Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Mkuu sina maana ya kuwaonea wivu jamaa yangu

Hoja yangu imejikita hapo kwenye ardhi, kwamba why ni rahisi mchaga kupata ardhi Morogoro au Mwanza ila ni vigumu Mluguru kupata ardhi Moshi,

Ila mkuu nimependa lugha unayotumia si ya matusi sana kama wenzako

Tuishie hapa sisi ni Watz, hili halitabadilika.
Mchaga kupata ardhi popote ni héla yake kwani anavamia? Hata wewe ukiwa na hela utapata ardhi Moshi,tofauti Ni kuwa ardhi ya Moshi ina bei kubwa maana ni valuable
 
Comment yako inaonesha kuwa ninyi ni bora kuliko makabila mengine otherwise kwanini uhisi mnaonewa wivu.

Huoni hio kauli yako ndo INA ukabila kihalisia. unahisi kila aliyecomment tofauti Na wewe anawaonea wivu Na ni mpumbavu.

U really need professional help.
Una chuki kali ngosha,tuliza wenge Kama mlikimbia umande mkakimbilia kucheza gobogobo pole yako
 
Comment yako inaonesha kuwa ninyi ni bora kuliko makabila mengine otherwise kwanini uhisi mnaonewa wivu.

Huoni hio kauli yako ndo INA ukabila kihalisia. unahisi kila aliyecomment tofauti Na wewe anawaonea wivu Na ni mpumbavu.

U really need professional help.
Hustahili hata kuitwa Mkuu, maana great thinkers hawana upeo finyu narrow mind kama yako!

Jinsi mlivyo na wivu na chuki na kabila husika kila likitwaja hamkosi kuja kupayuka huku JF. yaani wachagga wanawanyima raha sana, poleni sana,

kwahili sina namna ya kukusaidia hapa.

Kiukweli kwenye professional help nadhani umeongea kinyume maana nyie mnao lialia daily kuhusu wachagga ndio wenye tatizo na mnahitaji haraka sana msaada wa kisaikolojia psychological help !
 
Kabisa mkuu,

Watu wamejaa sumu ya ukabila, wamepofushwa macho na wivu na ukabila kiasi cha kushindwa kuona kuwa hao ni watanzania wenzao na wana haki ya kuomba kuishi popote na sio Mara ya kwanza kufanya hivi,

Wapo pia wasomali wa pale Tanga waliopewa uraia na ardhi, wapo warundi zaidi ya laki moja na nusu waliopewa uraia na ardhi, wanakuja wawekezaji wanapewa ardhi kubwa sana mamia ya hekari, lakini watanzania wenzao kuomba ardhi ni nongwa!

Kuna shida mahali.
Kwani hao wachaga wamekataliwa kuhama huko uchagani, ? Nchi hii kuna mtu anakatazwa kuishi anapotaka, ? What’s so special with wachaga mpaka waombe na kufikiriwa kwenda sehemu ya nafasi, nauliza kwa nini hasa, ?

Au hawataki kuchangamana na watanzania wengine? Kwani hili kabila likoje jamani,

Au nauliza huko kwao uchagani hawakuwahi kuchangamana na makabila mengine sasa wanaogopa kwenda kwao huko? Mimi nauliza tu, maana sielewi,

Naona wasukuma wapo mpaka lindi huko, waliomba kibali serikalini waende huko au waliona fursa wakaenda na wanajua kujichanganya na jamii nyingine wakakubalika,

Au hawa watu wanaukabila mbaya sana kiasi kwamba hawawezi kuhama mmoja mmjoja ni lazima wahame wote, mimi nauliza tu,

Kwani hawa ni watanzania au ni wakenya,
Hili ni ombi la ajabu kabisa kupatia kulisikia, au labda mimi Ndio sielewi.

Kwa ushauri tu, hebu leo waamue waende kigoma huko au lindi au songea au Dodoma au tabora au musoma, tuone nani atawafukuza,

Kama walikuwa wanafukuzia makabila mengine huko kwao , basi sisi tunaambia hatuna roho hizo waje tu tutawapokea.,
 
Tembea nchi nzima hii, hutokuta kabila ambalo limewatungia jina wageni(jina la kuwadharau) ila huku uchagani tunaitwa chasaka hahaha

Ngoja tuwape elimu, mutabadilika tu

Hii mbinu ya kuzaa na dada zenu itazaa matunda soon.
Acha upopona,nimetembea karibu mikoa yote tz Hakuna jamii ambayo haina wanalotumia kumuita mtu wa kuja(ambaye sio wa jamii husika)
Mfano wahaya huwa wanaita wakuja kwa jina la MNYAMAHANGA nk makabila yote yapo hivyo usilete uzwazwa wako kukwepa hoja
 
Kabisa mkuu, Sasa kuna watu kwa kuto kujua historia au kwa chuki zao binafsi wanaleta mada mfu kama hizi, hawajisumbui hata kujifunza historia ya nchi yao!

