Kituko JNIA mgahawani: Immigration hii si sawa!

Hata mimi nashangaa niliona wakati fulani wauza mgahawa uwanja wa ndege wametoka nje ya nchi na Watanzania wapo tu
 
Maajabu ya huu mgahawa wa JNIA..

Soda ya chupaaaaaa.... tshs 3,500...

Sodaaaa... tshs. 3,500... na serikali ipo inaangalia tu.. huu ni wizi na ujambazi wa wazi, na hasira sana na huyu mchina kafungua hii Cafeteria pale JNIA... na hasira sana
Umelazimishwa kununua?
 
Sasa kama ni Muwekezaji unataka afunge biashara zake arejee kwao?
 
Mi nafikiri hakuna mtu asiyetaka wawekezaji!!Dunia nzima inakwenda kasi kwa sbb ya uwekezaji.
Suala ni je,taratibu za uwekezaji huu zinafuatwa??Pale juu ule Mgahawa ni wa Muhindi,huwa anapata hizo tender kwa magumashi sana,ile ni Flamingo ya ndani na kuna nyingine pale nje.Kaajili wahindi ambao ni kazi zinazoweza kufanywa na watanzania kibao tu

Lkn kwa sbb hata sisi uzalendo ulishatutoka,basi hatuoni hili ni tatizo
 
hivi unaweza enda China halafu ukakuta muuza Mgahawa airport hajui kichina? au ujerumani nk
Inawezekana asilimia 100...
Tuna ndugu zetu Wa Tanzania na Mataifa mbalimbali wameajiriwa na wanafanya kazi mbalimbali zikiwemo Migahawa na hawajui kichina wala Ki Jerumani...hiyo ni Globalisation at its best....
 
Huyo jamaa namkumbuka,siku nimepita pale kukawa na delay nikaona nishtue 1-2.mara akawa mzee mmoja wa kiswahili hakutaka kusubiri zamu yake ahudumiwe alipoenda pale kaunta ka order kwa dharau sana na yule muhindi alicheza nae kisaikolojia tu akamwambia nawahudumia hawa mbele kwanza we utasubiri.yule mzee alimuwakia sana na mitusi kibao na kulia kabaguliwa.

Na nyie wabongo mpunguzage nyodo maeneo mengine.
 
Inawezekana asilimia 100...
Tuna ndugu zetu Wa Tanzania na Mataifa mbalimbali wameajiriwa na wanafanya kazi mbalimbali zikiwemo Migahawa na hawajui kichina wala Ki Jerumani...hiyo ni Globalisation at its best....
watakuwa waosha viombo.
 
Mi nafikiri hakuna mtu asiyetaka wawekezaji!!Dunia nzima inakwenda kasi kwa sbb ya uwekezaji.
Suala ni je,taratibu za uwekezaji huu zinafuatwa??Pale juu ule Mgahawa ni wa Muhindi,huwa anapata hizo tender kwa magumashi sana,ile ni Flamingo ya ndani na kuna nyingine pale nje.Kaajili wahindi ambao ni kazi zinazoweza kufanywa na watanzania kibao tu

Lkn kwa sbb hata sisi uzalendo ulishatutoka,basi hatuoni hili ni tatizo
Kweli mkuu, kuna wachangiaji wasio na uelewa na uzalendo wanaona sawa tu, wacha wawekezaji walete hata wafagizi kutatua tatizo la ajira kule wanakotoka.

Watu wenye akili finyu wanaona sawa tu, huku vijana wengi hawana kazi mitaani.
 
Pamoja na kujifanya wewe ndio mjuaji zaidi na mwenye IQ ya juu lakini ndio wale wale tu,

Chukulia mfano wa Dubai international airport,kuna wahudumu/waiters kibao tu kwenye migahawa ya airport na hawajui kiarabu na wala sio waarabu! Qatar,Saudi arabia na hata Ujerumani ni hivyo hivyo pia,

Unaonekana hujawahi kutoka nje ya mipaka ya Tz,unaandika kwa hisia tu,mimi naandika/nacomment kwa experience.

Mleta mada bila shaka itakua hiyo ni mara yako ya kwanza kutumia Airport kwa ajili ya safari ndio maana umeshangaa kuona vitu ambavyo ni vya kawaida tu kwenye nchi nyingi tu.

Lazima utakua muhaya wewe au mnyaki!
 
Pale Airport watu wanaohusika wapafanyie kazi hasaa yale maduka ya kule juu mtu kama huja take off wamejaa wageni na wahindi wote ina maana sisi wazawa hatuwezi kufungua hayo maduka....wale wote waondolewe tu pale...
alsfu walivyo nchi kama yao vile....
 
Kweli mkuu, kuna wachangiaji wasio na uelewa na uzalendo wanaona sawa tu, wacha wawekezaji walete hata wafagizi kutatua tatizo la ajira kule wanakotoka.

Watu wenye akili finyu wanaona sawa tu, huku vijana wengi hawana kazi mitaani.
Machizi wen humu JF! Kale kautafiti kana ukweli sana
 
Back
Top Bottom