Watawala wameanzisha wilaya na mikoa mipya ili mahawara,watoto wao,marafiki na makada wa CCM wapate nafasi ya kugangaa njaa. Hivi mahitaji muhimu ya wananchi ni kuwa na watawala karibu ama huduma za msingi,maji,zahanati,barabara,shule na nishati ya umeme??