Leo anaona ajabu sana watanzania wenzake kuomba ardhi kwenye nchi yao, wakati wakimbizi wa Burundi zaidi ya laki moja walipewa ardhi na uraia kule Rukwa na Katavi, wakimbizi wasomalia maelfu walipewa ardhi na uraia kule Tanga, wapigania Uhuru wa nchi za kusini mwa afrika walipewa ardhi Morogoro na Dodoma,

Lakini watanzania wenzao kuomba ardhi kwaajili ya kilimo na makazi ni nongwa!
Kwani nyie wachaga ni warundi, au mnatoka nchi tofauti, ? Mbona hatuwaelewi nyinyi? Mnataka ni is hasa? Kwanini msiende huko mikoa mingine mkaenda kwenye serikali za vijiji mkajitambulisha mkawa wanakijiji, au mnataka mwende wote, hamtaki kutengana eeee,

Kama mpo hivyo basi hatuwataki, inaonesha nia yenu sio kuishi kindugu na jamii au ambayo mtaikuta huko,

Bora mbalimbali hukohuko
 
Wachaga hoyeee hahaha

Unajua mchaga akiizungumzia Kilimanjaro unaweza sema ni Paris ya bongo ila ukifika Kilimanjaro utacheeeka hahahahaha

Hawa jamaa wanapenda kusifiwa kinoma yaani, ukiwapinga kidogo kwa fact utaonekana unachuki hahaha

Shida ya baadhi ya wachaga walichelewa kuingiliana na baadhi ya makabila ya Tanzania hivyo kuamini wao ni kabila pekee lililostaarabika

Kitu ambacho si kweli

Ngoja niendelee kuwatombea dada zao ili tuwatoe mbegu za ubaguzi.
Wachaga walishangamana kitambo kabla hata ya Uhuru Tena walikuwa na exposure internationally
Kuhusu Kilimanjaro kuwa Kama Paris Hilo halipingiki, Kilimanjaro Ni mkoa wa kwanza tz kwa makaz bora vijijin,Hakuna mkoa wowote tz utakuta makaz ya kisasa kuzid Kilimanjaro
Pia kwa miundombinu Hakuna mpinzani lami zipo hadi vichochoroni,shule ndio mkoa unaoongoza kwa shule nyingi tz, huduma kama umeme kule upo tangu 1970's sasa kwann isiwe Paris?
Infact ripoti ya serikali inatuambia Kilimanjaro Ni mkoa wa pili tz kwa watu wake kuishi maisha Bora kwa 90%,ukiona hivyo ndio chuki inakujaa,huwez kufanikiwa kwa kumchukia aliyakuzid,nyie mmekalia Imani za kijinga za kuua vikongwe wenye macho mekundu hii inasabanishwa na ufinyu wa elimu
Karibu KILIMANJARO ujionee mandhari swaafi hatuna vijumba vya tembe,wala hatutumii punda kama usafir kama kule kwenu malampakaView attachment 1703100
196721391.jpeg
FB_IMG_16127922676068706.jpeg
 
Kwani hao wachaga wamekataliwa kuhama huko uchagani, ? Nchi hii kuna mtu anakatazwa kuishi anapotaka, ? What’s so special with wachaga mpaka waombe na kufikiriwa kwenda sehemu ya nafasi, nauliza kwa nini hasa, ?
Swali lako halina msingi maana waliwahi kuomba na kupewa na baba wa taifa na hakukuwa na tatizo! Wakiomba tena ni dhambi?! Wewe unapungukiwa kitu?! Au ndio chuki zilezile?!


Au hawataki kuchangamana na watanzania wengine? Kwani hili kabila likoje jamani,

Hapa umeonesha jinsi ulivyo na chuki za kipumbavu kuliko hata upumbavu wenyewe!

