Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
- Thread starter
- #41
🤣🤣🤣Hawa vijana wa CCM juzi walijifanya kuwa ni BAVICHA wanaopinga katiba mpya huku wakiwa wamevalia t-shirt za kuhamasisha katiba mpya
🤣🤣🤣Hawa vijana wa CCM juzi walijifanya kuwa ni BAVICHA wanaopinga katiba mpya huku wakiwa wamevalia t-shirt za kuhamasisha katiba mpya
Hahahaa mpaka hawajielewiNi dalili tosha Kwamba Mungu kaishaikataa, ccm
Sijui hata inakuwaje yaani. Hii symbiosis iko karibu kufeliSystem inaiogopa sana chadema
Chadema wakipiga ngoma system TISS wanacheza kuanzia kwa musiba na viji peperushi vyake hadi hawa waigizaji
Yupo wapi mwanaharakati huru????
Wapo wapi waliotishia kumpeleka mahakamani???
Kweli kama hivyo wanaopinga huku wamevaa nguo za madai ya katiba😅😅Katiba Mpya itakuwepo pale CCM itakapotaka na si vinginevyo!
😅😅😅Nani alimuambia CCM Wana akili...bila kutumia polisi Ni wepesi
Yaani unaweza ukacheka mpaka ukapasuka tumbo. Harafu hii kitu sikui notice😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jeshi la kuchakazaDirector wa hii movie unaweza kukuta ni mtu mkubwa sana kwenye jeshi la...
Ccm haiwezi kutaka katiba mpya bila mashinikizo na si vinginevyo.Katiba Mpya itakuwepo pale CCM itakapotaka na si vinginevyo!
Sura za Uvccm si unaziona?Hivi kwa nini hawa vijana wa CCM ni debe tupu kichwani?Hivi ni lazima ukishakuwa CCM ni lazima akili zipeperuke? Hawa vijana wa CCM juzi walijifanya kuwa ni BAVICHA wanaopinga katiba mpya huku wakiwa wamevalia T-shirt za kuhamasisha katiba mpya
Hakuna mtu yeyote ambae angewashtukia kuwa ni UVCCM kama wasingevaa hizo t-shirt. Inaingia akilini kuwa unapinga mambo ya katiba mpya huku ukiwa umevaa t-shirt za kuhamasisha katiba mpy? WTF! Halafu shame enough chombo cha habari cha Taifa kinatumika kurusha propaganda za maji taka! Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga?
Yaani hawa CCM kuandaa propaganda ndogo kabisa namna hii inawashinda? Zile akili za CCM za zamani za kukomboa nchi mbalimbali za afrika na kuleta maendeleo ya kufa mtu kama vile kujenga viwanda vya kutengeneza magari hapa nchini siku hizi zimeenda wapi? Siku hizi CCM wamekuwa kama watoto wadogo waliovaa pampas ambao hawajui la kufanya.
View attachment 1875914View attachment 1875915View attachment 1875916
Hao ni mataga wamepewa buku 7Hivi kwa nini hawa vijana wa CCM ni debe tupu kichwani?Hivi ni lazima ukishakuwa CCM ni lazima akili zipeperuke? Hawa vijana wa CCM juzi walijifanya kuwa ni BAVICHA wanaopinga katiba mpya huku wakiwa wamevalia T-shirt za kuhamasisha katiba mpya
Hakuna mtu yeyote ambae angewashtukia kuwa ni UVCCM kama wasingevaa hizo t-shirt. Inaingia akilini kuwa unapinga mambo ya katiba mpya huku ukiwa umevaa t-shirt za kuhamasisha katiba mpy? WTF! Halafu shame enough chombo cha habari cha Taifa kinatumika kurusha propaganda za maji taka! Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga?
Yaani hawa CCM kuandaa propaganda ndogo kabisa namna hii inawashinda? Zile akili za CCM za zamani za kukomboa nchi mbalimbali za afrika na kuleta maendeleo ya kufa mtu kama vile kujenga viwanda vya kutengeneza magari hapa nchini siku hizi zimeenda wapi? Siku hizi CCM wamekuwa kama watoto wadogo waliovaa pampas ambao hawajui la kufanya.
View attachment 1875914View attachment 1875915View attachment 1875916
😅😅😅