafu kama<br />
alivyoomba... Kumpa tu<br />
jamaa akakinusa then<br />
akamwambia, &quot;Ooooh<br />
yeeeah, hiki ndo<br />
ntakula... naomba niletee<br />
wali, nyama ya kuku,<br />
maharage kidogo na<br />
kachumbari kama<br />
alivyokula huyu<br />
aliyetumia kijiko hiki....&quot;<br />
Jamaa mwenye hoteli<br />
akabaki hoi kaduwaa bila<br />
kuamini kwani yeye ndo<br />
alikuwa kakitumia na<br />
kweli alikula hivyo.<br />
Akaenda ndani na<br />
kumwambia mpishi<br />
ambaye ni mke wake<br />
aandae hivyo baada ya<br />
hapo akampelekea<br />
jamaa huku bado<br />
akiwaza jamaa<br />
amenusaje na kuhisi<br />
kweli...<br />
Baada ya siku nyingi,<br />
yule kipofu akaenda<br />
tena kwenye<br />
restaurant ile. Kwa<br />
bahati mbaya yule<br />
mwenye hoteli akawa<br />
amemsahau kabisa.<br />
Akamletea tena menu...<br />
Jamaa akamuuliza... &quot;Vipi<br />
ndugu yangu??<br />
Umenisahau tayari??<br />
Mimi ni yule kipofu...&quot;<br />
Basi yule mwenye<br />
restaurant akamjibu,<br />
&quot;Oooh, samahani, ngoja<br />
nkakuletee kijiko..&quot;<br />
Kufika jikoni<br />
akamwambia mkewe,<br />
yule jamaa kaja tena,<br />
ngoja leo tumpime<br />
tuone kama anajua<br />
harufu kweli au<br />
alituzingua tu.<br />
Akachukua kijiko,<br />
akakiosha fresh na<br />
sabuni, akamwambia<br />
mkewe ajisugue nacho<br />
sehemu zake za siri<br />
mbele na nyuma ili<br />
akamkomoe...<br />
Basi jamaa<br />
akampelekea kile kijiko...<br />
Kama kawaida yule<br />
kipofu akakinusa na<br />
baada ya kukinusa tu<br />
kwa mshangao<br />
akauliza... &quot;Hee?? Sikujua<br />
bwana, kumbe Maria<br />
anafanya kazi hapa??!&quot;<br />
Jamaa akabaki hoi<br />
kaduwaa coz ndo jina la<br />
mkewe(yule mpishi).... lol
<br />
<br />
inavyoonyesha haupiti mara kwa mara hapa. Hii ya kitambo kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom