Imeishia hapo mkuu...subiri part 2Mkuu nimecheka lakini nikuulize,,hapo ndio umemaliza?
<br />Kipofu aliingia<br />
restaurant moja ya<br />
mtaani. Kufika hapo<br />
mhudumu ambaye ndiyo<br />
alikuwa mmiliki akafika<br />
kumsikiliza huku akimpa<br />
menu asome... Jamaa<br />
ikabidi amwambie kuwa<br />
yeye ni kipofu hivyo ili<br />
ajue atakula nini<br />
angefurahi sana kama<br />
angemletea kijiko<br />
kilichotumiwa na mtu<br />
yoyote wa mwisho<br />
kulia... Mwenye hoteli<br />
akaenda jikoni na<br />
kumletea jamaa kijiko<br />
kichafu kama<br />
alivyoomba... Kumpa tu<br />
jamaa akakinusa then<br />
akamwambia, "Ooooh<br />
yeeeah, hiki ndo<br />
ntakula... naomba niletee<br />
wali, nyama ya kuku,<br />
maharage kidogo na<br />
kachumbari kama<br />
alivyokula huyu<br />
aliyetumia kijiko hiki...."<br />
Jamaa mwenye hoteli<br />
akabaki hoi kaduwaa bila<br />
kuamini kwani yeye ndo<br />
alikuwa kakitumia na<br />
kweli alikula hivyo.<br />
Akaenda ndani na<br />
kumwambia mpishi<br />
ambaye ni mke wake<br />
aandae hivyo baada ya<br />
hapo akampelekea<br />
jamaa huku bado<br />
akiwaza jamaa<br />
amenusaje na kuhisi<br />
kweli...<br />
Baada ya siku nyingi,<br />
yule kipofu akaenda<br />
tena kwenye<br />
restaurant ile. Kwa<br />
bahati mbaya yule<br />
mwenye hoteli akawa<br />
amemsahau kabisa.<br />
Akamletea tena menu...<br />
Jamaa akamuuliza... "Vipi<br />
ndugu yangu??<br />
Umenisahau tayari??<br />
Mimi ni yule kipofu..."<br />
Basi yule mwenye<br />
restaurant akamjibu,<br />
"Oooh, samahani, ngoja<br />
nkakuletee kijiko.."<br />
Kufika jikoni<br />
akamwambia mkewe,<br />
yule jamaa kaja tena,<br />
ngoja leo tumpime<br />
tuone kama anajua<br />
harufu kweli au<br />
alituzingua tu.<br />
Akachukua kijiko,<br />
akakiosha fresh na<br />
sabuni, akamwambia<br />
mkewe ajisugue nacho<br />
sehemu zake za siri<br />
mbele na nyuma ili<br />
akamkomoe...<br />
Basi jamaa<br />
akampelekea kile kijiko...<br />
Kama kawaida yule<br />
kipofu akakinusa na<br />
baada ya kukinusa tu<br />
kwa mshangao<br />
akauliza... "Hee?? Sikujua<br />
bwana, kumbe Maria<br />
anafanya kazi hapa??!"<br />
Jamaa akabaki hoi<br />
kaduwaa coz ndo jina la<br />
mkewe(yule mpishi).... lol
<br />Kipofu aliingia<br />
restaurant moja ya<br />
mtaani. Kufika hapo<br />
mhudumu ambaye ndiyo<br />
alikuwa mmiliki akafika<br />
kumsikiliza huku akimpa<br />
menu asome... Jamaa<br />
ikabidi amwambie kuwa<br />
yeye ni kipofu hivyo ili<br />
ajue atakula nini<br />
angefurahi sana kama<br />
angemletea kijiko<br />
kilichotumiwa na mtu<br />
yoyote wa mwisho<br />
kulia... Mwenye hoteli<br />
akaenda jikoni na<br />
kumletea jamaa kijiko<br />
kichafu kama<br />
alivyoomba... Kumpa tu<br />
jamaa akakinusa then<br />
akamwambia, "Ooooh<br />
yeeeah, hiki ndo<br />
ntakula... naomba niletee<br />
wali, nyama ya kuku,<br />
maharage kidogo na<br />
kachumbari kama<br />
alivyokula huyu<br />
aliyetumia kijiko hiki...."<br />
Jamaa mwenye hoteli<br />
akabaki hoi kaduwaa bila<br />
kuamini kwani yeye ndo<br />
alikuwa kakitumia na<br />
kweli alikula hivyo.<br />
Akaenda ndani na<br />
kumwambia mpishi<br />
ambaye ni mke wake<br />
aandae hivyo baada ya<br />
hapo akampelekea<br />
jamaa huku bado<br />
akiwaza jamaa<br />
amenusaje na kuhisi<br />
kweli...<br />
Baada ya siku nyingi,<br />
yule kipofu akaenda<br />
tena kwenye<br />
restaurant ile. Kwa<br />
bahati mbaya yule<br />
mwenye hoteli akawa<br />
amemsahau kabisa.<br />
Akamletea tena menu...<br />
Jamaa akamuuliza... "Vipi<br />
ndugu yangu??<br />
Umenisahau tayari??<br />
Mimi ni yule kipofu..."<br />
Basi yule mwenye<br />
restaurant akamjibu,<br />
"Oooh, samahani, ngoja<br />
nkakuletee kijiko.."<br />
Kufika jikoni<br />
akamwambia mkewe,<br />
yule jamaa kaja tena,<br />
ngoja leo tumpime<br />
tuone kama anajua<br />
harufu kweli au<br />
alituzingua tu.<br />
Akachukua kijiko,<br />
akakiosha fresh na<br />
sabuni, akamwambia<br />
mkewe ajisugue nacho<br />
sehemu zake za siri<br />
mbele na nyuma ili<br />
akamkomoe...<br />
Basi jamaa<br />
akampelekea kile kijiko...<br />
Kama kawaida yule<br />
kipofu akakinusa na<br />
baada ya kukinusa tu<br />
kwa mshangao<br />
akauliza... "Hee?? Sikujua<br />
bwana, kumbe Maria<br />
anafanya kazi hapa??!"<br />
Jamaa akabaki hoi<br />
kaduwaa coz ndo jina la<br />
mkewe(yule mpishi).... lol