Kuna kabila limechangamana na watu kama wachagga?! Nenda kokote lazima utakuta duka la mangi. Au unajitoa ufahamu kwamba wachagga hawana maduka huko kwenu kanda ya ziwa?! Makabila yaliyosambaa sana kibiashara ni wachagga, wapemba na wakinga! Unaanzaje kujitoa ufahamu eti "hawataki kuchangamana na watanzania wengine!" Wewe ni pumbura original.
Au nauliza huko kwao uchagani hawakuwahi kuchangamana na makabila mengine sasa wanaogopa kwenda kwao huko? Mimi nauliza tu, maana sielewi,

Swali la kipuuzi la mwaka hapa Jf , wanyamwezi na wasukuma wamejaa lukuki uchaggani walikuja tangu enzi za mkoloni kufanya vibarua kama manamba kwenye reli ya Dar- Tanga - Moshi - Arusha

Kisha wakaloea kwenye mashamba ya mkonge na kahawa, wengi wanajiita wachagga kwasasa! Wasukuma lukuki walisomea moshi, weruweru, moshi tech, umburi n.k. hata ndugu yenu Daudi Bashite alisomea pale ushirika Moshi tena alikiri mwenyewe kuwa alilipiwa ada take na Mchagga Dr. Reginald Abraham Mengi.




Naona wasukuma wapo mpaka lindi huko, waliomba kibali serikalini waende huko au waliona fursa wakaenda na wanajua kujichanganya na jamii nyingine wakakubalika,

Upuuzi mwingine, kwani huko mwanza na geita wachagga hawapo?! Ficha ujinga wako kidogo. Sitaki kukwambia engineers wangapi wachagga wako migodini huko GGM, Buzwagi, mwadui, kakola nk.
hoja ya kutojichanganya ni ya kitoto mno!

Au hawa watu wanaukabila mbaya sana kiasi kwamba hawawezi kuhama mmoja mmjoja ni lazima wahame wote, mimi nauliza tu,

Hapa ndio umedhihirisha jinsi ulivyo mpumbavu mmoja aliyejaa chuki za kikabila , ingekuwa hivyo kusingekuwa na maduka ya wachagga "dukani kwa Mangi!" Tanzania nzima!


Kwani hawa ni watanzania au ni wakenya,
Hili ni ombi la ajabu kabisa kupatia kulisikia, au labda mimi Ndio sielewi.

Ujinga wa kiwango cha upumbavu, kwani watanzania hawaruhusiwi kuomba eneo la ardhi mkoa mwingine?! Ni kosa kisheria?! Walipoomba wakapewa mlipungukiwa nini?! Acheni chuki za kijinga nyie,


Kwa ushauri tu, hebu leo waamue waende kigoma huko au lindi au songea au Dodoma au tabora au musoma, tuone nani atawafukuza,

Kama walikuwa wanafukuzia makabila mengine huko kwao , basi sisi tunaambia hatuna roho hizo waje tu tutawapokea.,
Umeandika kwa chuki kali za uananzengo japo umejifanya eti "Mimi nauliza tu!"

Hakuna Ushauri wa maana hapa wote huu utopolo ni upumbavu mtupu uliojaa chuki , ujinga na wivu wa kimaskini.
 
Mchaga bila kubebwabwa hawana tofauti na wagogo. Wamshukuru sana Mkapa, alivyooa mchaga basi wakatumia nafasi hiyo kujichomeka chomeka sehemu nyeti
Wachaga walikuwepo kwenye système tangu enzi za mkoloni
Soma Historia hata baraza la mawazir la Kwanza kabisa lilisheheni wachaga wengi tu kina nsilo swai,kina Edwin mtei ,kina muhidini kimario nk
Wachaga wamesoma tangu enz na enz
 
CRDB ni moja ya bank mbovu nchi. Haina maajabu zaidi ya kufanya biashara na serikali na kuzungusha mtaji wa serikali.

Unamzungumzia banking industry, unamjua James Mwangi ??

Unajua alikoitoa Equity bank ?? .

Huyo Kimei kakaa CRDB miaka 30 lakini kaacha ina tawi Burundi tu,
Wew kweli lofa,kimei kaiacha CRDB ikiwa ndio bank yenye matawi mengi kuliko bank yoyote nchini
Unasumbuliwa na chuki hii inasabanishwa na jamii yenu kutothamin elimu badala yake ikawekeza kwenye kucheza bogobogo
 
Swali lako halina msingi maana waliwahi kuomba na kupewa na baba wa taifa na hakukuwa na tatizo! Wakiomba tena ni dhambi?! Wewe unapungukiwa kitu?! Au ndio chuki zilezile?!




Hapa umeonesha jinsi ulivyo na chuki za kipumbavu kuliko hata upumbavu wenyewe!

