Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,145
Upo mbn sijakusikia ukisema na we chako
Upo mbn sijakusikia ukisema na we chako
Duuh aiseeNilikuwa bado mdogo tu ila kile kitendo kiliniumiza sana sijawai kukisahau mpaka leo
Wee mie cna tatizo.Upo mbn sijakusikia ukisema na we chako
Mwaka flani wageni walikuja nyumbani mtoto akamuomba mama ake simu acheze game mama yake akamwambi imezima chaji na hapakuwa na umeme toka asubuhi
Mama wa huyo mtoto akanambia mpe Basi simu yako acheze game maana ataanza sumbua hapa..nikamjibu haina ilioko ni ya kutumia akili sana sio game last kitoto ..mama yake akasema kuliko Alie we mpe ashindwe
Au mpe a download anajua kutafuta game zake...nikamjibu mwache Alie hii sio PS
Nilienda kutembelea ndugu jijini dar es salaam sasa katoto ka sister kakaja tukawa tunapakua msosi nilivyomaliza kukapakulia.nikajipakulia na mimi wacha kashtuke eti khee njomba unakula sana naenda kusema kwa mama
"Mavi hayajaenda hayo" alisikika mtoto akimwambia mgeni baada ya kutoka kuflash na kutoka chooni.
Sidhani mkuuDuuh aisee
Na wanajua umewachukia kwa sababu hiyo?
😁😁😁Aisee dogo alikiwasha".... ondoka tule...." huku akinisukuma.
Ndo majina yao hayoHao wanaolea watoto kama mayai ina maana huu uzi hawauoni waje watupe ushuhuda akina Juniya wanaendeleaje!
Ashakosea tayariNina house girl wangu mpya kaja na mwanae anaitwa junior na jinsi anavyo mlea huyo mtoto ipo siku ataninunia week nzima, we uliona wapi mtoto wa kwanza ukamuita junior
Iyo hatariMiaka furani bhana kuna likizo tulikwenda kwa sista wazo kwenye kota zile sasa asabui dada yangu na ndugu wakike wa mume wa dada asubui walikurupuku na mtoto wa sista akatikisa kabati ambali juu yake kulikuwa na kinanda cha dogo kanunuliwa kama toy achwze kikaanguka na kuvunjika sasa ile mimi natoka wakanitaja mimi shemeji alinipa Kofi la maana tokea siku ile mpaka leo sijawai kuumaliza usiku kwake na hata nikienda basi nampeleka mtu hata nikikutana nae njiani yeye wala watoto siwasalimii na nashukuru watoto wake nimesahau hata sura sizikumbuki
UlijisikiejeNilienda kutembelea ndugu jijini dar es salaam sasa katoto ka sister kakaja tukawa tunapakua msosi nilivyomaliza kukapakulia.nikajipakulia na mimi wacha kashtuke eti khee njomba unakula sana naenda kusema kwa mama
Aisee mm nakabamizaNikiwa nakula kanapanda kwenye kochi kananikalia kichwani
Nikikashusha kanalia afu kanapanda tena beki tatu anakaambia tu kwa mdomo shuka mwenzio ale, nikala hivo hivo mpaka namaliza kapo kichwani
Siamini Kama unakosa experience yoyoteWee mie cna tatizo.
SureMim mtoto yeyote hakuna kushika simu yangu awe wangu wa jirani wa wapi marufukuuu na nikienda ugenin mtoto akae sehemu mambo ya kunidandia hapana siwez vumilia ujinga hata kidogo
Mimi nakumbuka siku moja nikiwa ugenini, huyu mtoto wa mwenyeji wangu aliing'ang'ania radio yangu na mwenyeji wangu akaniambia tumsubirie asinzie watamnyang'anya nakumbuka walinipatia radio yangu saa nne usiku toka saa 12 jioni
Niliwamindi familia yote ila basi tu hawakujua
Weka na wewe cha kwako hapa,
huwaga kuna jicho unakatwaa aisee usipoelewaa wew bhasii... utajikuta upo nje kuchezaNilienda kwa kaka yangu wa tumbo moja.
Nipo sebuleni naangalia TV, mtoto wa bro alitoka shule. Alipofika hata hakunisalimia.
Kakasimama katikati ya TV, nikamwambia toka hapo, bado tu. Nikamwambia tena. Kakazima TV kakaingia chumbani.
Nikawasha, nikasubiri kanatoka chumban. Nikakashika, nikakapa kifinyo.
Usiku bro anakuja, kanamwambia. Nimempiga. Bro akasema, huyu akileta ujinga piga.
Wazazi wa sasa, jitahidini kuwalewa watoto wenu katika tabia njema ndiyo maana hata ndoa za siku hizi zinavunjika kwa sababu ya malezi.
Namshukuru sana mama yangu, ametulea katika maadili mema. Sisi nyumbani ukimkuta mgeni lazima umsalimie halafu unaenda kucheza nje. Mgeni aletewe hata soda halafu nawe unataka unywe naye kipigo utakachopata.