Kituko gani kilikuacha hoi kwa kicheko mnamo 6*6?

Paprika

JF-Expert Member
Feb 25, 2017
5,952
9,863
Habari za Jumapili familia pendwa!!!
Kwa ndugu zangu waislamu nawatakia mfungo mwema!

Nina uhakika kwa namna moja au nyingine kuna wenzetu wamewahi kukutana na matukio ya kuchekesha wakiwa katika ile shughuli pendwa. Tukio linaweza likawa halikuchekesha wakati ule ila kwa sasa ukikumbuka tu lazima ucheke.

Yaani ex wangu alikua ni mtu wa vurugu sana kwenye mechi... Atakubidua kila aina ya staili yaani ukitoka hapo mwili unauma kama ulikua unalima... Kuna siku katika purukushani bwana kumbe tumebiringita mpka kumaliza kitanda, tukatua chini kama zigo "ndiii'... Tukaangukia kwenye vyombo vilikua kwenye tray pembeni ya kitanda, vyombo vikavunjika... Ile maumivu hayajaingia vizuri tukasikia hodi mlangoni majirani wanatuuliza " kwema humo?"... Yaani tuliganda kama tulivyodondoka na kuuchuna kama hamna mtu ndani huku mimi nakufa kwa kujizuia kicheko.
 
Mie niliwahi kuvunja meza ya kulia (Dining Table) niliogopa sana mrembo nilidhani kavunjika mgongo maana ilikuwa ni kishindo kikubwa sana. Nikawa namuuliza uko sawa mgongo hauumi, hebu tembea nikuone kama unatembea sawa lol! Genye zote kwishney huku bado nikiwa na wasiwasi mrembo anaweza kuanza kusikia maumivu makali ya mgongo au viungo vingine lakini alikuwa salama. Kwa leo hii inatosha :):):)
 
.......kuna mdada niliwahi kuwa na mahusiano naye, aseh akikolea muda ule anaokwenda kufikia kilele, anakuwa kama mtu anayepambana kuelekea kukata roho, then akifika kishindo anatulia kimyaaaa.

aseh nilidhani bahati mbaya, lakini nikafanya naye karibbu mara 5 hivi hali ndiyo hiyohiyo
NILIMWACHA NA SITAKI HATA KUMSIKIA:D:D:D:D:D:D:D. HILI SIYO UTANI WAKUU
 
Habari za Jumapili familia pendwa!!!
Kwa ndugu zangu waislamu nawatakia mfungo mwema!

Nina uhakika kwa namna moja au nyingine kuna wenzetu wamewahi kukutana na matukio ya kuchekesha wakiwa katika ile shughuli pendwa. Tukio linaweza likawa halikuchekesha wakati ule ila kwa sasa ukikumbuka tu lazima ucheke.

Yaani ex wangu alikua ni mtu wa vurugu sana kwenye mechi... Atakubidua kila aina ya staili yaani ukitoka hapo mwili unauma kama ulikua unalima... Kuna siku katika purukushani bwana kumbe tumebiringita mpka kumaliza kitanda, tukatua chini kama zigo "ndiii'... Tukaangukia kwenye vyombo vilikua kwenye tray pembeni ya kitanda, vyombo vikavunjika... Ile maumivu hayajaingia vizuri tukasikia hodi mlangoni majirani wanatuuliza " kwema humo?"... Yaani tuliganda kama tulivyodondoka na kuuchuna kama hamna mtu ndani huku mimi nakufa kwa kujizuia kicheko.
Hongera
 
Back
Top Bottom