Kuna kabila limechangamana na watu kama wachagga?! Nenda kokote lazima utakuta duka la mangi. Au unajitoa ufahamu kwamba wachagga hawana maduka huko kwenu kanda ya ziwa?! Makabila yaliyosambaa sana kibiashara ni wachagga, wapemba na wakinga! Unaanzaje kujitoa ufahamu eti "hawataki kuchangamana na watanzania wengine!" Wewe ni pumbura original.


Swali la kipuuzi la mwaka hapa Jf , wanyamwezi na wasukuma wamejaa lukuki uchaggani walikuja tangu enzi za mkoloni kufanya vibarua kama manamba kwenye reli ya Dar- Tanga - Moshi - Arusha

Kisha wakaloea kwenye mashamba ya mkonge na kahawa, wengi wanajiita wachagga kwasasa! Wasukuma lukuki walisomea moshi, weruweru, moshi tech, umburi n.k. hata ndugu yenu Daudi Bashite alisomea pale ushirika Moshi tena alikiri mwenyewe kuwa alilipiwa ada take na Mchagga Dr. Reginald Abraham Mengi.






Upuuzi mwingine, kwani huko mwanza na geita wachagga hawapo?! Ficha ujinga wako kidogo. Sitaki kukwambia engineers wangapi wachagga wako migodini huko GGM, Buzwagi, mwadui, kakola nk.
hoja ya kutojichanganya ni ya kitoto mno!



Hapa ndio umedhihirisha jinsi ulivyo mpumbavu mmoja aliyejaa chuki za kikabila , ingekuwa hivyo kusingekuwa na maduka ya wachagga "dukani kwa Mangi!" Tanzania nzima!




Ujinga wa kiwango cha upumbavu, kwani watanzania hawaruhusiwi kuomba eneo la ardhi mkoa mwingine?! Ni kosa kisheria?! Walipoomba wakapewa mlipungukiwa nini?! Acheni chuki za kijinga nyie,



Umeandika kwa chuki kali za uananzengo japo umejifanya eti "Mimi nauliza tu!"

Hakuna Ushauri wa maana hapa wote huu utopolo ni upumbavu mtupu uliojaa chuki , ujinga na wivu wa kimaskini.
Hahaha mkuu umembana vilivyo huyo jamaa mwenye chuki kali za kijinga nadhani hatarudia Tena kuandika ujinga
 
Kwani nyie wachaga ni warundi, au mnatoka nchi tofauti, ? Mbona hatuwaelewi nyinyi? Mnataka ni is hasa? Kwanini msiende huko mikoa mingine mkaenda kwenye serikali za vijiji mkajitambulisha mkawa wanakijiji, au mnataka mwende wote, hamtaki kutengana eeee,

Kama mpo hivyo basi hatuwataki, inaonesha nia yenu sio kuishi kindugu na jamii au ambayo mtaikuta huko,

Bora mbalimbali hukohuko

Alafu ulivyo mpumbavu eti unathubutu kabisa kujikakamua na kusema hatuwataki ahahaaa!

Wakati juzi tu hapa mfalme wenu JIWE, kalipa shamba la miti huko Geita jina la "mchagga" msomi Professor Dos Santos Silayo! Wachagga hawakwepeki ni kama maji, usipoyanywa utayaoga, kufulia nguo au kuoshea vyombo!

Ni hivyo tu yaani, tuliza mtori nyama zipo chini.
 
We kweli kiazi, wasukuma ni wakabila kuliko hata watutsi, hivi unajitoa ufahamu huoni jinsi JIWE alivyojaza wasukuma serikali?!

Hebu anza kuhesabu mawazari uone ni kabila gani limeesheheni kwenye nyazifa hizo?! Nenda kwa wakurugenzi kuanzia TRC mpaka bandari, njoo jeshini, anza na mkuu wa majeshi,

Hata nyerere akujaza wazanaki namna hiyo! Alafu eti kwa ukabila kama huu mnataka kumfananisha na mwl nyerere thubutuuuu!

Nyerere alijaza wazanaki serikalini au jeshini?! Nyerere aliipendelea Butiama kama ilivyo sasa Chato?!

Alafu bila hata haya wala aibu unakuja hapa na kujitoa ufahamu unadai wachagga wakabila ofisi, mzee MEKO huoni anavyofanya sasa kuwajaza wakwenu?!


Alafu mnataka aongezewe muda??? Thubutuuuu mnataka kuigeuza Tanzania kama Rwanda?! Acheni upumbavu nyinyi!

Shame on you!
Koma kabisa kulinganisha kabila la watu ml 8 na kakikundi ka watu laki tatu. Unalinganisha mzanaki na msukuma ? We hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom